Mkali wa Bongo Movie, Jacob Steven (JB) katika NYUNDO YA BARUAN MUHUZA
.
Жүктеу.....
Пікірлер: 23
@UjusMukandama9 ай бұрын
Good sana tunawa fatilia 🇨🇩🇨🇩
@user-wl8fg8ne1f8 ай бұрын
Safi sana waigizaji hao ni hatari
@marysaituni45844 жыл бұрын
Huyo kaka nampenda bure..
@kalumapapaakalumapapaa89895 жыл бұрын
Nakukubali sana bro jb umetisha sannaa mungu akutangulie katka swafar yako
@petermassawe86045 жыл бұрын
Uko vizuri bro
@blackpanther48254 жыл бұрын
Amejibu vema sana mwanzo. I liked it!
@tezuramziray87005 жыл бұрын
Baruan Muhuza big up. Ila ushauri wangu naona kama utaweza kutupia vipande ( clips ) mbalimbali za muhusika ndani ya mahojiano ingependeza zaidi
@jumakifua43475 жыл бұрын
uko vzur ww mi msanii khaswa,Tanzania one
@anatorydesdery46545 жыл бұрын
Baruan Muhuza , Much appreciation to you
@babenealoyce8895 жыл бұрын
Sio uzungu JB ila ni tabia ya middle class people popote duniani, iwe ulaya au Africa. Kuna wazungu ambao ni low income earners na wanatabia sawa na low income earners in afrika.
@blackpanther4825
4 жыл бұрын
Base ya hiyo middle class ni huo uzungu.
@seifshaaban92755 жыл бұрын
Nimekuelewa sna Bonge la Bwana
@blackpanther4825
4 жыл бұрын
Kajibu vema sana maswali!
@byamungushewe11785 жыл бұрын
Bwana mtangazaji, umwambie bwana JB kwamba raïa wengi tunapenda film zake kwahiyo asiondoke katika kucheza film tafadhali maana akiondoka ataumiza wengi roho zao
@kasangamrisho34055 жыл бұрын
Kazi Nzuri Jb Namkubali Sana
@medardjustinian52235 жыл бұрын
Usimuache Nyuma Single Mtambalike
@ramadhanmbega6841
5 жыл бұрын
Jb unaongea ukweli waambie ukweri watanzania
@sylviemutwale95275 жыл бұрын
Namkubali sana jb
@hadijamatimbwa51955 жыл бұрын
Baruani utuletee na MO siku moja
@babenealoyce8895 жыл бұрын
Juu ya subtitles pelekeni idara ya lugha chuo kikuu.
Пікірлер: 23
Good sana tunawa fatilia 🇨🇩🇨🇩
Safi sana waigizaji hao ni hatari
Huyo kaka nampenda bure..
Nakukubali sana bro jb umetisha sannaa mungu akutangulie katka swafar yako
Uko vizuri bro
Amejibu vema sana mwanzo. I liked it!
Baruan Muhuza big up. Ila ushauri wangu naona kama utaweza kutupia vipande ( clips ) mbalimbali za muhusika ndani ya mahojiano ingependeza zaidi
uko vzur ww mi msanii khaswa,Tanzania one
Baruan Muhuza , Much appreciation to you
Sio uzungu JB ila ni tabia ya middle class people popote duniani, iwe ulaya au Africa. Kuna wazungu ambao ni low income earners na wanatabia sawa na low income earners in afrika.
@blackpanther4825
4 жыл бұрын
Base ya hiyo middle class ni huo uzungu.
Nimekuelewa sna Bonge la Bwana
@blackpanther4825
4 жыл бұрын
Kajibu vema sana maswali!
Bwana mtangazaji, umwambie bwana JB kwamba raïa wengi tunapenda film zake kwahiyo asiondoke katika kucheza film tafadhali maana akiondoka ataumiza wengi roho zao
Kazi Nzuri Jb Namkubali Sana
Usimuache Nyuma Single Mtambalike
@ramadhanmbega6841
5 жыл бұрын
Jb unaongea ukweli waambie ukweri watanzania
Namkubali sana jb
Baruani utuletee na MO siku moja
Juu ya subtitles pelekeni idara ya lugha chuo kikuu.
Nimekuelewa sna Bonge la Bwana
@annemakaka210
4 жыл бұрын
Naye bonge la bwana kweli!