No video
Mt. Kizito Makuburi - 150(Official Music Video)
Miaka 150 ya uinjilishaji Tanzania! Furaha ya uinjilishaji🎶🔥✨
Welcome to KMKMAKUBURI,
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
You're warmly welcome
Пікірлер: 811
Mimi Ni mkatoliki kabisa hii nyimbo inanikumbusha mbali Sana kipindi hicho Niko tabora nilikua mwenyekiti mkuu wa kwaya ya vijana parokia ya kashishi ahsanteni Sana Wana kwaya wenzag
jamani mimi ni msabato huu wimbo siwezi kulala bila kusikiliza hizi saut nzuri za Roman Cotholic mbarikiwe sana
Kiukwl nabarikiwa sana hiz nyimbo
Yaani huyu Mwl kila kazi yake huwa ni Kali sana. Hongera sana baba Bernard Mukasa kwa kazi yako nzuri. Furaha ya injili ni kushirikishana amina
Mt kizito haijawai kuniangusha mungu azidi kuwapa nguvu na imani tele
Heko Watanzania Wakatoliki! Tumsifu Yesu Kristu!
Kazi safi sana, huitazama kila siku
Duh km namuona Mr.B.mukasa duuuuh ww kwel kipajiiii baba
Dah!!!! Mkasa ni shida kwakweli Mungu akubariki sana na kwaya
Très émotionnel encore Bravo. Je ne comprends pas le swali , mais Très impressionné. Encore merci. Je suis du Togo résident en Allemagne.
Mungu atujalie aman kwaresima hii
huu wimbo jamani ni mpya kila iitwapo leo................................
Bernard Mukasa umeshushwa kutoka mbinguni kuja kumsihi Mungu duniani..!
Hii ndo top three yangu katika uimbaji...👇 1 Mt. Kizito Makuburi, 2 Mt.Kizito Makuburi and 3 Mt Kizito Makuburi. You guys are so talented and awesome... Mnanibariki sana, niko na ndoto ya kuimba kwaya hii...Mungu nipe uhai na afya Amina🙏
Hii Choir Kizito Makuburi ikiongozwa na Bernard Mukasa ni 🔥🔥🔥🔥wa kuota Mbali from Kenya but currently Niko Qatar
Wimbo mzuri sana. Viva mtunzi comrade Benard Mukasa na waimbaji. Kweli mmeutendea haki huo wimbo.
@rexartashasta2713
4 жыл бұрын
Hongereni sana soon najiunga nanyi
Najivunia kuwa mkatoliki Naipenda sana kwaya Hongera mwalimu B.Mukasa
Nishangweee.......Nishangweee....Nishangweee...nifuraha...Nishangweee kubwa....wimbo huu unanituliza moyo...heko kwenu na kwa mwalimu mkuu B Mukasa...najivunia kuwa mkatoliki
kweli wimbo nzuri mubarikiwe mungu awape nguvu
Wimbo huu unanibariki sanaaaa...Mungu awabariki Kwaya na Kizito na Wasikilizaji wote watakao usikiliza wimbo huu. Amini kwenu
Tumsifu. Yesu christu .tujichunge na corona wa Kenya
Amina, Hakika Bwana atawabariki sana, ni shangwe kwelikweli
Mungu hawabariki kwaya hii kwa zawadi ya kipaji cha kipekee cha uimbaji inatupa moyo walimu wadogo kama sisi.
Tiako be ilay hira (Madagascar) I like this song. Gloire à Notre Dieu Eternel
Kazi nzurii sitachoka kuaiangali hii kazi ya miaka 150 ya uinjilishaji
ukiacha kuimba pia wanajua kupangilia mavazi.....hawa na mererani are my best quoirs ever
It’s the tribute to the prelates for me. The 2 Cardinals and the high ranking Tanzanian officials at Vatican.
Mungu awabariki xana wana kizito nawapenda mpaka basi
Dah!!!!!! tuliusubir kwa ham kubwa huu wimbo hongereni sana na mbarikiwe sana wimbo mzuri mno
Mkasa hujawahi kosea hongera sana endelea kufanya kile mungu amekutunuku tuko pamoja
Najivunia kuwa mkatoliki....Asanteni sana Kwaya ya Mt.kizito kwa kazi nzuri
Hongera sana nawapenda sana natamani kufika dar nijumuike siku moja kwenye ibada
Jamani hawa watu wabarikiwe tu maana dah,sina cha kusema kweli
hamjawahi kuniangusha Mungu awabariki sana kwa Talanta yenu
mnaimba sana nikisikili nyimbo zennu nabarikiwa sana mungu awatie nguvu msonge mbele zaid amina nchimbi
Furaha ya uinjilishaji jubiilei furahaaaa.Asanteni sanaa Mungu azidi kuwabariki.
We Mukasa wee you're killing me. Makuburi nyie ni bora kila siku katika moyo wangu. Kaka Mushoboz nakuona katika ubora wako. Mungu awabariki sana sana.
Asanteni sana kwaya ya mt. Kizito Mungu awabariki na kuwazidishia
Mungu awajalie katika utume wenu❤
Najivunia kuwa mkatoriki jaman raha
bernad mukasa unakarama ya utunzi wa nyimbo Mwenyezi Mungu akutumie uwe mbaraka kwa wanadamu. Bwana awabariki
Kaka Mukasa nadhani umebarikiwa kipaji kuliko unavyojua. Sifa na utukufu kwa Mungu aliye juu.
@paulinamwahinda7223
5 жыл бұрын
Amen
Huu wimbo wanijaza furaha kweli....Mungu aendelee kulilinda Kanisa lake duniani. Greetings from Kenya!
Furaha ya uinjilishaji ....barikiweni sana ...I like the song ...tuwatuzeni mapadre
Miaka150yakuhusu jibilie yetu wachristu waromani katoliki tumshukurumungu kwaji bilei iyi nishangwe kubwa ongereni kwamaneno ayo mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
naupenda sana huu wimbo!!!! hii kwaya pia sijawahi zichoka kazi zake
Aisee nafurahia na ninajivunia ukristo wangu! Hongereni sana
Bila shaka ni SHANGWE!!!!! HONGERA! TENA NA TENA! .MAULANA AZIDI KUWA BARIKI NYOTE KWA KAZI NZURI. HONGERENI SANA TENA NA TENA. miye Joe Muriithi
Wooooh. Bravo Nice and Best 👍👌😊 song
Hongereni 150 sio mchezo, natumaini mmeimarika kiimani, Mungu awabariki.
Safi sana Mbarikiwe
Wow hizi nyimbo za tia nguvu moyoni mwangu ilike it
Bernald mkasa hujawai kosea hata cku moja m/mungu akupe maisha marefu uzidi kutuinjilisha kupitia Nazi zako hizi na hic mungu hakukuleta duniani bila kusudio lake nskupenda Sana
C'est fou que je regarde sans cesse cette chanson. Tellement envie de comprendre le sms véhiculé!!!!!!
@aichaabdul5844
4 жыл бұрын
Haaaaa!!!! Tu comprends quelque chose quand même! C'est notre église catholique de la Tanzanie.
Kiukweli siach kuchoka kuangalia hii Cd mbarikiwe sana Mungu awalindeee sanaaa naipend sana jamn
Mungu azid kuwabarik kwa kaz nzur
wooow...wimbo mzuri sana..nawapenda sana wanakwaya wa makuburi...naskia nyimbo zenu kila wakati lakini sitosheki...
Kwaya ya mtakatifu kizito hongereni sana na Mungu awape pumzi mzidi kumtumikia sikuzote maana kuimba ni sihemu mojawapo ya sala Mungu awabariki.
Bernard Mukasa, you are a great man in the history of Catholic faith...in Love with every single song sung by your choir(s)...This song 150 is in my blood, listening to it day and night....God bless you, God bless St. Kizito, God bless Tanzania.
@merimeelunda4158
3 жыл бұрын
Is very good
Sichoki kuiangalia nyimbo. Mungu awabariki sana waimbaji wote. R I P kadrinali RUGAMBWA MUNGU AKUPE PUMZIKO LA MILELE AMEN
SIJUI SANA ILA HII ITAKUWA NI KWAYA BEST RC TANZANIA NZIMA.
@abrahamwafula8787
3 жыл бұрын
Mukasa this is superb and wonderfully done may you all be blessed , from Bungoma Kenya
From Kenya;hii imeweza, umepikwa ukapikika. Barikiweni sana na mmiminiwe neema mzidi kuitangaza na kumtambuliza Kristu Mfalme kwa nyimbo
Hakika tuendelee kuwaombea na kuwatunza mapadri wetu
Asante Mungu kwa vipaji, smiles inapendeza sana
Ni shida huyo Mwalimu Bernard Mukasa Mungu azidi kumuinua
Nisipousikiliza huu wimbo huw naumwa kabisaaa mbarikiwe san Makuburi kwaya
Tulizoea sanaaaa uku Kenya st Cecilia arusha ajabu sasa hi choir ni moto kando ya mioto keep it up guys
When it comes to Catholic singing, KMK Makuburi leads, others follow. A trillion likes for this one by Mukasa. An angelic choir ❤💪👌👍
@onesmuskiio1544
4 жыл бұрын
It is not a competition but evangelization
@winniehall5569
3 жыл бұрын
Kwa kuimba ni kweli hizi sauti ni nyororo. Roho Zao Mungu anazijua. Real Evangelism ni Mungu anipeana- Anglia hili unielewe zaidi. THE PROTESTANT REFORMATION by Denton Bible Media.
@ambuyaambuya6907
2 жыл бұрын
You hit the point John Sadiki Ave Maria for accepting God's will to have Jesus for the world and we sing his praise for ever 🙏 🙏 🙏..........
@tumpendidi5037
2 жыл бұрын
nice voicesnice song
@davidherman817
2 жыл бұрын
Good song
My mom loves this choir too much and am planning to suprise her by kumleta huku ata Sunday moja aimbe na nyinyi... We are kenyans and yes we are coming probably December... Awaone and aimbe na nyinyi afurahie... May God bless you and keep my mom too... Tu nawapenda sana
@michaelkaranja203
3 жыл бұрын
Went there and celebrated mass for the choir.It was Great.
@sayunimollel3781
3 жыл бұрын
Kwaya yenu ni nzuri sana Nipo Dongobesh
@stevkituku6971
2 жыл бұрын
My mum loves it too. Will have to take her to Makuburi someday to join this choir for a church service
Aaaaaaw...wow amaizing...work........it well done
Najivunia historia ya nchi yangu Tanzania.Mungu ibariki Tanzania.
Kwaya iko top👌.. Mpigaji ngoma nae yuko vizuri sana💯. Asanteni kwa kutubariki kwa uimbaji mtamu sana😍.Salamu kutoka Ujerumani 🙌
Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo,Mungu awabariki sana umenibariki kwakweli hamjawahi kutuangusha
Najivunia kua mkristo natembea kifua mbele kua mkatoliki,,,,
Jaman nmebarikiwa ajabu na uimbaji huu,Mungu awabariki sana watu mnaotumia vizuri taranta alizowajalia
I am proud to be a catholic. even though am from Nigeria but is really an angelic voices may God bless all the choristers
@josephambrose2215
Жыл бұрын
You are welcome in Tanzania brother🇹🇿🙏🙏😀
@georgeyoram8638
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Je rends grâce à notre Dieu créateur!
Bernard Mukasa hakika we we ni tunda LA roho Mtakatifu nyimbo hazipoi Mungu azidi kukubariki ktk utume huu wa uimbaji
@octavinaalphonce6898
Жыл бұрын
Sana yaani
I love u my African brothers ...God less uuuuuuuuu from SOMALIA
Waauuuu nice song am blessed with the song ,Barikiwa pia Kwaaya mzima nq Ngigu Mukasa pia from Nyeri Kenya
Hongerni Sana kwaya mnapiga nyimbo za miondoko ya kisiasa kabisa,Mna Mwalimu aliyebobea kwenye muziki hivyo mna haki ya kufunika!
Laurian Rugambwa Protace Rugambwa Novatus Rugambwa Polycarp Pengo ⛪⛪👏👏 Mungu ni mwema
@esthernamulunda4479
4 жыл бұрын
Good thing
@roserynahsammy9391
4 жыл бұрын
Love the song
Wapendeza nyimbo....am so blessed...Mungu awabariki KMK MAKUBURI...
Dah nakumbuka kwenye maadhimisho kule Bagamoyo sichokag kuisikiliza hii nyimbo.
Yaani mpiga ngoma kanikosha sana Asante kwa kuendelea kumsifu Mungu kwa nyimbo nzuri RC forever 🙏🏿
@janethmshana927
3 жыл бұрын
Mpiga ngoma I salute you...nabarikiwa sanaa
Waimbaji mlo vizuri endeleeni kutuinjilisha mbalikiwe sana
Mmependeza. Mnaimba kwa furaha nyuso zaonekana vizuri. Mkasa bigup mama oswad jodeth na wengine hongereni
@janethpolle6479
4 жыл бұрын
Daaaaah kama nakuona tcha
Wow awesome voice Guys be blessed I believe in Catholic Church watching from New York 💙🙏
Mungu wetu aendelee kuwabariki wana wa Mungu ili muendelee kuifanya kazi yake ya kuinjilisha kupitia Uimbaji. Mimi ni mmoja wa wafuasi wenu.
nimeupenda sana wimbo huu uliotungwa kwa ustadi kabisa sauti nzuri wanakwaya wenye kujitolea mhanga. Hongera sana KMK MAKUBURI mnang'aa hata kuliko kwenye toleo la mimina neema 👍👍👍👍👍👍👍👍
Nakubari sana kwaya mt kizito nyimbo zake zinanikosha nafsi ya moyo.
Am proud being a Catholic... May the Lord bless those voices and grant them long lives so that they may continue evangelising
Ama kweli furaha ya uinjilishaji...miaka 150 si haba
Naitetea imani katoliki sasa na hata milele Yesu ndio ukombozi wangu
@levanialeonard6713
4 жыл бұрын
Shidea Shidea hongereni sana mpo vzr
@levanialeonard6713
4 жыл бұрын
Hongereni sana endeleeni kutubuludisha
Mungu awabaliki endleen kueneza injili kwa njia ya nyimbo
I just wish I can understand what you guys are saying but I always have this strong breeze blowing me each time am listening to this song I pray 🙏 God continue to preserve us all amen
@Catholic_Lyrics1
2 жыл бұрын
They are singing about 150years of evangelization in Tanzania. And saying how they are proud and they love their priests and nuns. They are asking the christians to keep helping the priests and to make sure they don't feel alone. They are also asking God to give them the churches grace to continue spreading the joy of evangelization
Dear friends, listening to your songs soothes my soul and fills my heart with great and lasting joy. Natamani tu wakati mmoja mtuongoze katika kwaya ya Missa Takatifu nitakayokuwa nikiongoza. Nawapenda sana nikiwasikiza huku Malaysia. Mzidi kubarikiwa na mioyo iliyojaa na furaha ya uinjilishaji.
(150)Sio Mchezo ni Jambo la Kushukuru Yesu Kristo.
@assumptermuthoki3009
4 жыл бұрын
Yes it is the time to worship [Jesus]
Mungu awabariki wimbo mzur tufurah sote miak 150ya ukristu Tanzania
@sundayrashid9851
5 жыл бұрын
Hongele kwakweli ndg zetu kwa wimbo mzr
Yaan huu wimbo imescan historia ya uinjilishaji na uongozo mzima wa kanisa katoriki Tanzania, Kazi nzur hongereni sana