Mrisho Mpoto X Harmonize - Nimwage Radhi (STUDIO SESSION)
Музыка
For Bookings contact : bookharmonize@yahoo.com
Call +255755101070
Follow Harmonize on:
Twitter : / harmonize_tz
Facebook : / harmonize255
Instagram : / harmonize_tz
Copyright ©2018 WCB WASAFI .All rights reserved.
Пікірлер: 408
mrisho mpoto unanidham sana ndy mana kazi imekuwa nzur !!Hormonizer ni lulu ya tanzania asee kaz nzur sana kwel ukikubali kujifunza lazima usogee mbele!! gonga like kama unakubali nilicho kiandika!!
@rattochacha6402
3 жыл бұрын
Nakbal konde boy
Producer huyu simfahamu jina lakini naona makali yake..mpatie like hapa Kwa kazi yake nzuri🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
@amoctheboy9649
6 жыл бұрын
anaitwa Bonga kafanya kaz ya Diamond Niache,lavalava Utatulia....Eddy kenzo na Harmonize PULL UP
@josephnjoguplatnumz6646
6 жыл бұрын
Amoc Theboy mkali sana huyu dogo. Mimi nimemzoea liezer
@richardmsuha4658
6 жыл бұрын
Josebrown Bongo
@barikichichimu3502
6 жыл бұрын
anaitwa laizer
@isaacnewtonajodoh4718
6 жыл бұрын
Josebrown Bongo guy how far
Lakini huyu jeshii kweli anaweza kunature vijana kwa wazee mpaka watoto mungu saidia huyu jeshii is a ⭐
Aliyegundua harmonize anaongea kama mondi tujuane
@sunstarboy4682
Жыл бұрын
Kweli kabisa
yaani harmonize bwana, huyu jamaa hata akiwa WCB alikuwa na studio yake, producer wake, dj wake na team nzima ya kondegang humo WCB ndani. hii ndiyo tofauti ya harmonize na wasanii wote waliosainiwa WCB
Mmakonde na. Mjomba like hapo
Km umeona Kakonyagi ka kupandishia Mzuka Gonga like
kweli harmo alikuwa mpole hapa, bangi imemfanya awe wa hasira na mbishi kwa rafikiye Dangote....go be friends with your former boss Hon. Konde. much love.
Those days konde waa so thin 😅. Love from Kenya 2024
Mjomba mpaka jasho,daa kweli kuandaa wimbo ni kazi sana,nani kaona konyagi na sprite pale mezani
@chilembatvtz2724
3 жыл бұрын
👆🏿
@DJ_fortyninerKE
10 ай бұрын
😅😅😅
@bajutaboy7588
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@bajutaboy7588
3 ай бұрын
Muziki ni kazi kama kazi Zingine pia...😂😂😂😂😂
Milikutana mafundi aiseee mjomba yupo faster kutunga manenoo doooh ila nmependa direction yako harmo kwamba fanya ivi toa hiki malizia hiki uar de best trust me
@boazmasinde2764
4 жыл бұрын
Chonjo
The producer is so talented, Much respect from Nairobi Kenya
Harmonize big boss nakuomba mtafute mjomba mtoe goma jingine 🙏🏼🙏🏼
Kama umeona konyagi gonga like
2024 tena nineirudia❤❤❤❤
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz kumrinda kumsimamia kumuepushia kira ririrobaya na renderea kuimarisha afya yake na WCB wote
Producer heko very young!!!jamani mjomba is big bird!!!! Nyie very lucky to have him kwa studio mcheshi huyo jamani....love you mpoto
Much respect for Mrisho Mpoto..one of my favourite African poets. Much love and respect from a kenyan living in Norway🤩
HARMONIZE genius sana blessng na mrsho mpoto alikubali kujishusha ili ajue zaid
Harmonize is the best musician Tanzania ever had... His songs are the best, they can be listened for more years without fading 🎉🎉🎉🎉🎉
Mjomba talent makini mashairi unayatoa studio hapohapo
KONDE BOY MKALI WA HII KAZI....MPOTO SALUTE!!!
Wow first one to comment ... Likes zangu
@stuartkudeba
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eK5sx7acqJO9qto.html
Nakupenda mjomba mrisho mpoto❤❤❤
Hakka sna ubsh kwny hii nymbo hakka nmeipenda sn na ushlkiano wenu hakka nmeipenda sn one love
Harmonize amevaa tena ile suruali ya mistari diamond yukwapi
@leonardmavele183
6 жыл бұрын
Nestory Msacky Alikosa location kwaajil ya iyo sual haa haaa
@mayco-channel__1
6 жыл бұрын
😂😂😂 eti suluali
@mfalmegideon3987
6 жыл бұрын
🤣🤣😂🤣🤣😂🤣🤣
@khadijajuma4870
6 жыл бұрын
Unalana wewe
@nestorymsacky6838
6 жыл бұрын
Laana ya nini tena
Naona mjomba hicho Kifua haitaj gym, kaz nzur mjomba harmonize
Dah harmonize fundi sana aseee🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽2021
Mjomba naona unashushia na tanzania konyag hla nilishawai kwenda kwenye studio moja hv nkakuta kuna bango la onyo ustumie kilev chochote kiwe cha kuvuta kunywa au kutafuna nkawaza hv wasanii wataweza kweli
Dah harmonize unaakili nyingi zakufikili broo kaza ndungu yangu ipo siku utakuwa namba moja bongo
Ka konyagi mezani, na 7 juu
Kazi nzuri pongezi sana kaka zanguni, kwakweli mashairi ya nyimbo zako yananipa uledi was kiswahili , congrats
Harmonize i likes your songs and dance floor am in Mt Kenya region.
Harmonize hapa alikua mzuri sana handsome boy❤❤
nguvuu ya konyagiii safi🍾
Mnaweza tembo BiG up KondeBoy"!!Mungu Aku Ongezee Baba Lao.. #From Botswana Boy natamani Ufanyanye "Show" Botswana Mungu Akipenda sukumoja tuu Watswana wasikie Music Yako...Mm Naishi zangu South Africa..Napenda music Yako Sana Sana
Kulirudia neno "Naomba" Kwenye Mstari wa Mwisho Kwa Upande Wangu haikukaa Sawa naona kwenye Mstari wa pili angetumia neno "Niacheni/Acheni Nichape Lapa" Ingekuwa Bora zaidi. NI MTAZAMO TU!
@njashiclassic4
3 жыл бұрын
we tunga yako🤣🤣🤣
Nimekubal harmo ww nouma sana ndo hakika WCB ni nyumba ya vpaji
ebwan producer safiiiiiiii
Waziri anaekuja ni Rajabu A.K.A Harmonize.
Aisee mrisho na harmonize mpo juu sana..bonge la hit
kumbe kuna kazi nzito hivyo, du kweli mnastaili kuitwa wasanii
Harmonize kakate nyama za utumbo na wewe uwe mwembamba tena.. Ulipendeza ukiwa hiv
Mrisho mpoto❤
Jeshi is such a vibe💯..big up bro👊🏽🔥9/2023
Natamani harmoniz angefanya ngoma na mjomba tena jamani mana dah sio pw
Mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi WCB
@kinistarboy8119
5 жыл бұрын
By
There are my guest of honor in spirit of music
Mpoto alikua aandiki vinatoka kichwanii kaaah
BADO NAKUMBUKA KWA SANA Wacha TEMBO aitwe TEMBO
broo kazi nzuri mung akutangulie shikamo wcb
Product of Team work Love&Respect
Konde boy hongera sana uko vzr
Uncle ayo maneno niyenyewe kama anavyo sema tembo Itapigwa katika maalusi yote kama Happy birthday inavyo pigwa
Producer noma ako juuu sana
Uyo producer isea noma ...ila konyagi pia duuh
Mbona hii ngoma najua ameproduce lizer,sasa namuona producer mwngne2
@EJR20
3 жыл бұрын
Art work yoyote inaweza kuwa na producer zaidi ya mmoja, wenda yeye ali play a part when composing the music, that makes him a producer too
keep up that great music coming brothers this is Alqaeda Kraft from South africa
Nakupenda mjomba unatabasamu tu mda wote 😘😍😘😘😘
Sikujua Harmonize ako vizuri kiasi hichi, do this, don't do that....
Hakika imetulia xn bonge la jingo
Great rep. from Kampala __ Uganda
Hamonz kaka unatoka lini huu mzigo nimeukubal
Shikamoo mjomba mambo ni fire🔥🔥🔥
Mbona producer yupo kavu sana yan hana habari hajacheka kabisa
Eu até hoje sinto saudades desse tempo 🇹🇿🇲🇿💪
Mjomba mbona kaa umevaaa dera
This has been my best song since the beginning
Nilichokua sijui ni kwamba KONDE BOY kahusika kwa ideas Hadi baadhi ya mashahiri kwhy 55% ni harmo
Hata kupima tezi dume nn hatari sana!!
Unyama❤️
watu wanaangaika ku Record jamn daaah ila kazi zur xana hongereni xan
Producer is so cool
harmonize Ujuiii kucheka nee broo
Mjomba mpaka kijasho cha konyagi nakiona
Huyu ndye diamond anayefata 2020
Nipeni jina la huyu producer
@makytv1687
5 жыл бұрын
Nizo Platinumz Tz Anaitwa Bonga
@muddydaffy1548
5 жыл бұрын
Hasa b au bonga
Harmonize nakupenda Sana
@abdallahjuma7780
5 жыл бұрын
Nancy Biwott kwer
@kajugusworldwide9691
4 жыл бұрын
Tumwage radhi
Bonga upo wapi ulijichanganya kutoka kwa harmo
Nakubali sana mrisho mpoto ft harmonize
Big up sana ..kwa kuj2ma huko mafanikio mali yako
Uncle wa Tanzania nzima .. mjomba wewe ni shida. Mistari inashuka papo kwa papo..?
Naona nyagi mezani apo
mjomba nyagi iyo VP INA kupeleka mbio!
Mjomba anatandika Konyagi hizi kazi wakati mwingine uwe out of mind.
Aiseeh nouma sana 🔥🇶🇦
kumbe kuimba kaz ngum mbaka mjomba jasho inamtoka
nani anakula konyagi kati yenu
I love this session
Kazi Mzuri wa Kukaya
Hiyo ni fire
Mpoto upo vizr unatunga papo kwapapo unatisha
Am so into tz music one love from ug
NAPENDA SESSION ZAUSIKU SANA.. KONDE BOY AND MAKONDE LEGEND😎
konyagi kumbe inauwezo wakutoa mziki mzuri hivi?? asante mjomba
@mfalmegideon3987
6 жыл бұрын
horest sawaya 😂😂😂
@mtumishiwake4006
6 жыл бұрын
Konyagi ka buster bana ndio jicho full brast kaa kibajaji
Iko poa saanaaaa
Noma Sana akuna rahisi
Aisee Mungu awalinde WCB
Uyu prodyu anaitwa nan mpishi mpya uyu jameni
huyu producer anaitwaje aisee nataka nikarekodi na mimi