MITIMINGI # 383 KIKWAZO KINACHOWAKWAMISHA VIJANA LEO HII NI KUTOKUWA NA MALENGO

Vijana wengi leeo hawana malengo na Maisha yao, kanuni ya kutaka kufanikiwa inasema weka Malengo, ya muda mfupi na muda mrefu. Hakika utafanikiwa.
SOMO: VIKWAZO VYA MAFANIKIO KWA VIJANA
By. Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39

Пікірлер: 1

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork5 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana Mr. Mitimingi, nimefurahi kuwa elimu hii mnawapatia vijana mapaka makanisani sababu kule tunakotegemea wapate saada huu (SHULENI) hakufundishwi haya. Ni jambo jema sana jamii ikichukua nafasi na kutumia muda kuwapa vijana elimu ya kujitambua. Sana brother, nami niko mstari wa mbele kuhakikisha elimu inafika kwa jamii.