Mkasi | S15E13 with Chege Extended Version

Ойын-сауық

Mkasi | S15E13 with Chege Extended Version

Пікірлер: 56

  • @fettylishaz2384
    @fettylishaz23848 жыл бұрын

    Kipindi kizuri cn na nimeipenda anavyojibu chege HD raha safiiiii

  • @hennaali823
    @hennaali8236 жыл бұрын

    I like my EAST AFRICA MUSICIAN no matter what and AFRICA in general specially Swahili songs BIG UP Chege

  • @henrygaya613
    @henrygaya6137 жыл бұрын

    what Kenya and other artists love about this man Chege he thinks before you na huwezi kumshurutisha aseme asilotaka... big up Chigunda u are one of mature artist hv seen in this century

  • @starbwoy7356
    @starbwoy73567 жыл бұрын

    Congrats Chege keep it up hawakuwezii kichwa cha bongo

  • @furahamialano85
    @furahamialano854 жыл бұрын

    Chege uko wapi kwa sasa tunakukumbali sana tana sana good

  • @sahariakonai3274
    @sahariakonai32748 жыл бұрын

    I wish cku moja mumdondoshe masanja mkandamizaji mkasini daah itanoga mbayaaaaa trust me.,

  • @princebabel6821
    @princebabel68218 жыл бұрын

    Napenda xna the way alivyokua anajibu Maswali, Penda xna Chege.

  • @gillymunisi5316
    @gillymunisi53168 жыл бұрын

    CHEGE safi sanaaaaaa nimegundua unanidhamu sanaa

  • @zuhuraali9983
    @zuhuraali99838 жыл бұрын

    chenge nakukubali sana unajielewa wewe kama wewe muelewa siyo mtu wa skendo hadi wanaishiwa na maswali

  • @oyay2821
    @oyay28218 жыл бұрын

    chege ni very smart kwa kujibu maswali bila ya kuji kanganya

  • @jacksonmarejehe1336
    @jacksonmarejehe13368 жыл бұрын

    swali lajibiwa kwa swali hahahahaha, jamaa mgumu kufunguka, Mubbah mpka anapanick 😅😅.....Iko poa sana by the way

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI8 жыл бұрын

    Kama mnavyo warudisha watu kwenye kipindi kila mwaka huwaga tungependa kila mwaka mmrudishe ZIMBWELA jamaa he is very smart on his own way I do really like his thought it make you see far...

  • @mwajumamapunda624
    @mwajumamapunda6248 жыл бұрын

    yan uyu chege ajielew kwel nimecheka maana swali juu ya swali yan akiulizwa swali na yy anaumuuliza mtangazaj swali

  • @honestbsn3044
    @honestbsn30448 жыл бұрын

    salama mnajichanganya ustar una wazidii mnaletea poz wasanii haipendezi .. huwezi ukawa unamuhoji msaanii ingali hujui unacho uliza e.g kuhusu video then mnajibu amja onah shee badilikenii mnatazamwa na watu wanao fahamu about fame.. mnajisahau sana

  • @arabianlady6303
    @arabianlady63038 жыл бұрын

    salaam napenda kazi hako saaaaana

  • @nshimirimanaadidja2853
    @nshimirimanaadidja28538 жыл бұрын

    Napenda sana Mkasi Tv

  • @abdyup-d5108
    @abdyup-d51088 жыл бұрын

    marekani is a continent Tanzania ni nchi tena ndogo soo mnahitaji bara zima kwanza.Muba uza sura acha kuuliza maswali

  • @hssn2020
    @hssn20208 жыл бұрын

    leo ndio mara ya kwanza mmemuweka star kikaangoni. Naona chege aliomba maji baada ya hiyo show.

  • @ahmedalminshad1211
    @ahmedalminshad12118 жыл бұрын

    Hahaha Salama hii noma waaah

  • @familylove5417
    @familylove54178 жыл бұрын

    muba wee kaa kimya tu hta huwelewki wallah

  • @alfanali1199

    @alfanali1199

    8 жыл бұрын

    muzdalifaaah

  • @kefawales8187
    @kefawales81878 жыл бұрын

    moja ya interview mbaya kabisa ni hii

  • @henrygaya613

    @henrygaya613

    7 жыл бұрын

    mbaya kivipi? or you dont understand the theme of the show?

  • @giftmtenga7379
    @giftmtenga73798 жыл бұрын

    Nice salama

  • @rozzyvan2169
    @rozzyvan21698 жыл бұрын

    muba anaboaaa!

  • @samweldaniel1564
    @samweldaniel15648 жыл бұрын

    katika interview mbovu kabisa mlizo wahi kunya ni hii........

  • @nshimirimanaadidja2853
    @nshimirimanaadidja28538 жыл бұрын

    Da Salma Big Up

  • @esthernyokabikimiti8584
    @esthernyokabikimiti85848 жыл бұрын

    chege what had you eaten😂😂😂 l felt like he's gonna punch somebody. love from 254

  • @alvinkhari3197

    @alvinkhari3197

    2 жыл бұрын

    You probably dont give a shit but does any of you know a way to get back into an instagram account?? I was stupid forgot the password. I would appreciate any assistance you can give me.

  • @raidenkobe9623

    @raidenkobe9623

    2 жыл бұрын

    @Alvin Khari Instablaster =)

  • @alvinkhari3197

    @alvinkhari3197

    2 жыл бұрын

    @Raiden Kobe Thanks for your reply. I got to the site thru google and Im in the hacking process now. Looks like it's gonna take quite some time so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.

  • @alvinkhari3197

    @alvinkhari3197

    2 жыл бұрын

    @Raiden Kobe it did the trick and I finally got access to my account again. I am so happy! Thank you so much, you saved my ass!

  • @raidenkobe9623

    @raidenkobe9623

    2 жыл бұрын

    @Alvin Khari No problem :)

  • @mnuquer
    @mnuquer8 жыл бұрын

    hardest interview ever.........sema mchizi yuko too personal...... he doesnt want to generalize issues!! and he dodges questions alot

  • @zulachama1067
    @zulachama10676 жыл бұрын

    nice question salama to the point

  • @abdyup-d5108
    @abdyup-d51088 жыл бұрын

    Tanzania mna lazima mpate soko la nje ni lazima bcoz watanzania population ya wapenda mziki ni ndogo saana.so msijifanye kujibu kinyume na hicho

  • @doneebahatimallya2040
    @doneebahatimallya20408 жыл бұрын

    show safiii

  • @hillsgate386
    @hillsgate3868 жыл бұрын

    Salma jamani,Akothee tena? hapo hata Muba ameshangaa. I like your shows u guys big up.

  • @dramataizaplatnumz
    @dramataizaplatnumz8 жыл бұрын

    iko powa

  • @TheBousaad
    @TheBousaad8 жыл бұрын

    salama naomba urudie interview na Mwana FA

  • @dhuraykhapazi5506
    @dhuraykhapazi55068 жыл бұрын

    ovyooo kama nchi iso jumbe alafu salama acha kumpamba eti anajua kizungu hajui chochote zamani nilikuwa namuona huyo jamaa mjanja kumbe ndo wale wale yaani hajui kama UK ni ulaya

  • @jokha.m.badaralesry4829
    @jokha.m.badaralesry48298 жыл бұрын

    asant mm nilikua nasubiliakwaamu nimsikiliz chege namkubl san

  • @yasserabubakar6167
    @yasserabubakar61678 жыл бұрын

    sj ningeomba umlete juma nature coz kuna faida. tutapata ndani ya kipindi hicho

  • @marciakassimkassim9275
    @marciakassimkassim92758 жыл бұрын

    Chenge..unakaa kukali ukali

  • @dacksondomician6905
    @dacksondomician6905 Жыл бұрын

    Chigunda nakukbal

  • @allystily7315
    @allystily73158 жыл бұрын

    wakati kundi linavunjika nilikua form 2 ama 3... nakumbuka nilikua nakaa keko nafanya mazoezi pale taifa viwanja vya nje ambapo ndio kambi ya Tmk ilipokuepo. kiukweli necha aligombana na fella na kukawa na kundi kugawana na palitokeaga vurugu wakaita polisi baadhi ya wasanii wakakamatwa. nachokumbuka tulikaa na necha pale pembeni ya uwanja tunaofanyiaga mazoezi kipindi kile na kina Kr mulla necha aliongea sana na kubwa alizungumzia ugomvi wake na fela. hakuelewana na fela kipindi hicho fela alikua na gari flani sikumbuki sana nahisi ni escudo necha akasema ile gari amedhulumiwa na fela na mambo mengine mengi sikumbuki sana ila hakuwa na suala la mapenzi. Kiukweli nilikua ngumu kujua ntaenda upande gani maana necha alikua zaidi ya brother na inspiration kwa watoto wakitemeke kipindi kile.ilikua pigo sana sana kwa muda ule kundi kuvunjika binafsi naikumbuka sana ile time. nakumbuka T-shirt zangu za TMK yale maprova meusi daaah.....

  • @subrabonface7832

    @subrabonface7832

    8 жыл бұрын

    guda xana

  • @subrabonface7832

    @subrabonface7832

    8 жыл бұрын

    gud

  • @allystily7315

    @allystily7315

    8 жыл бұрын

    Poa

  • @farajakililwa6009

    @farajakililwa6009

    8 жыл бұрын

    h

  • @mandizzle8807

    @mandizzle8807

    4 жыл бұрын

    ok

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein97378 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂Nimekupenda bure chege 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅hukubali kabisaa kitu usichokuwa na uwakika

  • @halimams2127

    @halimams2127

    5 жыл бұрын

    San nimempenda hata mm

  • @giftmtenga7379
    @giftmtenga73798 жыл бұрын

    Nice salama

  • @lamarlamar5792

    @lamarlamar5792

    7 жыл бұрын

    Gift Mtenga nice

Келесі