Mrembo avunja UKIMYA "DIAMOND kanigombanisha na HAMISA MOBETTO/Kanuna/ANISAMEHE naomba"

Ойын-сауық

Mrembo Priska Kishuda amemuomba radhi mwanamitindo na mfanyabiashara Hamisa Mobetto baada ya Hamisa kumkasirikia kisa kuwa karibu na Familia ya Diamond Platnumz. Priska anasema kuwa hapo awali alikuwa mtu wa karibu sana na Hamisa ila ukaribu huo ulikufa baada ya Hamisa kujua kuwa mrembo huyo ameanza kuwa karibu na familia ya Diam
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#HamisaMobetto #DiamondPlatnumz

Пікірлер: 7

  • @vickykapama8386
    @vickykapama83862 ай бұрын

    Huyu binti anahitaji sana kujiweka na MWENYENZI MUNGU KTK IBADA., ili ageuze TABIA YK YA KUCHANGANYA MAADUI. PRISCA UNACHOTAKIWA NI KUELEWA KUWA TAMAA YK ITAKUFIKISHA KWENYE MAUTI😢🙄

  • @user-kg7yq3on9j
    @user-kg7yq3on9j2 ай бұрын

    Akili ni Mali nimemaliza 😅

  • @fetty_sarah__
    @fetty_sarah__2 ай бұрын

    Sasa aliomba msamaha wa nini kama hajui kosa? Kuna tatizo mahali hapaa

  • @swalehehamza9636
    @swalehehamza96362 ай бұрын

    Uyo miss ana udugu na mzee wa utopolo? Yule shabiki wa yanga😂😂

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu32912 ай бұрын

    Inaonyesha kuna shida

  • @user-et6tc2wt8m
    @user-et6tc2wt8m2 ай бұрын

    Mnafiki huyo alimwambia hamisa mtoto sio wadai

  • @Mohaa4309
    @Mohaa43092 ай бұрын

    Elezea vizur ww, kwann waficha ficha

Келесі