Mke wa Dr Remmy Ongala aeleza mumewe alivyougua hadi kifo chake 'Aliugua kwa miaka 10' - Part 2
Mke wa Marehemu Dr Remmy Ongala, Toni, anaeleza ugonjwa uliosababisha kifo cha mumewe na maisha baada ya hapo. Rafiki yake, Cosmas Chidumule anasimulia jinsi Remmy alivyoamua kuokoka baada ya kuugua
#ChillnaSky
Пікірлер: 208
Wadada wa mjini mjifunze huyu mama anajua kiingereza vizuri,lakini anahojiwa kiswahili na anajibu kiswahii sasa ngoja wahojiwe kina mwafulani,kiingereza kiingi na kibovu
@swimmermoddy3263
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 really Mzee
@abiboseleman1649
Жыл бұрын
Kkkkkkk....alafu kingereza chenyewe hawajui kkk
@DUL69
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍
Mama anaheshima mpaka basi.🌺
Maskini she's so innocent n kindness
Interview bora kabisa hii 🤗 Hongera sana Mama Ongala
intelligent mother big up mama Remmy
Nimempenda sana huyu mama. Mungu akupe maisha marefu mama. Mzee wetu Dr. Remmy aendelee kupumzika salama uko alipo na sisi tupo tunazienzi kazi zake.
@salomenawal6650
3 жыл бұрын
Unamoyo""
Hongera sana Mrs Remy Mtoro Ongara uliitendea haki nafasi yako ya umama, Mzee Cosmas Chidumule Mungu akuzdiishie umri mrefu ili uzidi kumtumikia, Bado unaonekana uko strong.
❤Bless her Very intelligent and humble woman ❤
He was the legend..,haitawahi kutokea. Ujumbe haswaa kwa maisha, siyo mziki wa sasa wa hovyo tu.
Cosmas Chidumule uwa napenda sana kusikiliza nyimbo zenu.
Mwandishi umejipanga vizuri sana interview yako ni bora sana. Mama Ongora na Chidumule wako vizuri sana kujibu maswali. Kongole kwenu nyote. Safi sana!!!!!!
@fahadfaraj6474
3 жыл бұрын
Betty wewe ni yule mwana wa chalamila
pole snaa mama remmy Allah akutie nguvu🥰🙏
Aiseeee hyu ni SUPER BIBI.safi sana ndo tunatakiwa tuishi ivo😍💟2we na upendo jaman.dunia mapito.she so funny 🤣.kindly, humble ,so calm and intelligent. Chidumile ana mengi🤗🥰
Kuna picha pembeni hapo Throwback ya ya fundi Ongala na pisi yake ya kizungu kipindi hicho..such a lucky guy
Mzungu anapenda kweli
Real love! I loved his songs especially narudi nyumbani song.
Mapenzi ya kweli yapo kwenye moyo ukipendwa na mzungu umependwa mzungu Ana akili sana hii historia angakuwa mama wa kiswahili huyo mtoto wa nje pangechimbika nimempenda huyu mama ❤️
@johnchitanda8966
3 жыл бұрын
Ukweli ni kuwa siyo wazungu wote Wako na moyo huu,najua nachokisema.Wanadamu wako na hurruka tofauti tofauti,wako wamama wa Kiafrika ninaowajua wanaoyafanya haya huyu mama anayafanya.Nikisema haya siondohi pongezi kwa huyu mama,pongezi nyingi kwake.Sema nataka tuondoe mawazo mabaya tuko nayo juu ya wa Africa,wa Africa tunajitazama kwa ubaya, udhaifu tu,mambo ambayo hata wenzetu pia wako nayo.Napenda ifahamike kuwa wazungu kupitia media zao wanatangaza sana yale mazuri yao na huku kwetu tuko busy sana kuzungumza mabaya na madhaifu tuko nayo.Na hili lime promotiwa sana na wazungu,ukiangalia reports toka media za wazungu juu ya Africa,utaona habari mbaya tu,mfano vita njaa,watu kuchinjana ,barabara mbovu na mengi yanayofanana na hayo kana kwamba hakuna zuri ndani ya Africa.Tubadilishe mtazamao,tuondoe kuyazungumza na kuyatazama tu mabaya tuko nayo,tuyaangalie na tuyazungumze mazuri tuko nayo.
@kapendalubowa534
3 жыл бұрын
Sahihi lakini mbona Sara wa Harmonize kashindwa??
@johnchitanda8966
3 жыл бұрын
@@kapendalubowa534 Nimefurahi kuwa umesema sahihi,ni ukweli kabisa kuwa ni sahihi.
@kapendalubowa534
3 жыл бұрын
@@johnchitanda8966 Nimekulia kwenye mazingira ya kulelewa na mama wa kambo wamama wa kiafrika wana roho mbaya Sana kulea watoto wasiokuwa wa kwao, Nadhani 80%wako na roho mbaya.Nina experience,na evidences,acha kabisa,Kama kwa wazungu wapo Basi Africa Ni maradufu.Mama Toni Mungu akubariki Sana.Kuna Jirani yangu anafanya kazi bungeni Yuko vzr kiuchumi, watoto wake wanasoma Feza,Ila Kuna binti yake wa marehemu kaka yake alimaliza la 7 akafaulu hakumpeleka,badala yake alimchukuwa aje kufanya uhousegirl kwake,baada ya mwaka 1 watu wamemsema Ndo kaenda kumtaftia sekondari ya kata,Sasa Huyu mama kumsomesha mtoto wa mumewe shule ya gharama Kama wa kwake, anastahili pongezi
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
@@johnchitanda8966 hata Kama sio wote ila waswahili tuna roho mbaya ukweli ndo huo
🤣nimecheka Sana kwamba ah kweli remi iko na sura mbaya kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 love doesn't ask why .... Hawa ndo wanawake kila mwanaume anahitaji
@milkanyevu8471
3 жыл бұрын
Ana sura private 🏃🏃🏃🏃
@janekikoti2179
3 жыл бұрын
@@milkanyevu8471 😂😂😂😂private tena aki watu mna vituko
@milkanyevu8471
3 жыл бұрын
@@janekikoti2179 private kweli si uongo 🤣🤣🤣🤣
@alextercisio5477
3 жыл бұрын
Sura private haha
Mzungu akipenda amependa kweli.
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Hipo hivyo aisee sio Dada zetu wengi wanatabu sana
@zuleyvendor6577
3 жыл бұрын
@@Mpakauseme mbona mm najua kupenda kweli
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
@@zuleyvendor6577 sdhani wanawke wa kitanzania wengi wamekuwa na uwigaji wa matendo ya mapenzi ya kizungu lakin si kuwa na mapenzi ya dhati kupenda kindakindani, fedha wameitanguliza mbele na mambo ya kimalidad
@judithmelvinealuchio8968
3 жыл бұрын
mi napenda kweli ila kupata akupendae ndio balaa na mapenzi na hela vitu viwili tofauti kabisaa
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Kwani wa afrika awapendi?
Hii ndiyo Interview ya kipekee sana kwakweli kuanzia Mwandishi wa Habari mpaka Wanaohojiwa Mrs.Ongala pamoja na Chidumule, Mwenyezi Mungu awabariki Inshaallah!
Pole sana mama ...nimeamini wazungu wana mapenzi ya dhati si kama hawa binti wetu
Hongera shemeji mzungu kwa kua na upendo wa kwel
One of the best interviews ever! We need more stuff like this one! Keep it up!
Mungu akupe miaka mingi na heri duniani
@lugwetunje3896
Ай бұрын
Very good interview
THIS IS THE THIRD TIME AM WATCHING THIS SHOW..I WISH THIS SHOW AND ALL OF DR. REMMY'S MUSIC SHOWS. DR REMMY ONGALA. IS A LEGEND THAT COMPOSED AND SANG MEANINGFUL USEFUL ADVICE THAT AFFECT EVERYBODY'S LIFE. IN THE WHOLE OF AFRIKA,TANZANIA IS THE BEST. CORRUPTION CANCER IS UNDER CONTROL.ALL SERIES OF TANZANIA PRESIDENTS ARE WORTH AND DESERVE PRAISE.
This lady Toni is awesome and intellectual. God bless her.
Cosmas Chidumule(kaka yangu) siku zote katika maisha yangu nimekuwa nikimuheshimu sana. Leo nimezidisha kiwango cha heshima kwake. Mrs Remmy pia nakupa pongezi nyingi Mungu atakusaidia
Shukrani sana sns kwa kutuletea hii story👏👏
I have learnt something new from this great interview
I Love you mum and GOD protect you and your family
@farikkaqueen2367
Жыл бұрын
Is she your mother?? I'm just asking
SUPER BIBI.... Love conquers ALL❤️❤️ "Mtoto hana kosa... ni baraka" 👌🏾🙏🙏
pole mama Remy
Hongera bibi ubarikiwe sanaa
Asante kwa kanda hii na mama Mungu amlinde kwa zote masalio ya maisha humu duniani. Ndugu Cosmas pia hongera Kaka. Wewe ni chombo nzima Mungu anatumia kueneza Neno lake jinsi alivio tumia Musa kukomboa wana Israeli. Bado unakazi , jinsi hivohivo maisha ya huduma Mola asha kuongeza.
Asante Sky kwa interview nzuri
Hongera sana mama yetu tume enjoy interviews nzuri sana tuna kupenda sana Allah akupe afya njema bila kumsahau baba yetu cosmas lila la kheri
Hongera mama sijawahi ona hekima Kama yako hongera Sana pia baba chidumule
Hongera mama Remy msalimie mwanao (God )
Thanks sns
Mama mpole ana heshima keep it up. Tuna tamani kuwa ona watoto wao
Sky una aina ya uanahabari wa kupendeza sana. Siku ututafutie Nyaisa Simango,nusura wa MV Bukoba na sasa ni bosi serikalini. Thank you for this meeen♨️
sweet love!cheers mum
Asnt ..sana ..Mrs Ramdhan ongala ...umenifurahisha sn ..kusema ..Mungu ndie muweza wa kila jambo sisi wanadamu tunajaribu tu ..chini ya uongozi wa Mungu ...Mungu ndio kila kitu .....Mungu kwanza alafu mengine yanafuata ....
Mama nimekupenda😍mungu awe na wewe.
Legend Dr Remmy Ongala
Hongera super bibi mama Remmy. Wajukuu tujifunze jamani upendo wa dhati katika familia zetu.
Oooooh Mashallah hongera sana kweli my bro maneno yenu ni manzuri kabisa
Pole sana mama Ongara
Hi ndizo interview sio maupumbavu Kila siku Mara Diamond kafanya hivi Mara Tanasha Mara zari..hongera Sana bundalaa
Leo nimefurahi sana na kuburudika na mazungumzo pamoja na mama Ongala. Hongera sana Fredrick Bundala kwa ujuzi wako. By the way nawapata vizuri kutoka Birmingham.
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
Asante sana
Mama Toni mzuri sana. Ametulia. Hongera mama
Mama Dangote aje huku asikie Maneno ya busara. Mtoto Hana makosa. Aache kubagua DeeDaylan
@leylahassan9361
3 жыл бұрын
Kabisaa kitanda hakizai haramu wahenga wali shasema
@ahmedjack4135
3 жыл бұрын
kweli
That's true
Marvelous mama 😘
Sky sauti yako tu nikisikia naijuwa japonisikuone , manshaallah unasauti ya kipekee unasauti mzuri unaelekea umeshiba dini mtiifu,Niko Oman nakupata vizuri.
Nimempenda sana uyu mama
hongera mama lemi wewe ni mama bora
Wooow big up mama🤝🇰🇪
Heko!!! You are fine gal.
Nimejifunza kitu kikubwa sans juu ya huyu mama mashallah
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Ata Mimi nimejifunza nimejisikia huruma tunavyowanyanyasa watoto wa nje japo dini haitaki lakini mmmhhh
love you mama ongala love you ongala friend you are the best friend ever much love you bundala iam wactching from drc zaaire god bless you
Salamu zikufikie fredrck Bundala nilipenda sana kuskia kipindi chako cha uliza ujibiwe kwa Radio free Afrika nikiwa mdogo 2006
Interview nzuri sana. Mama ana busara sana. Big Up kwake na Mungu ambariki na aendelee kumpa faraja na afya njema.
@yuzzufabdulaihtumbo6339
Жыл бұрын
Nanzurukuru sana nawapata vnzri kutoka kenya
Mashallah Hadi raha
Nilikua nasubir kwa hamu hii interview
@magimartin8523
3 жыл бұрын
Kama mm
God bless you mummy🙏🙏
Pole Mama
@boneyme9433
3 жыл бұрын
Mzalendo wetu.
Mama Mungu akubariki uishi maisha marefu
Poleyake uyo mama jmn nikweli aijawai kitu km iyo hongera sana mumii
Nice
Mungu ampumuzishe kwa Amani
Dimpo la sky jamanii mweeh😋😋 Babysky nisamehe mwenzio nimeona dimpo la mmeo😃😃
@janekikoti2179
3 жыл бұрын
Mme wa mtu huyo😃😃😃
pole xana mama
Inapendeza sana kuwa na Mama mwenye hekima na busara kama wewe. Mungu akubariki Sana
@alisabatia8612
Жыл бұрын
It is worth to have a wife that is gracious and humble. God bless her abundantly.
Mam❤ Nimekupendasan
Mama hongera sn.
Pamoja sns
Nimefrahi sana kwakweli hii interview sasa
Upendo wa dhati
Hongera mama Toni
Hongera mama
Sky
Lemi ongara tunamkumbuka saana Mungu amuweke Mahali pema peponi
Kidogo kidogo ulituka nikiwa Australia; ni wimbo niliupenda sana na mara moja moja bado nauskiliza kwa sababu ya melody na rhythm yake
Mungu azidi kukupa Maisha marefu.Mama
Big up m@m@
Jina la sky,,kitambo sana RFA balaaa
Apumzike kwa Aman
Nashkur sana mama yetu kumsifia rais wetu dctr Maguful ,mungu amlinde na maaduw na amjaalie busara na hekma ktk uongoz wake aamin ,Magufuli oyee na safii pamoja sanaaa
@adamnasib7928
3 жыл бұрын
Magufuri anahusika nini hapa
@ameedamilja7992
3 жыл бұрын
Badala ya kumshukuru Mungu unamshukuru magufuli kuwa yeye ndio kafanya nini.?
Huyu mama amebarikiwa sana
Hongera mpaka. Sasa bado. Unatupa. Historian.mungi. Slubariki
I'm third one to watch this video
Chidumule mtumishi wa Mungu
wanawake kwakweli tuige tabia za huyu mama
@softena100
Жыл бұрын
Hakika
Leo wa tano kuangalia video
Chidumule bado c mzee kivile, m2 hatari sana uyu. Usitumie pesa km fimbo, mambo ya pesa ni mpaka makubaliano, apo ndipo pesa huwa na thamanii. 2kizungumzia Remmy pale ndio kituo cha falsafa na uimbaji na bendi bora kbs.
Ukitaka kuona mtu wa Peponi mwangalie huyu mama. Pepo anampatia Mwenyezi Mungu mtu anayejali watu wengine. Aliyoyafanya huyu mama hata wanaodai dini hawafanyi!
Mtangazaji una dmpo hogera Ila zimeaza kusinyaa naona unanikaribia mzee mwezangu😂😂😂😂😁😁😁
Wa kwanz leoo
🔥🔥🔥🔥