MCH.DANIEL MGOGO-UMEPEWEA MSAIDIZI,SIO WA KUKUFANYIA KAZI
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
Пікірлер: 28
Uko sawa mgogo
Amen. Mtumishi wa MUNGU hutashidwa kmwe be strong man of GOD. Nami nikiwa 🇺🇸 na kuombea you and your family maisha marefu. Go go go mpaka devil ashindweee. 💖💜💖😀😀😍
Mungu akubariki sana mchungaji
Sema baba
Barikiwa Mtu wa MUNGU
Amen
Napenda mafundisho yako Sana ,umenifundisha mengi, angalau nimepata utambuzi mkubwa
Ati Mia mbili inunue nyama,caroti,vitunguu!¡!! Hapo aligoga ndipo mchungaji....hayo mafundisho nayapa asilimia mia kwa mia
Mch wewe ni chombo cha Bwana akubariki ubarikiwe Amen
Hallelujah
Barikiwa mch🙏🙏
Doha Qatar 🇶🇦 nakuelewa mchungaji
Ameeeen ...........😁😁😁 haka ka amen anakapenda
Ubarikiwe
Nikweli kabisa.
@esterrhobi2824
4 жыл бұрын
Sema
Very very true
Barikiwa Kwaneno
Amen....
@renatasabasik6779
4 жыл бұрын
PAULINE KALUNDA amina baba
🤣🤣🤣🤣ubarikiwe sana baba
This is real..
Nimekuelewa sana mch... Hakuna jema zaidi ya kumuabudu Mungu kwa kicho (unyenyekevu), kuwaheshimu wengine na kujilinda na dunia ( maovu) pasipo mawaa, maana mahitaji ya wanadamu wote ni sawa licha ya tofauti za vipato, ndio sababu mfalme Sulemani ktk kitabu cha Mithali,baada ya kuyapa macho yake kila alichokitamani kwa utajiri aliokuwa nao, lakini hakupata utoshelevu ktk nafsi yake, na ndio maana akahitimisha kwa kusema ,jumla ya mambo yote ni kumcha Bwana!!!
@getrudevincieh3672
4 жыл бұрын
Wanaume wengi wanapenda kufanyiwa
@geofreymaghali183
4 жыл бұрын
Getrude vincieh . Najua wapo wa aina uliyosema, lakini nadhani hali hiyo inasababishwa na mazingira na mtindo wa maisha aliokulia mwanaume wa jinsi hiyo
😂😂😂😂😂😂😂me nakupenda jamani
Hahahahah eti ukirudi Jioni utakuta kuku kajaa hipsi kwenye hotpot
Amen