MKE wa JOEL LWAGA atamani KULIA Live, Kwa Uchungu asikitishwa na uvumi wa kuvunjika kwa NDOA yake
#JoelLwaga
Жүктеу.....
Пікірлер: 180
@drvidah70302 жыл бұрын
Huyu dada kuna kitu anapitia...it seems amehifadhi vitu rohoni .pole mwaya
@celinamgundoi84202 жыл бұрын
Jamn waja tupunguze maneno halafu km ishu ndoa hakuna ndoa isiyokua na changamoto na pia km mnampenda kwel pigen goti na muwaombee wapendwa wetu kuliko kujaji na kumuhukumu mtu pia hatuwezi jua km anauchungu moyon ama furaha hyo ni siri yake mwenyewe kikubwa tupunguze kuhukumu tusije tukahukumiwa sisi.
@julytito38912 жыл бұрын
Haya maisha ya ndoa we yaone tu kwa wenzako yakija kwako ndo utaelwa vzr ,,Mungu aiponye ndoa jmn zinamambo mengi san
@mathiaszakaria70522 жыл бұрын
Jamaa ana mke mzuri Sana Mungu aibariki ndoa yao
@dixminderjngao10562 жыл бұрын
JOEL LWAGA ndo una mke mzuri kiasi hiki❤
@beataselestine586 Жыл бұрын
Neema ya Mungu inatosha Sana kwenu... endeleeni kumtegemea Mungu Sana ktk ndoa na huduma pia Mungu Ni mwema Sana ..🙏🙏🙏
@mbalilax1622 жыл бұрын
Her facial expressions tells the real thing she's passing through, far different from her words, the energy she's using to convince herself everything is clear, it's not much enough to stimulate her body language...may God encourage her, something's wrong somewhere😔
@mercysheshikihumba16702 жыл бұрын
I love Joel lwaga songs 🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤🤗🤗 😂naweza kuwa msaidizi wake ,bure bila malipo
@marthasimbila81842 жыл бұрын
BEATIFUL LADY...Hana shida yoyote hajazoea tu interview
@violettemitchel6772
2 жыл бұрын
Na mie nahisi hivyo....sijaelewa wanaosema Ana stress
@magdalenasilasmasayanyika24012 жыл бұрын
Bint mzuri mwenye hekima na busara kajibu kwa stara zote hongera Joel umepata mke bora nasio bora mke
@zuwenazuwena77642 жыл бұрын
Huyu dada anaficha vitu moyoni mpaka sauti inadhihirisha nyieee daaah
@typbhjk786
2 жыл бұрын
Nimecheka kweli embu tafuta interview za nyuma kabla ya haya uone ongea yake ndio uje ucoment tena
@sinyoritamoha1629
2 жыл бұрын
Hajazoea camera tu, ukimulikwa kwa camera lazma uwe na kiroho dunda, ukiwa na machozi ya haraka unaweza kulia kwa hofu😂
@millymack13702 жыл бұрын
No make up and still beautiful
@joanwakesho33782 жыл бұрын
Body language she is not okay
@mariasixmund7964 Жыл бұрын
She is so beautiful Mungu amtunze
@happinessmillanga9822 жыл бұрын
Unaonekana unamachungu sana kila unachoweza kupitia Mungu anajua unauwezo wa kuyabeba
@araphatimura79702 жыл бұрын
My brother Joel napenda San kaz zake zinanibaliki San nyakat zot mungu akubaliki nafamilia yako
@endeshyamat87282 жыл бұрын
the lady is cute Mungu akutunze dada.
@mamafranjovlog722 жыл бұрын
Indeed beautifully lady
@nellyshivere42672 жыл бұрын
She is bitter over something,.. Body language speaks volume. But God is good nothing is impossible with Him
@neemagoodluck4401
2 жыл бұрын
Sure
@JanneleP
2 жыл бұрын
I sense that energy as I start watching ..whatever its ..may God heal her maana people fight battles they never tells anyone
@nemajaquecene91672 жыл бұрын
Karembo mashallah ❤️
@lilianjeremia10242 жыл бұрын
She so pretty 🤩😍😍
@elizamwaikasu43672 жыл бұрын
Ana uchungu mwingi moyoni..anatakiwa kulia kwa nguvu zote kupunguza sumu
@stellajoseph6235
2 жыл бұрын
Unahisi ni wa ndoa au mengineyo
@tedymwandara5480
2 жыл бұрын
@@stellajoseph6235 Ni ya ndoa ndio.Haiwezekani uvumi ndio asikie hivyo
@rahesterraester8450
2 жыл бұрын
Yaani
@queeniloge3677
2 жыл бұрын
Kwani aliwahi kuwaambia ana uchungu na ndoa yake???
@winnifridaashery8187
Жыл бұрын
@@queeniloge3677 Nashangaa
@maidamwaipopo96032 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya kama kujaza vitu moyoni
@magiehermess9949
2 жыл бұрын
Wee acha tuu. Mwisho ni BP
@hamoudcreator63432 жыл бұрын
Mbona kama kuna jambo ivi machoni mwake☺️☺️
@estherminnahboaz6956
2 жыл бұрын
Wengine wahajazoea ma camera sijui kuhojiwa mbele za watu..amejibu vizuri na yupo so bright na classy👌
@m.mmarckus6298
2 жыл бұрын
@@estherminnahboaz6956 kweli kabisa
@maluumaluu8516
2 жыл бұрын
Kabisa Ana kitu moyoni
@magrethelia10852 жыл бұрын
Akiiii She's not Okay 😧😧 Mungu Amtie Nguvu
@anicyaedward56052 жыл бұрын
Wooooh mrs Joel we love you 😍
@angellugendo33732 жыл бұрын
Eti acha kuzingua kaaaah?
@brandsmedia48612 жыл бұрын
Hayupo sawa huyu mtumishi🧑🦯
@lilianestephanie7881
2 жыл бұрын
Ilaa😂😂😂😂😂
@zabibuamissi11412 жыл бұрын
Wangekuja wote kwa pamoja ingependeza zaidi
@najuf80212 жыл бұрын
Kadada kazur nahakana hata meakup
@janembalinga70742 жыл бұрын
Hongera dada uko na maisha privacy mpka raha siyo kama wengine
@esterntandu19992 жыл бұрын
Hata Kama anachangamoto kwenye ndoa yake ndio ayaseme mtandaon?
@prettynesspastory31112 жыл бұрын
Real likitajwa jina Joel moyo wake unaugulia maumivu makari ukimwangalia vzr hayuko sawa!!
@user-hl4rw9xe3u2 жыл бұрын
Pole wifi wanadamu ndivyo walivyo kusema uongo
@esterjacob29782 жыл бұрын
pole my dia,keep being strong...God is Faithfully.
@baysuraoman79102 жыл бұрын
Mtihani
@tullyibrahim80982 жыл бұрын
ni mzuriiiiiiiiiiiii mpaka mzuri tena
@ericksonpreacher5472 жыл бұрын
Good and lovely
@chani_tayra_official18602 жыл бұрын
She's not okay 😢😢😢😢
@mhomboedward72002 жыл бұрын
Esco Donald mzee wa masuati kutoka msamaria Choir
@musamalaba6401 Жыл бұрын
Dada ana hekima yake, hata kama kuna magumu nyuma yake sisi hatujui, ila tunasema kile tumekiona,
@janepatrickmesso748710 ай бұрын
Mungu aponye ndoa zetu jmn😢
@asnathmwaipopo68772 жыл бұрын
Congratulations mamy MUNGU azidi kuwatunza vyema katika maisha yenu ya ndoa. 🙏 na azidi kukupa uvumilivu huohuo uliokuwa nao.😘
@mamajaphety16242 жыл бұрын
mdada anaonekana hayupo sawa kuna kitu nyuma ya pazia
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Kweli huyo Dada hayupo Sawa kabisa moyo wa mtu ni kichaka wanawake tuna beba mizingo Sana moyoni
@barakanatus5676
2 жыл бұрын
Fact
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
@@sweetluc2660 hasa alipokua anasemq mumewe ni mtu waaina gani katak kulia
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 Acha tu a nacheka usoni tu huyu Dada moyoni ana majereha
@habbyhalawa52662 жыл бұрын
Ur not happy Dada poleee
@mariagrayson54142 жыл бұрын
MBNA anataka kulia
@rebeccasamuel3563
2 жыл бұрын
Kumbe umeon dear
@keziahgitonga6702 жыл бұрын
Excellent questions and pace. I like how she answered the questions alot of wisdom, grace. She's very personable
@jojosky3372 жыл бұрын
Mzuriiii sana
@lucygodlove88382 жыл бұрын
Body language.....mmmmh something is not right.
@shiplegcm49482 жыл бұрын
Anatetemeka sana
@zuhuzuli.51502 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@jacklinejosephat99732 жыл бұрын
Kuna tatzo hapa amna Love yoyote dada pole tafta MTU uongee nae haiwezekan uje kabla ya mume inaonekana kuna kaubabe flan hivi alafu unamuogopa mumeo
@lovenessdiva3370
2 жыл бұрын
Kuna kaubabe kaaah 😂🤣🤣jmn
@jacklinejosephat9973
2 жыл бұрын
Eeeh watu wengne wanaingia na waume zao ukumbini
@user-lg5lp2nd2m Жыл бұрын
Hongr
@2PAC.77 Жыл бұрын
God Jesus 🙏
@hildafrank3405 Жыл бұрын
Sijui kwann Kuna upepo m,baya wa wasanii wa injili kuachana
@gellauskololi71962 жыл бұрын
Mke akishaanza kwenda kwa media hio ndio mwanzo basi, napenda wa south Africans jinsi wanaprotect family
@edithmakundi84832 жыл бұрын
Kuna kitu hapa muangalie huyu dada usoni hayuko sawa kabisaa mioyo hiii jamani ina mizigo kuliko stooo
@uwimanacitegetse9926
2 жыл бұрын
Kiukweki kwamtazamo kunajambo hapo ✍🏿
@munaahmed8499
2 жыл бұрын
Tena kuna jambo zito mno wa huyu dada
@frorenceetoile3016
2 жыл бұрын
Nahisi ana ogapa camera ana aibu saana ndioman
@evakiwia1052
2 жыл бұрын
Hana shida hajazoea interview,hapo hofu ya Camera tuu
Apati mimba ndio shida na kikwazo kwenye ndoa yao Mungu amsaidie uyu dada kwakweli
@miriamkwembe
2 жыл бұрын
Unajuaje hawataki watoto? Sio kila mtu ana wito wa kuanzisha familia kibaiolojia
@kikie_chyna2 жыл бұрын
Hana furaha😭
@irenensaje12932 жыл бұрын
ana tetemeka sana
@thabealaizer33134 ай бұрын
😊❤nampenda
@lilacleudafamily85362 жыл бұрын
She is composed. Na kizungu chake kuzuri Sana compare na wengi Sana nimewasika kutoka tz waki fanyiwa interviews..Hana shida yeyote Kwa ndoa yake tuwache kukuza Mambo yasiyo kuweka...inaonekana mtumishi anapenda Sana wenye makalio makubwa 😜😜
@zakiamseka9698
2 жыл бұрын
Kizungu ni lugha sawa na kijaluo au kiarabu so wala sio sifa kivileee
@lilacleudafamily8536
2 жыл бұрын
@@zakiamseka9698 hicho Kiswahili chako hapo Tanzania tuu hakuna mahali kina weza kupeleka
@naomim104
2 жыл бұрын
She is not composed...her body language says it all .......
@tabithachamhene79562 жыл бұрын
Ako na kitu moyoni
@dosianasimon3122 жыл бұрын
Mhmhmh nono kuna kitu hapa
@jamespius71852 жыл бұрын
Good
@fatmahchambo31312 жыл бұрын
Dah
@marjoriechebetaganyanya2 жыл бұрын
She's wenging in swahiri😝🤣🤣☺️☺️
@hezrongeofrey14522 жыл бұрын
Nyie acheni kuzingua alie nini sasa,kuna kitu gani cha kulia hapo,mnapenda kuzushazusha na kuleta hofu na taharuki zisizo na msingi ili mnayoyawaza nyie yawe realities,mbona kaeleza vizuri tu mambo yake sema homa tu ya Media Interview of which ni kitu cha kawaida kwa Begginers,Hebu ongeeni vitu vya msingi acheni kumkaribisha Shetani kila sehemu,I hate this
@nay099
10 ай бұрын
Ukwel
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
Aisee km kweli vile
@rahmansekela46512 жыл бұрын
She is so not okay.
@ireneassey7532 жыл бұрын
Ni muoga kamera anatetemek kidog ata mie singeweza
@stellaisote3762 жыл бұрын
Deborah lukalu
@ummydaudi49402 жыл бұрын
Samsingi za matter
@florachrist96022 жыл бұрын
Oi
@hellen13232 жыл бұрын
Kuhojiwa bana mtu anakuuliza swali la kijinga unapanic kama huyo dada kasahau kuwa ni mtumishi kauli za kuzingua kinywa cha mtumishi🤣🤣
@maryemanuel6122
2 жыл бұрын
Kawaida sana siyo malaika haishi mbinguni
@rhodasamwel24852 жыл бұрын
Ndo mitandao hiyo my dear izoee tu
@joelsamwel25802 жыл бұрын
Twende mbele turudi nyuma Joel kapeleka wapi pete mbona hana pete
@veronicasulle18492 жыл бұрын
Mmh humu kila mmoja ni mwamasaikolojia wamegundua dada wa watu hana amani hatari na nusu
@marympango9247
2 жыл бұрын
Ha haaaaaaa.....hii ndo Tz.
@veronicasulle1849
2 жыл бұрын
@@marympango9247 hahaaaha haswaa ni burudani tu
@cristinacosmas2156
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@neemaemmanueljackisonemman7486
2 жыл бұрын
Mi nikiangalia naona kama anauchungu sana
@ismaelinnocent6812
2 жыл бұрын
Huyo hajazoea media km wengine bana na sio mapepe mnataka acheke ovyo
@veronicahraphael8864 Жыл бұрын
What is that mm sijamuelewa jaman
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
@mathermartine6760 Жыл бұрын
Mungu anaenda kukupandisha viwango mamy
@hellohallo78562 жыл бұрын
Mbona kama hana amani
@RachelLeonard2 жыл бұрын
Aliyeona Dada kamchangamkia huyo mkaka wa suti nani maana alikuwa hana amani. Joel hayupoooooo
@leticiabwanduluko3732 Жыл бұрын
Moyo wa mtu ni kichaka huifadhi mengi pole mwaya wifi
@mapenzisorotanizimbazimba87422 жыл бұрын
Moyo unavuja damu
@catherinemaiko7975 Жыл бұрын
Mange alitudanganyaga mke wa joel alishawahi kuugua kichaa🙄🙄🙄🙄
@tinahpeter19502 жыл бұрын
Mbona kama anataka.kulia
@kiniyabh86462 жыл бұрын
Sijasomea usaikologia, ila huyu dada anapitia mengi mpaka kiwango kutoficha, the voice is really vibrating ile ya emotionally, body language yake pia inaonyesha she is not fine, please girl go for a therapist, astrologyist, or a life coach, to assist you 🙏
@millymack1370
2 жыл бұрын
She is just not used to cameras and interviews..ni uoga tu wa kawaida..kwa mtu asiye na uzoevu huo.
@magynzioka1122
2 жыл бұрын
Mkikimbiloa Wana ume handsome mwimbaji na unawivu utakufa mapema
@rithadonatus8110
2 жыл бұрын
Nyuma ya panzia atujui nini kinaendelea kuwa na mwanaume star ni mtihani
@miladymyla
2 жыл бұрын
@@millymack1370 yes, I want to believe she had tension. I have been in such situations. She needs to be prepared for such for her husband is a celeb, there is no way she will totally avoid interviews and cameras
@lauraadhiambo6851
2 жыл бұрын
Astrologists use witchcraft and other mystical powers that are not of God
@agnesssanga70622 жыл бұрын
She Is Definitely Not OWWK yan Ako na mambo mob Kwa Moto Wake
@masalakulwa76012 жыл бұрын
Dada tumefanana miili..lol
@junuferjinu14442 жыл бұрын
NILIJUWA NI MM PEKEYANGU NIMEONA UYU DD ANATAKIWA AKÀEE CHINI ALIIII EEE SIKU ZIMA KISHA AONGEEEE KILAKITU KAMA MJOMBA MCHUMAR NDOATAKUWA NAAMANI NA NURU YAUSO WAKE ITAONEKANA HISINURU YAKE WALA TABASAMU LAKE KIFUWA CHAKE KIMEBEBA MAMBO MAZITO MNO
@ellyminja5707
2 жыл бұрын
Anza kulia wewe kwanza
@lovenessdiva3370
2 жыл бұрын
@@ellyminja5707 😂😂😂 Ukorofi sasa
@ellyminja5707
2 жыл бұрын
@@lovenessdiva3370 watu wana wivu na mambo yasio wahusu
@marykadzo10332 жыл бұрын
Huyu dada hayuko sawa kuna jambo linamsubua. Hana furaha
@emidahayoub8849
2 жыл бұрын
Haswaaa
@neemangwesa3372
2 жыл бұрын
watu msiokuwa na furaha huwa mnaona wengine hawana furaha pia mxieww
@masalakulwa7601
2 жыл бұрын
@@neemangwesa3372 🤣🤣🤣
@rithadonatus8110
2 жыл бұрын
Hata Mimi naona hivyo
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
@@neemangwesa3372 🤣😥🤣
@cutepretty36192 жыл бұрын
Her marriage is not at peace walahi
@seiprei
2 жыл бұрын
Heheeee
@felistermorungu79762 жыл бұрын
Mmmmmh🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@patriciaandrew13572 жыл бұрын
Joel una mke mrembo
@peterguandaru6239
2 жыл бұрын
This interview Guy is not wise he should read body language. Ata kama nikutafuta content that crap
@davidkenya64142 жыл бұрын
Sometimes interviewers can ruin everything
@estherminnahboaz69562 жыл бұрын
Hii shape duh🙌🙌 kumbe ndio maana munalove anakufa uturuki kwa ma surgery 🤣🤣🤣🤣
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekes
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekesha
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekes
@sirahgodwin1240
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣KWN MUNA YY ANASEMAJE
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
@@sirahgodwin1240 Si anajichonga haaaaa ngoja tusubiri aseme
Пікірлер: 180
Huyu dada kuna kitu anapitia...it seems amehifadhi vitu rohoni .pole mwaya
Jamn waja tupunguze maneno halafu km ishu ndoa hakuna ndoa isiyokua na changamoto na pia km mnampenda kwel pigen goti na muwaombee wapendwa wetu kuliko kujaji na kumuhukumu mtu pia hatuwezi jua km anauchungu moyon ama furaha hyo ni siri yake mwenyewe kikubwa tupunguze kuhukumu tusije tukahukumiwa sisi.
Haya maisha ya ndoa we yaone tu kwa wenzako yakija kwako ndo utaelwa vzr ,,Mungu aiponye ndoa jmn zinamambo mengi san
Jamaa ana mke mzuri Sana Mungu aibariki ndoa yao
JOEL LWAGA ndo una mke mzuri kiasi hiki❤
Neema ya Mungu inatosha Sana kwenu... endeleeni kumtegemea Mungu Sana ktk ndoa na huduma pia Mungu Ni mwema Sana ..🙏🙏🙏
Her facial expressions tells the real thing she's passing through, far different from her words, the energy she's using to convince herself everything is clear, it's not much enough to stimulate her body language...may God encourage her, something's wrong somewhere😔
I love Joel lwaga songs 🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤🤗🤗 😂naweza kuwa msaidizi wake ,bure bila malipo
BEATIFUL LADY...Hana shida yoyote hajazoea tu interview
@violettemitchel6772
2 жыл бұрын
Na mie nahisi hivyo....sijaelewa wanaosema Ana stress
Bint mzuri mwenye hekima na busara kajibu kwa stara zote hongera Joel umepata mke bora nasio bora mke
Huyu dada anaficha vitu moyoni mpaka sauti inadhihirisha nyieee daaah
@typbhjk786
2 жыл бұрын
Nimecheka kweli embu tafuta interview za nyuma kabla ya haya uone ongea yake ndio uje ucoment tena
@sinyoritamoha1629
2 жыл бұрын
Hajazoea camera tu, ukimulikwa kwa camera lazma uwe na kiroho dunda, ukiwa na machozi ya haraka unaweza kulia kwa hofu😂
No make up and still beautiful
Body language she is not okay
She is so beautiful Mungu amtunze
Unaonekana unamachungu sana kila unachoweza kupitia Mungu anajua unauwezo wa kuyabeba
My brother Joel napenda San kaz zake zinanibaliki San nyakat zot mungu akubaliki nafamilia yako
the lady is cute Mungu akutunze dada.
Indeed beautifully lady
She is bitter over something,.. Body language speaks volume. But God is good nothing is impossible with Him
@neemagoodluck4401
2 жыл бұрын
Sure
@JanneleP
2 жыл бұрын
I sense that energy as I start watching ..whatever its ..may God heal her maana people fight battles they never tells anyone
Karembo mashallah ❤️
She so pretty 🤩😍😍
Ana uchungu mwingi moyoni..anatakiwa kulia kwa nguvu zote kupunguza sumu
@stellajoseph6235
2 жыл бұрын
Unahisi ni wa ndoa au mengineyo
@tedymwandara5480
2 жыл бұрын
@@stellajoseph6235 Ni ya ndoa ndio.Haiwezekani uvumi ndio asikie hivyo
@rahesterraester8450
2 жыл бұрын
Yaani
@queeniloge3677
2 жыл бұрын
Kwani aliwahi kuwaambia ana uchungu na ndoa yake???
@winnifridaashery8187
Жыл бұрын
@@queeniloge3677 Nashangaa
Hakuna kitu kibaya kama kujaza vitu moyoni
@magiehermess9949
2 жыл бұрын
Wee acha tuu. Mwisho ni BP
Mbona kama kuna jambo ivi machoni mwake☺️☺️
@estherminnahboaz6956
2 жыл бұрын
Wengine wahajazoea ma camera sijui kuhojiwa mbele za watu..amejibu vizuri na yupo so bright na classy👌
@m.mmarckus6298
2 жыл бұрын
@@estherminnahboaz6956 kweli kabisa
@maluumaluu8516
2 жыл бұрын
Kabisa Ana kitu moyoni
Akiiii She's not Okay 😧😧 Mungu Amtie Nguvu
Wooooh mrs Joel we love you 😍
Eti acha kuzingua kaaaah?
Hayupo sawa huyu mtumishi🧑🦯
@lilianestephanie7881
2 жыл бұрын
Ilaa😂😂😂😂😂
Wangekuja wote kwa pamoja ingependeza zaidi
Kadada kazur nahakana hata meakup
Hongera dada uko na maisha privacy mpka raha siyo kama wengine
Hata Kama anachangamoto kwenye ndoa yake ndio ayaseme mtandaon?
Real likitajwa jina Joel moyo wake unaugulia maumivu makari ukimwangalia vzr hayuko sawa!!
Pole wifi wanadamu ndivyo walivyo kusema uongo
pole my dia,keep being strong...God is Faithfully.
Mtihani
ni mzuriiiiiiiiiiiii mpaka mzuri tena
Good and lovely
She's not okay 😢😢😢😢
Esco Donald mzee wa masuati kutoka msamaria Choir
Dada ana hekima yake, hata kama kuna magumu nyuma yake sisi hatujui, ila tunasema kile tumekiona,
Mungu aponye ndoa zetu jmn😢
Congratulations mamy MUNGU azidi kuwatunza vyema katika maisha yenu ya ndoa. 🙏 na azidi kukupa uvumilivu huohuo uliokuwa nao.😘
mdada anaonekana hayupo sawa kuna kitu nyuma ya pazia
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Kweli huyo Dada hayupo Sawa kabisa moyo wa mtu ni kichaka wanawake tuna beba mizingo Sana moyoni
@barakanatus5676
2 жыл бұрын
Fact
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
@@sweetluc2660 hasa alipokua anasemq mumewe ni mtu waaina gani katak kulia
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 Acha tu a nacheka usoni tu huyu Dada moyoni ana majereha
Ur not happy Dada poleee
MBNA anataka kulia
@rebeccasamuel3563
2 жыл бұрын
Kumbe umeon dear
Excellent questions and pace. I like how she answered the questions alot of wisdom, grace. She's very personable
Mzuriiii sana
Body language.....mmmmh something is not right.
Anatetemeka sana
❤❤❤❤❤❤❤
Kuna tatzo hapa amna Love yoyote dada pole tafta MTU uongee nae haiwezekan uje kabla ya mume inaonekana kuna kaubabe flan hivi alafu unamuogopa mumeo
@lovenessdiva3370
2 жыл бұрын
Kuna kaubabe kaaah 😂🤣🤣jmn
@jacklinejosephat9973
2 жыл бұрын
Eeeh watu wengne wanaingia na waume zao ukumbini
Hongr
God Jesus 🙏
Sijui kwann Kuna upepo m,baya wa wasanii wa injili kuachana
Mke akishaanza kwenda kwa media hio ndio mwanzo basi, napenda wa south Africans jinsi wanaprotect family
Kuna kitu hapa muangalie huyu dada usoni hayuko sawa kabisaa mioyo hiii jamani ina mizigo kuliko stooo
@uwimanacitegetse9926
2 жыл бұрын
Kiukweki kwamtazamo kunajambo hapo ✍🏿
@munaahmed8499
2 жыл бұрын
Tena kuna jambo zito mno wa huyu dada
@frorenceetoile3016
2 жыл бұрын
Nahisi ana ogapa camera ana aibu saana ndioman
@evakiwia1052
2 жыл бұрын
Hana shida hajazoea interview,hapo hofu ya Camera tuu
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
@@frorenceetoile3016 ndo atake kulia alipoulizwa mumewe nimty waaina gani??
No comment
Apati mimba ndio shida na kikwazo kwenye ndoa yao Mungu amsaidie uyu dada kwakweli
@miriamkwembe
2 жыл бұрын
Unajuaje hawataki watoto? Sio kila mtu ana wito wa kuanzisha familia kibaiolojia
Hana furaha😭
ana tetemeka sana
😊❤nampenda
She is composed. Na kizungu chake kuzuri Sana compare na wengi Sana nimewasika kutoka tz waki fanyiwa interviews..Hana shida yeyote Kwa ndoa yake tuwache kukuza Mambo yasiyo kuweka...inaonekana mtumishi anapenda Sana wenye makalio makubwa 😜😜
@zakiamseka9698
2 жыл бұрын
Kizungu ni lugha sawa na kijaluo au kiarabu so wala sio sifa kivileee
@lilacleudafamily8536
2 жыл бұрын
@@zakiamseka9698 hicho Kiswahili chako hapo Tanzania tuu hakuna mahali kina weza kupeleka
@naomim104
2 жыл бұрын
She is not composed...her body language says it all .......
Ako na kitu moyoni
Mhmhmh nono kuna kitu hapa
Good
Dah
She's wenging in swahiri😝🤣🤣☺️☺️
Nyie acheni kuzingua alie nini sasa,kuna kitu gani cha kulia hapo,mnapenda kuzushazusha na kuleta hofu na taharuki zisizo na msingi ili mnayoyawaza nyie yawe realities,mbona kaeleza vizuri tu mambo yake sema homa tu ya Media Interview of which ni kitu cha kawaida kwa Begginers,Hebu ongeeni vitu vya msingi acheni kumkaribisha Shetani kila sehemu,I hate this
@nay099
10 ай бұрын
Ukwel
Aisee km kweli vile
She is so not okay.
Ni muoga kamera anatetemek kidog ata mie singeweza
Deborah lukalu
Samsingi za matter
Oi
Kuhojiwa bana mtu anakuuliza swali la kijinga unapanic kama huyo dada kasahau kuwa ni mtumishi kauli za kuzingua kinywa cha mtumishi🤣🤣
@maryemanuel6122
2 жыл бұрын
Kawaida sana siyo malaika haishi mbinguni
Ndo mitandao hiyo my dear izoee tu
Twende mbele turudi nyuma Joel kapeleka wapi pete mbona hana pete
Mmh humu kila mmoja ni mwamasaikolojia wamegundua dada wa watu hana amani hatari na nusu
@marympango9247
2 жыл бұрын
Ha haaaaaaa.....hii ndo Tz.
@veronicasulle1849
2 жыл бұрын
@@marympango9247 hahaaaha haswaa ni burudani tu
@cristinacosmas2156
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@neemaemmanueljackisonemman7486
2 жыл бұрын
Mi nikiangalia naona kama anauchungu sana
@ismaelinnocent6812
2 жыл бұрын
Huyo hajazoea media km wengine bana na sio mapepe mnataka acheke ovyo
What is that mm sijamuelewa jaman
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
Mungu anaenda kukupandisha viwango mamy
Mbona kama hana amani
Aliyeona Dada kamchangamkia huyo mkaka wa suti nani maana alikuwa hana amani. Joel hayupoooooo
Moyo wa mtu ni kichaka huifadhi mengi pole mwaya wifi
Moyo unavuja damu
Mange alitudanganyaga mke wa joel alishawahi kuugua kichaa🙄🙄🙄🙄
Mbona kama anataka.kulia
Sijasomea usaikologia, ila huyu dada anapitia mengi mpaka kiwango kutoficha, the voice is really vibrating ile ya emotionally, body language yake pia inaonyesha she is not fine, please girl go for a therapist, astrologyist, or a life coach, to assist you 🙏
@millymack1370
2 жыл бұрын
She is just not used to cameras and interviews..ni uoga tu wa kawaida..kwa mtu asiye na uzoevu huo.
@magynzioka1122
2 жыл бұрын
Mkikimbiloa Wana ume handsome mwimbaji na unawivu utakufa mapema
@rithadonatus8110
2 жыл бұрын
Nyuma ya panzia atujui nini kinaendelea kuwa na mwanaume star ni mtihani
@miladymyla
2 жыл бұрын
@@millymack1370 yes, I want to believe she had tension. I have been in such situations. She needs to be prepared for such for her husband is a celeb, there is no way she will totally avoid interviews and cameras
@lauraadhiambo6851
2 жыл бұрын
Astrologists use witchcraft and other mystical powers that are not of God
She Is Definitely Not OWWK yan Ako na mambo mob Kwa Moto Wake
Dada tumefanana miili..lol
NILIJUWA NI MM PEKEYANGU NIMEONA UYU DD ANATAKIWA AKÀEE CHINI ALIIII EEE SIKU ZIMA KISHA AONGEEEE KILAKITU KAMA MJOMBA MCHUMAR NDOATAKUWA NAAMANI NA NURU YAUSO WAKE ITAONEKANA HISINURU YAKE WALA TABASAMU LAKE KIFUWA CHAKE KIMEBEBA MAMBO MAZITO MNO
@ellyminja5707
2 жыл бұрын
Anza kulia wewe kwanza
@lovenessdiva3370
2 жыл бұрын
@@ellyminja5707 😂😂😂 Ukorofi sasa
@ellyminja5707
2 жыл бұрын
@@lovenessdiva3370 watu wana wivu na mambo yasio wahusu
Huyu dada hayuko sawa kuna jambo linamsubua. Hana furaha
@emidahayoub8849
2 жыл бұрын
Haswaaa
@neemangwesa3372
2 жыл бұрын
watu msiokuwa na furaha huwa mnaona wengine hawana furaha pia mxieww
@masalakulwa7601
2 жыл бұрын
@@neemangwesa3372 🤣🤣🤣
@rithadonatus8110
2 жыл бұрын
Hata Mimi naona hivyo
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
@@neemangwesa3372 🤣😥🤣
Her marriage is not at peace walahi
@seiprei
2 жыл бұрын
Heheeee
Mmmmmh🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Joel una mke mrembo
@peterguandaru6239
2 жыл бұрын
This interview Guy is not wise he should read body language. Ata kama nikutafuta content that crap
Sometimes interviewers can ruin everything
Hii shape duh🙌🙌 kumbe ndio maana munalove anakufa uturuki kwa ma surgery 🤣🤣🤣🤣
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekes
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekesha
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekes
@sirahgodwin1240
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣KWN MUNA YY ANASEMAJE
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
@@sirahgodwin1240 Si anajichonga haaaaa ngoja tusubiri aseme
MOYO UNA SIRI KUBWA
Me nna waswas joel anamnyanyasa huyu mwanamke
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
Hadi anataka kulia doooo ndoa hz
@ahuriladaniel9849
2 жыл бұрын
Kabisa
@sharonjefwa5475
2 жыл бұрын
Hakuna ajuae kinachomsumbua ..don't judge