"MIMBA YANGU NA DIAMOND ILITOKA, ROHO ILINIUMA SANA" - OFFICIAL LYN

Ойын-сауық

"MIMBA YANGU NA DIAMOND ILITOKA, ROHO ILINIUMA SANA" - OFFICIAL LYN
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 194

  • @rohityalsina1840
    @rohityalsina18402 жыл бұрын

    Ndomana selikari inakemea madawa ya kulevya daaah mtoto alikuwa mzur huyi sasa mtazamaneni plus ajasoma shule ndo kabisa akuna kitu😭😭😭😭

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 Жыл бұрын

    Wee mdada ikiwa hutaki kushare utabaki peke yako , mambo siku hizi ni kushare, sharing is caring

  • @wemasamir9451
    @wemasamir9451 Жыл бұрын

    Buguruni mchezo wamejuwa utakuwa juu wamekutolea mimba kudadeki

  • @kaymsafi
    @kaymsafi2 жыл бұрын

    I LOVE OFFICIAL LYNN

  • @dricilemorrisdroti6073
    @dricilemorrisdroti60732 жыл бұрын

    Original diamond platinumz "not easy"!!!

  • @ymanusa9081
    @ymanusa90812 жыл бұрын

    Bange sana Lynn

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim67382 жыл бұрын

    Unajishauwa kweli juu dai awesome kukujibu

  • @fredmbossa
    @fredmbossa2 жыл бұрын

    Wengine maharage ya mbeya,,,maji mara moja

  • @najuf8021
    @najuf80212 жыл бұрын

    Juma et Kaz imeanzaaa hahahahaha zari ndio habar yamjini wee hatujawahi kukujua ulikua nikama utombo huonekani usituchoshe kwa uzur gan

  • @saidatisaid150

    @saidatisaid150

    2 жыл бұрын

    Haaahaahaaa mbona kazi imeanza😆😆😆

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla1252 жыл бұрын

    Lyn anatembelea ui upepo🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty2 жыл бұрын

    jaman mbona kawa hivi 😭😭😭sio yule lyn uso uko ivyo aki sio mzima 😭😭😭😭sio ninavyowaza 😭😭😭

  • @shighadiomar7691

    @shighadiomar7691

    2 жыл бұрын

    Wee nae ni hio venye amedye nywele she's very much ok

  • @beatricemkassa9340

    @beatricemkassa9340

    2 жыл бұрын

    Km amelewa hv

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    2 жыл бұрын

    @@beatricemkassa9340 yan Dah uso umechoka

  • @Lifelessons911

    @Lifelessons911

    2 жыл бұрын

    Bange Mbaya, Hebu Muone Mchumali 😇🤣

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi56632 жыл бұрын

    Muongo uyo 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @rossemaryeliya6113
    @rossemaryeliya61132 жыл бұрын

    Huyu dada ni mzuri

  • @jemisjuma2951
    @jemisjuma29512 жыл бұрын

    Wewe nimbaya sana

  • @divinebernard1047
    @divinebernard10472 жыл бұрын

    Juma eti kaziimeanza😁😁😁

  • @neemamayco3238

    @neemamayco3238

    2 жыл бұрын

    Kumbe umesikia

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba59862 жыл бұрын

    Huyu msichana kaharibika sana kweli itakua anatumia madawa!

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog67522 жыл бұрын

    Huyu naye kichaa kweli

  • @musasabuu2808
    @musasabuu28082 жыл бұрын

    Wanaume tafteni pesa hivi viumbe haviluki dadeki

  • @malmavoice8989
    @malmavoice89892 жыл бұрын

    Kumbe lile jumba lilivyokuwa na likaandikwa D alikuwa Mr.Achibu jamiie

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega87122 жыл бұрын

    Lyn na harmoo ni mihadaratiiiiii tupu

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma53952 жыл бұрын

    Yaani we official Lyn inakuwaje sura imekomaa kama mtu mzima yaani umechoka tofauti na miaka miwili Nyuma ulikuwa baby face mnoo saivi umekaa kama mtu anaetumia madawa ya kulevya

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    2 жыл бұрын

    Yan ✍🏿😭😭😭

  • @luganomwakyusa7697

    @luganomwakyusa7697

    2 жыл бұрын

    Huyo anabugia unga mbona kwani hujui

  • @Lifelessons911

    @Lifelessons911

    2 жыл бұрын

    Bange 😇

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru19742 жыл бұрын

    Hatumiagi kinga diamond auuuu

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah77132 жыл бұрын

    Wameshasikia kua zari n'a diamond wako Sawa kila panya litatolezea kusema alikua n'a mimba ya diamond sasa fyuuuuuuùuu mpewa hapokonyeki aliyepewa kapewa nendeni mukakojoe mulale hukooooo 😋😋😋😋😋😋😋

  • @festohaule1195
    @festohaule11952 жыл бұрын

    Mmhh yangu macho

  • @officialnadoboytz1005
    @officialnadoboytz10052 жыл бұрын

    Punguza mihadarati 😍

  • @Lifelessons911

    @Lifelessons911

    2 жыл бұрын

    Bange 😂🤨

  • @emmymaina5766
    @emmymaina57662 жыл бұрын

    Diamond ako na shida ya mwili

  • @monicahjared2412
    @monicahjared24122 жыл бұрын

    Lyn umechanganyikiwa n maisha,

  • @chrismwanakwetu1435
    @chrismwanakwetu14352 жыл бұрын

    Kweli habar y mjin no Diamond na atawatia sana

  • @innocentelphas438
    @innocentelphas4382 жыл бұрын

    Hamna mtu hapa

  • @erickmahona5357
    @erickmahona53572 жыл бұрын

    Aiseeh

  • @abdulparesh4899
    @abdulparesh48992 жыл бұрын

    Pita hivi weeeewee

  • @mohamedjumbe9309
    @mohamedjumbe93092 жыл бұрын

    Wewe demu acha bange

  • @HenricPelegric

    @HenricPelegric

    2 жыл бұрын

    Yupo high hapo .

  • @Baynumberonee
    @Baynumberonee2 жыл бұрын

    Respeito

  • @hannanommy302
    @hannanommy3022 жыл бұрын

    Chizi mkubwa utasubiri sanaaa tu

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Ana muhaho

  • @johnyagat973
    @johnyagat9732 жыл бұрын

    Muongo utamuangalia usoni

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai73032 жыл бұрын

    roho ilimuuma sio kwa kupoteza mtoto ila kupoteza mtaji

  • @mariammwendakazungu5783

    @mariammwendakazungu5783

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @dadaagnes4483

    @dadaagnes4483

    2 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @sheikhasalimhilali7228

    @sheikhasalimhilali7228

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂Jamani yaani nimecheka

  • @gabrielkatanga8780
    @gabrielkatanga87802 жыл бұрын

    Aiseeeeeeeee

  • @jimyjastini9995
    @jimyjastini99952 жыл бұрын

    Hivihuyo demni kwamba hanhakiri au kikiyataun jaman 😂😂😂

  • @saidshimbo9852
    @saidshimbo98522 жыл бұрын

    Mlete kwa ngosha ata pendwa

  • @user-pg3pu4jk9f
    @user-pg3pu4jk9f2 жыл бұрын

    Kwaiyo kama alikulala, tukusaidiyeje tukupe pesa ya sabuni ukaoge hilo Janaba, muangaliye minywele kama chavichavi,

  • @nassoroally725
    @nassoroally7252 жыл бұрын

    Duuh uyu demu kama kashaanza kuwa Teja au mnaonaje apoo

  • @jenifajuma5395

    @jenifajuma5395

    2 жыл бұрын

    Hata Mimi nimeona

  • @neemamayco3238
    @neemamayco32382 жыл бұрын

    Huna lolote wew ulifichwaaa kam madawa ya kulevyaa enzi za tanashaaa

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe90422 жыл бұрын

    Kwenye uzuri hapo mh.....!

  • @husnamfuko6136
    @husnamfuko61362 жыл бұрын

    Diamond kazi anayo. Awa vichaa sijui wana mtaka nini mtoto wawatu

  • @tanntiger1206

    @tanntiger1206

    2 жыл бұрын

    Ndo namjua leo huyu ..

  • @wilonderby

    @wilonderby

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @rajabdibwa6415

    @rajabdibwa6415

    2 жыл бұрын

    Mondi ni maji usipoyanywa utayaoga😂😂

  • @wilonderby

    @wilonderby

    2 жыл бұрын

    @@rajabdibwa6415 njoo uchukue Pepsi ya bardi WASAFI HEADQUARTERS 🤗

  • @georgesikazwe5914
    @georgesikazwe59142 жыл бұрын

    Upuuz mtupu vipind vinafanana sio wabunif stori za mwaka gan cjui mnatuletea hamna mpya mnakula mb bure shwainiiiii..

  • @singidaone5628
    @singidaone56282 жыл бұрын

    Hawa watoto wanapenda pesa tu hakuna kingine maana mbona Mimi kapuku hawanitaji

  • @amazoneissa9940

    @amazoneissa9940

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mudrikibrahim8034

    @mudrikibrahim8034

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @mariammwendakazungu5783

    @mariammwendakazungu5783

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mohamedharunful

    @mohamedharunful

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @saidollarchain2895
    @saidollarchain28952 жыл бұрын

    MBNA dem mwenyewe wakawaida hata Gigy hamkuti embu asimame tuone

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange82182 жыл бұрын

    Daaah kweli mambo yana badilika 😂 😂

  • @musason1680
    @musason16802 жыл бұрын

    Mzr uyu mtoto dahhh

  • @willykhalid640
    @willykhalid6402 жыл бұрын

    Huyu demu muhuni

  • @leonardkambona3608

    @leonardkambona3608

    Жыл бұрын

    sana

  • @Jazzy_patternz
    @Jazzy_patternz2 жыл бұрын

    Tatizo munapenda shobo

  • @saumuabdi1802
    @saumuabdi18022 жыл бұрын

    Ukorofi hanaaa

  • @dula8819
    @dula88192 жыл бұрын

    Uyo mtangazaj mwingine mbona uso una'ngaaa Sana au nalo nipunga

  • @willykhalid640

    @willykhalid640

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @dula8819

    @dula8819

    2 жыл бұрын

    @@willykhalid640 unalijua punga boss wang

  • @albs1448
    @albs14482 жыл бұрын

    Wema sepetu hasijitambe sana 🤣🤣🤣

  • @g_eazmusic1329
    @g_eazmusic13292 жыл бұрын

    Uyu dada Ana jielewa kweli

  • @dula8819
    @dula88192 жыл бұрын

    Lakin diamond amewagonga madem wengi hapa dunian duh aaache tena arud kwa mung zinaa anaiyendekeza Sana maana uwezo anao siaoe atulie tu

  • @hamidayanga8224

    @hamidayanga8224

    2 жыл бұрын

    Balaaa😂😂😂

  • @dula8819

    @dula8819

    2 жыл бұрын

    @@hamidayanga8224 huyu Kama au anapepo la ngono

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi75322 жыл бұрын

    Cpat picha alivyoumia kwa kumpoteza mtoto maana yule mtoto ndiyo ilikuwa hela yenyewe kwa diamond😂😂😂

  • @bintykigan9285
    @bintykigan92852 жыл бұрын

    Juma mmmnh kazi imeanza😂😂😂😂

  • @johnkyara2016
    @johnkyara20162 жыл бұрын

    Mwanamke ni mtu wakudanganyika ukisoma story ya Adam na hawa ndio utajua nyoka alingilia wapi

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia22792 жыл бұрын

    Unatangaza ujinga tu hapo

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga94892 жыл бұрын

    Wema alisema yeye ndiye mwanamke pekee alitepelekewa mahari🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Diamond ana mbegu kama ukezi🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aidanalmas2319
    @aidanalmas23192 жыл бұрын

    Ni mrembo ndio, ila huna hadhi ya kumuwekea huyo mjamaa mipaka. Utakuja ufe kwa stress. Kama unataka wakwko pekeako njoo kitaa hata mimi natafuta wakwangu pekeangu.

  • @amazoneissa9940

    @amazoneissa9940

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rashidjoseph2624

    @rashidjoseph2624

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @ubahalfan105

    @ubahalfan105

    2 жыл бұрын

    😅😅😅

  • @shamaamohamed5361

    @shamaamohamed5361

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Wanawake wote wazur

  • @micmashdaniel7854
    @micmashdaniel78542 жыл бұрын

    Madawaaaaa

  • @bahatiabdallah5901
    @bahatiabdallah59012 жыл бұрын

    Jmn mbona huyu dada kama huyuko sawa sasa hivi hakua hivi kuna ulevi anatumia unamuharibu

  • @hgcbj635
    @hgcbj6352 жыл бұрын

    Mmmm daimod jamaniii🤣🤣🤣🤣

  • @raheemaal-hady9328
    @raheemaal-hady93282 жыл бұрын

    Juma kama anamsuta dada wa watu😆😆😆

  • @FakihiNapunda
    @FakihiNapunda2 жыл бұрын

    DAH! MAISHA HAYA.... YAN WA USWAZI HAWAJATULIA, WANAOJIELEWA HAWATUTAKI, WAZURI HAWANA AKILI DUH! MBINGUNI TUTAFIKA ILA KWA KUCHELEWA SANA

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli72242 жыл бұрын

    Kachoka skuizi

  • @jenifajuma5395

    @jenifajuma5395

    2 жыл бұрын

    Kachoka Sanaa mpka sura imekomaa kama mtu mzima sijui yamemsibu yapi

  • @rachelmliwa9830
    @rachelmliwa98302 жыл бұрын

    Na Mimi ninamimba ya rayvan Paula akae kwa kutulia

  • @hawayusuph6818
    @hawayusuph68182 жыл бұрын

    Yan huy Dem bra umfanyie interview tahira upate kucheka kuliko huyu mwehu mauzi tupu hajielew hat kidog😂😂😂

  • @abuusahya6130
    @abuusahya61302 жыл бұрын

    Haha mondi kawagonga ssaana

  • @hafsasaid9666
    @hafsasaid96662 жыл бұрын

    Yani sikuhizi akiwa anangea sikuhiz kama amelewalewa

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Kumbe 😳😀

  • @mbayahamis3051
    @mbayahamis30512 жыл бұрын

    Ukweli mtupuu 🤣🤣 t

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma54282 жыл бұрын

    Makubwa

  • @AL-hm2nv
    @AL-hm2nv2 жыл бұрын

    Uja uzito umeenda kuzimuni

  • @magabewambura9081
    @magabewambura90812 жыл бұрын

    Hivi ni vitu vya kutumia

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Kila jambo diamond makubwa haya

  • @zarabati1750
    @zarabati17502 жыл бұрын

    Huyu nae kila interview lazima aongelee Hilo

  • @abdallahajiomari9525
    @abdallahajiomari95252 жыл бұрын

    Unauzuri gani ww boya

  • @hamismbekae3050
    @hamismbekae30502 жыл бұрын

    She seems to be on a cocktail of drugs like Crystalmeth and cheap alcohol. Dada umechoka vibaya muno🤔

  • @rosemarymsafiri3255

    @rosemarymsafiri3255

    2 жыл бұрын

    Mm mwnyw nna waswas na hlo

  • @rahiymaallawi6551
    @rahiymaallawi65512 жыл бұрын

    Diamond kiboko jamani hahhhah

  • @tymlesshodari1010
    @tymlesshodari10102 жыл бұрын

    Yuaota huyo 🤣🤣🤣 mwamushenini asije akakojolea kitandani 🤣🤣🤣🤣

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu20752 жыл бұрын

    Et kanaon raha kuongea pumba zake😒😏😏😏😏😏

  • @theblessedone7526
    @theblessedone75262 жыл бұрын

    Lynn punguza mihadarati wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rogerstarofficial

    @rogerstarofficial

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @rashidjoseph2624

    @rashidjoseph2624

    2 жыл бұрын

    Mihadarati ndo mpng mzm kwa Sasa🤣🤣🤣🤣

  • @irenepaul3110

    @irenepaul3110

    2 жыл бұрын

    Exactly

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @modestajamada3496

    @modestajamada3496

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar28922 жыл бұрын

    Dada nikwambie tu umechoka na unatamani umda uliopita na diamond jikusanye diamond ashamove on😂😂

  • @mohamedsalim7271
    @mohamedsalim72712 жыл бұрын

    Kafara hizo...ulitengemea nini,kamuulize konde boy

  • @pendomarco8928
    @pendomarco89282 жыл бұрын

    Ukitoa pesa za Diamond nyota pia anayo ya kupendwa

  • @fatmaali4921
    @fatmaali49212 жыл бұрын

    Huyu demu amekuwa teja au

  • @jenifajuma5395

    @jenifajuma5395

    2 жыл бұрын

    Hata Mimi nimeshangaa mbona kama kachoka sura imekomaa kama mtu mzima na anavyoongea kama kaanza kutumia madawa ya kulevya

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw2 жыл бұрын

    *Yaan kwa jinsi anavyo ongea huyu dada akili hana kabisa.. afu sijui hua ni kwanini yaan wadada wazur hua awana akili kabisa* 😂😂😂😂

  • @fisjaykitamuliko1183

    @fisjaykitamuliko1183

    2 жыл бұрын

    😁😁

  • @elizabethkissing3911

    @elizabethkissing3911

    11 ай бұрын

    Msichana yoyote anaeanza kugongwa akiwa mdogo lazima akil ziluke

  • @ellieellie1469
    @ellieellie14692 жыл бұрын

    mmmhhh...i observe that the word EX doesn't not exist or is misunderstood bei some people...and some women don't have self worth. i'm sorry.

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack44702 жыл бұрын

    Kwa haraka haraka Diamond anawatoto laki moja 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rashidjoseph2624

    @rashidjoseph2624

    2 жыл бұрын

    🤣

  • @ubahalfan105

    @ubahalfan105

    2 жыл бұрын

    😅😅😅😅Watu wataka urithi

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @dadaagnes4483

    @dadaagnes4483

    2 жыл бұрын

    ha ha ha ha haaaaa

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph26202 жыл бұрын

    Juma kazi imeanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bintykigan9285

    @bintykigan9285

    2 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @web2.095
    @web2.0952 жыл бұрын

    Mbona kama ana hangover?!

  • @castombilo7114
    @castombilo71142 жыл бұрын

    Hizo story za uongo

  • @mariamakungwa5391
    @mariamakungwa53912 жыл бұрын

    Mmmmmm

  • @mbonimarog5903
    @mbonimarog59032 жыл бұрын

    Jamni Nani kaona huyu dada anatumia unga wa kulevya

  • @richardstanley1860

    @richardstanley1860

    2 жыл бұрын

    Stress na pombe

  • @husnamfuko6136
    @husnamfuko61362 жыл бұрын

    Mh

Келесі