MJENGO WA MAMA HAPPY MBIONI KUMALIZIKA |MUONEKANO WAKE WA SASA

Пікірлер: 153

  • @maximumtvonline
    @maximumtvonline2 жыл бұрын

    chat.whatsapp.com/FCA6SAgkoMrEGkjCjJupI8

  • @tiaraoscarjuma4522
    @tiaraoscarjuma45222 жыл бұрын

    Safi sana, mafundi woow nimewakubali kitu kimenyooka hadi raha, Mungu awape zaidi waliochanga na Zahir ubarikiwe kwa yote🙏🏽

  • @cocorita8367
    @cocorita83672 жыл бұрын

    Wahoo jamani mama Happy pona dada uenjoy nyumba yako.

  • @halimajaphet8926
    @halimajaphet89262 жыл бұрын

    Maaashallah mwenyezi mungu awalipe sana kwakazi unayo ifanya

  • @nadiahassan1359
    @nadiahassan13592 жыл бұрын

    Mashallah Hongera timu nzima ya maximum Tv na kila aliyetoa sadaka yake. Mama Happy Inshallah M.Mungu akupe uzima unyanyuke furaha yako irudi tena hakika hii ni zaidi ya upendo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌

  • @sadiamassage9589
    @sadiamassage95892 жыл бұрын

    Mashaallam haraka sana dah inamaana ukiwa na pesa yakutusha wiki mbili tu nyumba imeisha duh wako sawa mafundi

  • @rahamrahma6259
    @rahamrahma62592 жыл бұрын

    Mashaallah hongera sana kaka kwa usimamazi mzuri

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba57472 жыл бұрын

    Masha Allah nyumba nzuri sana kazi nzuri brother zahir hongera zako na waliochangia mungu awazidishie zaid na zaid

  • @remiomar7154
    @remiomar71542 жыл бұрын

    mashaAllah mashaAllah mungu awabariki nyote mliochangia

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah8502 жыл бұрын

    Mashaallah kweli mafund wapo vizur yani ukuta upo km umepingwa plasta hongera sn kaka zahir kwajitihada zako mashaallah

  • @nooor1120
    @nooor11202 жыл бұрын

    Maa shaa Allah nyumba sana nzr.,hlf madirisha makubwa hata sio lazima chumba kiwe na madirisha wawili dirisha moja linatosha.

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47342 жыл бұрын

    Safi pongezi kwenu wadau kwa harakati zenu ila ushauli wangu siku nyingine mkishamaliza kujenga msingi tu mjaze kabisa kifusi kwenye fondeshen ili kuepuka gharama kubwa ya kuingiza kifusi ndani adi kijae watu watataka pesa nyingi hapo

  • @adijarashidi1426
    @adijarashidi14262 жыл бұрын

    Kaka zahir namuomba Allah akulipe kila lakheri Na atujaaliye mwisho mwema sote in sha Allah

  • @aishaathman7340
    @aishaathman73402 жыл бұрын

    Hapa ndio utaona jamaa zake mama happy wajitokeza

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape71212 жыл бұрын

    Jaman kaka zahir...kazi unayofanya ni kubwa sana...Najiuluza tuu...nan anakulipa wewe kwa kaz hyo kubwa unayofanya jmn.Mungu akulinde daima 🙏

  • @aishajeanine3552
    @aishajeanine35522 жыл бұрын

    Alhamudulillah jmn Kazi nzuri sana Mwenyezi Mungu akujalie umri kk zahir uzidi kusaidiya wanyonge.

  • @fathimamct232
    @fathimamct2322 жыл бұрын

    Dhahir unatupa moto pale unapokusanaya pesa kidogo lakini unatowa kitu Cha uhakika Kuna vituo vinachukuwa pesa nyingi na watu wanaishia kuombewa Kodi za nyumba koala wakati Sasa hapo sijui pamekaaje Mungu akupe khery na akuondoshee maradhi na akuondoshee Hasad za kilimwengu na akupe Pepo kesho kiyama kwa sababu unagiswa sana na watu fukara .

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48372 жыл бұрын

    Hakupoi huku jmn 🗣🗣 njoeni wana maximum

  • @hadijamwekilinga1969
    @hadijamwekilinga19692 жыл бұрын

    Mashaallah Allah awalipe mliofanikisha

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya42832 жыл бұрын

    Mashallah mjengo umenyooka hd raha zahir mungu akuweke mdg wangu inshallah na ma happy mungu amfanyie wepes aje aone nyumba yake inshallah 😢

Келесі