No video

#MIZENGWE

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg

Пікірлер: 82

  • @SabinaRashid-du3nb
    @SabinaRashid-du3nb2 жыл бұрын

    Nikiwaona nakumbuka mzee wetu mungu ampunguzie azabu ya kaburi mlipendeza sana mlivo kuwa watano nawapenda sana

  • @aishaomarry6996

    @aishaomarry6996

    2 жыл бұрын

    @@zuwenaodaizuwenaodai1999 Mzee matata yule aikua mwembamba

  • @user-yo3jv1ry3t

    @user-yo3jv1ry3t

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau25852 жыл бұрын

    Mume muungwana sana,anambekeza mke wake,anamuelewesha maisha yalivyo.Hongera sana Mr Mkwere

  • @judiehance1736
    @judiehance17362 жыл бұрын

    Huyo mwana dada kanenepa ❤️Safina kamepenfeza

  • @mtaniphinias
    @mtaniphinias2 жыл бұрын

    Hili ni fundisho kubwa sana, wapo wanawake wengi wa aina hii katika familia zilizo nyingi. Huwezi kutatua tatizo la njaa katika familia yako, au kupata maendeleo yoyote kama upo na mwanamke kama huyu. Ukosefu wa shukurani, wanawake kutothamini jitihada za waume zao, ndiyo visababishi vikubwa vya matatizo katika familia nyingi.

  • @lusese1

    @lusese1

    2 жыл бұрын

    Ahsante kwa ktunguunga mkono.

  • @nurudaud3993
    @nurudaud39932 жыл бұрын

    asante auseee😊😊😊😊nimejifunza kitu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Nawapenda nyie hatari kila jumapili saa 3 lazima niwaangalie yaani.❤❤❤❤👍👍👍👍👍👍👍👍😁😁🙏🙏🙏

  • @lusese1

    @lusese1

    2 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono.

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo52902 жыл бұрын

    MIZENGWE long time sanaaaaa enzi hzo za TV za kishogooooooooooooo.

  • @lusese1

    @lusese1

    Жыл бұрын

    Tupooooo bado mzee babaaaaa!! vipi umetuchoka? tuvumilie bado tuna vichekesho 32,000 hatujavicheza.

  • @rajeshrajesh-lp2oy
    @rajeshrajesh-lp2oy2 жыл бұрын

    Shukrani saner 🙏

  • @musaamini401
    @musaamini401 Жыл бұрын

    Safina endelea na moyo wako mzuri mkwere unatbia mbaya

  • @mauricemaungu8390
    @mauricemaungu83902 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana kwa mafundisho yenu mazuri kupitia sanaa ya maigizo. Namkumbuka sana hayati Matata jamani 🤔.

  • @marliusmajani3782
    @marliusmajani37822 жыл бұрын

    Tunafuatilia toka Zambia

  • @user-yo3jv1ry3t
    @user-yo3jv1ry3t Жыл бұрын

  • @abuumkamba1760
    @abuumkamba17602 жыл бұрын

    Kiukweri mnatufundisha asanteni

  • @yassinm69
    @yassinm692 жыл бұрын

    Tunammiss mzee matata mu mungu ablaze roho yake mahala pema peponi

  • @hidodomagarasha5804
    @hidodomagarasha58042 жыл бұрын

    Mko vizur hongereni❤️❤️❤️

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Жыл бұрын

    Et mbona unanifagia mimi😂😂

  • @shabanhamza6814
    @shabanhamza68142 жыл бұрын

    Dah!! Ipo sahihi kabisa ktk hiloo

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony25092 жыл бұрын

    Yanatukuta sana sana Tena sana

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo52902 жыл бұрын

    I like it for sure nawatch nikiwa huku Qatar I feel at home waaaaaaah.......

  • @theclasinu9642

    @theclasinu9642

    2 жыл бұрын

    Hiyo nchi ya Qatar kutoka dar mpk huko nauli bei gani na kunapatikana nini zaidi

  • @maphitamaphita3091

    @maphitamaphita3091

    2 жыл бұрын

    Tuko wote goha ndug

  • @mdta8161
    @mdta81612 жыл бұрын

    Hapana kwa kweli angetoa kidogo

  • @yusuphmjengo924
    @yusuphmjengo9242 жыл бұрын

    Safinna una miguu mizuri mhhh

  • @imansaid8020
    @imansaid80202 жыл бұрын

    Ushaur wangu angemwambia mume wake kwanza

  • @atepamashavu6122
    @atepamashavu61222 жыл бұрын

    aisee uyu mdada mstaarabu sana

  • @deathrow8004
    @deathrow80042 жыл бұрын

    Yanatukuta wengi tulio kwenye ndoa

  • @lusese1

    @lusese1

    2 жыл бұрын

    Asante kwa kutuunga mkono

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony25092 жыл бұрын

    Umetisha sana mkwere

  • @Swahili14

    @Swahili14

    2 жыл бұрын

    English translation for me 🤣🚮

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Жыл бұрын

    Kaz ya kulala na viatu😂😂

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Waaaaaoooooo niliwamiss

  • @nashwaabubakar9382
    @nashwaabubakar9382 Жыл бұрын

    Jamani muna madili hamtumii matusi japonica mnafanya comedy lakini mnaweka mamdili ya kuongea na hishima na ni vizuri kila mtu kujua mipakaa yake na madili sio watu wenginewe wakifanya komedy wanatumia lugha MBAYA na matusi mpakaa mtu unaona haya kusikiliza matusi makubwa ya ilahi mungu atusiri tusi ya hifadhi

  • @tato8979
    @tato89792 жыл бұрын

    Safina muonee huruma mmeo maisha magum

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20582 жыл бұрын

    Tatizo mzee umekosea kuuliza mchele wa wapi huu ungevunga tu wala usingeulizwa umetoka wapi wala umebeba nini 🤣😃

  • @edwardandrew6726
    @edwardandrew67262 жыл бұрын

    Fundisho tosha kabisa kwa akinamama wenyetabia kama hizo.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY2 жыл бұрын

    Safi sana

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY2 жыл бұрын

    AisEEEEE munajua sana dah na Munatoa sababu watu amuwawek nyia panda

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi36942 жыл бұрын

    Huyo nmemsahau jina anaeomba msaada wa Kodi, mbona amekonda sana jaman🙆

  • @nyamogafamily4262

    @nyamogafamily4262

    2 жыл бұрын

    Maringo😂😂😂

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema36562 жыл бұрын

    Saingine mtu unaweza ukawa unauwezo, wa kujikimu kimaisha angalau kidogo usihangaike. Ila ukiendekeza ndugu umakwama 😀

  • @josephmanyama9012

    @josephmanyama9012

    2 жыл бұрын

    Yani wacha tuuuuu mrembo ukiwa na huruma kupitiliza ni tatizo sana

  • @enjobw5682
    @enjobw56822 жыл бұрын

    Mume Wa safina noma😂😂😂😂😄😄😁😁😁😁

  • @jamesobedy3687
    @jamesobedy36872 жыл бұрын

    sio sahihi bora angempa kidogo tu

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar86082 жыл бұрын

    Shukran

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi36942 жыл бұрын

    Nmekumbuka mzee Matata jaman😭

  • @wowo1546
    @wowo15462 жыл бұрын

    mzee MATATA 😭😭 🇹🇿

  • @bugybuster5788
    @bugybuster57882 жыл бұрын

    Hayo ndy maisha ya wanawake hata uwapende vp huwa Hawana uruma na pesa ya mume

  • @EK-kp2np

    @EK-kp2np

    2 жыл бұрын

    We, acha kabisa; huo mfumo wako dume achana nao kabisa, sio wanaume tu wanaonynua chakula, ndugu wa mume ndiyo wabaya zaidi, bila kujali nani kanunua wao wanachota bila kuomba, acha hizo kabisaaa🤚🏼

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Sio sahihi kugawa vitu namna hiyo.

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo68492 жыл бұрын

    😃

  • @mwanalau2457
    @mwanalau24572 жыл бұрын

    Mzee matata😭😭😭😭

  • @coastermahenge8910
    @coastermahenge89102 жыл бұрын

    Mke boyaaa

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki39532 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @edwardongori7734
    @edwardongori77342 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdurahmnsobo4810
    @abdurahmnsobo48102 жыл бұрын

    Sio sahihi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Safina mtani wangu umenenepa sana kupendeza sana ongera sana.

  • @aishamsimbazmsimbazi8492

    @aishamsimbazmsimbazi8492

    2 жыл бұрын

    Poleni wana kashikashi mungu amuweke mahala pema peppni

  • @lubuvahussein5556
    @lubuvahussein55562 жыл бұрын

    Xo sahh...Ilipaswa akushirikishe ww ndo utoe rukxa

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim84282 жыл бұрын

    Mkongo anashida gan anakonda kila siku

  • @vumiliakashindi8651
    @vumiliakashindi86512 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mmn7480
    @mmn74802 жыл бұрын

    uyo dada kanenepa

  • @votiairdigital
    @votiairdigital2 жыл бұрын

    Fundisho

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani19892 жыл бұрын

    Baadhi ya Wanawake sifa zinawaponza nia aonekane hana shida kumbe mumeo anaumia

  • @mauricemaungu8390

    @mauricemaungu8390

    2 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana! Namkumbuka sana hayati Matata jamani🤔

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    2 жыл бұрын

    @@mauricemaungu8390 kwakweli alale pema peponi Mzee Matata

  • @williamgumbo8525
    @williamgumbo85252 жыл бұрын

    Duuuh

  • @japhetlameck547
    @japhetlameck5472 жыл бұрын

    Amakweli kumbe Safina alikua bado mtoto? Kwa sasa ndo kwakua.

  • @amanimallya2451
    @amanimallya24512 жыл бұрын

    🤣

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla89462 жыл бұрын

    Michele mwenziwe maharage 😳🤪

  • @jenahando2747
    @jenahando27472 жыл бұрын

    Hahaha

  • @modinakshy6276
    @modinakshy62762 жыл бұрын

    Haya kimenuka

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu58552 жыл бұрын

    Hapana kwakweli

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed72202 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @boazambokile2587
    @boazambokile25872 жыл бұрын

    😂

  • @hhhhhhhgbhnnhn
    @hhhhhhhgbhnnhn Жыл бұрын