Msondo Ngoma Music Band Ajali Official Video
Africa's oldest band Msondo Ngoma Band. Msondo Ngoma Music Band (formerly known as NUTA Jazz Band, renamed Juwata Jazz Band, and then OTTU Jazz Band) is an influential and long-lived Tanzanian muziki wa dansi (Bongo Dansi). Having been established in 1964, it is the oldest active dansi band in Tanzania as well in Africa. The band began in 1964 and was originally named "NUTA Jazz Band", after its sponsor, the National Union of Tanganyika (NUTA), which was the main Tanzanian trade union. In the early years of dansi, the NUTA Jazz Band was very influential both artistically and in terms of financial organization; namely, it was one of the first dansi bands to constitute itself into a "cooperative" of salaried musicians (a model that would become widespread in the 1970s). In the 1960s, NUTA Jazz Band was led by trumpeter-singer late Joseph Lusungu and saxophonist Mnenge Ramadhani, who defined the brass-centered sound of the band. NUTA Jazz Band held its position as one of the major Tanzanian dansi bands throughout the latter half of the 1960s and most of the 1970s. In 1977 it experienced a major change in personnel, with many of its most talented musicians (including Muhiddin Maalim Gurumo and Hassani Rehani Bitchuka) leaving the band to form a new ensemble, Mlimani Park Orchestra. In 1977, the band changed its name to "Juwata Jazz", after the Swahili name of its sponsor (NUTA), Jumuiya ya Wafanyakazi Tanzania. About at the same time, guitarist Saidi Mabera became the new leader of the band. He wrote several of Juwata's hit songs of the 1980s. After Mabera, both Maalim and Bitchuka (who rejoined the band in 1991) became leaders. Muhidini Gurumo is credited with on the major hits of Juwata in the 1990s, Usia kwa watoto. The band changed its name again in 1991 from Juwata Jazz to OTTU Jazz, when the trade union that sponsored it was renamed Organization of Tanzanian Trade Unions. The band is still active as "Msondo Ngoma", performing regularly at the DCC Club in Kariakoo,Dar-es-salaam for example,and is the oldest active dansi band in Tanzania as well as in Africa. This is reflected by its motto baba ya muziki, "father of music". "Msondo Ngoma Music Band" also known as "Baba ya Muziki" means "father of Music" .
Пікірлер: 189
Who is still watching in 2024?
Anayekubaliana na Msondo katika Jan, hii agonge like nyingi
Mwanaume anapopatwa na matatizo, macho huwa mekundu kwa hasira....lakini katukatu usikate tamaa..................very true, jamani Msondo kibao hiki na vingine vingi vya Msondo vinabamba sana,ila Mungu awarehemu kwa kweli bado mnakumbukwa,makaburi yametunza vipaji vingi sana na hazina. Gurumo, TX Moshi, Said Mabera, Hassan Bitchuka, Mnenge Ramadhani, Lusungu, Muhiddin na wengine
@kombowaura9044
5 жыл бұрын
Kwely
Dah nyimbo nzur mnoo Mliotutangulia Mungu aendelee kuwaweka mahali pema peponi Amina
Ya kale ni dhahabu ,hakika ujumbe mzuri,sauti nzuri,ujumbe wenye elimu,kweli hii ni baba ya muziki,pumzika kwa amani TX mungu waondelee adhabu ya jehanam marehem wote
RIP all legends,now we lost Jumbe daah😭😭
Nimegundua wanao comment wengi wanaume Wanaume hoyeee @2018
Pengo hili halitazibika😍😭😭😭
Jumbe, Tax Moshi, Ngurumo hawa majamaa walikuwa ni balaa jingine. Napenda kusikiliza Msondo Ngoma muda wowote nikiwakumbuka. Nyimbo zao zinatia hamasa na moyo. Ahsante. Pumzikeni kwa amani.
msondo ngoma best of the best. .hawana mpinzan 100yrs
Karibu kwenye dunia ya changa moto na ndoto zisizo timia 💪Wanaume wote aluta continua ..🤙🏻never give up
Naanza kupata fundisho kwann baba yang alikuwa anipenda hii band dah R I P msondo R I P father
we have born by surprise, and we are living while we know that one day we will die and disapear, R.I.P tx moshi William, ngurumo and others, in our memory you will remain forever, msondo ngoma, the best never live lond
R.I.P TX MOSHI WILLIAM. ..GURUMO n Others We Love u. ..Old is Gold hakuna kama Msondo
@salimaasende8485
7 жыл бұрын
eugeniu
@chugaboytz5631
6 жыл бұрын
Hakita tokea kizazi kam hikii tenaa
Wanaume 2meumbwa mateso dah the best song still watching 2019
Wangapi tupoo Wote hapa 2020 na musond ngomaa like hapa pia Kma unaukubalii wimbo ngonga like Kma zote
Still watching this song, early of 2019
hawa ndo walikuwa wanaimba sahivi ni fujo na aibu tupu,wimbo raha yake uimbe ukuachie ujumbe. dah r.i.p wanamsondo.
Sikia ujumbe huu, nyimbo imetulia na inagonga ukuta, sasa diamond sijui ali kiba ah kibao hichi bana🙏🏼
SI kupenda kwako kuzaliwa Mwanaume. Chukumu kwako ni nyingi duniani. Lazima kutimiza kadhili ya uwezo wako, hata kama ni matezo, bila kilio Cha kuepa. Dr. Ogeto International
1st of January, 2023 watching from home with my family. Full of message.
Macho huwa mekundu kwa uchungu.msondo hawana mpinzani.
its remind me back when i was young boy kweli ujana maji ya moto
Dah. Msondo ngoma number 1💕💕
@norascombedule1057
5 жыл бұрын
Sanaaaa!!
Msondo itabaki ni alama ya bendi bora kwa tunzi na upigaji wa ala mungu uwarehemu wote waliotutoka aamin.
wanaume kazini hao!!!! aiseeee hawa jamaaa miaka 100. RIP wote
Wanaume wangap 2po apaa 2019
@stevek8318
4 жыл бұрын
Nakwambia tabu tupu
Old is gold.... good song leo naangalia 10/11/2022
The best song Leo naangalia hii 20/01/2020
Still listening to this song 2024 rip to all those legend 😢
Dah hii ngoma ni balaaaaaaaa hadi leo bado ni kali tu
Rest in peace huseni jumbe
Nimevunjika mguu nipo kitandn kwel huu wimbo waliimba wanaume tumeubwa mateso
2018 bado naiangalia hii ngoma haijapoteza ladha yake
Daah nyimbo bora kabsa miaka 100 zaid zitadumu in 2018.11.29
Jumbe shikamoo, Tx wewe huna mbadala wala mpinzani,Gurumo pumzika kwa Amani,msondo njie ndie baba wa muziki Tz
@andreachitanda5958
5 жыл бұрын
Mziki unaongea
@jairosmnaya3674
Жыл бұрын
22/05/2023, relevant message to our life
@jairosmnaya3674
Жыл бұрын
Ukipatwa na jambo, usiende kwa waganga, muombe Mungu akusaidie!
🤗🤗kula chuma icho
Wasela nondo wa zamani hao! Pumzikeni kwa amani wazee wetu.
R.I.P waliotangulia msondo ndio mlikua the best
Tutawakumbuka sana kwa jumbe zenu nzuri
Takes me back in time to salaams za adhuhuri kbc idhaa ya taifa na Charles omuga kabisae
@rafaelsimba6429
4 ай бұрын
Mention the year please,
Legends wetu hao dah Suleiman Mbwembwe, Momba, Tx moshi, Ngurumo, Jumbe, Mabele, Romario
It's January 2023 but this song still reminds me 2007 while in Daresalam Kariakoo.....legends never die....
Hawa kweli ndio baba ya muziki,Mungu awarehemu
Still maisha ya mwanadamu ni mafupi hapa Duniani, R I P mwamba Moshi daima Nasikiliza Hii nyimbo kwa majonzi eheee Anko hakika tutakukumbuka daima
@danielkaingu6645
Жыл бұрын
Natizima kutoka Pwani ya Kenya ama kweli nakumbuka Mkapa Hall pale jijini Mbeya wakati mukitumbuiza mashabiki wenu nikiwa mmoja wao TX Moshi na Jumbe mulale pema peponi
@danielkaingu6645
Жыл бұрын
Sauti za Ninga ama kweli wa Tanzania muna vipaji vyautunzi hongera
Msondo ngoma band, the then East Africa's best.
sina lakusema lakini TX mosha na wenzie ni majembe na hawata sahaulika kamwe
Enzi hairudi nyuma vitu adimu kama hivi vimepita
kazi ni kazi jamani. Msondo walikuwa hawana upinzani Africa maybe duniani kote. sikiya wimbo jamani
@kayomboedward8009
8 жыл бұрын
Yaan mpaka leo bado nyimbo zao zinahiti
@erickmakundi5278
6 жыл бұрын
Sikinde ndio mabigwa wa muziki Tanzania.kapekue kumbukumbu za Rtd.Msondo nao wakali kinoma.
Bendi bora kuwahi kutokea ktk huu uso wa dunia
@rafaelsimba6429
4 ай бұрын
Sio kweli, bendi Bora hapa Africa ni TPOK jazz ya Franco, Hii ni bendi Bora kwa hapa Tanzania mkuu. Maoni yangu
Old is gold
18/04/2019 bado inaishi
Nani mwanaume mwenzangu shida na stress zimemkaba akakumbuka haka ka wimbo. Kamfariji
duuh! ni kwel yakale ni dhahabu, mungu amefanya kazi yake.
RIP JUMBE
Here for Jumbe, RIP Hussein Jumbe
2024 like plz jaman
Wapi Mabera!!!!!1
Love this song.
Classic music
Hakuna mwanaume asiye ujua huu wimbo.
Jamani mimi sandala wanaume kwel tunapambana kila aina
wasafiii 😀😀😀😀
Hz nyimbo tamu sana znaujumbe na znatia hamasa
wanaume 2019
wazee in balaa awa
Aliyeona style ya shakushaku Kama Mimi ni Nani tujuane kwa like plz 2021 still watching this song
Yote wanayosema kwenye wimbo huu ni kweli tupu
Still watching 2020
Dah,,, mungu awArehemu
Daa kitambo sana kweli
still watching 2024
Ukizaliwa mwanaume
Furahia mziki mzuriii 23.9.2022
2020
Hussein Jumbe anajua kukatika SANA
Nice music very nice.
Congolese 😘🇨🇩👈
R.i.p tx ngurumo na wote waliotangulia mbele ya haki hakika tutawakumbuka
huu ndio mzik saa hawa waimba matusi
Kwa kwel mko vzr
Nyimbo za enzi hizo nazipenda
Daaaah nyimbo hazichuji miaka 1000
awesome history!thank you!
@jumaabdala2356
5 жыл бұрын
Kiukweri lna ujumbemzurisana kurikizazikipia sichochote nikuza vumbi kwenye matamsha chamana hakuna
Mso l Msondo noma
safisana shidakwa wanaume ndoukubwa love sog
Nana anatazama na mm leo 2023😂
ewe Mola awape kauli thabiti inshallah
Asanten bado tunawakumbusha kwa mwimbo nzuri ya huruma kabisha.
Kwa kweli kibao hiki kinanipa nguvu ajabu na kufanya KAZI bila mchoko😁😄
2018,,,hao ndio WCB WA zamani..kama unakubali like
Msondo hii hatarii
Safi sana
ndio maana nilipopatwa na marazi nililia nilijua familiya yang itaasirika
Nice old is gold
nipo kwenye gar apa naenda burund ni mzik mnene aman kwa madereva wote!!!
Huyo ndiyo mzee Mabela
nawakubali sana enzi hizo
Asante moshi wilium!!!! msondo ngoma!!!
@hamadwajna4411
6 жыл бұрын
BANYAI HASSAN mambo
@hamadwajna4411
6 жыл бұрын
BANYAI HASSAN kwema
🎉🎉