Mkasi | S11E01 With Humphrey Polepole - Extended Version

Ойын-сауық

Follow MkasiTV on
Facebook : / mkasitv
Twitter : @MkasiTV

Пікірлер: 18

  • @adampowell3560
    @adampowell35609 жыл бұрын

    Wow! I am impressed! Watu kama kijana huyu ndio tunawahitaji huko ngazi za juu serikalini. No joke. Thumbs up Humphrey!

  • @HKBW1
    @HKBW19 жыл бұрын

    Mr. Polepole ni mzalendo wa kweli na mwenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko ya kweli kwa manufaa ya Taifa la Tanzania. Namshukuru kwa kutokuwa na mfungamano na chama chochote cha siasa kwani sote tunapaswa kusimama kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu kwanza.

  • @petermdoya3690
    @petermdoya36903 жыл бұрын

    Nimerudia zaidi ya mara 50 kutazama

  • @axelb5578
    @axelb55789 жыл бұрын

    smart, wise and smart damn this dude should be a raisi of tz in 5 years

  • @benmabebajr.6551
    @benmabebajr.65519 жыл бұрын

    Wow...Huyu kijana kweli kajitambua. Anajibu maswali kwa ufasaha hata kama halijaulizwa vizuri. Hii ni hazina ya Tanzania, Mungu ambariki na yeye akawa sehemu ya maendeleo ya Tanzania kwa nafasi yoyote atakayohudumu.

  • @solomonadams6337
    @solomonadams63373 жыл бұрын

    Alphid bole bole nyinyi watang'anyika mutuachie wazinjibar tupumue means hatutaki muungano na nchi yoyote ile duniani mimi nilikusikia unasema do or die lazima muun'gano ukuwepo???na mimi nakuambia hata wazinjibar wakifa robo tatu lakini inshaallah Zinkibar lazima iwe Sovoreign State kama ilivyokua hapo b4 ok guys???freedom and war...

  • @mboyajackson4574
    @mboyajackson45747 жыл бұрын

    Huyu sio mkweli, America wao wanaruhusu wageni watakaokuwa raia wa America kujiunga na jeshi, police, magereza, kufanya kazi na FBI,CIA,Secret Service, wizara mbalimbali, kugombea public offices kama state Governor (Governor wa California Arnold Schwarzenegger), state representative, judges, mayor, senate and many more. Kitu kimoja ambacho hawaruhusu ni kugombea urais tu.

  • @AmonJohn
    @AmonJohn9 жыл бұрын

    Huyu kijana ana akili hatari, anasema ukweli na hamwogopi mtu, Mungu amtangulie na kumlinda ... Tunasonga polepole ...

  • @acrestv8636
    @acrestv86365 жыл бұрын

    Nakubaliana sana na Comrede Polepole .... Asante sana kwa elimu hii comrade

  • @chrispineclement4164
    @chrispineclement41648 жыл бұрын

    positive minded! man is so brilliant

  • @andrewsadiki9914
    @andrewsadiki99149 жыл бұрын

    Shukran humprey ujumbe umefika vijana wanaojitambuwa

  • @ericapingi8354
    @ericapingi83543 жыл бұрын

    Safi sana ndugu Mwendo kasi

  • @salumkhatib211
    @salumkhatib2119 жыл бұрын

    Anawapita wale wanaokwenda kusinzia kule mjengoni

  • @sapalimichael629
    @sapalimichael6299 жыл бұрын

    Dah Mr polepole yupo vzr ni Burma na haki akapewa nafasi nyingine sijawahi furahia kipindi kama hiki cha Mr polepole

  • @allykitabu8626

    @allykitabu8626

    5 жыл бұрын

    sapali michael sa

  • @salumkhatib211
    @salumkhatib2119 жыл бұрын

    Mm huyu ndie rais wng 2015

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma45703 жыл бұрын

    Huyu polepole shoga wa siri tunajua

Келесі