Mkali wa Bongo Movie, Jacob Steven (JB) katika NYUNDO YA BARUAN MUHUZA

.

Пікірлер: 23

  • @UjusMukandama
    @UjusMukandama9 ай бұрын

    Good sana tunawa fatilia 🇨🇩🇨🇩

  • @user-wl8fg8ne1f
    @user-wl8fg8ne1f8 ай бұрын

    Safi sana waigizaji hao ni hatari

  • @marysaituni4584
    @marysaituni45844 жыл бұрын

    Huyo kaka nampenda bure..

  • @kalumapapaakalumapapaa8989
    @kalumapapaakalumapapaa89895 жыл бұрын

    Nakukubali sana bro jb umetisha sannaa mungu akutangulie katka swafar yako

  • @petermassawe8604
    @petermassawe86045 жыл бұрын

    Uko vizuri bro

  • @blackpanther4825
    @blackpanther48254 жыл бұрын

    Amejibu vema sana mwanzo. I liked it!

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray87005 жыл бұрын

    Baruan Muhuza big up. Ila ushauri wangu naona kama utaweza kutupia vipande ( clips ) mbalimbali za muhusika ndani ya mahojiano ingependeza zaidi

  • @jumakifua4347
    @jumakifua43475 жыл бұрын

    uko vzur ww mi msanii khaswa,Tanzania one

  • @anatorydesdery4654
    @anatorydesdery46545 жыл бұрын

    Baruan Muhuza , Much appreciation to you

  • @babenealoyce889
    @babenealoyce8895 жыл бұрын

    Sio uzungu JB ila ni tabia ya middle class people popote duniani, iwe ulaya au Africa. Kuna wazungu ambao ni low income earners na wanatabia sawa na low income earners in afrika.

  • @blackpanther4825

    @blackpanther4825

    4 жыл бұрын

    Base ya hiyo middle class ni huo uzungu.

  • @seifshaaban9275
    @seifshaaban92755 жыл бұрын

    Nimekuelewa sna Bonge la Bwana

  • @blackpanther4825

    @blackpanther4825

    4 жыл бұрын

    Kajibu vema sana maswali!

  • @byamungushewe1178
    @byamungushewe11785 жыл бұрын

    Bwana mtangazaji, umwambie bwana JB kwamba raïa wengi tunapenda film zake kwahiyo asiondoke katika kucheza film tafadhali maana akiondoka ataumiza wengi roho zao

  • @kasangamrisho3405
    @kasangamrisho34055 жыл бұрын

    Kazi Nzuri Jb Namkubali Sana

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian52235 жыл бұрын

    Usimuache Nyuma Single Mtambalike

  • @ramadhanmbega6841

    @ramadhanmbega6841

    5 жыл бұрын

    Jb unaongea ukweli waambie ukweri watanzania

  • @sylviemutwale9527
    @sylviemutwale95275 жыл бұрын

    Namkubali sana jb

  • @hadijamatimbwa5195
    @hadijamatimbwa51955 жыл бұрын

    Baruani utuletee na MO siku moja

  • @babenealoyce889
    @babenealoyce8895 жыл бұрын

    Juu ya subtitles pelekeni idara ya lugha chuo kikuu.

  • @seifshaaban9275
    @seifshaaban92755 жыл бұрын

    Nimekuelewa sna Bonge la Bwana

  • @annemakaka210

    @annemakaka210

    4 жыл бұрын

    Naye bonge la bwana kweli!