Moto umeendelea kuteketeza msitu wa Mlima Aberdare kwa siku 14
Moto ambao umeendelea kuteketeza msitu wa mlima Abedare kwa siku 14 na kuharibu zaidi ya ekari 40,000 za msitu huenda ukadhibitiwa katika muda wa siku mbili zijazo. Maafisa wa shirika la huduma kwa wanyama Pori KWS hata hivyo wamedokeza kuwa athari za moto huo zitadhuru wanyamapori hasa kutokana na joto la moto ambalo limekausha baadhi ya vyanzo vya maji.
Пікірлер: 28
14 days?? How lazy is the authority responsible for this?? Bure sana
@kipkorirsigei7337
Жыл бұрын
Aibu Sana,,,they are not prepared
Kenya inakumbwa na sarakasi nyingi sana kupi mambo yameenda kombo?
Fire is a sign of judgment
Ati karibuni
Wenye wanashiriki kwa kuasha moto kwa misitu, wajue Mungu si Athmani. Kulipa watalipia tu kwa wakati wake ata wasiwe na haraka wala wasiwasi. There's a God in Heaven who hears Crying nations and mind you, he is not deaf nor dumb.
2 Chronicles 7:14, if my people, who are called by my name, will humble themselves and pray and seek my face and turn from their wicked ways, then I will hear from heaven, and I will forgive their sin and will heal their land.
Adhabu za kupitisha ushoga Kenya
All is not well in kenya.
Haya, fungeni macho tuombe sasa
14 days is a loooooooooooooong time.
Shida
Hii waulize Gachagua......?
14 days now, waa
Tuliomba mvua ⛈️ ama moto 🔥. Kenya is cursed
14days???
Ndo mvua isinyeshe kwenyewewe tayari Ni kenya njaa
Gachagua ako wapi mtu wa mlima?
@Godsfavourite.1507
Жыл бұрын
Huyo ameshiba nimeskia akisema alirudishiwa pesa zake so hii sio shida yake
@gloriaamase9764
Жыл бұрын
GACHAGUA ANAKULA MAHINDI NA RUTO😁
lazy government with lazy leaders
Government of no action, only talk talk. Campaigning instead of going to put off the fire. Save our environment.
Nonsense
😂😂😂
No helicopters dat can assist with foam or water🙄💔
sabotage