Mke wa Dr Remmy Ongala aeleza mumewe alivyougua hadi kifo chake 'Aliugua kwa miaka 10' - Part 2

Mke wa Marehemu Dr Remmy Ongala, Toni, anaeleza ugonjwa uliosababisha kifo cha mumewe na maisha baada ya hapo. Rafiki yake, Cosmas Chidumule anasimulia jinsi Remmy alivyoamua kuokoka baada ya kuugua
#ChillnaSky

Пікірлер: 208

  • @MultiMbongo
    @MultiMbongo3 жыл бұрын

    Wadada wa mjini mjifunze huyu mama anajua kiingereza vizuri,lakini anahojiwa kiswahili na anajibu kiswahii sasa ngoja wahojiwe kina mwafulani,kiingereza kiingi na kibovu

  • @swimmermoddy3263

    @swimmermoddy3263

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 really Mzee

  • @abiboseleman1649

    @abiboseleman1649

    Жыл бұрын

    Kkkkkkk....alafu kingereza chenyewe hawajui kkk

  • @DUL69

    @DUL69

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan98783 жыл бұрын

    Mama anaheshima mpaka basi.🌺

  • @elizabethambani5896
    @elizabethambani58963 жыл бұрын

    Maskini she's so innocent n kindness

  • @Winstonfying
    @Winstonfying3 жыл бұрын

    Interview bora kabisa hii 🤗 Hongera sana Mama Ongala

  • @tinadarius7691
    @tinadarius76913 жыл бұрын

    intelligent mother big up mama Remmy

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77693 жыл бұрын

    Nimempenda sana huyu mama. Mungu akupe maisha marefu mama. Mzee wetu Dr. Remmy aendelee kupumzika salama uko alipo na sisi tupo tunazienzi kazi zake.

  • @salomenawal6650

    @salomenawal6650

    3 жыл бұрын

    Unamoyo""

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu61423 жыл бұрын

    Hongera sana Mrs Remy Mtoro Ongara uliitendea haki nafasi yako ya umama, Mzee Cosmas Chidumule Mungu akuzdiishie umri mrefu ili uzidi kumtumikia, Bado unaonekana uko strong.

  • @MamaSean07
    @MamaSean073 жыл бұрын

    ❤Bless her Very intelligent and humble woman ❤

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94893 жыл бұрын

    He was the legend..,haitawahi kutokea. Ujumbe haswaa kwa maisha, siyo mziki wa sasa wa hovyo tu.

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77693 жыл бұрын

    Cosmas Chidumule uwa napenda sana kusikiliza nyimbo zenu.

  • @bettymkwasa1581
    @bettymkwasa15813 жыл бұрын

    Mwandishi umejipanga vizuri sana interview yako ni bora sana. Mama Ongora na Chidumule wako vizuri sana kujibu maswali. Kongole kwenu nyote. Safi sana!!!!!!

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    3 жыл бұрын

    Betty wewe ni yule mwana wa chalamila

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy65943 жыл бұрын

    pole snaa mama remmy Allah akutie nguvu🥰🙏

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70393 жыл бұрын

    Aiseeee hyu ni SUPER BIBI.safi sana ndo tunatakiwa tuishi ivo😍💟2we na upendo jaman.dunia mapito.she so funny 🤣.kindly, humble ,so calm and intelligent. Chidumile ana mengi🤗🥰

  • @jimmychengs1338
    @jimmychengs13383 жыл бұрын

    Kuna picha pembeni hapo Throwback ya ya fundi Ongala na pisi yake ya kizungu kipindi hicho..such a lucky guy

  • @fredysaimon9889
    @fredysaimon98893 жыл бұрын

    Mzungu anapenda kweli

  • @phydiliahmwagodi2254
    @phydiliahmwagodi22543 жыл бұрын

    Real love! I loved his songs especially narudi nyumbani song.

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91563 жыл бұрын

    Mapenzi ya kweli yapo kwenye moyo ukipendwa na mzungu umependwa mzungu Ana akili sana hii historia angakuwa mama wa kiswahili huyo mtoto wa nje pangechimbika nimempenda huyu mama ❤️

  • @johnchitanda8966

    @johnchitanda8966

    3 жыл бұрын

    Ukweli ni kuwa siyo wazungu wote Wako na moyo huu,najua nachokisema.Wanadamu wako na hurruka tofauti tofauti,wako wamama wa Kiafrika ninaowajua wanaoyafanya haya huyu mama anayafanya.Nikisema haya siondohi pongezi kwa huyu mama,pongezi nyingi kwake.Sema nataka tuondoe mawazo mabaya tuko nayo juu ya wa Africa,wa Africa tunajitazama kwa ubaya, udhaifu tu,mambo ambayo hata wenzetu pia wako nayo.Napenda ifahamike kuwa wazungu kupitia media zao wanatangaza sana yale mazuri yao na huku kwetu tuko busy sana kuzungumza mabaya na madhaifu tuko nayo.Na hili lime promotiwa sana na wazungu,ukiangalia reports toka media za wazungu juu ya Africa,utaona habari mbaya tu,mfano vita njaa,watu kuchinjana ,barabara mbovu na mengi yanayofanana na hayo kana kwamba hakuna zuri ndani ya Africa.Tubadilishe mtazamao,tuondoe kuyazungumza na kuyatazama tu mabaya tuko nayo,tuyaangalie na tuyazungumze mazuri tuko nayo.

  • @kapendalubowa534

    @kapendalubowa534

    3 жыл бұрын

    Sahihi lakini mbona Sara wa Harmonize kashindwa??

  • @johnchitanda8966

    @johnchitanda8966

    3 жыл бұрын

    @@kapendalubowa534 Nimefurahi kuwa umesema sahihi,ni ukweli kabisa kuwa ni sahihi.

  • @kapendalubowa534

    @kapendalubowa534

    3 жыл бұрын

    @@johnchitanda8966 Nimekulia kwenye mazingira ya kulelewa na mama wa kambo wamama wa kiafrika wana roho mbaya Sana kulea watoto wasiokuwa wa kwao, Nadhani 80%wako na roho mbaya.Nina experience,na evidences,acha kabisa,Kama kwa wazungu wapo Basi Africa Ni maradufu.Mama Toni Mungu akubariki Sana.Kuna Jirani yangu anafanya kazi bungeni Yuko vzr kiuchumi, watoto wake wanasoma Feza,Ila Kuna binti yake wa marehemu kaka yake alimaliza la 7 akafaulu hakumpeleka,badala yake alimchukuwa aje kufanya uhousegirl kwake,baada ya mwaka 1 watu wamemsema Ndo kaenda kumtaftia sekondari ya kata,Sasa Huyu mama kumsomesha mtoto wa mumewe shule ya gharama Kama wa kwake, anastahili pongezi

  • @salmaathuman9156

    @salmaathuman9156

    3 жыл бұрын

    @@johnchitanda8966 hata Kama sio wote ila waswahili tuna roho mbaya ukweli ndo huo

  • @spaice995
    @spaice9953 жыл бұрын

    🤣nimecheka Sana kwamba ah kweli remi iko na sura mbaya kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 love doesn't ask why .... Hawa ndo wanawake kila mwanaume anahitaji

  • @milkanyevu8471

    @milkanyevu8471

    3 жыл бұрын

    Ana sura private 🏃🏃🏃🏃

  • @janekikoti2179

    @janekikoti2179

    3 жыл бұрын

    @@milkanyevu8471 😂😂😂😂private tena aki watu mna vituko

  • @milkanyevu8471

    @milkanyevu8471

    3 жыл бұрын

    @@janekikoti2179 private kweli si uongo 🤣🤣🤣🤣

  • @alextercisio5477

    @alextercisio5477

    3 жыл бұрын

    Sura private haha

  • @josej9888
    @josej98883 жыл бұрын

    Mzungu akipenda amependa kweli.

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    3 жыл бұрын

    Hipo hivyo aisee sio Dada zetu wengi wanatabu sana

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    3 жыл бұрын

    @@Mpakauseme mbona mm najua kupenda kweli

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    3 жыл бұрын

    @@zuleyvendor6577 sdhani wanawke wa kitanzania wengi wamekuwa na uwigaji wa matendo ya mapenzi ya kizungu lakin si kuwa na mapenzi ya dhati kupenda kindakindani, fedha wameitanguliza mbele na mambo ya kimalidad

  • @judithmelvinealuchio8968

    @judithmelvinealuchio8968

    3 жыл бұрын

    mi napenda kweli ila kupata akupendae ndio balaa na mapenzi na hela vitu viwili tofauti kabisaa

  • @user-un3df1sl2h

    @user-un3df1sl2h

    3 жыл бұрын

    Kwani wa afrika awapendi?

  • @neolifeinternational8267
    @neolifeinternational82673 жыл бұрын

    Hii ndiyo Interview ya kipekee sana kwakweli kuanzia Mwandishi wa Habari mpaka Wanaohojiwa Mrs.Ongala pamoja na Chidumule, Mwenyezi Mungu awabariki Inshaallah!

  • @alextercisio5477
    @alextercisio54773 жыл бұрын

    Pole sana mama ...nimeamini wazungu wana mapenzi ya dhati si kama hawa binti wetu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51923 жыл бұрын

    Hongera shemeji mzungu kwa kua na upendo wa kwel

  • @chachadr1
    @chachadr13 жыл бұрын

    One of the best interviews ever! We need more stuff like this one! Keep it up!

  • @matswelopelemphela9676
    @matswelopelemphela96763 жыл бұрын

    Mungu akupe miaka mingi na heri duniani

  • @lugwetunje3896

    @lugwetunje3896

    Ай бұрын

    Very good interview

  • @wangpeding1538
    @wangpeding1538 Жыл бұрын

    THIS IS THE THIRD TIME AM WATCHING THIS SHOW..I WISH THIS SHOW AND ALL OF DR. REMMY'S MUSIC SHOWS. DR REMMY ONGALA. IS A LEGEND THAT COMPOSED AND SANG MEANINGFUL USEFUL ADVICE THAT AFFECT EVERYBODY'S LIFE. IN THE WHOLE OF AFRIKA,TANZANIA IS THE BEST. CORRUPTION CANCER IS UNDER CONTROL.ALL SERIES OF TANZANIA PRESIDENTS ARE WORTH AND DESERVE PRAISE.

  • @dodoted5033
    @dodoted50332 жыл бұрын

    This lady Toni is awesome and intellectual. God bless her.

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 Жыл бұрын

    Cosmas Chidumule(kaka yangu) siku zote katika maisha yangu nimekuwa nikimuheshimu sana. Leo nimezidisha kiwango cha heshima kwake. Mrs Remmy pia nakupa pongezi nyingi Mungu atakusaidia

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64233 жыл бұрын

    Shukrani sana sns kwa kutuletea hii story👏👏

  • @linyakavuseiph5102
    @linyakavuseiph51023 жыл бұрын

    I have learnt something new from this great interview

  • @janewamaitha4930
    @janewamaitha49303 жыл бұрын

    I Love you mum and GOD protect you and your family

  • @farikkaqueen2367

    @farikkaqueen2367

    Жыл бұрын

    Is she your mother?? I'm just asking

  • @agnettakamugisha4984
    @agnettakamugisha4984 Жыл бұрын

    SUPER BIBI.... Love conquers ALL❤️❤️ "Mtoto hana kosa... ni baraka" 👌🏾🙏🙏

  • @tinadarius7691
    @tinadarius76913 жыл бұрын

    pole mama Remy

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    Hongera bibi ubarikiwe sanaa

  • @alfredchidamisolo.
    @alfredchidamisolo.3 жыл бұрын

    Asante kwa kanda hii na mama Mungu amlinde kwa zote masalio ya maisha humu duniani. Ndugu Cosmas pia hongera Kaka. Wewe ni chombo nzima Mungu anatumia kueneza Neno lake jinsi alivio tumia Musa kukomboa wana Israeli. Bado unakazi , jinsi hivohivo maisha ya huduma Mola asha kuongeza.

  • @andreamajura4527
    @andreamajura45273 жыл бұрын

    Asante Sky kwa interview nzuri

  • @shabaniguma8696
    @shabaniguma86963 жыл бұрын

    Hongera sana mama yetu tume enjoy interviews nzuri sana tuna kupenda sana Allah akupe afya njema bila kumsahau baba yetu cosmas lila la kheri

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko24803 жыл бұрын

    Hongera mama sijawahi ona hekima Kama yako hongera Sana pia baba chidumule

  • @aysherkitoi1845
    @aysherkitoi18453 жыл бұрын

    Hongera mama Remy msalimie mwanao (God )

  • @a.856
    @a.8563 жыл бұрын

    Thanks sns

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17253 жыл бұрын

    Mama mpole ana heshima keep it up. Tuna tamani kuwa ona watoto wao

  • @hilarymark7583
    @hilarymark75833 жыл бұрын

    Sky una aina ya uanahabari wa kupendeza sana. Siku ututafutie Nyaisa Simango,nusura wa MV Bukoba na sasa ni bosi serikalini. Thank you for this meeen♨️

  • @nelsonkidoti8448
    @nelsonkidoti84483 жыл бұрын

    sweet love!cheers mum

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 Жыл бұрын

    Asnt ..sana ..Mrs Ramdhan ongala ...umenifurahisha sn ..kusema ..Mungu ndie muweza wa kila jambo sisi wanadamu tunajaribu tu ..chini ya uongozi wa Mungu ...Mungu ndio kila kitu .....Mungu kwanza alafu mengine yanafuata ....

  • @bbaccabb9445
    @bbaccabb94453 жыл бұрын

    Mama nimekupenda😍mungu awe na wewe.

  • @traveledra2015
    @traveledra20153 жыл бұрын

    Legend Dr Remmy Ongala

  • @oscarboniface9690
    @oscarboniface96903 жыл бұрын

    Hongera super bibi mama Remmy. Wajukuu tujifunze jamani upendo wa dhati katika familia zetu.

  • @mohamedoman9344
    @mohamedoman93443 жыл бұрын

    Oooooh Mashallah hongera sana kweli my bro maneno yenu ni manzuri kabisa

  • @Ba63828
    @Ba638283 жыл бұрын

    Pole sana mama Ongara

  • @millycentgati2541
    @millycentgati25413 жыл бұрын

    Hi ndizo interview sio maupumbavu Kila siku Mara Diamond kafanya hivi Mara Tanasha Mara zari..hongera Sana bundalaa

  • @serianjamal8254
    @serianjamal82543 жыл бұрын

    Leo nimefurahi sana na kuburudika na mazungumzo pamoja na mama Ongala. Hongera sana Fredrick Bundala kwa ujuzi wako. By the way nawapata vizuri kutoka Birmingham.

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    3 жыл бұрын

    Asante sana

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser76343 жыл бұрын

    Mama Toni mzuri sana. Ametulia. Hongera mama

  • @pizzaz4333
    @pizzaz43333 жыл бұрын

    Mama Dangote aje huku asikie Maneno ya busara. Mtoto Hana makosa. Aache kubagua DeeDaylan

  • @leylahassan9361

    @leylahassan9361

    3 жыл бұрын

    Kabisaa kitanda hakizai haramu wahenga wali shasema

  • @ahmedjack4135

    @ahmedjack4135

    3 жыл бұрын

    kweli

  • @janewamaitha4930
    @janewamaitha49303 жыл бұрын

    That's true

  • @tunkuh661
    @tunkuh6613 жыл бұрын

    Marvelous mama 😘

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs63613 жыл бұрын

    Sky sauti yako tu nikisikia naijuwa japonisikuone , manshaallah unasauti ya kipekee unasauti mzuri unaelekea umeshiba dini mtiifu,Niko Oman nakupata vizuri.

  • @user-un3df1sl2h
    @user-un3df1sl2h3 жыл бұрын

    Nimempenda sana uyu mama

  • @leahedward5889
    @leahedward58893 жыл бұрын

    hongera mama lemi wewe ni mama bora

  • @jerushanyawera4964
    @jerushanyawera49643 жыл бұрын

    Wooow big up mama🤝🇰🇪

  • @akinyicolang69
    @akinyicolang692 жыл бұрын

    Heko!!! You are fine gal.

  • @rahemaally274
    @rahemaally2743 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kikubwa sans juu ya huyu mama mashallah

  • @julihanjosephyjs6361

    @julihanjosephyjs6361

    3 жыл бұрын

    Ata Mimi nimejifunza nimejisikia huruma tunavyowanyanyasa watoto wa nje japo dini haitaki lakini mmmhhh

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene230313 жыл бұрын

    love you mama ongala love you ongala friend you are the best friend ever much love you bundala iam wactching from drc zaaire god bless you

  • @michaeloyugi5000
    @michaeloyugi50009 ай бұрын

    Salamu zikufikie fredrck Bundala nilipenda sana kuskia kipindi chako cha uliza ujibiwe kwa Radio free Afrika nikiwa mdogo 2006

  • @charlessayi9899
    @charlessayi98993 жыл бұрын

    Interview nzuri sana. Mama ana busara sana. Big Up kwake na Mungu ambariki na aendelee kumpa faraja na afya njema.

  • @yuzzufabdulaihtumbo6339

    @yuzzufabdulaihtumbo6339

    Жыл бұрын

    Nanzurukuru sana nawapata vnzri kutoka kenya

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын

    Mashallah Hadi raha

  • @husseinmkongomkongo8447
    @husseinmkongomkongo84473 жыл бұрын

    Nilikua nasubir kwa hamu hii interview

  • @magimartin8523

    @magimartin8523

    3 жыл бұрын

    Kama mm

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72573 жыл бұрын

    God bless you mummy🙏🙏

  • @boneyme9433
    @boneyme94333 жыл бұрын

    Pole Mama

  • @boneyme9433

    @boneyme9433

    3 жыл бұрын

    Mzalendo wetu.

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi59403 жыл бұрын

    Mama Mungu akubariki uishi maisha marefu

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын

    Poleyake uyo mama jmn nikweli aijawai kitu km iyo hongera sana mumii

  • @albertgilbert1664
    @albertgilbert16643 жыл бұрын

    Nice

  • @kurwpaul1134
    @kurwpaul11343 жыл бұрын

    Mungu ampumuzishe kwa Amani

  • @WinWilly4162
    @WinWilly41623 жыл бұрын

    Dimpo la sky jamanii mweeh😋😋 Babysky nisamehe mwenzio nimeona dimpo la mmeo😃😃

  • @janekikoti2179

    @janekikoti2179

    3 жыл бұрын

    Mme wa mtu huyo😃😃😃

  • @tutukikoto1813
    @tutukikoto18133 жыл бұрын

    pole xana mama

  • @thobiaslitimba6148
    @thobiaslitimba61483 жыл бұрын

    Inapendeza sana kuwa na Mama mwenye hekima na busara kama wewe. Mungu akubariki Sana

  • @alisabatia8612

    @alisabatia8612

    Жыл бұрын

    It is worth to have a wife that is gracious and humble. God bless her abundantly.

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын

    Mam❤ Nimekupendasan

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn83253 жыл бұрын

    Mama hongera sn.

  • @japhetlust5662
    @japhetlust56623 жыл бұрын

    Pamoja sns

  • @ananiabaraka4067
    @ananiabaraka40672 жыл бұрын

    Nimefrahi sana kwakweli hii interview sasa

  • @paulmasele1390
    @paulmasele13903 жыл бұрын

    Upendo wa dhati

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo66403 жыл бұрын

    Hongera mama Toni

  • @goliathmfalamagoha4839
    @goliathmfalamagoha48392 күн бұрын

    Hongera mama

  • @radirapavevo9605
    @radirapavevo96053 жыл бұрын

    Sky

  • @user-hs3er9ed6l
    @user-hs3er9ed6l5 ай бұрын

    Lemi ongara tunamkumbuka saana Mungu amuweke Mahali pema peponi

  • @Ambagaye
    @Ambagaye10 ай бұрын

    Kidogo kidogo ulituka nikiwa Australia; ni wimbo niliupenda sana na mara moja moja bado nauskiliza kwa sababu ya melody na rhythm yake

  • @georginajohn8456
    @georginajohn84563 жыл бұрын

    Mungu azidi kukupa Maisha marefu.Mama

  • @mageremasatu5862
    @mageremasatu58623 жыл бұрын

    Big up m@m@

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal675018 күн бұрын

    Jina la sky,,kitambo sana RFA balaaa

  • @fridajosephyusif4364
    @fridajosephyusif43643 жыл бұрын

    Apumzike kwa Aman

  • @khamisjumazume8477
    @khamisjumazume84773 жыл бұрын

    Nashkur sana mama yetu kumsifia rais wetu dctr Maguful ,mungu amlinde na maaduw na amjaalie busara na hekma ktk uongoz wake aamin ,Magufuli oyee na safii pamoja sanaaa

  • @adamnasib7928

    @adamnasib7928

    3 жыл бұрын

    Magufuri anahusika nini hapa

  • @ameedamilja7992

    @ameedamilja7992

    3 жыл бұрын

    Badala ya kumshukuru Mungu unamshukuru magufuli kuwa yeye ndio kafanya nini.?

  • @annasamo7063
    @annasamo70633 жыл бұрын

    Huyu mama amebarikiwa sana

  • @VeronicaSam-rv2qs
    @VeronicaSam-rv2qs7 ай бұрын

    Hongera mpaka. Sasa bado. Unatupa. Historian.mungi. Slubariki

  • @swamadually6163
    @swamadually61633 жыл бұрын

    I'm third one to watch this video

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti23703 жыл бұрын

    Chidumule mtumishi wa Mungu

  • @doreennkya5524
    @doreennkya55243 жыл бұрын

    wanawake kwakweli tuige tabia za huyu mama

  • @softena100

    @softena100

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @anastahiliutawala3879
    @anastahiliutawala38793 жыл бұрын

    Leo wa tano kuangalia video

  • @beberurafiki3534
    @beberurafiki35343 жыл бұрын

    Chidumule bado c mzee kivile, m2 hatari sana uyu. Usitumie pesa km fimbo, mambo ya pesa ni mpaka makubaliano, apo ndipo pesa huwa na thamanii. 2kizungumzia Remmy pale ndio kituo cha falsafa na uimbaji na bendi bora kbs.

  • @Nedjadist
    @Nedjadist3 жыл бұрын

    Ukitaka kuona mtu wa Peponi mwangalie huyu mama. Pepo anampatia Mwenyezi Mungu mtu anayejali watu wengine. Aliyoyafanya huyu mama hata wanaodai dini hawafanyi!

  • @rukiakipande186
    @rukiakipande1863 жыл бұрын

    Mtangazaji una dmpo hogera Ila zimeaza kusinyaa naona unanikaribia mzee mwezangu😂😂😂😂😁😁😁

  • @dymscollection3429
    @dymscollection34293 жыл бұрын

    Wa kwanz leoo

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia10243 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

Келесі