Mdundiko (with English Subtitles)
Ойын-сауық
Mzee Njimba na Mzee Kondo ni marafiki tangu utotoni, pia wanamahusiano yanatokana na ndoa ya watoto wao. Kwa bahati mbaya watoto wao walifariki na kumuacha Kondo amuangalie mjukuu wake Chumi.
Njimba ni mtu mwenye kiburi anajulikana kwa uwezo wake wa kupiga ngoma na kuwapanga wachezaji. Pamoja na Hondomola yenye sifa mbaya inayoshawishi watu kuwa na mahusiano zaidi ya mpenzi mmoja.
Wakati Kondo anapata umaarufu wa ngoma ya Hondomola, Njimba na rafiki zake walimfukuza Kondo na familia yake pale kijijini.
Wakati huo Njimba akiendeleza ngoma yake, watu walianza kuathirika kwa kushiriki kwao ngoma ya Hondomola. Njimba anajaribu kuwatibu kwa tiba za jadi ambazo hata hivyo hazikusaidia.
Itachukua muda kwa Chumi na kizazi kipya kufahamu jinsi ya babadiliko ya tamaduni yanavyoweza kutitishia maisha ya jamii yao.
----------------------------
Mzee Njimba and Mzee Kondo, friends since childhood are also related through the marriage of their children. Unfortunately their children passed away leaving Kondo to look after their shared grandson Chumi.
Njimba is an arrogant, belligerent man known for his abilities as a drummer and arranger of dances (Ngoma), including the notorious Hondomola, where multiple dance partners are encouraged.
When Kondo object to the increasing popularity and frenzy of the alcohol fueled Hondomola, Njimba and his thugs have Kondo and family chased out of the village.
Over time Njimba's drumming takes its' toll on the villagers, who are weakened and ailing after participating in Hondomola. Njimba's attempts to treat them with traditional cures (being the village witch doctor as well) is ineffective.
It will take Chumi and a new generation of traditional drummers, to appreciate how corrupting the cultural values of Ngoma has threatened the survival of their community.
Пікірлер: 96
Angekuwa marekani njimba angekuwa tajiri sana kwa basketball au movie
hawa TIMAMU EFFECTS picha zao zina ubora wa hali ya juu,wanachukua filamu kimataifa,sioni tofauti kubwa na zile cinema zinazo rekodiwa bollywood au hollywood,kwa mfano filamu ya Tino ya C.I.D ni yenye muonekano wa kimataifa kwa jinsi ilivo rekodiwa na camera za hawa jamaa, timamu effects.BIG UP
@frankjully5457
7 жыл бұрын
sawa kabisa timamu wako vzri
waliocheza vizuri walineemekaaaa,waliocheza vibaya walipata majangaaaa...daaah nimeielewa sana hongeren sana kwa hii kitu nzuri saaana
Mm napenda hizi muvi ziko poa Sana'a Kazi nzuri tuekee nyengine
Bonge moja la movies yan mshamba hawezi kuelewa😁😁hongereni washirika
ahahahaha nimeipenda saana nimecheka sio kwa mdundiko hui amazing chezea zaramo Weee hongeren sana asil haipotei Kama hiv nje ya Tz tunainjoi kinomaa
hakika tunapotulia nakuangalia hadithi inavyotaka na muda wakutafakari location sahihi na wahusika sahihi kuanzia watoto wanapo chezeshwa bila kupuuzia scene zao bila kuweka ma movie ya part 1 na kuendelea au kuwaiga wanaijeria ambao filimuzao za tu shoot jioni asubuhi itoke tutapata soko kubwa duniani hadithi unapoifata bila kuruka vipengele ikajieleza ndiyo heshima ya filamu inapo patikana na sio filmu za kulia dakika tano nzima kuvuta muda
Nimeipenda sana hii filam sababu imeonyesha maisha yetu hali c kuiga toka mbele
ngoma ilikuwa na ishara flani ya kuleta vionjo ila mimi nilipenda ujumbe halisi uliomo kwenye mchezo watu waliona kimbiji /kaole hapafai kwa mtu flani kuivuruga na wakakimbilia geza ulole lakini baadae wakajirudi na kuona ni vyema turudi tuwe pamoja KIMBIJI KWETU kaole rudini mrudishe sanaa yetu iliyovurugika.....
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Lameck lazaro Asante Lameck. Unadhani filamu za kiasili kama mdundiko zina nafasi kwenye tasnia ya filamu Tanzania ?.
Kimbiji inaashiria kaole kundi lilitawanyika sasa limerudi..... kazi nzuri na ina maadili inafundisha na kuelimisha na burudani
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Lameck lazaro Asante Lameck lazaro. Nambie ngoma gani umeipenda zaidi kwenye Mdundiko ?.
R.I.P Mzee Janguo
Hongera sana kwa mliotengeneza hii movie.nimeamka usiku ea mane hapa marekani na mawazo.movie imenifajiri.
@Mkomwa1980
9 жыл бұрын
Hongera
filamu ipo katika anga za kimataifa,ina kila aina ya ladha ndani yake,sitoisahau daima
Hongeren sana kwa ujumbe mzuri
Daa nuni ana mzgo balaaaa
Dha sema huyu jamaa Anatisha!kwa jinsi Tu Alivyo!
Mwisho Wa wote kila binadamu anahitaji furaha ya maisha.Wewe this movie was amazing.true life teaching and we can see how life can come into a full circle.I really enjoyed it;more so it stayed true to our traditional vintage styles.great job to the super famous acter n actress who I lov n respect their work since kitambo.big lov to this movie.
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Rahabu Lubala Tunashukuru sana Rahabu Lubala kwa kutazama. unadhani bado kuna Ngoma zinatamba kwa maisha ya sasa?.
@rahabumartin9877
9 жыл бұрын
Ndio; kuna ngoma bado zina tamba sana na zinasikilizwa lakini kidogo sanaa;kutokana na maisha ya sasa especially vijana hatujali utamaduni wetu.hatutaki kujua lakini ukweli ngoma zetu na midundiko ni something we should keep,we should teach and should celebrate them.
Yaan mpo juu sanaa hawa ndio wasanii
Nuni uwo mzigo balaa😂
naima adamu
You reap wat you sow
Tuko pamoja iko fresh👊✌️
Kabisa unafikiri maisha halisi
I Appreciate whole production
movie ya ukweli kabisa yn mafunzo ya nguvu,thanks alt
@rusteausenior6391
9 жыл бұрын
alianza mamako unafiki ndo akakuzaa ww chusa
@rusteausenior6391
9 жыл бұрын
asante bibi ya mzee kondo kumbe wajiamini kwa ushangingi......ngoja mume uolewe
Move nzr sana,👏👏👍👍
Noma sana full kubambia..
Kali 🔥🔥🔥🔥😘💯 we can
Sio mauza uza ya bongo move
Nice one
Mpo vizur sanaa
Nimeipenda
Amazing movie 👍👍👍👍
Nimeipenda.
kama ngoma ilikuwa tamu kwa Chumi, hata kwangu hii simulizi ni tamu;;;;~
nice sana
Vizur mnajitahidi
Move mzuri sana
Movie ya kibongo nzuri kweli ya mafunzo kweli
@asimgkcc2189
3 жыл бұрын
Nuni akili ana atamoja
i'm using adblocker and will not see the ads. is there another way i can pay for the movies?
Kazi nzuri ya fasihi!
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Abdallah Msuya Asante endelea kufatatilia filamu zetu zingine.
I love Jenguwa and Swebe...nice movie, Thanks for shared
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Aysher kabby Asante Aysher Kabby. Unakumbuka nini ukiwaona Swebe na Jenguwa?.
@aysherkabby5937
9 жыл бұрын
Swahiliwood Duuh!! nakumbuka kaole,. Jenguwa na Swebe wanaijuwa kazi yao, Hawa ni wasanii wazuri sana..Asante Swahiliwood.....tunangojea visa vya cheche katika next episode
@fredymosses8955
7 жыл бұрын
+Swahiliwood jamila na pete ya ajabu
@bushbenga718bush6
3 жыл бұрын
Dokii uko na mzigo hatare
movie inayoelewa good kwa waigizaj wote
@a3logistics14
7 жыл бұрын
wamejua kuact
@olabisiakande153
7 жыл бұрын
Basilisa Shauri Haruna ishola
Naona production ya kwanza iloenda shule .
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Godwin Mathew Karibu twambie nini kimekufurahisha kwenye filamu hii..?
@mzuxiz
9 жыл бұрын
Style ya kazi,in short;wamejaribu kwa mara ya kwanza kwa kadri ya uwezo wao wa kifasihi kubadili namna ya ku deliver tafsiri ya maudhui makuu ya kazi andishi kupitia filamu. Mdundiko its a film based on stage play or musical na kwa Tanzania ni first time naona. Mara ya kwanza kuiona ikanikumbusha Ngoswe"Mapenzi kitovu cha uzembe"looool au the big Kahuna 1999,the Bargain 1931,Bent 1997 etcccccccccc
@a3logistics14
7 жыл бұрын
kwanza kabsa haijakopiwa hii kama movi nyingine pili ina utamadun ya zaman ,,so movies za kibongo jarbu kufkiria wenyew msikopi kabs a tungeni msiwe wavvu kufikiri nmeipenda hii saf sana
ahaa, ata uwe gwiji na kupata sifa dhabiti, nimeelewa kuwa ni bora kuyatilia maanani maoni ya wengine.
@swahiliwood
9 жыл бұрын
Andati Nandwa Nikweli kabisa vipi kuna lipi jipya umejifunza hapo..?
Safi
Best movie
hiyo ngoma ahiiii
Hatari
Dokii
good production,good movie,kazi nzuri
Haaa mzee tupatupa
Ya ukweli
Pia napenda rangi yake
Njimbwa mfisadi
Daaaah filamu nzuri jmn nimeipenda sn na dokii kiboko asante sn kwa kutuwekea naomba unaelimisha sana mtuwekee best wife ya mtunis na riyama cz huku kwetu muscat tunawafatilia sn na hatuna mikanda ya kiswahili
Hili libabaa
yan nuni ni shida
Nkweli iko na mafunzo tena mazuri sana
@user-ln6zb2xn6y
9 жыл бұрын
Mm ama ww
Saf
Hiii pisha Hina Manisha kukiwa mfalme mbaya watu pia wata fata vile anavyo tumika na taifa Lita hangamia
Movie hii siichoki
@mwanakijiji
Жыл бұрын
Maandazi
Bd cjaju ckugn ntamfta,,,,
Ngoma zipo ila zipo vijijini sana sio mijini kwahiyo kwa mlilolifanya mmewarudisha watu mbali kufikiria walipotoka .
Duuuuuuuuu bimwenda huna nn
@swahiliwood
5 жыл бұрын
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu
Bd cjaju ckugn ntamfta,,,,
@csg0405
8 жыл бұрын
snsnsnmmmsmkiosookkkwkk IJ