Mrembo avunja UKIMYA "DIAMOND kanigombanisha na HAMISA MOBETTO/Kanuna/ANISAMEHE naomba"
Ойын-сауық
Mrembo Priska Kishuda amemuomba radhi mwanamitindo na mfanyabiashara Hamisa Mobetto baada ya Hamisa kumkasirikia kisa kuwa karibu na Familia ya Diamond Platnumz. Priska anasema kuwa hapo awali alikuwa mtu wa karibu sana na Hamisa ila ukaribu huo ulikufa baada ya Hamisa kujua kuwa mrembo huyo ameanza kuwa karibu na familia ya Diam
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#HamisaMobetto #DiamondPlatnumz
Пікірлер: 7
Huyu binti anahitaji sana kujiweka na MWENYENZI MUNGU KTK IBADA., ili ageuze TABIA YK YA KUCHANGANYA MAADUI. PRISCA UNACHOTAKIWA NI KUELEWA KUWA TAMAA YK ITAKUFIKISHA KWENYE MAUTI😢🙄
Akili ni Mali nimemaliza 😅
Sasa aliomba msamaha wa nini kama hajui kosa? Kuna tatizo mahali hapaa
Uyo miss ana udugu na mzee wa utopolo? Yule shabiki wa yanga😂😂
Inaonyesha kuna shida
Mnafiki huyo alimwambia hamisa mtoto sio wadai
Elezea vizur ww, kwann waficha ficha