MCHIZI ANAPOTEZA DILI LA DOLLAR MILLION 1 KIZEMBE SANA | BLOOM BOYS
Ойын-сауық
⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : PRIME VIDEO
Movie name : BLOOM BOYS
Genre : Drama,Thriller
Year : 2024
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka
Пікірлер: 324
konka anataka mumuandikie maon yenu ,,,maon yenu ndo yatamfanya alete vitu kali kila siku nyie mmekazana wakwanza wakwanza nipeni like zangu mnakeraAaaa,,,,hata ck akikosea jamb mtakAzana na like
@hassnakhamis3489
2 ай бұрын
Wana kera😢
@RahabuJunior
2 ай бұрын
Ni Ukweli kabisa wanakela
@MukabBaruani
Ай бұрын
sana wana kela
WakwAnza mm naomba like
@konkaaaa mzeee wa mizigo ya hatari sana🎉gonga like kama unamkubali weka like
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu...🔥🔥❤❤🙌🙌
Wakati mwengine kujitoafaham kwawatu tunaowapenda😂😂😂
Kwanzaa ngoma inaanziaa chumbanii😂😂😂
Mimi kama young bee nakupenda sana mshikaji wangu unaua soko la muvi kwa wanaotafusiri full movi kwaiyo kaa makini 🙏✅
Duuuuh ni dakika 27 tu watu kibaoooo duuuh kweliii kama unamkubalii Konka gonga like hapa ❤
jamani nzuri sanaa hongera tupo pamoja bro ❤❤❤
Huuu unyama ni noma nakukubal mwwnang unajua 🙌🏻🙌🏻
Me naomba uwe unatoa kila Ciku jmn una Tukataaa sana
Akamlaza chini akaanza Kumküna😅 iyo kuna sasa😅😅
Lile demu lililomgonga litakuwa limemuibia 😂😂 konkaa 🔥
@kingelishathomasonline4842
2 ай бұрын
Nimecheka kinoma amezingua😁
sijawahi kuwa wa kwanza 😢. naomba like 10
Konka mzee wa unyamaa🤝🤝
Konka Mzee wa kukinukisha big up saan unyama umekaa poa
unyama upo vizuri na umejua kutuelezea vizuriii.. kazi nzuri
Heeeeeh umeuzaa kiwanja changuu 😂😂😂
Iko Sawa kabisa hiyo hongerani kwa kazi nizuri mnayo fanya
Umetisha Sana mzgo.wa kwenda kabisa
Iko sawa iyi broh unyama uko fresh 👏💪
Aaaaah uko vizuri kaka toa nyingine nying
konka nakubali kazi zako xema movie za Nigeria ume achia nying xan kwaiy kam inawezekan achia na Indian movie😅😅😅
Awa wanawakee Awaaaaa
Mwanangu upo vizuri sana kwenye hii kazi. Lakini ushauri wangu usituletee movies za Nigeria nyingi. Fanya kutuletea na movies from Hollywood mzee zipo kibao tu mbona watu tunataka tusikie mzee
@e7bits_tz
2 ай бұрын
Movie za HOLLYWOOD zinachangamoto sana
@abdallahally3659
2 ай бұрын
@@e7bits_tz changamoto gn kk
Mzigo hatar sana nakubali sana kazi zako
Unajua na unajua tena🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimekuwa wa 3 LIKE 10 jamaniii tunainjoi tuuu asante mwamba ✌️✌️✌️✌️✌️
@user-vt3ek4er5s
2 ай бұрын
❤❤
@MuhammadRamadhan-kz7ow
Ай бұрын
Hlw
@MuhammadRamadhan-kz7ow
Ай бұрын
Mambo
@Shadia544
Ай бұрын
@@MuhammadRamadhan-kz7ow poa tuu
@Shadia544
Ай бұрын
@@MuhammadRamadhan-kz7ow hello
konka kama konka... haya sasa twende sambamba ....mi nasoma comment tu..... like zangu mnipe
Mpo fasta mno ila big up
Nimependa ety akaanza kumkuna ila we jamaa 😂😂
Oya🔥🔥
Aahhh jmn huwa utuangushiii kaka angu blessed sn
Nimewahi leo naombeni like zen wapendwa pls❤❤❤❤
Konkaa mzee tunakupenda sana form🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Movies zako nzuri sana
Niunyama sana nakukubali kwakutupa andisi kali sana
Nikupe tu mauaa yako kilasiku unazidi kuwa bora hongera sana 🎉❤🎉
Konka sio powa unajua 🎉🎉🎉🎉😊😊😊
😹😹😹….. imenibidi nicheke ety “eeh nenda kaitoe hiyo mimba”….
Maraaa eeeeeeeh. yaanii konka unajua mpk unaa keraa 🙌🙌
Unyama uko vyema sanaaaaaaaa🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷
WE MI NDO WA KWANZ APA PITIENI WOOTE APA🙏
@annayambayamba8614
2 ай бұрын
Like ilistaihili kwangu nimeangaliha hii 16:20
Naomb kujua usahihi wa kumimina wine plz nifahamisheni 😂❤😂
Wakwanza mimi jmn😂😂aya naomba mlike
Jikaze kaka kuna jamaaa naupiga mwingi huku jikaze sana
Oy konka unachelewesha mizigo sawa ulisha tuambia sababu ila kama utaweza zisivuke siku mbili basi au tukupe likizo ya mwezi mzima we jichimbie andaa mizigo full then iweke sikejo babu utuwaishie utamu.au tujue kabisa ratiba yako ya kuachia mizigo Sio ivi mzee
@e7bits_tz
2 ай бұрын
Nimeweka kazi mbili mpya kwenye channel yangu ndo ya E7max
Kaka naona umepania mzeee mawe kila siku... 🫡💪💪
kwanzaaaaaaa
Nakubali sana 7
Yaani mtu hata hajaangalia anawaza kuwa wakwanza
umetisha sana
Wewe naye umetuchanganya dozii si amekufa na huyo ni dozii au tosini
Wakwanza nimewai from 🇦🇪
Konkaaa unajua ❤❤❤
Kaka achia madini🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pamona sana. Tunaomba na Horror movies za kizungu pia
Unyama kama wote
Unyama ni mwing🔥🔥 cjawahi kukupinga Kaka
Wamwisho Leo like bas 🎉
@mwanahamishamis2711
2 ай бұрын
M wapili kutoka mwisho n unyamaa😅😅😅
Iko powah bro....😊
Nawakubali sana sarut kwenu tuna enjoy sana
Kali nzuri konka
Hili la leo Bovu sana 🔥
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas e7biiiiiiiiiiitiiiiiiiisßsssss
% kaka nakukubali sana kwa movie zako unatish unyama mno tiktok sifaid kama ninavyo faidi huk
Wa mwisho Mimi Leo naomben like zenu
Kazi nzuri sana
Nao mbeni liké jamani vizuri sana mwamba
Umetisha konka
Mzeee unatisha sanaaaaaaaa❤❤
Mikuno is typing 😂😂
Unyamaaaaa mwingiii❤❤❤
Umetisha mzee 🔥🔥🔥
Ao soko huru jomba 😂😂😂😂 🙌
Unyama ni umeenda shule 💪
Kazi nzurii 🔥
Arooo me nakupa mauwa Yako ankle man siy kaz nyepesi kuandaa unyama gud san
KONKA USICHELEWE KULETA KAZI SASA HV MOVIE RECAPERS NI WENGI SANA
Dqah nomaa mkalii
Mamae nilijua nitakuwa WA kwanza aiseeeee
Dude lipoa kaka 🙌🏾🔥🔥
🎉konka iko poah
Wakwanz mm naomben likes Zang 🙏🙏
Ndiyo maana Kuna bahadhi ya wadada wanasemaga wanaume wabaya kupitia hii move tusiwaamini wanaume
Broo upo vzr sana
zee lakutune zee latown🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Izkonka wanaman🎉
Powa Sana👍👍👍
KAka unyama umezingatiwa kweny hii kaz
Noma sana mzeee 👍👍
mama yao ndo mshenzi kamuharibia maisha binti yake
Dozie alikufaa so aliendaa part
15:41-42 mala heeeeeee::(akaifyatua kwa baatimbaya) 😂 usipokua makinikupunguza sauti ya bufa.. utahisi umevamiwa nyumbani kwako
Makin sana kaka
Huyu anajuaa kusumuliaa vizuri tena kwa haraka hadi rahaaaaaaa.
Mwamba unajua sanaaa kusimulia
Umetisha man
Nakubali kazi yako broo
Unyama KONKAAAA🔥🔥🔥🔥🔥💯