MBANGA PART 2: Aliyezamia meli asimulia 'Wote walikufa, /tulikaa kwenye injini'

#Baharia #Mbanga #Comoro
Ni jamaa alojaribu kuzamia meli kwenda visiwani Mayotte akipitia njia za magendo huko visiwa vya Comoro.
Alipitia mengi hapa katikati kama kujiingiza katkika biashara haramu za uuzaji wa madawa.....karibu Ulimike, na uburudike pia kupitia simulizi hii....
KIPINDI HIKI CHA "MBANGA" HURUKA KILA SIKU YA JUMAMOSI USIACHE KUKAA KARIBU NASI KWA SIMULIZI ZA KUSISIMUA

Пікірлер: 132

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma60513 жыл бұрын

    Ni kama mm nilikuwa napenda sana Mabas ,nilikuwa nashinda stend kutwa , Nashukuru mungu baadae ndoto ilitimia ,nikifanya kaz kwa mabus , Vibes n kitu Kibaya Sana ,yaan n mapenz yalopitiliza ,

  • @stn4873
    @stn48732 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sema BIG una force kishenzi, sema nini BELIEVE in what you BELIEVE brother one day utatoboa tu, penye nia pana njia.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29833 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akujaalie ufanikiwe ndoto zako. Kikubwa uwe na uhakika na mwenyeji wako bro' ulaya kama huna msingi ni shida

  • @Byme6434
    @Byme6434Ай бұрын

    Nimempenda huyu kaka Jinsi Anavyoongea InshaAllah Tutakuja kukutembelea Kwenye Mihogo Coco Beach Mama land❤

  • @elgringogringo5238
    @elgringogringo52383 жыл бұрын

    Next interview nae ,mtakuwa uzunguni kwa Jina La Mwenze Mungu,sema Amen Kubwa

  • @polytarimo324

    @polytarimo324

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @hassanmkungile6021
    @hassanmkungile60213 жыл бұрын

    Mkataa kwao n mtumwa huko ulaya tunabaguliwa bado mnang'ang'ania kwenda nenda ukaliwe big

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14033 жыл бұрын

    Kikubwa Usikate Tamaa Mana Safari Ya Maisha Yako Dereva Niwewe Mwenyewe Usiwape Muda Wakatisha Tamaa Za Watu Simama Imara

  • @ericklaura7511

    @ericklaura7511

    3 жыл бұрын

    True say

  • @surujajwie4768
    @surujajwie47683 жыл бұрын

    Inshallah Allah atakufanyi wapesi utafika 🤗🤗❤

  • @mkakampole7802
    @mkakampole78024 жыл бұрын

    Tanzania Storowei anazaliwa storowei anakufa 😂😂😂😂. Nchi ya mastorowei

  • @sultanasultana7020

    @sultanasultana7020

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mathiasfrancis2614

    @mathiasfrancis2614

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati23032 жыл бұрын

    Ongera kwa uokofu. Bwana Yesu hainuliwe hapewe sifa.

  • @dionsangoa1428
    @dionsangoa14283 жыл бұрын

    DAH KUMBE MPAKA OFIS YA MIHOGO UNAYO MI NAKUSHURI BORA UENDELEE KUUZA MIHOGO BROO HUKU MAMBO NI MAGUMU SANA

  • @hassanisadiki824

    @hassanisadiki824

    3 жыл бұрын

    Acha kukatisha Watu tamaa kenge wewe kwani rizki anatoa mungu au binadamu?

  • @gilliardgodfriend5745

    @gilliardgodfriend5745

    3 жыл бұрын

    Acha uongo mwehu wewe maisha ya ulaya nimazuri sana

  • @polytarimo324
    @polytarimo3243 жыл бұрын

    Daah nimekukubali sana Brother kuwa na malengo na msimamo imara nimejifunza kitu

  • @theworldwideclip19

    @theworldwideclip19

    3 жыл бұрын

    Kitu gan babu

  • @philcoism
    @philcoism3 жыл бұрын

    I love this guy. May your dreams come true braza. Ufike hadi Brooklyn kwa akina Notorious. Ukienda pitia pia Queensbridge kwa akina Nasty Nas. Cheers kaka.

  • @skulfees5453

    @skulfees5453

    10 ай бұрын

    Inshallah Inshallah

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman55413 жыл бұрын

    Nimempoteza ndugu kwakwel kweny iyo bahari ani kwakwel maisha paka ufike Mayotte ani nikifo tu kwakwel

  • @faithreed861
    @faithreed861 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi.Utapata unachokitaka na nafsi yako itafurahi zaidi.Mwamini Mwenyezi Mungu.

  • @fbfabien4709
    @fbfabien47093 жыл бұрын

    Hajitaidi Lakini hakili yako nibaya kwa sababu mm nilicha fika ufarace na kwasasa niko 🇺🇸 Lakini ubaguzi niuleule

  • @mrsliverpool4235

    @mrsliverpool4235

    3 жыл бұрын

    Nifanyie mpango na Mimi nije huko

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja24113 жыл бұрын

    Machozi yamenitoka. Hii ndio ilikuwa ndoto yangu. Naishi Tz sababu tu ya familia😭

  • @malachirene5788

    @malachirene5788

    3 жыл бұрын

    dont know if you guys gives a damn but if you are bored like me atm you can watch all of the new series on instaflixxer. Have been streaming with my girlfriend for the last months =)

  • @ahmedkyree4240

    @ahmedkyree4240

    3 жыл бұрын

    @Malachi Rene Yea, been watching on InstaFlixxer for since november myself :D

  • @skulfees5453

    @skulfees5453

    10 ай бұрын

    Mayouts wasioe mapema kama unandoto ya kusafiri

  • @gracestewart440
    @gracestewart440 Жыл бұрын

    Nmecheka sana 😂😂😂 Mungu atafungua milango kaka.

  • @ruu6592
    @ruu65923 жыл бұрын

    Wa tz wana roho ngumu sio mchezo

  • @chobaray
    @chobaray3 жыл бұрын

    Wokovu utakuvisha Zidi kumtumaini Mungu 🙏🏾

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend57453 жыл бұрын

    BROO UTAENDA TUU NI KUWEKA UMAKINI TUU UTAFIKA ULAYA KUNA MAISHA BROO🥂 NA PIA TOFAUTISHA NCHI ZA NJE NA ULAYA😂

  • @deograsiassteven9262
    @deograsiassteven92623 жыл бұрын

    Karibu France bro..

  • @fahadjinni5845
    @fahadjinni58453 жыл бұрын

    TUSIDANGANYANE , BONGO HAMNA JAMBO KAMA KWENU WAKISHUA KULA MAISHA TUACHE SISI MASKINI TUTEMBEE

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    3 жыл бұрын

    Hahaaa

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48003 жыл бұрын

    hamna msafiri hapo kelele nyingi tu

  • @hajimasoud9069
    @hajimasoud90693 жыл бұрын

    I love the spirit.

  • @afterx3172
    @afterx31723 жыл бұрын

    ACHA UFALA ENDELEA KUUZA MIHONGO COCO BEACH UTATUSUAAA TU

  • @ruu6592
    @ruu65923 жыл бұрын

    East or west africa is the best

  • @evarestmaji5141
    @evarestmaji51413 ай бұрын

    Hujui Mayotte ni kisiwa cha hovyo sana usidanganye watu watu wapale wanaroho mbaya sana kwa sasa

  • @khayraa7374
    @khayraa73743 жыл бұрын

    Suddenly conversation wen to east /west cost 😂😂😂 this man is jokes

  • @stn4873

    @stn4873

    2 жыл бұрын

    Hahahahahahahaha

  • @dikodikson559
    @dikodikson5592 жыл бұрын

    "Maskani Kumara watu Kila siku mamtoni Jonas Kiwiya wasalimiye Washington"😂🤣

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri55563 жыл бұрын

    Nimecheka kama mazuri ati wananiita travela😀😀😀😀

  • @loveelooh1964
    @loveelooh19643 жыл бұрын

    Mungu akufanyie wepesi

  • @jribamundajean1979
    @jribamundajean19793 жыл бұрын

    Www bonge niko yourop mimi hivi tunawongeya utakujujaga tu tiya niya

  • @mrsliverpool4235

    @mrsliverpool4235

    3 жыл бұрын

    Nifanyie Nami mpango nitimbe huko

  • @wanyamasafari2031
    @wanyamasafari20314 жыл бұрын

    Mpende mama ako maisha yote

  • @evarestmaji5141
    @evarestmaji51413 ай бұрын

    Huyu anadanganya watu kwanza asahau Visa ya Mayotte labda akapande hizo boti Comoros zinaitwa KWASAkWASA na wanakufa sana Bahari wenye kutumia usafiri huo

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja47292 жыл бұрын

    Stor nzuri broo ntakuja Koko beach kula mihogo

  • @netlity5532
    @netlity55323 жыл бұрын

    Umri wote huo bado una ndoto za kuzamia ulaya? Endelea kuuza tu mihogo blaza

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla903 жыл бұрын

    Big popah 😂😂😂😂😂 bax coba omg mbavu zangu...😂😂😂😂 unaangalia Sana movies bro. Kaza kwenye mihogo Wazungu wabaguzi utajuta safari 😂😂😂🤣🤣

  • @skulfees5453
    @skulfees545310 ай бұрын

    Ma youths hope kali vijiweni na paka sasa wengine tushachukua uraiya mamtoni , sema sipapendi tena ulaya nataka kulikita Bongo

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo413 жыл бұрын

    My African brothers and sisters dont even know that even the illusions they see in videos are all pretense! Thee are people they wont be able to see! These black hiphop super stars dont even live in black communities where a common African may be able to afford rent! Besides, these naive dreamers dont know that even people who look like them could be racist against them..!???

  • @johel882

    @johel882

    3 жыл бұрын

    he just said he'll go to Biggie's grave not to meet any celebrity🤷🏾‍♂️..

  • @nahishakieathumani5041
    @nahishakieathumani50413 жыл бұрын

    Pole sana brothers

  • @evarestmaji5141
    @evarestmaji51413 ай бұрын

    Mm nimekaa miaka minne kwa vibali hivyo naijua Mayotte nje ndani

  • @bonphacemagoya4112
    @bonphacemagoya41123 жыл бұрын

    Nakubali Marnero Seapower

  • @kimscharos9156
    @kimscharos9156 Жыл бұрын

    Jamaaa anafanana na jb

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme3 жыл бұрын

    Jama haipendi nchi yake 🤣

  • @loveelooh1964

    @loveelooh1964

    3 жыл бұрын

    Blaa tupu

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Kapagawa anachukulia maisha ya viwanjani ni lahisi

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Жыл бұрын

    Bigy unaforce sana, watakufira wazungu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Жыл бұрын

    Huyu jamaaa akiambiwa kazi iliopo ulaya anaweza pata ni kufi.......... Tu yupo tayari bwege uyu

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu55203 жыл бұрын

    Mwamba ananaliza nauwokovu, ila maisha aya daaaaa

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim50813 жыл бұрын

    Kwel ndoto yako itatimia tu

  • @peterkaale6977
    @peterkaale69773 жыл бұрын

    Anataka kwenda nchi gani asaidiwe????

  • @omantimes9699
    @omantimes96993 жыл бұрын

    Ndege Wacheni iitwe ndege..🤣✌️

  • @alexmwabweni5065

    @alexmwabweni5065

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃

  • @surujajwie4768
    @surujajwie47683 жыл бұрын

    Enjoy wallah mashaallah roma

  • @jribamundajean1979
    @jribamundajean19793 жыл бұрын

    Usijali na mimi imekuwa hivo hivo kama wewe hesitoriya kama yangu

  • @alimwakasidi7680
    @alimwakasidi76803 жыл бұрын

    Laiti watu wangejua maisha wanayo pitia watu weusi huko barafuni unako sema hata mtu hangetamani kuingia kwa kweli...natamani nipate nafasi niwatoe taka masikioni wale wengi wanao lilia ulaya

  • @alimwakasidi7680

    @alimwakasidi7680

    3 жыл бұрын

    Ivi unadhani ni wangapi wapo kambini/refugees wanatamani wapo katika ardhi zao za Africa😭😭😭Eeeh Mungu uliye umba mbingu na ardhi pasi na nguzo kinusuru hiki kizazi chako cha Africa

  • @bindawood978

    @bindawood978

    3 жыл бұрын

    Mtoto akililia wembe mpeeee!@ali mwakasidi.

  • @gilliardgodfriend5745

    @gilliardgodfriend5745

    3 жыл бұрын

    Watu niwaongo nikweli maisha ya ulaya nimazuri

  • @Byme6434
    @Byme6434Ай бұрын

    Kaka Yamgu Ingia Hapo Georgia Ukajipange Hapo Visa yake haina usumbufu kusubiria Wala Mainterview Ya presure Kazi zipo

  • @hassanmzulumbi8342
    @hassanmzulumbi83422 жыл бұрын

    Dhaa big anachekesha kinom

  • @abushaddad989
    @abushaddad9894 жыл бұрын

    Jivunie nchi yako acha upumbavu , sema unatam ulaya kutafuta uje uijenge Tanzania 🇹🇿

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Muache atimize ndoto yake na akajione mwenyewe 🤣

  • @jayblessings2492
    @jayblessings24923 жыл бұрын

    Muombe Jehova tu anauwezo wa kushika rafiki yako akusaidie na visa

  • @saidkaimba5316
    @saidkaimba53163 жыл бұрын

    Gd bro

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita98943 жыл бұрын

    Ili jamaa bado halijapona linaakili za utoto sana

  • @yusufudongote6440
    @yusufudongote6440 Жыл бұрын

    Hamna travel hapo kelele tu

  • @luqmanrajab943
    @luqmanrajab9433 жыл бұрын

    Utaliwa dodo wewe penda tuu ulaya

  • @sultanasultana7020

    @sultanasultana7020

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @alexmwabweni5065
    @alexmwabweni50653 жыл бұрын

    Mimi pia nilivyo kuwa dogo ilikuwa Dream yangu kwenda mamtoni ,nilikaza mpaka nikatoka me ni raiya sasa

  • @ummyhasheem2245

    @ummyhasheem2245

    3 жыл бұрын

    Ongera sn akuna kukata tamaaa

  • @stn4873

    @stn4873

    Жыл бұрын

    Nchi gan man?

  • @salehkhalif3708
    @salehkhalif37082 жыл бұрын

    dua dua mayotte dua

  • @seyyidkhalifa8982
    @seyyidkhalifa89823 жыл бұрын

    Hahaa, dah!

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman55413 жыл бұрын

    Mimi nipo Mayotte kwakweli ani wewe usingese kama Comoros umekosea kuogea ani ungea kama wewe mtanzania wangekuachia tu

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab29103 жыл бұрын

    Www kaa Tanzania uuze mishkak

  • @mwajumaomar3648

    @mwajumaomar3648

    3 жыл бұрын

    🤓

  • @mwajumaomar3648

    @mwajumaomar3648

    3 жыл бұрын

    😂

  • @sultanasultana7020

    @sultanasultana7020

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla903 жыл бұрын

    My nigga mayotte 🤣😂😂

  • @nahishakieathumani5041
    @nahishakieathumani50413 жыл бұрын

    Nope namber yako wathsp basi bonge

  • @rasjamal9854
    @rasjamal98543 жыл бұрын

    Tulia hapo coco beach uhuze tu miogo, Ulaya siyo lelema siyo tu ukiingia ndiyo umetoboa

  • @ramlajuma1598
    @ramlajuma15983 жыл бұрын

    🤔🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nahishakieathumani5041
    @nahishakieathumani50413 жыл бұрын

    Kalibu mayotte

  • @mrsliverpool4235

    @mrsliverpool4235

    3 жыл бұрын

    Na Mimi nataka Kuja huko, nifanyie mpango

  • @paulaluba8372
    @paulaluba83723 жыл бұрын

    Karibu kaka mayotte

  • @majidkipati6196

    @majidkipati6196

    3 жыл бұрын

    upo mayotte?

  • @mrsliverpool4235

    @mrsliverpool4235

    3 жыл бұрын

    Na Mimi nataka Kuja huko

  • @mouhamadiibrahim9021
    @mouhamadiibrahim90213 жыл бұрын

    bro mayotte si ulaya fikiria sana kwa kwenda kutafuta mayotte si kiwanja

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nahishakieathumani5041
    @nahishakieathumani50413 жыл бұрын

    Boujour çavà bein

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu55203 жыл бұрын

    Hiii mayote kesho ngoja niende nikapachek

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    3 жыл бұрын

    Watu wake ni wabaguzi hawana mpango

  • @edrickniwamanya9968
    @edrickniwamanya99684 жыл бұрын

    Huyu big ushuzi tu unakana kwenu

  • @skulfees5453

    @skulfees5453

    10 ай бұрын

    Umaskini Brother.. sema hawajui mamtoni life iko tight sana

  • @tumainirkyando8128
    @tumainirkyando81283 жыл бұрын

    BY THE WAY NDIO NINI ?ACHA USHAMBA WE MTANGAZAJI.

  • @sultanasultana7020

    @sultanasultana7020

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Project1986p
    @Project1986p4 жыл бұрын

    Dah nimecheki part1 na part2 ..mi nakwambia bora ubaki Tanzania pambana tu mwanangu manake ulaya sio ulaya unayofikiria wewe huku mambo ni hovyo..ulaya ukisha fika ukaingia kwenye system yao UMEKWISHA😎..mi naishi Stockholm/sweden

  • @japharysety6890

    @japharysety6890

    3 жыл бұрын

    Auko serious iyo chance nkipata mim sifanyi ajizi

  • @makinicheah5009

    @makinicheah5009

    3 жыл бұрын

    Kwakweli nimemsikiza na kucheka pekeangu ,,lakini usife moyo binge kaza buti utafaulu mayotte🤣🤣🤣🤣

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    3 жыл бұрын

    Huyo mshikaji ana dreams zake tu so muache, kwanza mpaka kufika huko atakapo si lahisi kabisa huyo anaongea tu , pia nawe km hupo Scandinavia umshukuru Mungu kwani mwenyezi Mungu ndiye mwenye kusudi na kila binadamu na kazi ya binadamu ni kujipangia tu

  • @rubengaally8476

    @rubengaally8476

    3 жыл бұрын

    Sasa si urudi bongo Kama pagumu

  • @anthonynetto4503

    @anthonynetto4503

    3 жыл бұрын

    Usukatishe MTU tamaa mwambie aende kihalali mungu amtupi mja wake

  • @mtanzaniamwenzangu181
    @mtanzaniamwenzangu1814 жыл бұрын

    Pambania kombe bonge

  • @nehemiakiswaga1819
    @nehemiakiswaga18193 жыл бұрын

    Huyu mwokovu hatat

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow4 жыл бұрын

    Ndege ndege utamtia wazimu bonge we2 KLM Utaua 😁😁

  • @mtanzaniamwenzangu181

    @mtanzaniamwenzangu181

    4 жыл бұрын

    Bonge Ana mzuka hatar

  • @sultanasultana7020

    @sultanasultana7020

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

Келесі