Mfalme Pharao - Movie (Official VideoHD)

New video kutoka kwa muimbaji wa rhumba tanzania video hii imefanyika katika studio za Skillz video na ikidailektiwa na Director PIZZO MTENA na location ikiwa morogoro maeneo ya uwanja wa golf ⛳
#ONTRENDING

Пікірлер: 193

  • @odongoobiero9570
    @odongoobiero9570 Жыл бұрын

    Kama umesikiza zaidi ya maramoja piga like !

  • @ramosfally2318
    @ramosfally23183 жыл бұрын

    aise cristian bella angalie uu jama ni shida anatisha sana

  • @MissM_254
    @MissM_2545 ай бұрын

    Oooh No why is he not famous I'm downloading all of his songs abeg so much talent here.

  • @yohananestory4180
    @yohananestory41803 жыл бұрын

    Kaka shikamoo hili balaah

  • @user-rs9nn7jz1t
    @user-rs9nn7jz1t11 ай бұрын

    Kaka nambie tkyu sehemu Gani nimpelekee mamy kitenge😂 unaimba bhana zawad ya Tanzania wewe...❤

  • @mohamedjuma2676
    @mohamedjuma26763 жыл бұрын

    We jamaa wawe ni viwango vingine

  • @lambertbitaofficial1998
    @lambertbitaofficial19983 жыл бұрын

    Nauzunika kuona huna jina na ujuzi wote huuu😭😭😭😭🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️

  • @simonrusigwa3024

    @simonrusigwa3024

    Жыл бұрын

    Emagine

  • @jumalamuru449
    @jumalamuru4494 жыл бұрын

    Kwa uimbaji hu umenifanya mpaka nimemuhama Christian bella maana sikuizi anaimba upumbavu tu naomba na wewe usilewe sifa ukaanza kuharibu kazi tafadhali tuna kutegemea sana kwanza unaimba Rhumba la kisasa ambayo ina kwenda kwa kila lika safi sana

  • @lumumbaclassic1169
    @lumumbaclassic11695 жыл бұрын

    Ujakosea kivile umejitaidi kiasi

  • @bonykakole5942
    @bonykakole59424 жыл бұрын

    We jamaa mbona kama nilisha wahi kukuona Bss bongo star search majaji walisema hujui kumbe wao ndio hawa jui wasenge sana hawajuagi hata watu wenye vipaji kaza kaka wewe unajua tena sana watu wenye kipaji kama chako ni wachache sana wengi wao wana unga unga tu ila usivimbe kichwa Mwenyezi Mungu akutangulie

  • @officialsdominikecomedy664
    @officialsdominikecomedy6643 жыл бұрын

    napenda hii goma kweli

  • @sunilyshert9467
    @sunilyshert94673 жыл бұрын

    Wakuache mzee sio kwa voko hi ni Taaaaaaaaaaaam saaaaaaaaaaaaana

  • @666richking3
    @666richking33 жыл бұрын

    Unajua sanaaaaaaaaaaaa co powa

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim58844 жыл бұрын

    Safi sana , nakupata kutoka hapa dukani goba center 😎😎😎😎

  • @simonrusigwa3024

    @simonrusigwa3024

    Жыл бұрын

    Goba saisai hapa. Pamoja sana mwamba. Twende nae huyu

  • @magufulijacques7885
    @magufulijacques78853 жыл бұрын

    Ongera sana pro unaweza

  • @Jaseme1
    @Jaseme1 Жыл бұрын

    This guy sings! Ferre Gola of Tanzania indeed!

  • @karimmasoudy933

    @karimmasoudy933

    9 ай бұрын

    He is copyright of Ferre GOLA in Swahili

  • @divinahogamba

    @divinahogamba

    9 ай бұрын

    ​@@karimmasoudy933who told you he's coping

  • @BlmnotinAfri.-_-

    @BlmnotinAfri.-_-

    8 ай бұрын

    ​@@divinahogambasomebody

  • @davisumijah5205
    @davisumijah52055 ай бұрын

    Wimbo tamu sana mithili ya halua listening from Kenya 🇰🇪

  • @queenjaneth886
    @queenjaneth8864 жыл бұрын

    Uko vizuri Kaka

  • @mcmgosi4767
    @mcmgosi47674 жыл бұрын

    Kubwaa mzee baba

  • @febbicrougeferooz2886
    @febbicrougeferooz28866 ай бұрын

    Ngoma mzuri ,mwimbaji mwenye sauti Kama ya ferre gola

  • @wamuyungugraphic5232
    @wamuyungugraphic52323 жыл бұрын

    🔥

  • @mabodo_africa5427
    @mabodo_africa54274 жыл бұрын

    kiufundi zaidiiii tamu

  • @kingpassy7732
    @kingpassy77324 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @papymaray9608
    @papymaray96083 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri

  • @simonrusigwa3024
    @simonrusigwa3024 Жыл бұрын

    Peeeenda sana muviiiiiiiii. Balaaaaa

  • @powerofthewordfamily1862
    @powerofthewordfamily18624 жыл бұрын

    Good one

  • @abdallahshomali9709
    @abdallahshomali97092 жыл бұрын

    Du ngoma Kali sana hi

  • @alyne7710
    @alyne77105 жыл бұрын

    Safi sana kazi nzuri kakaaa

  • @Raj-lw1bw
    @Raj-lw1bw4 жыл бұрын

    Good video

  • @swytv
    @swytv3 жыл бұрын

    kali sana bro kamradi films kenya aan kazi nzuri fally nyuma

  • @rupiaadventure3824
    @rupiaadventure38243 жыл бұрын

    Chuma hatari sana hiki, umetisha bro

  • @meshackhaule
    @meshackhaule5 жыл бұрын

    Kazi nzuri aseh

  • @sukaclouds8725
    @sukaclouds87254 жыл бұрын

    Hi ni mashine wewe jamaa wa wapi ungekuwa kabila yangu ninge jivunia hata kama sio ndugu yangu unajua kaka hongela sana wapo wa kongo wengi tu hapa Tanzania lkn hawawezi kuimba hivi halafu wewe Mtanzania lkn unaimba hivi hakika Mungu kakupa kipaji

  • @edgargerald2535
    @edgargerald25352 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana mfalme pharao

  • @gerasvenance772
    @gerasvenance7722 жыл бұрын

    Video vixen 😘😘😘

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93133 жыл бұрын

    Rhumba Rhumba safii sana

  • @elizabethedward3622
    @elizabethedward36223 жыл бұрын

    Fundi wa mafundi Wewe ni mkali Tanzania tumepata kifaa kweli kweli kwenye up ande wa Rhumba hakuna wa kukufikia penda sana wewe mimi

  • @kiserofrancis7739
    @kiserofrancis77393 жыл бұрын

    Uko sawa papa keep it up

  • @fraternsinda1802
    @fraternsinda18025 жыл бұрын

    Ngoma Kali sana kinoma

  • @thomasdiamosbob3965
    @thomasdiamosbob39654 жыл бұрын

    Kaza sana kakaa

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja24113 жыл бұрын

    Hii ndio miziki sasa

  • @frankkabatano5183
    @frankkabatano51834 жыл бұрын

    Upovzr xn mdogo wangu ahsante xn

  • @degwaboy8128
    @degwaboy81285 жыл бұрын

    Wataelewa tu dam yong

  • @bllackdzo3350
    @bllackdzo33504 жыл бұрын

    Good

  • @MiriamSamuelke
    @MiriamSamuelke4 жыл бұрын

    Rhumba tamu

  • @doctorprophet4474
    @doctorprophet44745 жыл бұрын

    Safi sana

  • @DEAKENYA
    @DEAKENYA3 жыл бұрын

    Me sho yong de la press Africana 💪🏾👍👍👍

  • @EricBreezzManyota
    @EricBreezzManyota4 жыл бұрын

    Ferre Gola wa Tanzania

  • @honsagini6270
    @honsagini627010 ай бұрын

    Nice song,na hiko na ujumbe

  • @MahizaHamis-nm4by
    @MahizaHamis-nm4by Жыл бұрын

    Rhumba ya kwenda hii bro angu...

  • @pattyrick3416
    @pattyrick34164 жыл бұрын

    Nakumbuka Hizo Enzi zakina Longombas Top hit

  • @wadyboytz6037
    @wadyboytz60374 жыл бұрын

    Umetishaaa mzeee

  • @guyazzytv254
    @guyazzytv2548 ай бұрын

    Tanzanian ferre gola yuko top

  • @benjaminopama1038
    @benjaminopama1038 Жыл бұрын

    Kila sana mwanangu

  • @ShipolaJohari
    @ShipolaJohari10 ай бұрын

    Nakupenda sana kaka yangu

  • @abelmakala6969
    @abelmakala69694 жыл бұрын

    Ndugu yangu, we sio wa hapa Bongo kabsa

  • @stanleyokello8044
    @stanleyokello8044 Жыл бұрын

    Napenda sana movie ya Lorenzo Napenda tamthilia ya secredo de amor Much love from Kenya

  • @NasmaMohamed-vu5fr
    @NasmaMohamed-vu5fr Жыл бұрын

    Wawoooo Iko poa sana

  • @OFFICIALGOODWYNE
    @OFFICIALGOODWYNE4 жыл бұрын

    Nice song bro

  • @paulmukopi2089
    @paulmukopi2089 Жыл бұрын

    The Swahili Ferre Gola

  • @zaituniadam5896
    @zaituniadam58963 жыл бұрын

    Hu wimbo kila nikisikiliza hamu haini ishi jamani hawa kuwezi miaka 100%

  • @thomasdiamosbob3965
    @thomasdiamosbob39654 жыл бұрын

    Goma kali

  • @sashaotieno6044
    @sashaotieno60444 жыл бұрын

    Moto snaaa brooo

  • @chesimiho7347
    @chesimiho7347 Жыл бұрын

    nakusikiliza kutoka Mozambique 🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼 washaaa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @athumantahond9235
    @athumantahond92354 жыл бұрын

    Da hi Rhumba ni kali jamani acheni masiala huyu mbena wa wapi anaimba hivi jamani bonge la ngoma mzee

  • @Monica-254
    @Monica-2549 ай бұрын

    Falling in love with youe music Kenya tunakupenda sana❤❤❤

  • @mcchard2841
    @mcchard28414 жыл бұрын

    Good music kiukweli

  • @jacksonabedy810
    @jacksonabedy8105 жыл бұрын

    Haijawahi kutokea Tanzania RHUMBA ya namna hi kwa mala ya kwanza ndo nasikia kwako umetisha sana hi ni changa moto kwa wakongwe wa dans Tanzania

  • @simonrusigwa3024

    @simonrusigwa3024

    Жыл бұрын

    Sahihi kabisa

  • @samwelkyelula4908
    @samwelkyelula49085 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana Tanzania haijawahi kutokea kazi ya namna hi ndo mala ya kwanza kuona Tanzania kuona msanii anaye imba Rhumba vzr kama huyu hongera sana kaza ndugu wataelewa tuuuu

  • @simonrusigwa3024

    @simonrusigwa3024

    Жыл бұрын

    Sahihi kabisa. Haijawahi tokea

  • @lubungaetienealmasi1059
    @lubungaetienealmasi10593 жыл бұрын

    🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦 Mob

  • @emanuelmatemba2129
    @emanuelmatemba21294 жыл бұрын

    Mkuu hi ngoma Kali sana hi ni Rhumba la nguvu

  • @ruthbrianna7779
    @ruthbrianna77792 ай бұрын

    I know love your songs after listening to the "usiwasilize " song

  • @jezreelcultura3413
    @jezreelcultura34132 жыл бұрын

    Kitu safi bro.

  • @DKEVERYTHING
    @DKEVERYTHING4 жыл бұрын

    nice movie

  • @janjimbaru1426
    @janjimbaru14263 жыл бұрын

    Niko haka kwa sababu ya juma nature

  • @ferdinandarron2305
    @ferdinandarron23055 жыл бұрын

    mnala wa babeli umetisha kinomaaaaa

  • @febbicrougeferooz2886
    @febbicrougeferooz2886 Жыл бұрын

    Nipo usa nahanza fatilia nyimbo zako

  • @abdulmadibo3088
    @abdulmadibo30885 жыл бұрын

    video kali

  • @belgabasstv6271
    @belgabasstv62712 жыл бұрын

    Safi Sana

  • @happyabdullah1554
    @happyabdullah15544 жыл бұрын

    Nyimbo kali sana broo

  • @sweetsandra393
    @sweetsandra3932 жыл бұрын

    Wow ❤️😘

  • @kisodajuma826
    @kisodajuma8264 жыл бұрын

    kiukweli kwa Tanzania hi kwa mala ya kwanza ndo nasikia Rhumba kali ya kiswahili hi haijawahi kutokea kwa Tanzania hata CONGO ni Ferre gola tu anafanya staili hi naweza sema kwa Tanzania wewe ni Best musional wa Rhumba

  • @DarajaniTV
    @DarajaniTV4 жыл бұрын

    Safi broo

  • @teddclive1506
    @teddclive150611 ай бұрын

    Kenya loves #rhumba more than any other non-French speaking nation. #MFALME, hii sauti ukija Kenya utakuwa booked Monday to Sunday.., you'll make big money kwa clubs ukicheza liv

  • @simonrusigwa3024
    @simonrusigwa3024 Жыл бұрын

    Boooonge la bengaaaa. Much love brooo. Asanteeee

  • @kipiliwakanza5392
    @kipiliwakanza53924 жыл бұрын

    Aisee sijaipata sikia Rhumba kama hi Tanzania kweli sasa watanzania tunasonga kimusic kwa hali hi sio mchezo

  • @abdullymuhamedy1129
    @abdullymuhamedy11294 жыл бұрын

    Hi ni shida kwa Tanzania wewe ni Hatari

  • @englesivia1008
    @englesivia10084 жыл бұрын

    Nice music

  • @febbicrougeferooz2886
    @febbicrougeferooz2886 Жыл бұрын

    Nimeipenda leo huu mwezi 6 ndo kujuwa nyimbo zako tangu nahanza fatilia 2023 leo ndo nimeona nyimbo mzuri sana mungu akubariki bro

  • @vedastusakijika9843
    @vedastusakijika98433 жыл бұрын

    Unajua sana ndugu

  • @simonrusigwa3024

    @simonrusigwa3024

    Жыл бұрын

    Mnoooo

  • @divinahogamba
    @divinahogamba Жыл бұрын

    Sauti tamu kama ya ferre Gola😍😍🤩

  • @kevinogada1
    @kevinogada13 жыл бұрын

    Muzuri sana From Mombasa,Kenya. Rhumba Taratibu.

  • @mankasaimon1325
    @mankasaimon13254 жыл бұрын

    Gud baba upo sawa wabongo wataanza kukuvunjia nazi 😂

  • @laitonyngole8042
    @laitonyngole80424 жыл бұрын

    Kaka umenikosha sana hu ndio music

  • @Kim-eu2vi
    @Kim-eu2vi2 жыл бұрын

    Another version of Christian Bella

  • @Manalance
    @Manalance Жыл бұрын

    Sounds like ferre gola Felicitations

  • @jocktanwamakeke9735
    @jocktanwamakeke97355 жыл бұрын

    kaliiii

  • @hamisaromanae5240
    @hamisaromanae52405 жыл бұрын

    Hii kweli rhumba ya Dunia Tanzania sijawahi kusikia rhumba kama hili umetisha mzazi hii ni kazi kweli kweli miaka mia 100

  • @peterkimani127
    @peterkimani1274 ай бұрын

    The New Ferre Gola

  • @domtilaaguya1459
    @domtilaaguya1459 Жыл бұрын

    Yani umeni guza kabisa wimbo inanichoma maze