MIMI MARS AMKATAA DIAMOND - NITATOKA NA MARIOO | BIG SUNDAY LIVE
Ойын-сауық
MIMI MARS AMKATAA DIAMOND - NITATOKA NA MARIOO | BIG SUNDAY LIVE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 117
Nilidhani mpole sana hata kuongea ni tatizo....hahahaaaaa kumbe anaswaga kuliko hata v money...yuko fresh sana haboi...
Mwanaume mweusi ...weusi wetu wapendeza sana
Basi tu nampenda huyu mtoto ibaki ivo,huu uzuri kila mtu amebarikiwa kwa kiasi chake lakini tukiacha chuki awa watoto wamebarikiwa
Sawa nawpenda Sana wasafi kiujumla jaman
💎 jina kubwa kweli nsinge waangalia but nmewacheki kwa sababu ya dangote tz
Anajikosha marioo mwenyewe able tuuu dini zap pingamizi kwanini Vanessa alimkimbia jux dini hao niwamama mchungaji marioo showtime tyu
Mimi Mars Marioo ndiyo anakufaa,sisi tunajua Ulienda kuswim tu.Mbona Vanessa alikuwa karibu na Diamond wala siyo issue.
@estherngira9627
Жыл бұрын
Kwan ww chenye ndugu yako anapenda ww pia n lazima upende
Mimi anajuag ku interview vzuri keep it up...
Wap wapareeeeeeee
Mi nakajuwa we mpoleeeee kumbe mcangamshi ma nsha allah😁😁
Sawa kabisa Mimi mars mtafutaji ndo penyewe hapo👍👍👍👍
Mutafutaji atapat inshallah
Nawkumbali wajanjaaaa wanguuu
mimi🎉
Nimependa San
Hachoshi 🙌
Ameniturahisha dhaa 💙💙
You are the best
Marioo ataanza geam sasa 😂
nampend sn uyu dada
I like it
Dada uko vizuri sana😘
Hapo kwa jux na Rotim 😇
Fantastic 👍👍👍👍👍 sawa ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Unyamaa
Dope interview
Vzr dada
Nice job
unyamaaa dadaake❤❤
🔥🔥🔥
I like Mimi mars
Woohoo
Heheeee😂😂😂😂 cheza tu na chibu
Nimefurai❤
Maria kama Maria
Beutiful
Sawa dada
Big up mim mars you did it well
Waoooooh mimas
So beautiful
@daudisheha9021
Жыл бұрын
Mj
Anakaa comedian uyu mimi
Very charming
❤❤❤
Katishaaaa
@zachaamaster5378
2 жыл бұрын
#yan uyu Vanessa kabis
🔥
Mmmh
🔥🔥🔥💥
@iamloyheart6212
Жыл бұрын
Poaàpa
Kweli kabisa
Chidi benzz
Maria ww umetaka kutuwia luc wetu
Kazuga tu huyo
😂😂😂❤️❤️❤️
ka mke ka me amor
Tamyris moiane ft melony malele
Sikuwahi kujua mm mars anaongea hivi!!
@africanproudly4004
2 жыл бұрын
We ni mwisho wa kuongea anaongea mpk bac
@hdmsasa3355
2 жыл бұрын
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN kzread.info/dash/bejne/dZit2sxuqdC1gpc.html
@khairatybayuni5325
Жыл бұрын
A naongea mno c alkuwa mtqangazaj Tv1 kpnd cha wkend gossp
mmh
Saw
Napend San saut yako dada
@salma9390
Жыл бұрын
Sauti nzuri Kama ya Vanessa
Sarafina
Vanessa kamkimbia jux kwasababu dini tofauti nahao wakina Vanessa watoto Wamama mchungaji Kwahiyo Amani tu itawale
@mrs2918
2 жыл бұрын
dini kwao sio tija marehemu Adam Isarro ( kaka yao mkubwa) alikuwa muislamu akaoa mkristo kiserikali.
Deep down her heart it’s Diamond
@sylviah9666
2 жыл бұрын
Ni mpenzi wa Marioo
@clarachikojo6399
2 жыл бұрын
Wew unahisi Kila mwanamke anapend type kam z diamond!! Wrong my friend
@mwakazisaidi1175
2 жыл бұрын
@@clarachikojo6399 that’s my opinion you’ve the right to your opinion.
@clarachikojo6399
2 жыл бұрын
@@mwakazisaidi1175 That is what I mean
@mwakazisaidi1175
2 жыл бұрын
@@clarachikojo6399 fine
Numb on
Natural tuachie msitu....hahaha
Kwa simulizi kali, tembelea: kzread.info/dash/bejne/gYRlx7mKodjMetY.html
😂😂😂
A girl is wearing a vest, men in jackets? I am confused
Video
Ila uyu bnt ni pic qali aiseee
Anachekesh anajifany zari au tanasha atengenez Shep kwaz Diamond sio levo Yankee😂😂😂😂😂😂😂😂
Nellow panny
o
Pg
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN kzread.info/dash/bejne/dZit2sxuqdC1gpc.html
Huyu ni dadake Vanessa mdee ama
@mwanamisimwambeni4942
Жыл бұрын
Yeah
@user-nw5wv4fx8v
3 ай бұрын
Mdogo wake
Kama hii bado haijamfikia simba silali wallae Hakikisha hii imemfikia Simba😅😂 kzread.info/dash/bejne/ZYp8t7qrZpWZYcY.html
Hata hivyo hana uzuri wa kutoka na Diamond platnumz .Yeye kiwango chake ni Mario balotel
@alexalen6799
2 жыл бұрын
Duh mnapaniki mpaka kwenye mapenzi
@jasmineshechambo3401
2 жыл бұрын
@@alexalen6799 hahahahahah
@mwanamisimwambeni4942
Жыл бұрын
Mmh uyo mond ana nn
♥️♥️✌️✌️
mimi mars simuelewi yani ni kama mtu Flani 0 brain. kwanini vanessa hakumfundisha jinsi ya kuongea na english? vanessa anakili sana na atafika mbali
@blessedemily3652
2 жыл бұрын
Are you serious!!she is so fluent
@flipflop8409
2 жыл бұрын
Ujinga wako ni kudhani kingereza ndio akili.
@puritymaina8665
2 жыл бұрын
@@flipflop8409 😂
@jumahamis227
2 жыл бұрын
Mtoto wa kishua huyo ukimpeleka kwenye kingereza anateleza kama kawa 😂.
@mankacharles4559
2 жыл бұрын
Mimi mars kazaliwa marekani,Vanessa kazliwa marekani sio mshamba aongee kingereza kwenye interview ya kiswahili mfatilie kwenye kazi zake za uemsii yani huyu ndio anachukuliwa,zile za kiingereza kisicho na kupindapinda walitoka marekani wakaishi ufaransa,kifaransa ndio usiseme hatari,wakahamia kenya ndio kurudi tz baba yao alikufa sasa ukisema ajui kingereza yaani sikuelewi kakizoea mpk bs
Tembelea you tube channel yute makk sports ili ujipatie habari mbali mbali za michezo na uchambuzi za uhakikia
Zifaam sofa mpya Kali kuliko zote 2022 kzread.info/dash/bejne/g6B7uradg7jedrQ.html