MBOWE ACHUKIZWA VIBAYA MSIBANI KWA LOWASSA, AMVAA RAIS SAMIA, "NASHINDWA KUZUNGUMZA"
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 54
@sophiaamnaay97265 ай бұрын
Asante Mheshimiwa Mbowe kukamilisha historia ya mpendwa wetu hayati Edward Lowasa. Ile historia ilikuwa na mapungufu.mno hivyo ilionekana kama imechakachuliwa vile. Ila sasa baada ya hotuba yako imeondoa maswali mengi kwetu. Mungu alibariki mno.
@boscomfundo79535 ай бұрын
Hon Mbowe ni next level
@c759235 ай бұрын
A very good narrator 👏🏾👏🏾 bless up
@northerncruiser1375 ай бұрын
Mbowe hajawahi kukosea kutoa hotuba karama aliyonayo inapendeza sana tukapata kiongozi ambaye atakuwa nayo akiwaongoza wananchi
@user-wl5wf3gf5y5 ай бұрын
Hakika hapo umeongea nice poit salut kwako mwamba. namkubali san mbowe hapindixh ukwel mm.mwenye nilisubir hyo mada tangu mda xikuisikia asntee kwa ukweli wakoo
@philipomponeja24575 ай бұрын
Binge ya hotuba aisee Hawa ccm bac tu! MUNGU yupo
@simonnaivasha63935 ай бұрын
Mheshimiwa Freeman Mbowe hongera kwa kuweka historia ya Mheshimiwa Edward Lowassa sawa .tuna shida au changamoto kama Taifa , watu wengi wanafikiri chakula cha leo tu..! Shame on you !
@simonnaivasha6393
5 ай бұрын
Chakula Chao cha ..
@joventjohansenmushwaimi19885 ай бұрын
Hahahahahaaa wamechekeshaaa kweliii kweliii huwezi kuwalaumu maana akili yao imegota hapooo
@amaniOnesmo-oo4gw5 ай бұрын
Safi kabisa Mh mbowe uko vzr saaana MUNGU akutunze
@goodluckstephanmasige34505 ай бұрын
Tatizo ccm wanahisi hii nchi niyao tu wapuuzi hawa.
@dominiquemushy8955 ай бұрын
Mbowe Mungu akubariki pia, MTU Kama mbowe anastahili pia nafasi kubwa ya maamuzi
@Dee-pg2mk5 ай бұрын
Safi kabisa mheshimiwa Mbowe
@henryelias42415 ай бұрын
Hiyo Historia ya kuhamia upinzani imeondolewa makusudi kwenye Historia ya marehemu kwa sababu ya itikadi za kisiasa. Hilo ndilo tatizo tulilo nalo hapa Tanzania. Unawezaje kufukia Historia kama hiyo kwa sababu ya ubaguzi wa kivyama? Hili jambo linasikitisha.
@VitalisMmassi-oh4jb5 ай бұрын
Mboe upo vizuri
@user-qg1iy5ov3u5 ай бұрын
Nikweli alikuwa mnyenyekevu sana badilisheni misemo. tuwe na kawaida ya kuwasifu viongozi wetu wakiwa hai sawa?
@ubetakiseif3585 ай бұрын
Hivi mlitegemea haya aliyosema Mbowe, yasemwe na CCM! Are you serious?
@user-ur8yk6gq6b5 ай бұрын
Hotuba imeshiba
@johakhimu.mgembe.32975 ай бұрын
Mnaopora Haki za Watu na Karama zao na hasa kuiba Kura. Ni dhambi isiyosameheka, Mwisho wa Maisha ya Dunia ,kira aliyepora Cheo asichostahiki Atajieleza Kwenye Mahakama ya Mwenyezi.Ole Wezi wa kura,Muogopeni Mungu.Maisha ya Dunia na Vyeo vyake.Ni Mapambo ya Duniani..Sauti ya Watu. ni Sauti ya Mungu.
@AlexMkwama5 ай бұрын
Nilishangaa walipo muita sehemu ya familia ikiwa yeye ni mchaga na M/kiti wa chama Cha upinzani Chadema, na ndiye alikuwa m/kiti wa lowasa kipindi yupo kwenye harakati za kugombea urais . Jamani Mwenye macho haambiwi tazama. Tunahitaji kukua kidemokrasia nasio kuogopana. Mungu ibariki Tanzania. By Rev Alex Mkwama wa mbande kiponza Dsm
@florencemeza65405 ай бұрын
Toka afe Membe naona kauli yaMWENDA ZAKE IMEKUFA?, !!!! Tunaanza kusema Bwana yesu asifiwe lakini mjue Mungu atabaki kuwaMungu
@HURUMAMBOYA-fr4lv5 ай бұрын
Mm maisha Yangu yote najua Mbowe ni Moja ya watu Ambao Mungu alitupa kama zawadi
@sajurumassawe74315 ай бұрын
safi sn bb mbowe waambie history haipotei kwa vyovyote
@shokakazini71355 ай бұрын
Hakika huwezi jifanya umesahau kura za uraisi za Lowasa 2015
@hajihassan5433
5 ай бұрын
Kama CHADEMA walizikumbuka kura 2015 wangeahirisha maandamano kupisha kidogo maombolezo.
@sylvestercameo6263
5 ай бұрын
@@hajihassan5433Mbona serikalini ambako marehemu alikuwa Waziri Mkuu hawakuhairisha vshughuli za kila siku vikiwemo vikao vya bunge ili kuomboleza. Angalau punguza unafiki!
@ErickEvarist-en7ye5 ай бұрын
Bonge la point kaka mbowe
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi5 ай бұрын
Big brain Mh Mbowe.
@user-ll2bs5ep8c5 ай бұрын
Ni kweli kabisa historia ya chadema haiwezi kutoka ..
@user-ij6eo6pq6z5 ай бұрын
Ccm ni wapumbavu
@MatronaThomas-wz5si5 ай бұрын
Hawa Edward Wamasai ❤❤❤❤❤
@shemelaruhinda61135 ай бұрын
Asante mbowe ukoseagi
@user-sz1tt8oy2l5 ай бұрын
Mbowe level NYINGINE 😮
@mwilathomas23825 ай бұрын
Mbowe mmoja ni makada 5000 wa CCM
@Boniphaceshayo55 ай бұрын
Lowassa alijua kuwaonganisha leo mpo pamoja aliwapenda ote
@MnubiMm5 ай бұрын
Ziko sehem katika wasia au wasifu wa mtu katika msiba wake haziwezi kusemwa kwa sbb mbalimbali ni sio Jambo la ajabu sio Kila kitu kinaweza kusemwa kinachomuhusu marehem huwezi kusema Kila kitu na Cha muhimu hili Jambo linausiana na pia maamuzi ya familia lipi lisemwe na sio kusifu na kupongeza tu na kulaumu pia hebu hebu fiwa ndio utajua Kila kitu Cha Marehem wako kisemwe
@geofreymilinga29655 ай бұрын
Mh mm CCM lakin kama Ingekuwa Uraisi wanapewa tu Ungepewa Kwanza ww mana iyo hotuba Imegonga vichwa vya watu nandio hotuba Itakayo dumu ktk mioyo ya watu Ktk history ya Mazishi ya Viongozi wote, Umetumia dakika fupi Kwa point tupu.
@murattywamuratty97785 ай бұрын
Khatar kweli mtu akifa ndo inavyo kuwa sifa kama zotee kutoka kwa mbowe...ilaa Bungeni kipindi Chao lowasa alikoma mpka kujiuzul
@jonasdaniel1025
5 ай бұрын
Akili yako kisoda Tena ngando
@murattywamuratty9778
5 ай бұрын
Kama ya kwako ulozaliwa nayoo,kumbe unakijua kama mgojwa ww eeh
@johakhimu.mgembe.32975 ай бұрын
Hotuba Stahiki Umenena.Ukweri.Ukweri Wa Siasa ktk Taifa hili. Utatuweka HURU.
@jeromemambali55505 ай бұрын
The historical back ground of the late hon. Edward Lowasa was skipped .
@user-it3im4di4q5 ай бұрын
Akili ndogo kuongoza akili kubwa madhara yake ndio hayo 😅😅😅
@mgityanyahurya83755 ай бұрын
Mh mbowe anastahili kuwa kiongozi kutokana na maneno yake ya hekima
@koniasalingo2165
5 ай бұрын
Acha bangiiii
@hono12325 ай бұрын
Tatizo la kuwasifu binadamu wakiwa bado hai, huwa wanabadilika kialisia kwa viburi , majivuno, malingo na na mbwembe.
@KeiFerouz-fn9oc5 ай бұрын
Lkn ulimpiga pesa nyingi sana una haki ya kuumia
@salamuushawji2044
5 ай бұрын
Yaaniii ...ndo maanaaaa
@workmantiktok5 ай бұрын
Huyu nyumbu analeta siasa msibani
@salimkhamis3638
5 ай бұрын
Kwa maneno yako bila shaka wewe umeishia darasa la 7. Umefahamu kilichozungumzwa?
Пікірлер: 54
Asante Mheshimiwa Mbowe kukamilisha historia ya mpendwa wetu hayati Edward Lowasa. Ile historia ilikuwa na mapungufu.mno hivyo ilionekana kama imechakachuliwa vile. Ila sasa baada ya hotuba yako imeondoa maswali mengi kwetu. Mungu alibariki mno.
Hon Mbowe ni next level
A very good narrator 👏🏾👏🏾 bless up
Mbowe hajawahi kukosea kutoa hotuba karama aliyonayo inapendeza sana tukapata kiongozi ambaye atakuwa nayo akiwaongoza wananchi
Hakika hapo umeongea nice poit salut kwako mwamba. namkubali san mbowe hapindixh ukwel mm.mwenye nilisubir hyo mada tangu mda xikuisikia asntee kwa ukweli wakoo
Binge ya hotuba aisee Hawa ccm bac tu! MUNGU yupo
Mheshimiwa Freeman Mbowe hongera kwa kuweka historia ya Mheshimiwa Edward Lowassa sawa .tuna shida au changamoto kama Taifa , watu wengi wanafikiri chakula cha leo tu..! Shame on you !
@simonnaivasha6393
5 ай бұрын
Chakula Chao cha ..
Hahahahahaaa wamechekeshaaa kweliii kweliii huwezi kuwalaumu maana akili yao imegota hapooo
Safi kabisa Mh mbowe uko vzr saaana MUNGU akutunze
Tatizo ccm wanahisi hii nchi niyao tu wapuuzi hawa.
Mbowe Mungu akubariki pia, MTU Kama mbowe anastahili pia nafasi kubwa ya maamuzi
Safi kabisa mheshimiwa Mbowe
Hiyo Historia ya kuhamia upinzani imeondolewa makusudi kwenye Historia ya marehemu kwa sababu ya itikadi za kisiasa. Hilo ndilo tatizo tulilo nalo hapa Tanzania. Unawezaje kufukia Historia kama hiyo kwa sababu ya ubaguzi wa kivyama? Hili jambo linasikitisha.
Mboe upo vizuri
Nikweli alikuwa mnyenyekevu sana badilisheni misemo. tuwe na kawaida ya kuwasifu viongozi wetu wakiwa hai sawa?
Hivi mlitegemea haya aliyosema Mbowe, yasemwe na CCM! Are you serious?
Hotuba imeshiba
Mnaopora Haki za Watu na Karama zao na hasa kuiba Kura. Ni dhambi isiyosameheka, Mwisho wa Maisha ya Dunia ,kira aliyepora Cheo asichostahiki Atajieleza Kwenye Mahakama ya Mwenyezi.Ole Wezi wa kura,Muogopeni Mungu.Maisha ya Dunia na Vyeo vyake.Ni Mapambo ya Duniani..Sauti ya Watu. ni Sauti ya Mungu.
Nilishangaa walipo muita sehemu ya familia ikiwa yeye ni mchaga na M/kiti wa chama Cha upinzani Chadema, na ndiye alikuwa m/kiti wa lowasa kipindi yupo kwenye harakati za kugombea urais . Jamani Mwenye macho haambiwi tazama. Tunahitaji kukua kidemokrasia nasio kuogopana. Mungu ibariki Tanzania. By Rev Alex Mkwama wa mbande kiponza Dsm
Toka afe Membe naona kauli yaMWENDA ZAKE IMEKUFA?, !!!! Tunaanza kusema Bwana yesu asifiwe lakini mjue Mungu atabaki kuwaMungu
Mm maisha Yangu yote najua Mbowe ni Moja ya watu Ambao Mungu alitupa kama zawadi
safi sn bb mbowe waambie history haipotei kwa vyovyote
Hakika huwezi jifanya umesahau kura za uraisi za Lowasa 2015
@hajihassan5433
5 ай бұрын
Kama CHADEMA walizikumbuka kura 2015 wangeahirisha maandamano kupisha kidogo maombolezo.
@sylvestercameo6263
5 ай бұрын
@@hajihassan5433Mbona serikalini ambako marehemu alikuwa Waziri Mkuu hawakuhairisha vshughuli za kila siku vikiwemo vikao vya bunge ili kuomboleza. Angalau punguza unafiki!
Bonge la point kaka mbowe
Big brain Mh Mbowe.
Ni kweli kabisa historia ya chadema haiwezi kutoka ..
Ccm ni wapumbavu
Hawa Edward Wamasai ❤❤❤❤❤
Asante mbowe ukoseagi
Mbowe level NYINGINE 😮
Mbowe mmoja ni makada 5000 wa CCM
Lowassa alijua kuwaonganisha leo mpo pamoja aliwapenda ote
Ziko sehem katika wasia au wasifu wa mtu katika msiba wake haziwezi kusemwa kwa sbb mbalimbali ni sio Jambo la ajabu sio Kila kitu kinaweza kusemwa kinachomuhusu marehem huwezi kusema Kila kitu na Cha muhimu hili Jambo linausiana na pia maamuzi ya familia lipi lisemwe na sio kusifu na kupongeza tu na kulaumu pia hebu hebu fiwa ndio utajua Kila kitu Cha Marehem wako kisemwe
Mh mm CCM lakin kama Ingekuwa Uraisi wanapewa tu Ungepewa Kwanza ww mana iyo hotuba Imegonga vichwa vya watu nandio hotuba Itakayo dumu ktk mioyo ya watu Ktk history ya Mazishi ya Viongozi wote, Umetumia dakika fupi Kwa point tupu.
Khatar kweli mtu akifa ndo inavyo kuwa sifa kama zotee kutoka kwa mbowe...ilaa Bungeni kipindi Chao lowasa alikoma mpka kujiuzul
@jonasdaniel1025
5 ай бұрын
Akili yako kisoda Tena ngando
@murattywamuratty9778
5 ай бұрын
Kama ya kwako ulozaliwa nayoo,kumbe unakijua kama mgojwa ww eeh
Hotuba Stahiki Umenena.Ukweri.Ukweri Wa Siasa ktk Taifa hili. Utatuweka HURU.
The historical back ground of the late hon. Edward Lowasa was skipped .
Akili ndogo kuongoza akili kubwa madhara yake ndio hayo 😅😅😅
Mh mbowe anastahili kuwa kiongozi kutokana na maneno yake ya hekima
@koniasalingo2165
5 ай бұрын
Acha bangiiii
Tatizo la kuwasifu binadamu wakiwa bado hai, huwa wanabadilika kialisia kwa viburi , majivuno, malingo na na mbwembe.
Lkn ulimpiga pesa nyingi sana una haki ya kuumia
@salamuushawji2044
5 ай бұрын
Yaaniii ...ndo maanaaaa
Huyu nyumbu analeta siasa msibani
@salimkhamis3638
5 ай бұрын
Kwa maneno yako bila shaka wewe umeishia darasa la 7. Umefahamu kilichozungumzwa?
Ila Hana uwezo wa kuwa rais haitatokea
Umeongea kitu Cha msingi sana Mh Mbowe Hongera