Mfalme Pharao - Movie (Official VideoHD)
New video kutoka kwa muimbaji wa rhumba tanzania video hii imefanyika katika studio za Skillz video na ikidailektiwa na Director PIZZO MTENA na location ikiwa morogoro maeneo ya uwanja wa golf ⛳
#ONTRENDING
New video kutoka kwa muimbaji wa rhumba tanzania video hii imefanyika katika studio za Skillz video na ikidailektiwa na Director PIZZO MTENA na location ikiwa morogoro maeneo ya uwanja wa golf ⛳
#ONTRENDING
Пікірлер: 193
Kama umesikiza zaidi ya maramoja piga like !
aise cristian bella angalie uu jama ni shida anatisha sana
Oooh No why is he not famous I'm downloading all of his songs abeg so much talent here.
Kaka shikamoo hili balaah
Kaka nambie tkyu sehemu Gani nimpelekee mamy kitenge😂 unaimba bhana zawad ya Tanzania wewe...❤
We jamaa wawe ni viwango vingine
Nauzunika kuona huna jina na ujuzi wote huuu😭😭😭😭🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️
@simonrusigwa3024
Жыл бұрын
Emagine
Kwa uimbaji hu umenifanya mpaka nimemuhama Christian bella maana sikuizi anaimba upumbavu tu naomba na wewe usilewe sifa ukaanza kuharibu kazi tafadhali tuna kutegemea sana kwanza unaimba Rhumba la kisasa ambayo ina kwenda kwa kila lika safi sana
Ujakosea kivile umejitaidi kiasi
We jamaa mbona kama nilisha wahi kukuona Bss bongo star search majaji walisema hujui kumbe wao ndio hawa jui wasenge sana hawajuagi hata watu wenye vipaji kaza kaka wewe unajua tena sana watu wenye kipaji kama chako ni wachache sana wengi wao wana unga unga tu ila usivimbe kichwa Mwenyezi Mungu akutangulie
napenda hii goma kweli
Wakuache mzee sio kwa voko hi ni Taaaaaaaaaaaam saaaaaaaaaaaaana
Unajua sanaaaaaaaaaaaa co powa
Safi sana , nakupata kutoka hapa dukani goba center 😎😎😎😎
@simonrusigwa3024
Жыл бұрын
Goba saisai hapa. Pamoja sana mwamba. Twende nae huyu
Ongera sana pro unaweza
This guy sings! Ferre Gola of Tanzania indeed!
@karimmasoudy933
9 ай бұрын
He is copyright of Ferre GOLA in Swahili
@divinahogamba
9 ай бұрын
@@karimmasoudy933who told you he's coping
@BlmnotinAfri.-_-
8 ай бұрын
@@divinahogambasomebody
Wimbo tamu sana mithili ya halua listening from Kenya 🇰🇪
Uko vizuri Kaka
Kubwaa mzee baba
Ngoma mzuri ,mwimbaji mwenye sauti Kama ya ferre gola
🔥
kiufundi zaidiiii tamu
Kazi nzuri sana
Nyimbo nzuri
Peeeenda sana muviiiiiiiii. Balaaaaa
Good one
Du ngoma Kali sana hi
Safi sana kazi nzuri kakaaa
Good video
kali sana bro kamradi films kenya aan kazi nzuri fally nyuma
Chuma hatari sana hiki, umetisha bro
Kazi nzuri aseh
Hi ni mashine wewe jamaa wa wapi ungekuwa kabila yangu ninge jivunia hata kama sio ndugu yangu unajua kaka hongela sana wapo wa kongo wengi tu hapa Tanzania lkn hawawezi kuimba hivi halafu wewe Mtanzania lkn unaimba hivi hakika Mungu kakupa kipaji
Kazi nzuri sana mfalme pharao
Video vixen 😘😘😘
Rhumba Rhumba safii sana
Fundi wa mafundi Wewe ni mkali Tanzania tumepata kifaa kweli kweli kwenye up ande wa Rhumba hakuna wa kukufikia penda sana wewe mimi
Uko sawa papa keep it up
Ngoma Kali sana kinoma
Kaza sana kakaa
Hii ndio miziki sasa
Upovzr xn mdogo wangu ahsante xn
Wataelewa tu dam yong
Good
Rhumba tamu
Safi sana
Me sho yong de la press Africana 💪🏾👍👍👍
Ferre Gola wa Tanzania
Nice song,na hiko na ujumbe
Rhumba ya kwenda hii bro angu...
Nakumbuka Hizo Enzi zakina Longombas Top hit
Umetishaaa mzeee
Tanzanian ferre gola yuko top
Kila sana mwanangu
Nakupenda sana kaka yangu
Ndugu yangu, we sio wa hapa Bongo kabsa
Napenda sana movie ya Lorenzo Napenda tamthilia ya secredo de amor Much love from Kenya
Wawoooo Iko poa sana
Nice song bro
The Swahili Ferre Gola
Hu wimbo kila nikisikiliza hamu haini ishi jamani hawa kuwezi miaka 100%
Goma kali
Moto snaaa brooo
nakusikiliza kutoka Mozambique 🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼 washaaa🙌🙌🙌🙌🙌
Da hi Rhumba ni kali jamani acheni masiala huyu mbena wa wapi anaimba hivi jamani bonge la ngoma mzee
Falling in love with youe music Kenya tunakupenda sana❤❤❤
Good music kiukweli
Haijawahi kutokea Tanzania RHUMBA ya namna hi kwa mala ya kwanza ndo nasikia kwako umetisha sana hi ni changa moto kwa wakongwe wa dans Tanzania
@simonrusigwa3024
Жыл бұрын
Sahihi kabisa
Kazi nzuri sana Tanzania haijawahi kutokea kazi ya namna hi ndo mala ya kwanza kuona Tanzania kuona msanii anaye imba Rhumba vzr kama huyu hongera sana kaza ndugu wataelewa tuuuu
@simonrusigwa3024
Жыл бұрын
Sahihi kabisa. Haijawahi tokea
🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦 Mob
Mkuu hi ngoma Kali sana hi ni Rhumba la nguvu
I know love your songs after listening to the "usiwasilize " song
Kitu safi bro.
nice movie
Niko haka kwa sababu ya juma nature
mnala wa babeli umetisha kinomaaaaa
Nipo usa nahanza fatilia nyimbo zako
video kali
Safi Sana
Nyimbo kali sana broo
Wow ❤️😘
kiukweli kwa Tanzania hi kwa mala ya kwanza ndo nasikia Rhumba kali ya kiswahili hi haijawahi kutokea kwa Tanzania hata CONGO ni Ferre gola tu anafanya staili hi naweza sema kwa Tanzania wewe ni Best musional wa Rhumba
Safi broo
Kenya loves #rhumba more than any other non-French speaking nation. #MFALME, hii sauti ukija Kenya utakuwa booked Monday to Sunday.., you'll make big money kwa clubs ukicheza liv
Boooonge la bengaaaa. Much love brooo. Asanteeee
Aisee sijaipata sikia Rhumba kama hi Tanzania kweli sasa watanzania tunasonga kimusic kwa hali hi sio mchezo
Hi ni shida kwa Tanzania wewe ni Hatari
Nice music
Nimeipenda leo huu mwezi 6 ndo kujuwa nyimbo zako tangu nahanza fatilia 2023 leo ndo nimeona nyimbo mzuri sana mungu akubariki bro
Unajua sana ndugu
@simonrusigwa3024
Жыл бұрын
Mnoooo
Sauti tamu kama ya ferre Gola😍😍🤩
Muzuri sana From Mombasa,Kenya. Rhumba Taratibu.
Gud baba upo sawa wabongo wataanza kukuvunjia nazi 😂
Kaka umenikosha sana hu ndio music
Another version of Christian Bella
Sounds like ferre gola Felicitations
kaliiii
Hii kweli rhumba ya Dunia Tanzania sijawahi kusikia rhumba kama hili umetisha mzazi hii ni kazi kweli kweli miaka mia 100
The New Ferre Gola
Yani umeni guza kabisa wimbo inanichoma maze