MITIMINGI # 659 FUNGUO ZA NDOA YENYE FURAHA NA MAFANIKIO
Leo hii wanandoa hawajivunii ndoa zao bali wanavumilia ndoa zao.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC & Counseling Psychologist +255 713 18 39 39
Leo hii wanandoa hawajivunii ndoa zao bali wanavumilia ndoa zao.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC & Counseling Psychologist +255 713 18 39 39
Пікірлер: 21
Asante kwa somo hili mchungaji wangu japo sijafikia hatua ya ndoa naimani Mungu atanipa furaha ya ndoa na wala si uvumilivu kwenye ndoa
mtumishi wamungu hakika unachokisema ndicho nami nasema kila wakati navumilia tu kwakua ninawatoto kama. isingekuwa hivyo kwakweli basi tu
mm nataka niwe mke tena mzr,hongera mchungaji
Mtumishi WA mungu unaneno
amenii barikiwa mtumishi kwa neno zuri
Asante sana Dr..Well said
Kwa kweli mchungaji siku hizi ni kuvumilia tu maana mmhh hawa wanaume wetu mmhh????
Japo mm kabla sijaolewa sikutaka mambo kama haya kwa kweli nilitajia furaha amani na upendo lakin kwa kweli mmhh??
Mmhh mchungaji umenena vyema kabisaa
True
AMANI SANA
Amen
nikweli Ila wanaume wanakela sana
@mathazakayo288
5 жыл бұрын
mchungaj umenigusa Kiukwel kbs
Ameeeeeeeeen
Kweli mtumishi lkn ,vitabu yako Mtu wa Mbali na Dar anavipataje
Yah
AAAAAAAMEN
Amen🙏
Kutoka ni subscribe channel hii sijajutia ata kitu kimoja nipo kwenye uchumba najijenga na mengi saana,kwakweli ata sie waislamu tunafaidi na mafunzo yako ubarikiwe asanteee saana mchungaji...
@nelusigwekajuni5111
5 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu,barikiwa sana,somo zuri