Mch Moses Magembe - KITABU CHA MITHALI
Ibada ya Jumatano Jioni katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita - Ilala Dar es salaam, chini Mch Moses Magembe.
Ujumbe: KITABU CHA MITHALI | HEKIMA YA KUISHI KWA UADILIFU
Andiko: MITHALI 1:7
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 13.12.2023
Пікірлер: 12
Utukufu na heshima kwa Mungu juu mbinguni kwaajili ya Mtumishi wake huyu.
Amen and Amen baba na team Yako Mungu azidi kukusaidia na kukutenda mema
Mimi pamoja na familia yangu tunabarikiwa sana na mafundisho Yako yote hasa Jinsi ya kutunza moto usizimike
tuko pamoja huku South Africa. Mungu atukuke
Amen
Mungu akutunze baba, yaan!!!?
Barikiwa sana baba yangu Mungu akutunze
Amina baba
Ubarikiwe saaana Baba 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
huwa sichoki mafundisho yako nabarikiwa mno
Natafuta video za mwendelezo wa hili somo la kitabu cha methali
Bado nataka kuwasiliana Na mchungaji ila sijapata njia yaani number