MBWEMBWE ALLY KAMWE BAADA YA AZIZ KI KUSAINI MKATABA MPYA YANGA

Спорт

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 185

  • @JitihadaRashidi
    @JitihadaRashidi25 күн бұрын

    NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa25 күн бұрын

    Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans

  • @bodyaman
    @bodyaman25 күн бұрын

    Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa. Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175525 күн бұрын

    Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics25 күн бұрын

    Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje958925 күн бұрын

    Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana

  • @RamadhaniMangwira-s6w
    @RamadhaniMangwira-s6w24 күн бұрын

    Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma

  • @user-gf2jq8mf8j
    @user-gf2jq8mf8j25 күн бұрын

    Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Maryc2G
    @Maryc2G25 күн бұрын

    Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹

  • @kalingavictor7068
    @kalingavictor706825 күн бұрын

    Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu

  • @HusnaOmarry
    @HusnaOmarry25 күн бұрын

    Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺

  • @upendogidion5167
    @upendogidion516725 күн бұрын

    Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek25 күн бұрын

    Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤

  • @JohnAlfred-k8f
    @JohnAlfred-k8f25 күн бұрын

    Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu

  • @joojombi2341
    @joojombi234125 күн бұрын

    Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli

  • @ndakijoseph8341
    @ndakijoseph834125 күн бұрын

    Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9c25 күн бұрын

    Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya

  • @SalomeEdward-ch4pk
    @SalomeEdward-ch4pk25 күн бұрын

    Naipenda yanga

  • @martingodfrey7105
    @martingodfrey710525 күн бұрын

    Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko

  • @HusnaOmarry

    @HusnaOmarry

    25 күн бұрын

    Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,

  • @HoseaNguge

    @HoseaNguge

    24 күн бұрын

    Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl25 күн бұрын

    Asante. Saaaaana. Viongozi. Wetu. Woooote. Na. Za. Kipekee. Apewe. Master. Aziz. Ki. Hongereni. Sana. Wananchi. Kwa. Uvumilivu. Wenu. Makolobwanji. Walianza. Kupanga. Sherehe. Kutuzomea. Sasa. Vwamebaki. Mimacho. Kodo.

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar25 күн бұрын

    💚💛💚💛💚💛yanga mbelee nyuma mwiko

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b25 күн бұрын

    Semaji mwenye cv kubwa

  • @emanuelromanrc9782
    @emanuelromanrc978225 күн бұрын

    Wa kwanza Leo💚💚💚

  • @batilda4920
    @batilda492025 күн бұрын

    Semasema semaji letu tunakuelewa 🎉🎉🎉🎉

  • @hyy4114
    @hyy411425 күн бұрын

    Nilikuwa Nakusubiria kwa hamu msemej mwenye point za uhakika

  • @user-eo8tb2js5v
    @user-eo8tb2js5v25 күн бұрын

    Hakika Mungu.niwalehema siku zote tunawaombea Mungu.akajibu maombi.yenu

  • @AbubakarKales
    @AbubakarKales25 күн бұрын

    Hongera sana rais wetu hongera azizi ki kutisikia

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n25 күн бұрын

    Hongera kwa raisi

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f25 күн бұрын

    Napenda kusema uongozi kwaujumla mkovizuri timunyingine muige siodhambi😊

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk25 күн бұрын

    Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏

  • @AMIRIRAJABU-ld5ry
    @AMIRIRAJABU-ld5ry25 күн бұрын

    Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy24 күн бұрын

    Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛

  • @TausiKitundu
    @TausiKitundu25 күн бұрын

    yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @samwelsanyura-iw9nr
    @samwelsanyura-iw9nr25 күн бұрын

    Yanga for life

  • @emmanueljohn4571
    @emmanueljohn457125 күн бұрын

    Yanga🙌🏻🙌🏻

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw25 күн бұрын

    💛💚💛💚yanga

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo25 күн бұрын

    Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA

  • @EsterKindoli

    @EsterKindoli

    25 күн бұрын

    Aho wagaya avae....

  • @LukindoMchome-qv3vo

    @LukindoMchome-qv3vo

    25 күн бұрын

    @@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,

  • @EsterKindoli

    @EsterKindoli

    24 күн бұрын

    @@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo

  • @SanziNzige
    @SanziNzige25 күн бұрын

    Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini

  • @candidamuhanika8328

    @candidamuhanika8328

    24 күн бұрын

    Roho imekuuma.....😮😮😮

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba140225 күн бұрын

    Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f25 күн бұрын

    Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri

  • @GraceFesto
    @GraceFesto25 күн бұрын

    Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉

  • @AmiriMalenge-kc5jk
    @AmiriMalenge-kc5jk25 күн бұрын

    Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga

  • @MwaniPh
    @MwaniPh25 күн бұрын

    Yanga bingwa

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu580625 күн бұрын

    Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali

  • @BabatStarkid
    @BabatStarkid25 күн бұрын

    Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅

  • @JayWizzy-iq8ed
    @JayWizzy-iq8ed25 күн бұрын

    Naipenda yanga yangu❤

  • @nurhatkheir1935
    @nurhatkheir193525 күн бұрын

    Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛

  • @user-kk7ni6cp7p
    @user-kk7ni6cp7p25 күн бұрын

    Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan

  • @CharlesDanielnyanda
    @CharlesDanielnyanda24 күн бұрын

    Hongera sana ENG HERS SAIDI

  • @tonymwakalenga388
    @tonymwakalenga38825 күн бұрын

    Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.

  • @SalomeEmanuelimpalasinge
    @SalomeEmanuelimpalasinge25 күн бұрын

    Hongera yako president Kwa aziz ki

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n25 күн бұрын

    Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana

  • @vinnyjr-n1g
    @vinnyjr-n1g25 күн бұрын

    Yanga mpaka nakufa❤❤

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f25 күн бұрын

    For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏

  • @Justinaombay
    @Justinaombay25 күн бұрын

    Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛

  • @KimSaidi
    @KimSaidi25 күн бұрын

    🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid605225 күн бұрын

    The first one, today

  • @abuumfunda
    @abuumfunda25 күн бұрын

    Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤

  • @anyisilejaphet2658
    @anyisilejaphet265825 күн бұрын

    Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela375125 күн бұрын

    Nakubali sana ❤

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q25 күн бұрын

    💚💛💛💛💚l Love You yanga

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma25 күн бұрын

    Yanga hii mwaka huu litakufa jitu

  • @twaribuidrissa9900
    @twaribuidrissa990025 күн бұрын

    Asalam aleykum wananchi wenzangu

  • @user-np4om6hz4m

    @user-np4om6hz4m

    25 күн бұрын

    Walaykum s laam

  • @barakahmichaels1631
    @barakahmichaels163125 күн бұрын

    Author✌🏿✊🏿❤️

  • @KizingiliRamadhani-gh5gq
    @KizingiliRamadhani-gh5gq25 күн бұрын

    Wambie hawooo manyonyo fc

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq25 күн бұрын

    Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂

  • @DieudonneNdiho-yf5sq
    @DieudonneNdiho-yf5sq25 күн бұрын

    Safi sana

  • @Dartonjuma
    @Dartonjuma25 күн бұрын

    Nice

  • @julietmshana1962
    @julietmshana196225 күн бұрын

    Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛

  • @rogersiddy
    @rogersiddy25 күн бұрын

    Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊

  • @Justinaombay

    @Justinaombay

    25 күн бұрын

    Ulimsainisha ww au

  • @lucymsheshi5871

    @lucymsheshi5871

    24 күн бұрын

    Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    24 күн бұрын

    @@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    24 күн бұрын

    @@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm25 күн бұрын

    Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @sulehyanajma3399
    @sulehyanajma339925 күн бұрын

    Moyo wangu umetulia sasa

  • @AntidiusiZindemba
    @AntidiusiZindemba25 күн бұрын

    MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k

  • @tatalyzer382
    @tatalyzer38225 күн бұрын

    #Yanga ni lidude kubwa sana😂

  • @julietmshana1962
    @julietmshana196225 күн бұрын

    💚💛💚💛💚💛

  • @islamsaid9587
    @islamsaid958724 күн бұрын

    Onger eng hers said na menejiment yote

  • @kasandabulilo564
    @kasandabulilo56425 күн бұрын

    Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂

  • @husseynomar9523
    @husseynomar952325 күн бұрын

    Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉

  • @jumamzelela4207
    @jumamzelela420725 күн бұрын

    Sure😢

  • @eliudmwanalusi3907
    @eliudmwanalusi390724 күн бұрын

    Huyu jamaa huwa anaongea fact sana

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q25 күн бұрын

    ❤❤

  • @jivankulikwa24
    @jivankulikwa2425 күн бұрын

    Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂

  • @Abdul-jj6lq
    @Abdul-jj6lq25 күн бұрын

    nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi710825 күн бұрын

    MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢

  • @faidhasaid4084
    @faidhasaid408425 күн бұрын

    mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa

  • @habibuabuu9609
    @habibuabuu960924 күн бұрын

    Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi

  • @tumainimremi3461
    @tumainimremi346125 күн бұрын

    Ushindi muhimu

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr24 күн бұрын

    HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31325 күн бұрын

    Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K

  • @GodfreyLipumba-ds6jl
    @GodfreyLipumba-ds6jl25 күн бұрын

    Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚

  • @eliadahmhina4125
    @eliadahmhina412525 күн бұрын

    3 one today😊

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady242025 күн бұрын

    Allaah Akbar

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u25 күн бұрын

    Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno

  • @user-ds3oi3tt8u

    @user-ds3oi3tt8u

    25 күн бұрын

    Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu

  • @user-ds3oi3tt8u

    @user-ds3oi3tt8u

    25 күн бұрын

    Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome596425 күн бұрын

    Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv

  • @EsterKindoli

    @EsterKindoli

    25 күн бұрын

    Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya521325 күн бұрын

    Hahahaaa😂😂😂😂 wasaga sumu wanaloooo,chuma kama chuma bado kipooo🎉🎉🎉🎉

  • @KonjiKabasa
    @KonjiKabasa25 күн бұрын

    Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe

  • @ahmedalsaadi7108

    @ahmedalsaadi7108

    25 күн бұрын

    Kivip kolo

  • @ahmedalsaadi7108

    @ahmedalsaadi7108

    25 күн бұрын

    Maana hamuna munacho tuzidi labda munatuzidi maumivu😂😂😂

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku25 күн бұрын

    Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!

  • @JumaJabibu
    @JumaJabibu24 күн бұрын

    Hongera rais

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n25 күн бұрын

    Tujipongeze wana yanga wote.

  • @LeontiaLeonard-tv7oy
    @LeontiaLeonard-tv7oy25 күн бұрын

    Asanteeeeeee

Келесі