MITIMINGI # 659 FUNGUO ZA NDOA YENYE FURAHA NA MAFANIKIO

Leo hii wanandoa hawajivunii ndoa zao bali wanavumilia ndoa zao.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC & Counseling Psychologist +255 713 18 39 39

Пікірлер: 21

  • @britepatrick4587
    @britepatrick45875 жыл бұрын

    Asante kwa somo hili mchungaji wangu japo sijafikia hatua ya ndoa naimani Mungu atanipa furaha ya ndoa na wala si uvumilivu kwenye ndoa

  • @pendoyohana243
    @pendoyohana2435 жыл бұрын

    mtumishi wamungu hakika unachokisema ndicho nami nasema kila wakati navumilia tu kwakua ninawatoto kama. isingekuwa hivyo kwakweli basi tu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66685 жыл бұрын

    mm nataka niwe mke tena mzr,hongera mchungaji

  • @mwafrikalydia3286
    @mwafrikalydia32865 жыл бұрын

    Mtumishi WA mungu unaneno

  • @hadasanovath5639
    @hadasanovath56395 жыл бұрын

    amenii barikiwa mtumishi kwa neno zuri

  • @edwardmakaura3496
    @edwardmakaura34965 жыл бұрын

    Asante sana Dr..Well said

  • @lizziechris619
    @lizziechris6195 жыл бұрын

    Kwa kweli mchungaji siku hizi ni kuvumilia tu maana mmhh hawa wanaume wetu mmhh????

  • @lizziechris619
    @lizziechris6195 жыл бұрын

    Japo mm kabla sijaolewa sikutaka mambo kama haya kwa kweli nilitajia furaha amani na upendo lakin kwa kweli mmhh??

  • @lizziechris619
    @lizziechris6195 жыл бұрын

    Mmhh mchungaji umenena vyema kabisaa

  • @tulivuevethatemba7628
    @tulivuevethatemba76285 жыл бұрын

    True

  • @focustz4408
    @focustz44085 жыл бұрын

    AMANI SANA

  • @jennykininga994
    @jennykininga9945 жыл бұрын

    Amen

  • @neemasanga3420
    @neemasanga34205 жыл бұрын

    nikweli Ila wanaume wanakela sana

  • @mathazakayo288

    @mathazakayo288

    5 жыл бұрын

    mchungaj umenigusa Kiukwel kbs

  • @florakawau5615
    @florakawau56155 жыл бұрын

    Ameeeeeeeeen

  • @shedyema2792
    @shedyema27925 жыл бұрын

    Kweli mtumishi lkn ,vitabu yako Mtu wa Mbali na Dar anavipataje

  • @kfastak
    @kfastak5 жыл бұрын

    Yah

  • @mwanafa7355
    @mwanafa73555 жыл бұрын

    AAAAAAAMEN

  • @rhinakiza
    @rhinakiza5 жыл бұрын

    Amen🙏

  • @kulthumsalim7070
    @kulthumsalim70705 жыл бұрын

    Kutoka ni subscribe channel hii sijajutia ata kitu kimoja nipo kwenye uchumba najijenga na mengi saana,kwakweli ata sie waislamu tunafaidi na mafunzo yako ubarikiwe asanteee saana mchungaji...

  • @nelusigwekajuni5111

    @nelusigwekajuni5111

    5 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu,barikiwa sana,somo zuri