Meja Kunta Feat D Voice - Madanga ya Mke Wangu (Official Video)
#MejaKunta #MadangaYaMkeWangu #DVoice #SlideDigital
MEJA KUNTA SONGS OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/mejakunta
Follow Meja Kunta on
/ mejakuntaofficial
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 2 200
Wangapi wameanza kumfatilia d voice baada ya kutangazwa wasafi WCB tujuane kwa like
@rosemuna5569
8 ай бұрын
I see tupo wengi hhhahahah
@CrissDuke
8 ай бұрын
Ww umemjua leo uyo ni staa kitambo
@panchobway3245
8 ай бұрын
Hhhhh
@hamadiayossy190
8 ай бұрын
Nipo hapa,tena huu wimbo ni wa d voice sema kaamua kumpa mejq kunta kwa makubaliano,
@HassanabubakarAbubakar
8 ай бұрын
Huyu no star kitambo
D voice baada ya kutambulishwa wasafii njooni apa ❤❤❤
Tulokuja hapa baada ya dvoice kutambulishwa wasafi 🖐🏻
@hatibuabdulla1039
8 ай бұрын
😂
Hii ngoma dogo D Voice aliua sana, kuanzia uandishi hadi kuimba.🔥
Nyie ngoma tamu meja kunta unajua baba wangu aiseee, ebu wanaomkubali meja kunta tupieni like hapa aiseee me ananikosha sauti balaa nanusu😍😍😍😋
@mtumakinitv7403
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@mukrimameir8099
3 жыл бұрын
Uhakika
@bubulibubulishrine701
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@azmongodfrey3384
3 жыл бұрын
Uyu mtoto kwakuimba afaii🔥🔥
@lugwaitz1767
3 жыл бұрын
Can anajuw
D voice ❤❤❤ WCB
Tulio mfata d voice baada yakuingia wcb ❤❤
Kila mtu anamuongelea meja kunta ila huyu D voice kaua sana🔥🔥🔥
@stellahpeter8255
2 жыл бұрын
Tena sana
@saidshaban895
2 жыл бұрын
kamfunika sana
@singinggirl6554
2 жыл бұрын
Dogo 🔥🔥🔥🔥🔥
@annaapela9290
2 жыл бұрын
Do do
@annaapela9290
2 жыл бұрын
@@saidshaban895 vCard luv vjbbnn
Jamani mi mkenya napenda sana singeli 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿❤❤ meja moto🔥🔥🔥🔥
@paulogodfrey6695
Жыл бұрын
Mambo
@MudMuho-zo9do
Жыл бұрын
Njoo dar utazikuta
Wimbo mzuri kulingana na hiki kizazi kilichoasi. Ila pale unapomtaja Yesu na kuutaja Utatu Mtakatifu katika wimbo wa kiPumbavu kiasi hiki unakufuru. Sijui Meja ni dini gani ila naamini kama angetawa Mtume Muhammad kwenye nyimbo ya kiPumbavu kama hii Kingeumana.
D voice kauwa xana kaza boy
D vocal.... D voice ni hatari ila kakutana na fundi zaidiiii
D voice katisha sanaa aliegmuelew agonge LIKe
@mzeewajambo8293
3 жыл бұрын
Yuko vzr sana
@rehemasalim6937
3 жыл бұрын
Yuko vizur
@shakiraomarynakupendasanad3023
3 жыл бұрын
Huyo vizur meja kunja
@MariaKings-it7ik
18 күн бұрын
Aisee mtoto mkali saana D voice
Hatariii..... mkenya wa kwanza kuskiza singeli 🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@norahnorah5342
3 жыл бұрын
Pamoja
@valeriaveda7519
3 жыл бұрын
😂😂😂mkenya wa buza
@andrewkivua1974
3 жыл бұрын
@@valeriaveda7519 😂😂😂😂😂😂acha banah
@valeriaveda7519
3 жыл бұрын
Aya bwanaa 😂😂😂😂 buza wapajua kumbe🤔🤔🤔🤔
@andrewkivua1974
3 жыл бұрын
@@valeriaveda7519 nawaona marafiki zangu wabongo wakipataja sana......Buza kwa mpalange😂😂
Yani mimi sijawai kupewa like sijui kwa nini😂
@Duly699
4 ай бұрын
We zombie, haujui😂
@TheopistaMuheta-qp1bc
3 ай бұрын
😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉
@lauriankisala-cz3fp
2 ай бұрын
Samahani, ivi Kuna Siri ganni katka likes huku KZread mana naona wengi sana wanaomba likes.. answer me please 🙏.
@CamaradeKalu
13 күн бұрын
Kwani uko zi pewa uta zi beba wapi 😂😂😂 but sorry 😞
Likes za producer wa hii Ngoma 🔥🔥🔥🔥
I see you far mkali mejja since day one...baba mmoja mama mmoja tumbo mbali mbali yaan binam yangu alielewa hapa gonga like tusepe na kijiji🤑🤑
Kw niaba ya TIN WHITE. Sihitaji like ya mtu, ila ukilike cyo dhambi. 😜
@asmahussein2779
3 жыл бұрын
Ongera sana kazi nzur sana mwaya.
D voice kamfunika Meja Kunta hapa 🔥🔥🔥🙌
Mejaaaa big up nyimbo zako uko poaaa wewe fundi wakasome wakongwe was singel✊
Kama umegundua kuwa sauti zao Hawa Wanyama zinafanana gonga Like tujuane 🤝🤝🤝
@alexaiddan979
3 жыл бұрын
Zinafanana kwel mkali
@josephseleman7780
3 жыл бұрын
Ndio
@nasrimohamed7556
3 жыл бұрын
Japo ya meja kali sn
@mamajaphety1624
2 жыл бұрын
mi nilijua kaimba meja kumbe sio peke yake
@salmams6009
2 жыл бұрын
Umeona kama mimi.
meja kunte Huyo Dogo D Voice Kuwa naye makini anaweza chukua nafasi yako humu kakufunika mbaya
@nasrydonille1468
3 жыл бұрын
Dogo hatar Sana asee
@deditocastorey6940
3 жыл бұрын
True Ila kampa nafasi ya Kuimba kipande kikubwa
@thresherjordan6829
3 жыл бұрын
Kwel aseeeeee yan kama nyimbo yakeeeeeeee
@franciskanuth1705
3 жыл бұрын
Kaua vibaya mno..💥💥
@RioIpo
3 жыл бұрын
@@thresherjordan6829 nyimbo ni ya D voice
D voice umeua sana kwenye ngoma hii kipaji.🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪👍
@pmsomalimc9521
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/X2Rrl857eqy9YtI.html
@mrben227
Жыл бұрын
Humau d voice kaimba vzri zaid ya meja
@makalangocargoserviceltd6630
Жыл бұрын
Meja hakuna mtuanaweza kumkuta meja❤❤🎉
D Voice nouma sana.... Napenda sauti yake ndio kila kitu ktk hii nyimbo.
@singinggirl6554
2 жыл бұрын
Yah iko safi sana kaitendea hki wallah
@mwanahamisnsillah7800
2 жыл бұрын
😘😘😘 sauti yake naipenda
Mia kwa Mia Kama balozi Kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 singeli should be in Grammy's.... content humour,,, reality you guys you killing it🔥🔥🔥🤘
Huu ndio mziki wenye vibe lake la kipekee yaani naamanisha duniani kote huwezi kuta vigoma ,vinanda na midundo kama hii its only in TANZANIA na seriously in feel very proud listening to singeli ..
@richardndoshi6477
2 жыл бұрын
😃😃
@sagataps9477
2 жыл бұрын
Na huu ndio mziki halisi wa Kiafrika
@charleshiza8804
2 жыл бұрын
@@richardndoshi6477popk 8
@heinrchboesak1221
2 жыл бұрын
Kweli madanga yamke wangu
@mrpullover3991
2 жыл бұрын
Vinanda vitam hatari
Kuna aliyemwona chino kama Mimi,aisee maisha kweli ni kukomaa
Dulla van anaenda kwl kwa mpalange mwanaume haisiwi vibaya hat cku moja
I really love the song ..much love from kenya
Machizi waki kutana lazima waache watu hoi tabani kama hili ngoma Naipenda kinoma aise 🙏❤️ ma baharia Wenzangu tujuwane kwenye like basi
@mkombozijahazi4487
3 жыл бұрын
d fundikino maanangoma kalisaana siopwhebu gongaleketujuane wanangu wabuzampo
Hapa meja kunta alikutana na moto wa ges
Am enjoying this song too much thanks my 2 brothers 🎊💕💕💕❤️❤️❤️😊🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Ila huyu d voice ni noma🔥🔥🔥🙌🙌
@gastokitila285
3 жыл бұрын
Atali nanusu
Much love from NIGERIA 🇳🇬 🔥🔥🔥
Kuna watu wanajiita kina makabila wanajivisha u king kwa saiv nasema king wa singeli ni meja kunta.
Kumbe d voice jama nimunyma kuimba hii ngoma nikali sana diamond kaona kipaji kipo
Sijachelewa jmn hii nyimbo naipenda mnoooooo 💕💕💕💕 like namimi
@fatumaseif1808
3 жыл бұрын
imetisha
@sabramongi1315
3 жыл бұрын
Nzuri Sana 💕💕🤩
@EstherMichael-ii7hb
3 жыл бұрын
😍😍😍
We are proud of you guys…..endeleeni kutuwakilisha kibongo bongo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
wangap ndo unajua kuwa dvoice yuko kwa hii ngoma leoo
Kwa jina la baba hilo na la mwana hilo na la roho mtakatifu dah
Alie ona madanga ya make wangu Gonga like twende sawa 😂😂 nimewasanua wengi kweli maana mwandishi NOMA SANA. All in all chupa qari💏💏
@faxmusic8567
3 жыл бұрын
Ndo nlikua nafkiria... Kwann hawako Makini hv
@zumombiro9019
3 жыл бұрын
Ngoma kali sana i se😂😂😂😂
@wasafitv1062
3 жыл бұрын
😂😂
@stellajoseph3638
3 жыл бұрын
@@zumombiro9019 bfftvvtbvtbttbtb
@stellajoseph3638
3 жыл бұрын
@@wasafitv1062 h
TANZANIAAAA..!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿 we blessed #period 😎💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾 singeli to the world🌎
Nyimbo za matusi msiwe mnataja jina la Yesu hata kama ww sio muumin wa yesu
Huy ndio anatakiwa aitwe king of singel like kwa meja kunta
@elizabethstewart4762
3 жыл бұрын
Lek kwake
Like kwa produced WA hii ngoma
@christinastephan7544
3 жыл бұрын
nakubali producer
@taufiqkimpa1652
3 жыл бұрын
Kuntaaa hapingwi
@albatimadona5963
3 жыл бұрын
Kenny
Sasa naona ngoma hii inavyoeenda kua trending soon daaah Ila bonge la video ubunifu100%ho hongera #D voice
@halimamleza5049
3 жыл бұрын
Yaan Weeeh acha Tuu Navyoikubal Hii Ngoma
@rajabumuhalami2464
3 жыл бұрын
Atali sana
Duh nyimbo gani dunia kwisha yani mke aka akadange akuletee hela kiyama kimefika
Kama ukipata danga la kizungu nenda nalo kwa mpalange mi mumeo nimekurusu ukadange wasotupenda asa wambie wajipaaaaaaaaaaaaaa......nan amesikia iyo
Meja x d voice goma la 🔥🔥🔥 bonge la video iko poa mungu abariki kazi za mikono yenu 🙏🙏
Kwan wameimba wawil au mejaa bhna mbon unatufany hiv saut za fanan kabs ngom tamu hiii
Nyinyi ni watalmu wa singli💥💥💥💥💥💥💥👏👏👏👏💞
Kumbuka kuna kiyama
Bonge la dudeeeeeeeeeee, mejaa hunaga kazi mbovu mzee babah
Dada anaecheza kati hapo mnamjua😊😊😊ndo masha love alokalia chupa akapasuaaa...😍😍bonge la ngoma
D VOICE ANAJUWA SOME LOVE FROM KENYA 🇰🇪
@MudMuho-zo9do
Жыл бұрын
Utachekwa wewe
@wakisawakisa5455
8 ай бұрын
@@MudMuho-zo9do Kwani uongo?
Wanaokubaliana na mimi kuwa meja ndo king wa singeli tujuwane 👇
@jastinfundikila1627
3 жыл бұрын
Kabixa
@abdulkheri7322
3 жыл бұрын
Kuna dullah makabila my dear
@althamdb5501
3 жыл бұрын
@@abdulkheri7322 meja kunta singeli zake ni za kipekee japo makabila nae hodari
@sharifamhina3200
3 жыл бұрын
Ww na dullah mnatupa burdani
@emmanuellugano7912
3 жыл бұрын
Aswaaaa
Can't get enough of this vibe 🎈🎈🎈🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯❤️❤️❤️❤️❤️
@battashyabuu3255
3 жыл бұрын
Mamb
@marjoriethejewel441
3 жыл бұрын
@@battashyabuu3255I'm fine thank you 💐
Ukipata bwana mzungu mpeleke kwa mpalange Mumeo nimekuruhusu ukadange kama umeskia huo mstari comment n like tuwe sambamba
@rehemachoka2943
3 жыл бұрын
Ahaha
@ayubjeremia849
3 жыл бұрын
Nakubali
@dripgokujayden3677
3 жыл бұрын
Ahh
@salmaadimhemed789
3 жыл бұрын
Perfectly nenda nae kampalange
@abelsiyame7863
3 жыл бұрын
Hahahah😂😂😂😂
My song to much love from germany❤❤❤❤
Hii ngoma huyu D Voice ameua sana jamaa 🔥🔥🔥
@maggymgaya2504
3 жыл бұрын
Sanaaa kwasababu n wimbo wake,,, Meja alitaka kumfanya dogo asikike ajulikane😊
I love this song ..from Kenya
Bwana weeeeeeee.......kwampalange .... Chuma umeipata iyoooooo.... intu apaaa
Tumpeleke Meja namba moja on trending maana wanaume WA siku he ndo walivo 🔥
@user-dn7gn6ib4k
3 жыл бұрын
Nyamiss karega😁😁😁😄😄😄😄🙃
@siabajacobo1524
3 жыл бұрын
Xxl
@elizabethpetro1258
Жыл бұрын
😅😅😅🤣🤣
D ni wengi ila voice ni mmoja
❤ well done Maja and D voice ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kumbe D voice ameanza kuimba nyimbo kali siku nyingi
Who is here after D voice was signed under WCB_wasafi❤
@LandryNininahazwe-cg5ns
8 ай бұрын
Tupo wengiii😅
I'm back Here in 2023 and i can't get enough of this
Kumbe D voice kaimba huu wimbo
Dah,,,uko vizur meja🧡🧡🧡🧡🧡🧡
Nakukubali kinoma mwanangu mejakunta. Love from nungwi zanzibar 🇹🇿.
@darrasatz6722
3 жыл бұрын
Ushubwada
@omarihamadumetishasanalava4725
3 жыл бұрын
Good song meja kunta
Ngoma tam sana achia like twend sawa
Nakuball m2 mbaya mejaa
D voice next level
meja kunta hawezagi kuimba bila kutaja neno madanga
2po pamoja na wewe hata wafanyaje cc ni mashabiki zako sio wao achia vitu meja tutakufwata tu popote like nyungi kwake kwa master
D baba toa moja na bosi sasa tupe salute i love singeli❤ for real 👊
Huyu Mtt D Voice Hatare sana
Daah sijawahi kurudia kutazama Mara mbili Singeli ila hii nimeirudia zaidi ya mara nne kuma make
@emmanuellugano7912
3 жыл бұрын
Bora ww m nd repeat kbx
@ramxeyiron1260
3 жыл бұрын
Hili shipa wanangu
@edyteemba1918
3 жыл бұрын
@@emmanuellugano7912 hahaha haa mimi najikuta nikirudia rudia nenda nae kwa mpalangee!! Hahaha haa hii noma aisee dah
Sipati picha Meja kunta angekua anaimba RnB🔥
@reyyathu8978
2 жыл бұрын
😂😂😅😅😅😅😅
wow alie angalia hii nyimbo mpaka ina fika 1M like hapa
@mwanabweniomari9827
3 жыл бұрын
Nimeikubali ipo vizur
u meja sasa basi nakupandisha cheo mpaka ukanali mdogo wangu
Dah bonge la ngoma video ndio usiseme nakupenda bureeee meja😍😍
Tujitahidi ifike #1 ON TRENDING
@saidnyangarata2531
3 жыл бұрын
Wimbowaotire
@saidnyangarata2531
3 жыл бұрын
Dawroadwimbowaotire
Kali duh
Meja umefanya nipende singeri jamani unanikosha sanaa😂😂😂😂😂😂ukipata dem wa kizungu nenda nae kwa mpalange
D VOICE ANAJUA KUIMBA MEJA NDO USISEME KAMA UNAKUBALI GONGA LIKE TWENDE SAWA
@aminamwangile4020
3 жыл бұрын
Yaan hujakosea.
@shakiraomarynakupendasanad3023
3 жыл бұрын
🥰🥰🥰💗💖💝♥️
D voice umeuaa baba💥💥💥
@battashyabuu3255
3 жыл бұрын
Mamb
@aminaadhumani972
3 жыл бұрын
Atali yn
@nancylee2429
3 жыл бұрын
@@battashyabuu3255 pw
Kilichoo niiudhii hiyo Dogoo anayee jifanyaa demu , na Meja pia kafelii , Mademu kibao , MUTAJIBU NM MUNGUU KESHOO DAHH
Kama Wanaume ndio hawa dunia imeisha😢
kwa video kali kama hizi singeli itaenda international 🔥🔥🐉
@ramxeyiron1260
3 жыл бұрын
Kabisa
Ngoma kali hatariii sanaaa 🤣🤣✅Tin white na dullavan wameuvaa uhusika 🤣🤣🤣 Meja muda si mwingi atakuwa king 👑 of Singeli ✅🇹🇿 Pambania kombo Meja
@RadawCompany
3 жыл бұрын
Niaje
@antoniacledo2295
3 жыл бұрын
xaf
@hilyamunir2144
3 жыл бұрын
mamb
@EstherMichael-ii7hb
3 жыл бұрын
Kashakuwa teali 😍😍😍
Congratulations D Voice,,, wishing you all the best as you're nurturing your talent,,,,Mola azidi kukubariki unapoendelea kukuza talanta yako💖💓🙏🙏🙏🙏🙏🙏
D voice 🔥🔥
Wapi like ya dulla van kwa alie mwona😂😂😂
@tumainizack9847
3 жыл бұрын
Kali kabisa
@emmanuellugano7912
3 жыл бұрын
😂😂😂😂mm ap
@bennyjangkup2781
3 жыл бұрын
Love d voice
@catherintarimo9125
3 жыл бұрын
Vp mkal
@merymsuya6994
3 жыл бұрын
@@catherintarimo9125 #
🇹🇿💪hatupoi hatuboi ngoma kal nimependa adi nimependa tena.... nikiwa🇴🇲no stress
@chaleschaleschaleschales4330
3 жыл бұрын
amsha popoooo 👍
Singeli to the world
Daaah nimeimiss nchi yangu 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
My two fav comedians vs one fav singeli singer in one video 👌👌👌liiiit💥
Like moja kwa kunta wake