Moto umeendelea kuteketeza msitu wa Mlima Aberdare kwa siku 14

Moto ambao umeendelea kuteketeza msitu wa mlima Abedare kwa siku 14 na kuharibu zaidi ya ekari 40,000 za msitu huenda ukadhibitiwa katika muda wa siku mbili zijazo. Maafisa wa shirika la huduma kwa wanyama Pori KWS hata hivyo wamedokeza kuwa athari za moto huo zitadhuru wanyamapori hasa kutokana na joto la moto ambalo limekausha baadhi ya vyanzo vya maji.

Пікірлер: 28

  • @elishajoshua7056
    @elishajoshua7056 Жыл бұрын

    14 days?? How lazy is the authority responsible for this?? Bure sana

  • @kipkorirsigei7337

    @kipkorirsigei7337

    Жыл бұрын

    Aibu Sana,,,they are not prepared

  • @stephen-S7n
    @stephen-S7n Жыл бұрын

    Kenya inakumbwa na sarakasi nyingi sana kupi mambo yameenda kombo?

  • @nicholasmutunga4587
    @nicholasmutunga4587 Жыл бұрын

    Fire is a sign of judgment

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 Жыл бұрын

    Ati karibuni

  • @gemadasent
    @gemadasent Жыл бұрын

    Wenye wanashiriki kwa kuasha moto kwa misitu, wajue Mungu si Athmani. Kulipa watalipia tu kwa wakati wake ata wasiwe na haraka wala wasiwasi. There's a God in Heaven who hears Crying nations and mind you, he is not deaf nor dumb.

  • @254collins
    @254collins Жыл бұрын

    2 Chronicles 7:14, if my people, who are called by my name, will humble themselves and pray and seek my face and turn from their wicked ways, then I will hear from heaven, and I will forgive their sin and will heal their land.

  • @captainzorro1121
    @captainzorro1121 Жыл бұрын

    Adhabu za kupitisha ushoga Kenya

  • @namasakawanyera3250
    @namasakawanyera3250 Жыл бұрын

    All is not well in kenya.

  • @sankofaman4112
    @sankofaman4112 Жыл бұрын

    Haya, fungeni macho tuombe sasa

  • @thetuition-beereinforcemen1725
    @thetuition-beereinforcemen1725 Жыл бұрын

    14 days is a loooooooooooooong time.

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 Жыл бұрын

    Shida

  • @Martin-cu1uo
    @Martin-cu1uo Жыл бұрын

    Hii waulize Gachagua......?

  • @saidmtsonga5003
    @saidmtsonga5003 Жыл бұрын

    14 days now, waa

  • @kenyazuela7233
    @kenyazuela7233 Жыл бұрын

    Tuliomba mvua ⛈️ ama moto 🔥. Kenya is cursed

  • @arnoldmwaisaka8459
    @arnoldmwaisaka8459 Жыл бұрын

    14days???

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 Жыл бұрын

    Ndo mvua isinyeshe kwenyewewe tayari Ni kenya njaa

  • @kemetancientafrica
    @kemetancientafrica Жыл бұрын

    Gachagua ako wapi mtu wa mlima?

  • @Godsfavourite.1507

    @Godsfavourite.1507

    Жыл бұрын

    Huyo ameshiba nimeskia akisema alirudishiwa pesa zake so hii sio shida yake

  • @gloriaamase9764

    @gloriaamase9764

    Жыл бұрын

    GACHAGUA ANAKULA MAHINDI NA RUTO😁

  • @nicksonotieno3397
    @nicksonotieno3397 Жыл бұрын

    lazy government with lazy leaders

  • @lizm3813
    @lizm3813 Жыл бұрын

    Government of no action, only talk talk. Campaigning instead of going to put off the fire. Save our environment.

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 Жыл бұрын

    Nonsense

  • @kakaijunior1216
    @kakaijunior1216 Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @zaveriamwai763
    @zaveriamwai763 Жыл бұрын

    No helicopters dat can assist with foam or water🙄💔

  • @scarletsimpson4807
    @scarletsimpson4807 Жыл бұрын

    sabotage