Msalabani Pa Mwokozi
Музыка
PASAKA NI KUKUMBUKA KIFO CHA YESU MSALABANI GHARAMA YA WOKOVU WETU NA KUSHEHEREKEA UKOMBOZI WETU TOKA DHAMBINI.
Isaya 53:5,7
[5]Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu,
Alichubuliwa kwa maovu yetu;
Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake,
Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
[7]Alionewa, lakini alinyenyekea,
Wala hakufunua kinywa chake;
Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni,
Na kama vile kondoo anyamazavyo
Mbele yao wakatao manyoya yake;
Naam, hakufunua kinywa chake.
1 Petro 2:24
[24]Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.
Пікірлер: 8
Amen.nabarikiwa sana na nyimbo zako.
Your song's are a blessing to many..
Thanks so much mtumishi,you always make my day after a hard day here in Saudi, God bless you and your family,more songs please
Asane kwakutuandalia Pasaka ❤❤❤
God bless you brother I have been following since90,s neema ya Mungu ikutoshe
Munishi tuma Nyimbo hizo kwenye mutandao zako za zama zakale
Huu wimbo ni albamu nambali ngapi?
@nelsonragor7902
3 ай бұрын
Five