Mch Moses Magembe - MAISHA BILA MUNGU NI UBATILI 02
Ibada ya Jumapili asubuhi katika kanisa la Gospel Campaign Centre-TAG Majumba sita Ukonga - Dar es Salaam chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: MAISHA BILA MUNGU NI UBATILI
Andiko: MHUBIRI 12:13-14
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 31.07.2022
Пікірлер: 14
Ooh, hallelujah..... indeed Thanks JESUS..be blessed my beloved pastor
Dah Mungu azidi kukupa kusema yanayo hitajika kwa watu wake
Asante kea ujumbe mzuri
Mungu akutunze Baba
Amen, Uje huku kwetu Uganda Mchungaji Rev Moses Magembe
Ubarikiwe sana rev moses magembe umekuwa baraka kwenye maisha yetu 🙏
Amen Amen 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏
Ameeen babaang
Amen!!!
Hakika kweli...
Na mimi nilipoona tangazo la kucha na nywele nikajua wamelitengeneza nikatumiwa clip yake anaagiza mwenyewe nikasema loooh
1wakolinto11:5 ,acha usishikwe maskio naibilisi tafuta neno na Ulitii sawasawa wambie watu wasisuke,wasivae hereni wasivae shanga za aina yoyote ,pete , wasipake makeup wasijichubue ,ndipo Yesu ajitukuze
Amina