Jamani ivi nikweli mungu ana chezewa ivo mataifa waso mjua mungu ndo wanacheza ivo nanyi mlio kombolewa na dam ya yesu mnacheza ivo mtaenda motoni lekebisheni step zenu uwo ni upagani kabisa injili haiko ivo kile mumacho kisema ndicho mwakifanya wenyewe
@petermgendwa1557 жыл бұрын
Tumieni stairi nziri mnapocheza mnakata sana kiuno
@davyomwera1196
3 жыл бұрын
Daudi alimchezea mungu Hadi nguo zake zikararuka, hii kidogo inawatisha🤣🤣🤣🤣🤣
@selestinokidua8847 жыл бұрын
Mungu awabariki sana wanakwaya wa kwaya ya mt Don Bosco nzovwe ..... mnacheza vizuri sana
@davyomwera1196
7 жыл бұрын
sema kudance izo style za kucheza ni poa. good work
@williamgwabala67895 жыл бұрын
Mnacheza disco si kwa kucheza huko.mnajisahau sana wakatoliki wenzangu
@franceclassic97266 жыл бұрын
Nawapongeza sana kwa uimbaji mungu awe nanyi milele
@thobiaskatoto85902 жыл бұрын
mh,tembea uone!
@djrichsingelifreva8245 Жыл бұрын
Nyimbo Inanibaliki sana
@walevelkastori33605 жыл бұрын
Jikamilishe Hongera mnatisha sana
@charlesmbwilo76545 жыл бұрын
Wakristo tusijisahau sana jaman
@nancykerubo4901 Жыл бұрын
Nice song
@mariabarnabasnchinga71033 жыл бұрын
Inapendeza sanaaaa
@rhodanukumu23242 жыл бұрын
Hongera sana
@ephrahimbadanga58075 жыл бұрын
Hongeren mengi awabaliki
@frolenziaandrea7822 Жыл бұрын
🙏
@veronicangailo76443 жыл бұрын
Nyimbo nzuri lakin mauno hayo ndio mnawaangusha watumishi
@chengelugomela94054 жыл бұрын
Baba paroko fungia kwaya hii hakuna uinjilishaji wa kukata mauno
@mpukuchicollin5038
3 жыл бұрын
Ilifungiwa hii kwayaa.. 😄
@davyomwera11966 жыл бұрын
good work
@walevelkastori33604 жыл бұрын
Kwakwer mmejitahid kuimba tatizo moja mwalim WA sitail amebugi munakata mauno.mm nimwanakwaya mwezenu punguzeni kukata mauno
@csm-kroup4758
3 жыл бұрын
Kama mtu amepewa kiuno kilaini cha kumchezea Mungu wacha amchezee na kumsifu Mungu.Hakuna aliyetoa kiuno zaidi yake kwanini wasimchezee?Ndio maana wamecheza uwanjani kwakuwa kanisani hakuna sehemu ya kuwapa nafasi ya kucheza kutokana mpangilio wa Liturjia.Kwanini waende madhehebu mengine kucheza wakati kuna nafasi ya kucheza ndani ya Kanisa?
@peacemdava39845 жыл бұрын
Mauno yamezidi
@elizabethshango9565
5 жыл бұрын
Mauno
@franknindi62465 жыл бұрын
Mnacheza vizuri, ila punguzeni style zenu za kukatika. Nimeangalia album yenu yote viuno vimezidi. Wekeni manjonjo mengine sio hayo mauno mnawatoa watu kweny mstari na kuwaza ujinga
@davyomwera1196
3 жыл бұрын
Daudi alimchezea mungu Hadi nguo zake zikararuka hii kidogo inawatisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rachelmihambo8509
2 жыл бұрын
mh ilo sasa ni balaaa waimbaji wenzangu kweli kwa mungu kugumu
Пікірлер: 30
Inafurahisha roho
Wimbo wenye utunzi wa kipekee
Jamani ivi nikweli mungu ana chezewa ivo mataifa waso mjua mungu ndo wanacheza ivo nanyi mlio kombolewa na dam ya yesu mnacheza ivo mtaenda motoni lekebisheni step zenu uwo ni upagani kabisa injili haiko ivo kile mumacho kisema ndicho mwakifanya wenyewe
Tumieni stairi nziri mnapocheza mnakata sana kiuno
@davyomwera1196
3 жыл бұрын
Daudi alimchezea mungu Hadi nguo zake zikararuka, hii kidogo inawatisha🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu awabariki sana wanakwaya wa kwaya ya mt Don Bosco nzovwe ..... mnacheza vizuri sana
@davyomwera1196
7 жыл бұрын
sema kudance izo style za kucheza ni poa. good work
Mnacheza disco si kwa kucheza huko.mnajisahau sana wakatoliki wenzangu
Nawapongeza sana kwa uimbaji mungu awe nanyi milele
mh,tembea uone!
Nyimbo Inanibaliki sana
Jikamilishe Hongera mnatisha sana
Wakristo tusijisahau sana jaman
Nice song
Inapendeza sanaaaa
Hongera sana
Hongeren mengi awabaliki
🙏
Nyimbo nzuri lakin mauno hayo ndio mnawaangusha watumishi
Baba paroko fungia kwaya hii hakuna uinjilishaji wa kukata mauno
@mpukuchicollin5038
3 жыл бұрын
Ilifungiwa hii kwayaa.. 😄
good work
Kwakwer mmejitahid kuimba tatizo moja mwalim WA sitail amebugi munakata mauno.mm nimwanakwaya mwezenu punguzeni kukata mauno
@csm-kroup4758
3 жыл бұрын
Kama mtu amepewa kiuno kilaini cha kumchezea Mungu wacha amchezee na kumsifu Mungu.Hakuna aliyetoa kiuno zaidi yake kwanini wasimchezee?Ndio maana wamecheza uwanjani kwakuwa kanisani hakuna sehemu ya kuwapa nafasi ya kucheza kutokana mpangilio wa Liturjia.Kwanini waende madhehebu mengine kucheza wakati kuna nafasi ya kucheza ndani ya Kanisa?
Mauno yamezidi
@elizabethshango9565
5 жыл бұрын
Mauno
Mnacheza vizuri, ila punguzeni style zenu za kukatika. Nimeangalia album yenu yote viuno vimezidi. Wekeni manjonjo mengine sio hayo mauno mnawatoa watu kweny mstari na kuwaza ujinga
@davyomwera1196
3 жыл бұрын
Daudi alimchezea mungu Hadi nguo zake zikararuka hii kidogo inawatisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rachelmihambo8509
2 жыл бұрын
mh ilo sasa ni balaaa waimbaji wenzangu kweli kwa mungu kugumu
@johnmwangi8706
2 жыл бұрын
Kiuno chenyewe mungu akakiumba kimtukuze