NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki
@saidilindukwa25 күн бұрын
Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans
@bodyaman25 күн бұрын
Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa. Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K
@amaniomar175525 күн бұрын
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.
@MoajGraphics25 күн бұрын
Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰
@hawamasanje958925 күн бұрын
Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana
@RamadhaniMangwira-s6w24 күн бұрын
Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma
@user-gf2jq8mf8j25 күн бұрын
Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Maryc2G25 күн бұрын
Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
@kalingavictor706825 күн бұрын
Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu
@HusnaOmarry25 күн бұрын
Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺
@upendogidion516725 күн бұрын
Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie
@rehemamahendeka-rm2ek25 күн бұрын
Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤
@JohnAlfred-k8f25 күн бұрын
Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu
@joojombi234125 күн бұрын
Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli
@ndakijoseph834125 күн бұрын
Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️
@user-hu2sf3so9c25 күн бұрын
Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya
@SalomeEdward-ch4pk25 күн бұрын
Naipenda yanga
@martingodfrey710525 күн бұрын
Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko
@HusnaOmarry
25 күн бұрын
Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,
@HoseaNguge
24 күн бұрын
Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅
Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏
@AMIRIRAJABU-ld5ry25 күн бұрын
Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever
@BenPeter-vp2cy24 күн бұрын
Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛
@TausiKitundu25 күн бұрын
yanga daima mbele nyuma mwiko
@samwelsanyura-iw9nr25 күн бұрын
Yanga for life
@emmanueljohn457125 күн бұрын
Yanga🙌🏻🙌🏻
@Evance-op4jw25 күн бұрын
💛💚💛💚yanga
@LukindoMchome-qv3vo25 күн бұрын
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
@EsterKindoli
25 күн бұрын
Aho wagaya avae....
@LukindoMchome-qv3vo
25 күн бұрын
@@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,
@EsterKindoli
24 күн бұрын
@@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo
@SanziNzige25 күн бұрын
Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini
@candidamuhanika8328
24 күн бұрын
Roho imekuuma.....😮😮😮
@nicodemusmemba140225 күн бұрын
Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,
@user-nm2jq7xo5f25 күн бұрын
Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri
@GraceFesto25 күн бұрын
Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉
@AmiriMalenge-kc5jk25 күн бұрын
Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga
@MwaniPh25 күн бұрын
Yanga bingwa
@ramadhanimrungu580625 күн бұрын
Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali
@BabatStarkid25 күн бұрын
Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅
@JayWizzy-iq8ed25 күн бұрын
Naipenda yanga yangu❤
@nurhatkheir193525 күн бұрын
Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛
@user-kk7ni6cp7p25 күн бұрын
Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan
@CharlesDanielnyanda24 күн бұрын
Hongera sana ENG HERS SAIDI
@tonymwakalenga38825 күн бұрын
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
@SalomeEmanuelimpalasinge25 күн бұрын
Hongera yako president Kwa aziz ki
@user-jb5ct7su8n25 күн бұрын
Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana
@vinnyjr-n1g25 күн бұрын
Yanga mpaka nakufa❤❤
@user-hy3en6vk5f25 күн бұрын
For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏
@Justinaombay25 күн бұрын
Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛
@KimSaidi25 күн бұрын
🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa
@aziziabeid605225 күн бұрын
The first one, today
@abuumfunda25 күн бұрын
Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤
@anyisilejaphet265825 күн бұрын
Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme
@omarymtotela375125 күн бұрын
Nakubali sana ❤
@user-vi7ly9zh1q25 күн бұрын
💚💛💛💛💚l Love You yanga
@KondoNgoma25 күн бұрын
Yanga hii mwaka huu litakufa jitu
@twaribuidrissa990025 күн бұрын
Asalam aleykum wananchi wenzangu
@user-np4om6hz4m
25 күн бұрын
Walaykum s laam
@barakahmichaels163125 күн бұрын
Author✌🏿✊🏿❤️
@KizingiliRamadhani-gh5gq25 күн бұрын
Wambie hawooo manyonyo fc
@FilbertKalembe-fy4oq25 күн бұрын
Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂
@DieudonneNdiho-yf5sq25 күн бұрын
Safi sana
@Dartonjuma25 күн бұрын
Nice
@julietmshana196225 күн бұрын
Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛
@rogersiddy25 күн бұрын
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
@Justinaombay
25 күн бұрын
Ulimsainisha ww au
@lucymsheshi5871
24 күн бұрын
Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅
@rogersiddy
24 күн бұрын
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@rogersiddy
24 күн бұрын
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
@simonIbrahim-hc8vm25 күн бұрын
Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@sulehyanajma339925 күн бұрын
Moyo wangu umetulia sasa
@AntidiusiZindemba25 күн бұрын
MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k
@tatalyzer38225 күн бұрын
#Yanga ni lidude kubwa sana😂
@julietmshana196225 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛
@islamsaid958724 күн бұрын
Onger eng hers said na menejiment yote
@kasandabulilo56425 күн бұрын
Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂
@husseynomar952325 күн бұрын
Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉
@jumamzelela420725 күн бұрын
Sure😢
@eliudmwanalusi390724 күн бұрын
Huyu jamaa huwa anaongea fact sana
@user-rj8zh8ok7q25 күн бұрын
❤❤
@jivankulikwa2425 күн бұрын
Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂
@Abdul-jj6lq25 күн бұрын
nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha
@ahmedalsaadi710825 күн бұрын
MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢
@faidhasaid408425 күн бұрын
mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa
@habibuabuu960924 күн бұрын
Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi
@tumainimremi346125 күн бұрын
Ushindi muhimu
@HABIBHASSAN-wf5mr24 күн бұрын
HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU
@sebastiansalamba31325 күн бұрын
Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K
@GodfreyLipumba-ds6jl25 күн бұрын
Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚
@eliadahmhina412525 күн бұрын
3 one today😊
@shaibusaady242025 күн бұрын
Allaah Akbar
@user-ds3oi3tt8u25 күн бұрын
Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno
@user-ds3oi3tt8u
25 күн бұрын
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
@user-ds3oi3tt8u
25 күн бұрын
Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa
@mhinajerome596425 күн бұрын
Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv
@EsterKindoli
25 күн бұрын
Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona
@sallyeliya521325 күн бұрын
Hahahaaa😂😂😂😂 wasaga sumu wanaloooo,chuma kama chuma bado kipooo🎉🎉🎉🎉
@KonjiKabasa25 күн бұрын
Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe
@ahmedalsaadi7108
25 күн бұрын
Kivip kolo
@ahmedalsaadi7108
25 күн бұрын
Maana hamuna munacho tuzidi labda munatuzidi maumivu😂😂😂
@mitinjemaziku25 күн бұрын
Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!
Пікірлер: 185
NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki
Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans
Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa. Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.
Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰
Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana
Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma
Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu
Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺
Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie
Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤
Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu
Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli
Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️
Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya
Naipenda yanga
Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko
@HusnaOmarry
25 күн бұрын
Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,
@HoseaNguge
24 күн бұрын
Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅
Asante. Saaaaana. Viongozi. Wetu. Woooote. Na. Za. Kipekee. Apewe. Master. Aziz. Ki. Hongereni. Sana. Wananchi. Kwa. Uvumilivu. Wenu. Makolobwanji. Walianza. Kupanga. Sherehe. Kutuzomea. Sasa. Vwamebaki. Mimacho. Kodo.
💚💛💚💛💚💛yanga mbelee nyuma mwiko
Semaji mwenye cv kubwa
Wa kwanza Leo💚💚💚
Semasema semaji letu tunakuelewa 🎉🎉🎉🎉
Nilikuwa Nakusubiria kwa hamu msemej mwenye point za uhakika
Hakika Mungu.niwalehema siku zote tunawaombea Mungu.akajibu maombi.yenu
Hongera sana rais wetu hongera azizi ki kutisikia
Hongera kwa raisi
Napenda kusema uongozi kwaujumla mkovizuri timunyingine muige siodhambi😊
Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏
Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever
Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛
yanga daima mbele nyuma mwiko
Yanga for life
Yanga🙌🏻🙌🏻
💛💚💛💚yanga
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
@EsterKindoli
25 күн бұрын
Aho wagaya avae....
@LukindoMchome-qv3vo
25 күн бұрын
@@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,
@EsterKindoli
24 күн бұрын
@@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo
Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini
@candidamuhanika8328
24 күн бұрын
Roho imekuuma.....😮😮😮
Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,
Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri
Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉
Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga
Yanga bingwa
Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali
Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅
Naipenda yanga yangu❤
Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛
Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan
Hongera sana ENG HERS SAIDI
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
Hongera yako president Kwa aziz ki
Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana
Yanga mpaka nakufa❤❤
For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏
Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛
🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa
The first one, today
Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤
Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme
Nakubali sana ❤
💚💛💛💛💚l Love You yanga
Yanga hii mwaka huu litakufa jitu
Asalam aleykum wananchi wenzangu
@user-np4om6hz4m
25 күн бұрын
Walaykum s laam
Author✌🏿✊🏿❤️
Wambie hawooo manyonyo fc
Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂
Safi sana
Nice
Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
@Justinaombay
25 күн бұрын
Ulimsainisha ww au
@lucymsheshi5871
24 күн бұрын
Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅
@rogersiddy
24 күн бұрын
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@rogersiddy
24 күн бұрын
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏
Moyo wangu umetulia sasa
MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k
#Yanga ni lidude kubwa sana😂
💚💛💚💛💚💛
Onger eng hers said na menejiment yote
Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂
Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉
Sure😢
Huyu jamaa huwa anaongea fact sana
❤❤
Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂
nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha
MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢
mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa
Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi
Ushindi muhimu
HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU
Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K
Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚
3 one today😊
Allaah Akbar
Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno
@user-ds3oi3tt8u
25 күн бұрын
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
@user-ds3oi3tt8u
25 күн бұрын
Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa
Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv
@EsterKindoli
25 күн бұрын
Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona
Hahahaaa😂😂😂😂 wasaga sumu wanaloooo,chuma kama chuma bado kipooo🎉🎉🎉🎉
Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe
@ahmedalsaadi7108
25 күн бұрын
Kivip kolo
@ahmedalsaadi7108
25 күн бұрын
Maana hamuna munacho tuzidi labda munatuzidi maumivu😂😂😂
Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!
Hongera rais
Tujipongeze wana yanga wote.
Asanteeeeeee