"MIMBA YANGU NA DIAMOND ILITOKA, ROHO ILINIUMA SANA" - OFFICIAL LYN
Ойын-сауық
"MIMBA YANGU NA DIAMOND ILITOKA, ROHO ILINIUMA SANA" - OFFICIAL LYN
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 194
Ndomana selikari inakemea madawa ya kulevya daaah mtoto alikuwa mzur huyi sasa mtazamaneni plus ajasoma shule ndo kabisa akuna kitu😭😭😭😭
Wee mdada ikiwa hutaki kushare utabaki peke yako , mambo siku hizi ni kushare, sharing is caring
Buguruni mchezo wamejuwa utakuwa juu wamekutolea mimba kudadeki
I LOVE OFFICIAL LYNN
Original diamond platinumz "not easy"!!!
Bange sana Lynn
Unajishauwa kweli juu dai awesome kukujibu
Wengine maharage ya mbeya,,,maji mara moja
Juma et Kaz imeanzaaa hahahahaha zari ndio habar yamjini wee hatujawahi kukujua ulikua nikama utombo huonekani usituchoshe kwa uzur gan
@saidatisaid150
2 жыл бұрын
Haaahaahaaa mbona kazi imeanza😆😆😆
Lyn anatembelea ui upepo🏃♀️🏃♀️🏃♀️
jaman mbona kawa hivi 😭😭😭sio yule lyn uso uko ivyo aki sio mzima 😭😭😭😭sio ninavyowaza 😭😭😭
@shighadiomar7691
2 жыл бұрын
Wee nae ni hio venye amedye nywele she's very much ok
@beatricemkassa9340
2 жыл бұрын
Km amelewa hv
@allthingdranabeauty
2 жыл бұрын
@@beatricemkassa9340 yan Dah uso umechoka
@Lifelessons911
2 жыл бұрын
Bange Mbaya, Hebu Muone Mchumali 😇🤣
Muongo uyo 😀😀😀😀😀😀😀😀
Huyu dada ni mzuri
Wewe nimbaya sana
Juma eti kaziimeanza😁😁😁
@neemamayco3238
2 жыл бұрын
Kumbe umesikia
Huyu msichana kaharibika sana kweli itakua anatumia madawa!
Huyu naye kichaa kweli
Wanaume tafteni pesa hivi viumbe haviluki dadeki
Kumbe lile jumba lilivyokuwa na likaandikwa D alikuwa Mr.Achibu jamiie
Lyn na harmoo ni mihadaratiiiiii tupu
Yaani we official Lyn inakuwaje sura imekomaa kama mtu mzima yaani umechoka tofauti na miaka miwili Nyuma ulikuwa baby face mnoo saivi umekaa kama mtu anaetumia madawa ya kulevya
@allthingdranabeauty
2 жыл бұрын
Yan ✍🏿😭😭😭
@luganomwakyusa7697
2 жыл бұрын
Huyo anabugia unga mbona kwani hujui
@Lifelessons911
2 жыл бұрын
Bange 😇
Hatumiagi kinga diamond auuuu
Wameshasikia kua zari n'a diamond wako Sawa kila panya litatolezea kusema alikua n'a mimba ya diamond sasa fyuuuuuuùuu mpewa hapokonyeki aliyepewa kapewa nendeni mukakojoe mulale hukooooo 😋😋😋😋😋😋😋
Mmhh yangu macho
Punguza mihadarati 😍
@Lifelessons911
2 жыл бұрын
Bange 😂🤨
Diamond ako na shida ya mwili
Lyn umechanganyikiwa n maisha,
Kweli habar y mjin no Diamond na atawatia sana
Hamna mtu hapa
Aiseeh
Pita hivi weeeewee
Wewe demu acha bange
@HenricPelegric
2 жыл бұрын
Yupo high hapo .
Respeito
Chizi mkubwa utasubiri sanaaa tu
Ana muhaho
Muongo utamuangalia usoni
roho ilimuuma sio kwa kupoteza mtoto ila kupoteza mtaji
@mariammwendakazungu5783
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@dadaagnes4483
2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@sheikhasalimhilali7228
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Jamani yaani nimecheka
Aiseeeeeeeee
Hivihuyo demni kwamba hanhakiri au kikiyataun jaman 😂😂😂
Mlete kwa ngosha ata pendwa
Kwaiyo kama alikulala, tukusaidiyeje tukupe pesa ya sabuni ukaoge hilo Janaba, muangaliye minywele kama chavichavi,
Duuh uyu demu kama kashaanza kuwa Teja au mnaonaje apoo
@jenifajuma5395
2 жыл бұрын
Hata Mimi nimeona
Huna lolote wew ulifichwaaa kam madawa ya kulevyaa enzi za tanashaaa
Kwenye uzuri hapo mh.....!
Diamond kazi anayo. Awa vichaa sijui wana mtaka nini mtoto wawatu
@tanntiger1206
2 жыл бұрын
Ndo namjua leo huyu ..
@wilonderby
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rajabdibwa6415
2 жыл бұрын
Mondi ni maji usipoyanywa utayaoga😂😂
@wilonderby
2 жыл бұрын
@@rajabdibwa6415 njoo uchukue Pepsi ya bardi WASAFI HEADQUARTERS 🤗
Upuuz mtupu vipind vinafanana sio wabunif stori za mwaka gan cjui mnatuletea hamna mpya mnakula mb bure shwainiiiii..
Hawa watoto wanapenda pesa tu hakuna kingine maana mbona Mimi kapuku hawanitaji
@amazoneissa9940
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mudrikibrahim8034
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mariammwendakazungu5783
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mohamedharunful
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
MBNA dem mwenyewe wakawaida hata Gigy hamkuti embu asimame tuone
Daaah kweli mambo yana badilika 😂 😂
Mzr uyu mtoto dahhh
Huyu demu muhuni
@leonardkambona3608
Жыл бұрын
sana
Tatizo munapenda shobo
Ukorofi hanaaa
Uyo mtangazaj mwingine mbona uso una'ngaaa Sana au nalo nipunga
@willykhalid640
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@dula8819
2 жыл бұрын
@@willykhalid640 unalijua punga boss wang
Wema sepetu hasijitambe sana 🤣🤣🤣
Uyu dada Ana jielewa kweli
Lakin diamond amewagonga madem wengi hapa dunian duh aaache tena arud kwa mung zinaa anaiyendekeza Sana maana uwezo anao siaoe atulie tu
@hamidayanga8224
2 жыл бұрын
Balaaa😂😂😂
@dula8819
2 жыл бұрын
@@hamidayanga8224 huyu Kama au anapepo la ngono
Cpat picha alivyoumia kwa kumpoteza mtoto maana yule mtoto ndiyo ilikuwa hela yenyewe kwa diamond😂😂😂
Juma mmmnh kazi imeanza😂😂😂😂
Mwanamke ni mtu wakudanganyika ukisoma story ya Adam na hawa ndio utajua nyoka alingilia wapi
Unatangaza ujinga tu hapo
Wema alisema yeye ndiye mwanamke pekee alitepelekewa mahari🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Diamond ana mbegu kama ukezi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni mrembo ndio, ila huna hadhi ya kumuwekea huyo mjamaa mipaka. Utakuja ufe kwa stress. Kama unataka wakwko pekeako njoo kitaa hata mimi natafuta wakwangu pekeangu.
@amazoneissa9940
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rashidjoseph2624
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@ubahalfan105
2 жыл бұрын
😅😅😅
@shamaamohamed5361
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Wanawake wote wazur
Madawaaaaa
Jmn mbona huyu dada kama huyuko sawa sasa hivi hakua hivi kuna ulevi anatumia unamuharibu
Mmmm daimod jamaniii🤣🤣🤣🤣
Juma kama anamsuta dada wa watu😆😆😆
DAH! MAISHA HAYA.... YAN WA USWAZI HAWAJATULIA, WANAOJIELEWA HAWATUTAKI, WAZURI HAWANA AKILI DUH! MBINGUNI TUTAFIKA ILA KWA KUCHELEWA SANA
Kachoka skuizi
@jenifajuma5395
2 жыл бұрын
Kachoka Sanaa mpka sura imekomaa kama mtu mzima sijui yamemsibu yapi
Na Mimi ninamimba ya rayvan Paula akae kwa kutulia
Yan huy Dem bra umfanyie interview tahira upate kucheka kuliko huyu mwehu mauzi tupu hajielew hat kidog😂😂😂
Haha mondi kawagonga ssaana
Yani sikuhizi akiwa anangea sikuhiz kama amelewalewa
Kumbe 😳😀
Ukweli mtupuu 🤣🤣 t
Makubwa
Uja uzito umeenda kuzimuni
Hivi ni vitu vya kutumia
Kila jambo diamond makubwa haya
Huyu nae kila interview lazima aongelee Hilo
Unauzuri gani ww boya
She seems to be on a cocktail of drugs like Crystalmeth and cheap alcohol. Dada umechoka vibaya muno🤔
@rosemarymsafiri3255
2 жыл бұрын
Mm mwnyw nna waswas na hlo
Diamond kiboko jamani hahhhah
Yuaota huyo 🤣🤣🤣 mwamushenini asije akakojolea kitandani 🤣🤣🤣🤣
Et kanaon raha kuongea pumba zake😒😏😏😏😏😏
Lynn punguza mihadarati wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rogerstarofficial
2 жыл бұрын
🤣🤣
@rashidjoseph2624
2 жыл бұрын
Mihadarati ndo mpng mzm kwa Sasa🤣🤣🤣🤣
@irenepaul3110
2 жыл бұрын
Exactly
@kwisa4899
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@modestajamada3496
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Dada nikwambie tu umechoka na unatamani umda uliopita na diamond jikusanye diamond ashamove on😂😂
Kafara hizo...ulitengemea nini,kamuulize konde boy
Ukitoa pesa za Diamond nyota pia anayo ya kupendwa
Huyu demu amekuwa teja au
@jenifajuma5395
2 жыл бұрын
Hata Mimi nimeshangaa mbona kama kachoka sura imekomaa kama mtu mzima na anavyoongea kama kaanza kutumia madawa ya kulevya
*Yaan kwa jinsi anavyo ongea huyu dada akili hana kabisa.. afu sijui hua ni kwanini yaan wadada wazur hua awana akili kabisa* 😂😂😂😂
@fisjaykitamuliko1183
2 жыл бұрын
😁😁
@elizabethkissing3911
11 ай бұрын
Msichana yoyote anaeanza kugongwa akiwa mdogo lazima akil ziluke
mmmhhh...i observe that the word EX doesn't not exist or is misunderstood bei some people...and some women don't have self worth. i'm sorry.
Kwa haraka haraka Diamond anawatoto laki moja 🤣🤣🤣🤣🤣
@rashidjoseph2624
2 жыл бұрын
🤣
@ubahalfan105
2 жыл бұрын
😅😅😅😅Watu wataka urithi
@mamachris6811
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@dadaagnes4483
2 жыл бұрын
ha ha ha ha haaaaa
Juma kazi imeanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bintykigan9285
2 жыл бұрын
😀😀😀
Mbona kama ana hangover?!
Hizo story za uongo
Mmmmmm
Jamni Nani kaona huyu dada anatumia unga wa kulevya
@richardstanley1860
2 жыл бұрын
Stress na pombe
Mh