MJENGO WA MAMA HAPPY MBIONI KUMALIZIKA |MUONEKANO WAKE WA SASA
Жүктеу.....
Пікірлер: 153
@maximumtvonline2 жыл бұрын
chat.whatsapp.com/FCA6SAgkoMrEGkjCjJupI8
@tiaraoscarjuma45222 жыл бұрын
Safi sana, mafundi woow nimewakubali kitu kimenyooka hadi raha, Mungu awape zaidi waliochanga na Zahir ubarikiwe kwa yote🙏🏽
@cocorita83672 жыл бұрын
Wahoo jamani mama Happy pona dada uenjoy nyumba yako.
@halimajaphet89262 жыл бұрын
Maaashallah mwenyezi mungu awalipe sana kwakazi unayo ifanya
@nadiahassan13592 жыл бұрын
Mashallah Hongera timu nzima ya maximum Tv na kila aliyetoa sadaka yake. Mama Happy Inshallah M.Mungu akupe uzima unyanyuke furaha yako irudi tena hakika hii ni zaidi ya upendo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌
@sadiamassage95892 жыл бұрын
Mashaallam haraka sana dah inamaana ukiwa na pesa yakutusha wiki mbili tu nyumba imeisha duh wako sawa mafundi
@rahamrahma62592 жыл бұрын
Mashaallah hongera sana kaka kwa usimamazi mzuri
@hassanmpemba57472 жыл бұрын
Masha Allah nyumba nzuri sana kazi nzuri brother zahir hongera zako na waliochangia mungu awazidishie zaid na zaid
@remiomar71542 жыл бұрын
mashaAllah mashaAllah mungu awabariki nyote mliochangia
@nasraabdallah8502 жыл бұрын
Mashaallah kweli mafund wapo vizur yani ukuta upo km umepingwa plasta hongera sn kaka zahir kwajitihada zako mashaallah
@nooor11202 жыл бұрын
Maa shaa Allah nyumba sana nzr.,hlf madirisha makubwa hata sio lazima chumba kiwe na madirisha wawili dirisha moja linatosha.
@kennyrogers47342 жыл бұрын
Safi pongezi kwenu wadau kwa harakati zenu ila ushauli wangu siku nyingine mkishamaliza kujenga msingi tu mjaze kabisa kifusi kwenye fondeshen ili kuepuka gharama kubwa ya kuingiza kifusi ndani adi kijae watu watataka pesa nyingi hapo
@adijarashidi14262 жыл бұрын
Kaka zahir namuomba Allah akulipe kila lakheri Na atujaaliye mwisho mwema sote in sha Allah
@aishaathman73402 жыл бұрын
Hapa ndio utaona jamaa zake mama happy wajitokeza
@bahatiagape71212 жыл бұрын
Jaman kaka zahir...kazi unayofanya ni kubwa sana...Najiuluza tuu...nan anakulipa wewe kwa kaz hyo kubwa unayofanya jmn.Mungu akulinde daima 🙏
@aishajeanine35522 жыл бұрын
Alhamudulillah jmn Kazi nzuri sana Mwenyezi Mungu akujalie umri kk zahir uzidi kusaidiya wanyonge.
@fathimamct2322 жыл бұрын
Dhahir unatupa moto pale unapokusanaya pesa kidogo lakini unatowa kitu Cha uhakika Kuna vituo vinachukuwa pesa nyingi na watu wanaishia kuombewa Kodi za nyumba koala wakati Sasa hapo sijui pamekaaje Mungu akupe khery na akuondoshee maradhi na akuondoshee Hasad za kilimwengu na akupe Pepo kesho kiyama kwa sababu unagiswa sana na watu fukara .
@khadijahali48372 жыл бұрын
Hakupoi huku jmn 🗣🗣 njoeni wana maximum
@hadijamwekilinga19692 жыл бұрын
Mashaallah Allah awalipe mliofanikisha
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
Mashallah mjengo umenyooka hd raha zahir mungu akuweke mdg wangu inshallah na ma happy mungu amfanyie wepes aje aone nyumba yake inshallah 😢
Пікірлер: 153
chat.whatsapp.com/FCA6SAgkoMrEGkjCjJupI8
Safi sana, mafundi woow nimewakubali kitu kimenyooka hadi raha, Mungu awape zaidi waliochanga na Zahir ubarikiwe kwa yote🙏🏽
Wahoo jamani mama Happy pona dada uenjoy nyumba yako.
Maaashallah mwenyezi mungu awalipe sana kwakazi unayo ifanya
Mashallah Hongera timu nzima ya maximum Tv na kila aliyetoa sadaka yake. Mama Happy Inshallah M.Mungu akupe uzima unyanyuke furaha yako irudi tena hakika hii ni zaidi ya upendo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌
Mashaallam haraka sana dah inamaana ukiwa na pesa yakutusha wiki mbili tu nyumba imeisha duh wako sawa mafundi
Mashaallah hongera sana kaka kwa usimamazi mzuri
Masha Allah nyumba nzuri sana kazi nzuri brother zahir hongera zako na waliochangia mungu awazidishie zaid na zaid
mashaAllah mashaAllah mungu awabariki nyote mliochangia
Mashaallah kweli mafund wapo vizur yani ukuta upo km umepingwa plasta hongera sn kaka zahir kwajitihada zako mashaallah
Maa shaa Allah nyumba sana nzr.,hlf madirisha makubwa hata sio lazima chumba kiwe na madirisha wawili dirisha moja linatosha.
Safi pongezi kwenu wadau kwa harakati zenu ila ushauli wangu siku nyingine mkishamaliza kujenga msingi tu mjaze kabisa kifusi kwenye fondeshen ili kuepuka gharama kubwa ya kuingiza kifusi ndani adi kijae watu watataka pesa nyingi hapo
Kaka zahir namuomba Allah akulipe kila lakheri Na atujaaliye mwisho mwema sote in sha Allah
Hapa ndio utaona jamaa zake mama happy wajitokeza
Jaman kaka zahir...kazi unayofanya ni kubwa sana...Najiuluza tuu...nan anakulipa wewe kwa kaz hyo kubwa unayofanya jmn.Mungu akulinde daima 🙏
Alhamudulillah jmn Kazi nzuri sana Mwenyezi Mungu akujalie umri kk zahir uzidi kusaidiya wanyonge.
Dhahir unatupa moto pale unapokusanaya pesa kidogo lakini unatowa kitu Cha uhakika Kuna vituo vinachukuwa pesa nyingi na watu wanaishia kuombewa Kodi za nyumba koala wakati Sasa hapo sijui pamekaaje Mungu akupe khery na akuondoshee maradhi na akuondoshee Hasad za kilimwengu na akupe Pepo kesho kiyama kwa sababu unagiswa sana na watu fukara .
Hakupoi huku jmn 🗣🗣 njoeni wana maximum
Mashaallah Allah awalipe mliofanikisha
Mashallah mjengo umenyooka hd raha zahir mungu akuweke mdg wangu inshallah na ma happy mungu amfanyie wepes aje aone nyumba yake inshallah 😢