Mtambwe machozi kila kipembe

Пікірлер: 105

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27473 жыл бұрын

    mi nampeda sanaa maalim

  • @aliabass9392
    @aliabass93923 жыл бұрын

    Poleni sana ! Tuwe na subra sana ktk kipindi hiki kigumu isha allah.

  • @zamzamhamad2195
    @zamzamhamad21953 жыл бұрын

    Poleni Sana na msiba ndio hatma ya mja huu ni msiba wetu sote

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed15143 жыл бұрын

    Eeh Allah SW tunakuomba umpokee mja wako huyu ukiwa umemridhia, na utujaalie na sisi mwisho mwema

  • @farhatmohd3285

    @farhatmohd3285

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @saeedabunajash6235

    @saeedabunajash6235

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @jamilambarouk4746

    @jamilambarouk4746

    3 жыл бұрын

    Aamiin

  • @hawahamad9628

    @hawahamad9628

    3 жыл бұрын

    Amminy

  • @trustman8034

    @trustman8034

    3 жыл бұрын

    Ameen ya Rabb

  • @lakinanemuna9330
    @lakinanemuna93303 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini 😭😭😭😭.. Pumzika kwa amani Maalim seif wewe ni kiongozi wa kuigwa katk viongozi ninaowakubqli wewe ni namba moja.Yaani niliposikia taarifa ya kifo chako siamini mpaka sasa

  • @a.856
    @a.8563 жыл бұрын

    Allah amfanyie wepesi safari yake Amghufirie madhambi yake. Amin

  • @farhatmohd3285

    @farhatmohd3285

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @sleyumhassan1970

    @sleyumhassan1970

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @othmanmohd7297
    @othmanmohd72973 жыл бұрын

    Hatumii tu kwkua kafariki ila tunaumia kw kuondoka kiongozi aliekua alikua sauti yetu hasa sisi wanyonge na alikua mkweli kwenye kauli zake ila Allah hafanyi kosa mwisho wa yote tunasema innaalillah wainnaa ilayhi raajiuun

  • @sherryamour8530

    @sherryamour8530

    3 жыл бұрын

    Allah ampe kaulo thabit hakika pengo lake halitozibika

  • @skeneali6125
    @skeneali61253 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayhi rajiun msiba umetumiza sana mzito sanaaa allah atupe subra

  • @omanomy1757

    @omanomy1757

    3 жыл бұрын

    AMIIN AMIIN AMIIN

  • @mohammedomar9883
    @mohammedomar98833 жыл бұрын

    Maalim kwa Hakika kuondoka kwake tumeumia Sana,Lakini ndio hatma ya binaadam,Maalim alikuwa Kipenz kwa wananchi wake kwa kweli tumeumia jaman Lakini tuseme lnna lillahi wainna illahi rajiuun

  • @osamahamad5756
    @osamahamad57563 жыл бұрын

    Allah ampe pepo firdausi

  • @khayriyamussa8108
    @khayriyamussa81083 жыл бұрын

    Allah amjaalie kauli Thabit Amiin

  • @farhatmohd3285

    @farhatmohd3285

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @bbishatuale1150
    @bbishatuale11503 жыл бұрын

    Mngu ampe kauli thabit nakumbuka tulivuka mto juu kidogo palikuwa na msikiti aliujenga marhum.amefanya sadaka ya kuendelea😭🇰🇪

  • @hadiamassudmassud9737
    @hadiamassudmassud97373 жыл бұрын

    Allah ampokee vizur mja wake

  • @suleimanmohamed4367

    @suleimanmohamed4367

    3 жыл бұрын

    Huyo mtoto wa mkono wakushoto ameranana maalim seifu Anakuja kua mwanasiasa .

  • @trustman8034
    @trustman80343 жыл бұрын

    Allah amjaalie miongoni mwa waja wema wa peponi amiin

  • @smaihsmaih2815
    @smaihsmaih28153 жыл бұрын

    kwa kweli ilinigusa japo smjui zaid ya kumuona ktk screen tu ila moyo uliguswa

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany53403 жыл бұрын

    Huyu bib anaelia Sana nani yake Maalim😭😭😭innalillah wainnailaih rajiun Msiba ni wetu Sote Allah amlaze mahal pema peponi😭😭😭Ammin Ammin

  • @yussufhussein1954

    @yussufhussein1954

    3 жыл бұрын

    Mpishi wake maalim

  • @fatmarashid0005
    @fatmarashid00053 жыл бұрын

    Allah akujaalie yaliyo mazuri katika kabri lako

  • @ziadasleiman876

    @ziadasleiman876

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @trustman8034

    @trustman8034

    3 жыл бұрын

    Ameen ya Rabb

  • @chamritaabdul1592
    @chamritaabdul15923 жыл бұрын

    Tumeumia sana kwakweli,

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii16763 жыл бұрын

    Subra Ya Allah hakika ni kipindi kizito mnoo Allah mpe nuur kwenye makazi yake nasi utupe mwisho mwema Ammin

  • @ambaridikison3843
    @ambaridikison38433 жыл бұрын

    Allah ampe gororofa kwenye akhera yk cyo ya dunian mjinga wee

  • @yunusali3327

    @yunusali3327

    3 жыл бұрын

    Ww matako nin,,kwan kamuombea dua mbaya,,ww nan kakwambia akhera kuna gorofa,,bwege ww

  • @nailamohd7693
    @nailamohd76933 жыл бұрын

    Allah ampe pepo ya firdaus 🤲Ameen

  • @shamsahaji6202

    @shamsahaji6202

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @farhatmohd3285

    @farhatmohd3285

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @Oman-tt1hn

    @Oman-tt1hn

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @abdulbogoyo1243

    @abdulbogoyo1243

    3 жыл бұрын

    AMIN YA RABBI

  • @radhiaali8043
    @radhiaali80433 жыл бұрын

    Hata mm nampenda sana sana 😭

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27473 жыл бұрын

    allah ampe kauli thabit

  • @khadijaabbas1581
    @khadijaabbas15813 жыл бұрын

    Ndo nyumbani ila hakuna gorofa dah we love u babaaa

  • @kijuzuumbarouk485
    @kijuzuumbarouk4853 жыл бұрын

    Allah aampe kauli thabit amin

  • @malikhabibali4651
    @malikhabibali46513 жыл бұрын

    Amiin

  • @haythamsuleimankhamis4986
    @haythamsuleimankhamis49863 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilaih rajiun Allahuma ghufrlahu warhamhu mwamaskinhu fill jannah jannatul fridaus in shaa Allah

  • @farhatmohd3285

    @farhatmohd3285

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @ahmedmagram1370
    @ahmedmagram13703 жыл бұрын

    mungu amrehemu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman

  • @fauzakassim2271
    @fauzakassim22713 жыл бұрын

    Amiin yaraby kwa sote

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi51043 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis67743 жыл бұрын

    Namjuwa huyu dada alokuwa gwiji wa cuf

  • @subiramohd1895

    @subiramohd1895

    3 жыл бұрын

    Ashura alikua kipenzi cha maalim na alimchukua kipindi kikubwa anafanya kazi za ndani kwa maalim alikua haridhiki maalim mpaka chakula chake apike huyo ashura kwa iyo amefiliwa na baba ake mlezi

  • @fatmaamir3676
    @fatmaamir36763 жыл бұрын

    Innaalillahi jamni tusikufuru Sana tusimwage machozi ardhini tunamkosea Mungu 🤔🤔 Tunamueka pabaya mwenzetuu

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi77563 жыл бұрын

    mtangazaji rudi shule tn.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Rip

  • @smaihsmaih2815
    @smaihsmaih28153 жыл бұрын

    kipenzi cha watu ALLAH MREHEM?MSAMEHE UMPE MAKAZI YAKE PEPON

  • @zuwenaabrahman9913
    @zuwenaabrahman99133 жыл бұрын

    sefu kwao hakuweka mazingira mazur mpaka bara bara mbofu

  • @ibnismail8831

    @ibnismail8831

    3 жыл бұрын

    Ikiwa ww kwn imeweka mazngra mzri 2 inatoshaa sawa

  • @mohdmohd8147

    @mohdmohd8147

    3 жыл бұрын

    Ayo si yakuzungumza saiv dadaangu we vep

  • @bimsinani6426

    @bimsinani6426

    3 жыл бұрын

    ukishakuweka ww vizuri kwenu inatosha

  • @trustman8034

    @trustman8034

    3 жыл бұрын

    Waja wema sio wabinafsi wala hawajipendelei daima wanaweka maslahi ya Taifa mbele.. Maalim seif amejenga mazingira mazuri ktk nyonyo za wazanzibari na watanzania wapenda maendeleo...inatosha kwetu sisi hili ndio lakudumu..barabara majumba yatachakaa ila maono na fikra zake daima zitadumu nyoyoni mwetu.... Alipendwa bila ya uongozi.alipendwa nje ya serikali na ndani ya serikali. Alipendwa ndani ya nchi na nje ya nnchi....fikra za maendeleo kwa maslahi ya Taifa lijikwamue kiuchumi.. Kama mpaka saiv hujafaham na una fikra hizo basi unahitaji kisomo...najua hatufanini kiuelewa lila mtu na ufahamu wake..

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    3 жыл бұрын

    Mazingira mazur yanatakiwa kuwekwa akhera ndo kwako hapa dunian mapito tu....kwan unazikwa na barabara?

  • @TeamKRX
    @TeamKRX3 жыл бұрын

    Malim huyu mwengine copy

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27473 жыл бұрын

    hakuna kiongozi nilotokea kumpenda katika zama hizi kama Maalim Seif Sharif Hamad رحمه الله

  • @salmasalim6055

    @salmasalim6055

    3 жыл бұрын

    Me too wallahi 😭🤣

  • @mamymamy7938

    @mamymamy7938

    3 жыл бұрын

    Daaaa mm ndio sisem

  • @fatmakhanii1676

    @fatmakhanii1676

    3 жыл бұрын

    Allah kampenda zaidi mja wake tumuombee daima nasi Allah atupe mwisho mwema Ammin

  • @alhamiraji2546

    @alhamiraji2546

    3 жыл бұрын

    Inaumaaaa tupo upweke ilanikazi yamungu

  • @fatmakhanii1676

    @fatmakhanii1676

    3 жыл бұрын

    @@alhamiraji2546 hakika machozi hayazuiliki

  • @fatimahamisi9235
    @fatimahamisi92353 жыл бұрын

    Sefu kwao hakuna ht ghorofa....🙊🙊

  • @nacreahali9670

    @nacreahali9670

    3 жыл бұрын

    Ni ya nn gorofa!?mbn husifu kajenga msikiti

  • @rukayyarashid3840

    @rukayyarashid3840

    3 жыл бұрын

    Ndio hakutujengea gorofa kwasbb alitaka madaraka kupambania nchi yake kuwa wamoja na kuleta maendelea nk hakutaka uwongozi kwaajili ya kujenga magorofa kwao kwasbb anajua ipo ck tutaondoka na tutayaacha magorofa na tutalazwa kwenye upembe mdogo mwembamba.

  • @fatimahamisi9235

    @fatimahamisi9235

    3 жыл бұрын

    Sijasema kwa nia mbaya...nimeona tu kuwa ni mtu asiye na uchu na madaraka...musinukuu vibaya

  • @ibnismail8831

    @ibnismail8831

    3 жыл бұрын

    Sio mtu aliye n uchu wa madaraka ispokuwa uzalendo n nchi yake.... Ndo maan tulimpnda snaa

  • @yussufhussein1954

    @yussufhussein1954

    3 жыл бұрын

    @@fatimahamisi9235 usjl wajua imepita sintofaham hapo tuko pamoja my

  • @ahmedmagram1370
    @ahmedmagram13703 жыл бұрын

    tushachoka na habari hizi..bora bsi

  • @jamilambarouk4746

    @jamilambarouk4746

    3 жыл бұрын

    mcba umegusa Sana nyoyo za waliowengi stahamili litapita inshallah

  • @subiramohd1895

    @subiramohd1895

    3 жыл бұрын

    Muangaliye diamond si yumo humu si lazima ufunguwe etii ni ujinga wako mwenyewe tu ukiona kichwa cha habari jina la maalim pita tu

  • @salhanassor1077

    @salhanassor1077

    3 жыл бұрын

    Usiseme tushachoka jisemee nafsi yako..sema nishachoka..sis wenzio hatujachoka nakama unaona umechoka yanin kutizama.. siutizame yasiyokuchosha

  • @issasaidmbarouk8275

    @issasaidmbarouk8275

    3 жыл бұрын

    Innaalillahi wainaailayhi rajiun

  • @rafarafa2725

    @rafarafa2725

    3 жыл бұрын

    akaaa kwani Nani amekwambia uangaliee ovyooooo