MCHIZI ANAPOTEZA DILI LA DOLLAR MILLION 1 KIZEMBE SANA | BLOOM BOYS

Ойын-сауық

⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : PRIME VIDEO
Movie name : BLOOM BOYS
Genre : Drama,Thriller
Year : 2024
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka

Пікірлер: 324

  • @SalhiyyaJassam-fg1sw
    @SalhiyyaJassam-fg1sw2 ай бұрын

    konka anataka mumuandikie maon yenu ,,,maon yenu ndo yatamfanya alete vitu kali kila siku nyie mmekazana wakwanza wakwanza nipeni like zangu mnakeraAaaa,,,,hata ck akikosea jamb mtakAzana na like

  • @hassnakhamis3489

    @hassnakhamis3489

    2 ай бұрын

    Wana kera😢

  • @RahabuJunior

    @RahabuJunior

    2 ай бұрын

    Ni Ukweli kabisa wanakela

  • @MukabBaruani

    @MukabBaruani

    Ай бұрын

    sana wana kela

  • @dullyninja4705
    @dullyninja47052 ай бұрын

    WakwAnza mm naomba like

  • @stevkaliona4107
    @stevkaliona41072 ай бұрын

    @konkaaaa mzeee wa mizigo ya hatari sana🎉gonga like kama unamkubali weka like

  • @tellodelucky6864
    @tellodelucky68642 ай бұрын

    All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu...🔥🔥❤❤🙌🙌

  • @MissBeauty-fb1pt
    @MissBeauty-fb1pt2 ай бұрын

    Wakati mwengine kujitoafaham kwawatu tunaowapenda😂😂😂

  • @massawetv5109
    @massawetv51092 ай бұрын

    Kwanzaa ngoma inaanziaa chumbanii😂😂😂

  • @shukran26love1
    @shukran26love12 ай бұрын

    Mimi kama young bee nakupenda sana mshikaji wangu unaua soko la muvi kwa wanaotafusiri full movi kwaiyo kaa makini 🙏✅

  • @MaroFredson
    @MaroFredson2 ай бұрын

    Duuuuh ni dakika 27 tu watu kibaoooo duuuh kweliii kama unamkubalii Konka gonga like hapa ❤

  • @user-er1ot1zg2b
    @user-er1ot1zg2b2 ай бұрын

    jamani nzuri sanaa hongera tupo pamoja bro ❤❤❤

  • @nicksonchesco233
    @nicksonchesco2332 ай бұрын

    Huuu unyama ni noma nakukubal mwwnang unajua 🙌🏻🙌🏻

  • @SalmaAthuman-rg4nv
    @SalmaAthuman-rg4nv2 ай бұрын

    Me naomba uwe unatoa kila Ciku jmn una Tukataaa sana

  • @ingabireshakira9631
    @ingabireshakira96312 ай бұрын

    Akamlaza chini akaanza Kumküna😅 iyo kuna sasa😅😅

  • @lakasid3860
    @lakasid38602 ай бұрын

    Lile demu lililomgonga litakuwa limemuibia 😂😂 konkaa 🔥

  • @kingelishathomasonline4842

    @kingelishathomasonline4842

    2 ай бұрын

    Nimecheka kinoma amezingua😁

  • @user-lo7gf4ld7n
    @user-lo7gf4ld7n2 ай бұрын

    sijawahi kuwa wa kwanza 😢. naomba like 10

  • @FananiGrosper
    @FananiGrosper2 ай бұрын

    Konka mzee wa unyamaa🤝🤝

  • @user-ul8rt5fr6h
    @user-ul8rt5fr6h2 ай бұрын

    Konka Mzee wa kukinukisha big up saan unyama umekaa poa

  • @monicarichard8802
    @monicarichard88022 ай бұрын

    unyama upo vizuri na umejua kutuelezea vizuriii.. kazi nzuri

  • @Ramazo_OG
    @Ramazo_OG2 ай бұрын

    Heeeeeh umeuzaa kiwanja changuu 😂😂😂

  • @adsonadriano9347
    @adsonadriano93472 ай бұрын

    Iko Sawa kabisa hiyo hongerani kwa kazi nizuri mnayo fanya

  • @PascarSaimoni
    @PascarSaimoni2 ай бұрын

    Umetisha Sana mzgo.wa kwenda kabisa

  • @CesarMrmoney
    @CesarMrmoney2 ай бұрын

    Iko sawa iyi broh unyama uko fresh 👏💪

  • @user-dj3ov7ev2i
    @user-dj3ov7ev2i2 ай бұрын

    Aaaaah uko vizuri kaka toa nyingine nying

  • @user-kn8lf6wv7d
    @user-kn8lf6wv7d2 ай бұрын

    konka nakubali kazi zako xema movie za Nigeria ume achia nying xan kwaiy kam inawezekan achia na Indian movie😅😅😅

  • @warstones0666
    @warstones06662 ай бұрын

    Awa wanawakee Awaaaaa

  • @edwinmedia2678
    @edwinmedia26782 ай бұрын

    Mwanangu upo vizuri sana kwenye hii kazi. Lakini ushauri wangu usituletee movies za Nigeria nyingi. Fanya kutuletea na movies from Hollywood mzee zipo kibao tu mbona watu tunataka tusikie mzee

  • @e7bits_tz

    @e7bits_tz

    2 ай бұрын

    Movie za HOLLYWOOD zinachangamoto sana

  • @abdallahally3659

    @abdallahally3659

    2 ай бұрын

    ​@@e7bits_tz changamoto gn kk

  • @NomaNoma-nb9sl
    @NomaNoma-nb9sl2 ай бұрын

    Mzigo hatar sana nakubali sana kazi zako

  • @zainabuiddy
    @zainabuiddy2 ай бұрын

    Unajua na unajua tena🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Shadia544
    @Shadia5442 ай бұрын

    Nimekuwa wa 3 LIKE 10 jamaniii tunainjoi tuuu asante mwamba ✌️✌️✌️✌️✌️

  • @user-vt3ek4er5s

    @user-vt3ek4er5s

    2 ай бұрын

    ❤❤

  • @MuhammadRamadhan-kz7ow

    @MuhammadRamadhan-kz7ow

    Ай бұрын

    Hlw

  • @MuhammadRamadhan-kz7ow

    @MuhammadRamadhan-kz7ow

    Ай бұрын

    Mambo

  • @Shadia544

    @Shadia544

    Ай бұрын

    @@MuhammadRamadhan-kz7ow poa tuu

  • @Shadia544

    @Shadia544

    Ай бұрын

    @@MuhammadRamadhan-kz7ow hello

  • @erickAfricatz
    @erickAfricatz2 ай бұрын

    konka kama konka... haya sasa twende sambamba ....mi nasoma comment tu..... like zangu mnipe

  • @ahiyaasherinchako5142
    @ahiyaasherinchako51422 ай бұрын

    Mpo fasta mno ila big up

  • @EstherKwilabya
    @EstherKwilabya2 ай бұрын

    Nimependa ety akaanza kumkuna ila we jamaa 😂😂

  • @massawetv5109
    @massawetv51092 ай бұрын

    Oya🔥🔥

  • @user-wm9or1nw8s
    @user-wm9or1nw8s2 ай бұрын

    Aahhh jmn huwa utuangushiii kaka angu blessed sn

  • @annamathias4794
    @annamathias47942 ай бұрын

    Nimewahi leo naombeni like zen wapendwa pls❤❤❤❤

  • @bienvenunijembazi5218
    @bienvenunijembazi52182 ай бұрын

    Konkaa mzee tunakupenda sana form🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @TUMAINIKAPELA-rz8yn
    @TUMAINIKAPELA-rz8yn2 ай бұрын

    Movies zako nzuri sana

  • @blackgoldbuja880
    @blackgoldbuja8802 ай бұрын

    Niunyama sana nakukubali kwakutupa andisi kali sana

  • @idrixalumany5902
    @idrixalumany59022 ай бұрын

    Nikupe tu mauaa yako kilasiku unazidi kuwa bora hongera sana 🎉❤🎉

  • @jerryroy1769
    @jerryroy176929 күн бұрын

    Konka sio powa unajua 🎉🎉🎉🎉😊😊😊

  • @monicambarikiwa9532
    @monicambarikiwa95322 ай бұрын

    😹😹😹….. imenibidi nicheke ety “eeh nenda kaitoe hiyo mimba”….

  • @oscarjohnson9013
    @oscarjohnson90132 ай бұрын

    Maraaa eeeeeeeh. yaanii konka unajua mpk unaa keraa 🙌🙌

  • @JamesDeus-dk5bu
    @JamesDeus-dk5bu2 ай бұрын

    Unyama uko vyema sanaaaaaaaa🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba86142 ай бұрын

    WE MI NDO WA KWANZ APA PITIENI WOOTE APA🙏

  • @annayambayamba8614

    @annayambayamba8614

    2 ай бұрын

    Like ilistaihili kwangu nimeangaliha hii 16:20

  • @tumaxaad
    @tumaxaad2 ай бұрын

    Naomb kujua usahihi wa kumimina wine plz nifahamisheni 😂❤😂

  • @Vailethkiango2002
    @Vailethkiango20022 ай бұрын

    Wakwanza mimi jmn😂😂aya naomba mlike

  • @mohdsuleiman8458
    @mohdsuleiman84582 ай бұрын

    Jikaze kaka kuna jamaaa naupiga mwingi huku jikaze sana

  • @bongosimulizi6050
    @bongosimulizi60502 ай бұрын

    Oy konka unachelewesha mizigo sawa ulisha tuambia sababu ila kama utaweza zisivuke siku mbili basi au tukupe likizo ya mwezi mzima we jichimbie andaa mizigo full then iweke sikejo babu utuwaishie utamu.au tujue kabisa ratiba yako ya kuachia mizigo Sio ivi mzee

  • @e7bits_tz

    @e7bits_tz

    2 ай бұрын

    Nimeweka kazi mbili mpya kwenye channel yangu ndo ya E7max

  • @JamalDikolaga
    @JamalDikolaga2 ай бұрын

    Kaka naona umepania mzeee mawe kila siku... 🫡💪💪

  • @hamismbura2544
    @hamismbura25442 ай бұрын

    kwanzaaaaaaa

  • @HekimaMwananjela
    @HekimaMwananjelaАй бұрын

    Nakubali sana 7

  • @FatumaMombo
    @FatumaMombo2 ай бұрын

    Yaani mtu hata hajaangalia anawaza kuwa wakwanza

  • @user-so3zb5hy4z
    @user-so3zb5hy4zАй бұрын

    umetisha sana

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt2 ай бұрын

    Wewe naye umetuchanganya dozii si amekufa na huyo ni dozii au tosini

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie2 ай бұрын

    Wakwanza nimewai from 🇦🇪

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld
    @ArafaAmirAmir-ci7ldАй бұрын

    Konkaaa unajua ❤❤❤

  • @jerryroy1769
    @jerryroy17697 күн бұрын

    Kaka achia madini🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid37432 ай бұрын

    Pamona sana. Tunaomba na Horror movies za kizungu pia

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz2 ай бұрын

    Unyama kama wote

  • @CollinceGerald
    @CollinceGerald2 ай бұрын

    Unyama ni mwing🔥🔥 cjawahi kukupinga Kaka

  • @Kunde707
    @Kunde7072 ай бұрын

    Wamwisho Leo like bas 🎉

  • @mwanahamishamis2711

    @mwanahamishamis2711

    2 ай бұрын

    M wapili kutoka mwisho n unyamaa😅😅😅

  • @JohariJuma-uw6vf
    @JohariJuma-uw6vfАй бұрын

    Iko powah bro....😊

  • @abdallahathuman5046
    @abdallahathuman5046Ай бұрын

    Nawakubali sana sarut kwenu tuna enjoy sana

  • @BahatiNzai
    @BahatiNzai2 ай бұрын

    Kali nzuri konka

  • @MABANTUTZ
    @MABANTUTZ2 ай бұрын

    Hili la leo Bovu sana 🔥

  • @IssaHamisi-tf1bf
    @IssaHamisi-tf1bf2 ай бұрын

    ❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas e7biiiiiiiiiiitiiiiiiiisßsssss

  • @MalimaJosephat
    @MalimaJosephat8 күн бұрын

    % kaka nakukubali sana kwa movie zako unatish unyama mno tiktok sifaid kama ninavyo faidi huk

  • @MasoudAyoub
    @MasoudAyoub2 ай бұрын

    Wa mwisho Mimi Leo naomben like zenu

  • @jacobojames7086
    @jacobojames70862 ай бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @EstherBauma-ro5in
    @EstherBauma-ro5inАй бұрын

    Nao mbeni liké jamani vizuri sana mwamba

  • @mahamooduukonga8356
    @mahamooduukonga83562 ай бұрын

    Umetisha konka

  • @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk
    @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk2 ай бұрын

    Mzeee unatisha sanaaaaaaaa❤❤

  • @FadhilaFadhila-wi5wh
    @FadhilaFadhila-wi5wh2 ай бұрын

    Mikuno is typing 😂😂

  • @hildabuya2438
    @hildabuya24382 ай бұрын

    Unyamaaaaa mwingiii❤❤❤

  • @ivanbiswalo
    @ivanbiswalo2 ай бұрын

    Umetisha mzee 🔥🔥🔥

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu2 ай бұрын

    Ao soko huru jomba 😂😂😂😂 🙌

  • @giftmsanga-io7lh
    @giftmsanga-io7lh2 ай бұрын

    Unyama ni umeenda shule 💪

  • @DoryceMbunda-dn8jy
    @DoryceMbunda-dn8jy2 ай бұрын

    Kazi nzurii 🔥

  • @samwelimyinga6361
    @samwelimyinga63612 ай бұрын

    Arooo me nakupa mauwa Yako ankle man siy kaz nyepesi kuandaa unyama gud san

  • @teachersose1972
    @teachersose19722 ай бұрын

    KONKA USICHELEWE KULETA KAZI SASA HV MOVIE RECAPERS NI WENGI SANA

  • @RajabuSultan-fv4ol
    @RajabuSultan-fv4ol2 ай бұрын

    Dqah nomaa mkalii

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba36102 ай бұрын

    Mamae nilijua nitakuwa WA kwanza aiseeeee

  • @blacqdenataly6799
    @blacqdenataly67992 ай бұрын

    Dude lipoa kaka 🙌🏾🔥🔥

  • @agreygride2856
    @agreygride28562 ай бұрын

    🎉konka iko poah

  • @Quarter006
    @Quarter0062 ай бұрын

    Wakwanz mm naomben likes Zang 🙏🙏

  • @user-mf8su7us1j
    @user-mf8su7us1j2 ай бұрын

    Ndiyo maana Kuna bahadhi ya wadada wanasemaga wanaume wabaya kupitia hii move tusiwaamini wanaume

  • @user-gy5gb5jn9c
    @user-gy5gb5jn9c2 ай бұрын

    Broo upo vzr sana

  • @AthumanRajabu
    @AthumanRajabu2 ай бұрын

    zee lakutune zee latown🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rashidismail6593
    @rashidismail6593Ай бұрын

    Izkonka wanaman🎉

  • @EPHANTUSWACHIRA-yb5di
    @EPHANTUSWACHIRA-yb5di2 ай бұрын

    Powa Sana👍👍👍

  • @RoyKacheya
    @RoyKacheya2 ай бұрын

    KAka unyama umezingatiwa kweny hii kaz

  • @priscumushi9083
    @priscumushi90832 ай бұрын

    Noma sana mzeee 👍👍

  • @rahabuhebron2841
    @rahabuhebron28412 ай бұрын

    mama yao ndo mshenzi kamuharibia maisha binti yake

  • @bedaboih5689
    @bedaboih56892 ай бұрын

    Dozie alikufaa so aliendaa part

  • @jostamzxkaole3113
    @jostamzxkaole31132 ай бұрын

    15:41-42 mala heeeeeee::(akaifyatua kwa baatimbaya) 😂 usipokua makinikupunguza sauti ya bufa.. utahisi umevamiwa nyumbani kwako

  • @MussaMoe
    @MussaMoe2 ай бұрын

    Makin sana kaka

  • @joyceelisante
    @joyceelisante18 күн бұрын

    Huyu anajuaa kusumuliaa vizuri tena kwa haraka hadi rahaaaaaaa.

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud31042 ай бұрын

    Mwamba unajua sanaaa kusimulia

  • @juliuskalawa7860
    @juliuskalawa7860Ай бұрын

    Umetisha man

  • @dominicstephano854
    @dominicstephano8542 ай бұрын

    Nakubali kazi yako broo

  • @Young9ine9
    @Young9ine92 ай бұрын

    Unyama KONKAAAA🔥🔥🔥🔥🔥💯

Келесі