MBANGA PART 2: Aliyezamia meli asimulia 'Wote walikufa, /tulikaa kwenye injini'
#Baharia #Mbanga #Comoro
Ni jamaa alojaribu kuzamia meli kwenda visiwani Mayotte akipitia njia za magendo huko visiwa vya Comoro.
Alipitia mengi hapa katikati kama kujiingiza katkika biashara haramu za uuzaji wa madawa.....karibu Ulimike, na uburudike pia kupitia simulizi hii....
KIPINDI HIKI CHA "MBANGA" HURUKA KILA SIKU YA JUMAMOSI USIACHE KUKAA KARIBU NASI KWA SIMULIZI ZA KUSISIMUA
Пікірлер: 132
Ni kama mm nilikuwa napenda sana Mabas ,nilikuwa nashinda stend kutwa , Nashukuru mungu baadae ndoto ilitimia ,nikifanya kaz kwa mabus , Vibes n kitu Kibaya Sana ,yaan n mapenz yalopitiliza ,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sema BIG una force kishenzi, sema nini BELIEVE in what you BELIEVE brother one day utatoboa tu, penye nia pana njia.
Mwenyezi Mungu akujaalie ufanikiwe ndoto zako. Kikubwa uwe na uhakika na mwenyeji wako bro' ulaya kama huna msingi ni shida
Nimempenda huyu kaka Jinsi Anavyoongea InshaAllah Tutakuja kukutembelea Kwenye Mihogo Coco Beach Mama land❤
Next interview nae ,mtakuwa uzunguni kwa Jina La Mwenze Mungu,sema Amen Kubwa
@polytarimo324
3 жыл бұрын
Amen
Mkataa kwao n mtumwa huko ulaya tunabaguliwa bado mnang'ang'ania kwenda nenda ukaliwe big
Kikubwa Usikate Tamaa Mana Safari Ya Maisha Yako Dereva Niwewe Mwenyewe Usiwape Muda Wakatisha Tamaa Za Watu Simama Imara
@ericklaura7511
3 жыл бұрын
True say
Inshallah Allah atakufanyi wapesi utafika 🤗🤗❤
Tanzania Storowei anazaliwa storowei anakufa 😂😂😂😂. Nchi ya mastorowei
@sultanasultana7020
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mathiasfrancis2614
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Ongera kwa uokofu. Bwana Yesu hainuliwe hapewe sifa.
DAH KUMBE MPAKA OFIS YA MIHOGO UNAYO MI NAKUSHURI BORA UENDELEE KUUZA MIHOGO BROO HUKU MAMBO NI MAGUMU SANA
@hassanisadiki824
3 жыл бұрын
Acha kukatisha Watu tamaa kenge wewe kwani rizki anatoa mungu au binadamu?
@gilliardgodfriend5745
3 жыл бұрын
Acha uongo mwehu wewe maisha ya ulaya nimazuri sana
Daah nimekukubali sana Brother kuwa na malengo na msimamo imara nimejifunza kitu
@theworldwideclip19
3 жыл бұрын
Kitu gan babu
I love this guy. May your dreams come true braza. Ufike hadi Brooklyn kwa akina Notorious. Ukienda pitia pia Queensbridge kwa akina Nasty Nas. Cheers kaka.
@skulfees5453
10 ай бұрын
Inshallah Inshallah
Nimempoteza ndugu kwakwel kweny iyo bahari ani kwakwel maisha paka ufike Mayotte ani nikifo tu kwakwel
Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi.Utapata unachokitaka na nafsi yako itafurahi zaidi.Mwamini Mwenyezi Mungu.
Hajitaidi Lakini hakili yako nibaya kwa sababu mm nilicha fika ufarace na kwasasa niko 🇺🇸 Lakini ubaguzi niuleule
@mrsliverpool4235
3 жыл бұрын
Nifanyie mpango na Mimi nije huko
Machozi yamenitoka. Hii ndio ilikuwa ndoto yangu. Naishi Tz sababu tu ya familia😭
@malachirene5788
3 жыл бұрын
dont know if you guys gives a damn but if you are bored like me atm you can watch all of the new series on instaflixxer. Have been streaming with my girlfriend for the last months =)
@ahmedkyree4240
3 жыл бұрын
@Malachi Rene Yea, been watching on InstaFlixxer for since november myself :D
@skulfees5453
10 ай бұрын
Mayouts wasioe mapema kama unandoto ya kusafiri
Nmecheka sana 😂😂😂 Mungu atafungua milango kaka.
Wa tz wana roho ngumu sio mchezo
Wokovu utakuvisha Zidi kumtumaini Mungu 🙏🏾
BROO UTAENDA TUU NI KUWEKA UMAKINI TUU UTAFIKA ULAYA KUNA MAISHA BROO🥂 NA PIA TOFAUTISHA NCHI ZA NJE NA ULAYA😂
Karibu France bro..
TUSIDANGANYANE , BONGO HAMNA JAMBO KAMA KWENU WAKISHUA KULA MAISHA TUACHE SISI MASKINI TUTEMBEE
@fahadfaraj6474
3 жыл бұрын
Hahaaa
hamna msafiri hapo kelele nyingi tu
I love the spirit.
ACHA UFALA ENDELEA KUUZA MIHONGO COCO BEACH UTATUSUAAA TU
East or west africa is the best
Hujui Mayotte ni kisiwa cha hovyo sana usidanganye watu watu wapale wanaroho mbaya sana kwa sasa
Suddenly conversation wen to east /west cost 😂😂😂 this man is jokes
@stn4873
2 жыл бұрын
Hahahahahahahaha
"Maskani Kumara watu Kila siku mamtoni Jonas Kiwiya wasalimiye Washington"😂🤣
Nimecheka kama mazuri ati wananiita travela😀😀😀😀
Mungu akufanyie wepesi
Www bonge niko yourop mimi hivi tunawongeya utakujujaga tu tiya niya
@mrsliverpool4235
3 жыл бұрын
Nifanyie Nami mpango nitimbe huko
Mpende mama ako maisha yote
Huyu anadanganya watu kwanza asahau Visa ya Mayotte labda akapande hizo boti Comoros zinaitwa KWASAkWASA na wanakufa sana Bahari wenye kutumia usafiri huo
Stor nzuri broo ntakuja Koko beach kula mihogo
Umri wote huo bado una ndoto za kuzamia ulaya? Endelea kuuza tu mihogo blaza
Big popah 😂😂😂😂😂 bax coba omg mbavu zangu...😂😂😂😂 unaangalia Sana movies bro. Kaza kwenye mihogo Wazungu wabaguzi utajuta safari 😂😂😂🤣🤣
Ma youths hope kali vijiweni na paka sasa wengine tushachukua uraiya mamtoni , sema sipapendi tena ulaya nataka kulikita Bongo
My African brothers and sisters dont even know that even the illusions they see in videos are all pretense! Thee are people they wont be able to see! These black hiphop super stars dont even live in black communities where a common African may be able to afford rent! Besides, these naive dreamers dont know that even people who look like them could be racist against them..!???
@johel882
3 жыл бұрын
he just said he'll go to Biggie's grave not to meet any celebrity🤷🏾♂️..
Pole sana brothers
Mm nimekaa miaka minne kwa vibali hivyo naijua Mayotte nje ndani
Nakubali Marnero Seapower
Jamaaa anafanana na jb
Jama haipendi nchi yake 🤣
@loveelooh1964
3 жыл бұрын
Blaa tupu
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Kapagawa anachukulia maisha ya viwanjani ni lahisi
Bigy unaforce sana, watakufira wazungu
Huyu jamaaa akiambiwa kazi iliopo ulaya anaweza pata ni kufi.......... Tu yupo tayari bwege uyu
Mwamba ananaliza nauwokovu, ila maisha aya daaaaa
Kwel ndoto yako itatimia tu
Anataka kwenda nchi gani asaidiwe????
Ndege Wacheni iitwe ndege..🤣✌️
@alexmwabweni5065
3 жыл бұрын
😃😃😃😃
Enjoy wallah mashaallah roma
Usijali na mimi imekuwa hivo hivo kama wewe hesitoriya kama yangu
Laiti watu wangejua maisha wanayo pitia watu weusi huko barafuni unako sema hata mtu hangetamani kuingia kwa kweli...natamani nipate nafasi niwatoe taka masikioni wale wengi wanao lilia ulaya
@alimwakasidi7680
3 жыл бұрын
Ivi unadhani ni wangapi wapo kambini/refugees wanatamani wapo katika ardhi zao za Africa😭😭😭Eeeh Mungu uliye umba mbingu na ardhi pasi na nguzo kinusuru hiki kizazi chako cha Africa
@bindawood978
3 жыл бұрын
Mtoto akililia wembe mpeeee!@ali mwakasidi.
@gilliardgodfriend5745
3 жыл бұрын
Watu niwaongo nikweli maisha ya ulaya nimazuri
Kaka Yamgu Ingia Hapo Georgia Ukajipange Hapo Visa yake haina usumbufu kusubiria Wala Mainterview Ya presure Kazi zipo
Dhaa big anachekesha kinom
Jivunie nchi yako acha upumbavu , sema unatam ulaya kutafuta uje uijenge Tanzania 🇹🇿
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Muache atimize ndoto yake na akajione mwenyewe 🤣
Muombe Jehova tu anauwezo wa kushika rafiki yako akusaidie na visa
Gd bro
Ili jamaa bado halijapona linaakili za utoto sana
Hamna travel hapo kelele tu
Utaliwa dodo wewe penda tuu ulaya
@sultanasultana7020
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Mimi pia nilivyo kuwa dogo ilikuwa Dream yangu kwenda mamtoni ,nilikaza mpaka nikatoka me ni raiya sasa
@ummyhasheem2245
3 жыл бұрын
Ongera sn akuna kukata tamaaa
@stn4873
Жыл бұрын
Nchi gan man?
dua dua mayotte dua
Hahaa, dah!
Mimi nipo Mayotte kwakweli ani wewe usingese kama Comoros umekosea kuogea ani ungea kama wewe mtanzania wangekuachia tu
Www kaa Tanzania uuze mishkak
@mwajumaomar3648
3 жыл бұрын
🤓
@mwajumaomar3648
3 жыл бұрын
😂
@sultanasultana7020
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
My nigga mayotte 🤣😂😂
Nope namber yako wathsp basi bonge
Tulia hapo coco beach uhuze tu miogo, Ulaya siyo lelema siyo tu ukiingia ndiyo umetoboa
🤔🤣🤣🤣🤣🤣
Kalibu mayotte
@mrsliverpool4235
3 жыл бұрын
Na Mimi nataka Kuja huko, nifanyie mpango
Karibu kaka mayotte
@majidkipati6196
3 жыл бұрын
upo mayotte?
@mrsliverpool4235
3 жыл бұрын
Na Mimi nataka Kuja huko
bro mayotte si ulaya fikiria sana kwa kwenda kutafuta mayotte si kiwanja
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Boujour çavà bein
Hiii mayote kesho ngoja niende nikapachek
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Watu wake ni wabaguzi hawana mpango
Huyu big ushuzi tu unakana kwenu
@skulfees5453
10 ай бұрын
Umaskini Brother.. sema hawajui mamtoni life iko tight sana
BY THE WAY NDIO NINI ?ACHA USHAMBA WE MTANGAZAJI.
@sultanasultana7020
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah nimecheki part1 na part2 ..mi nakwambia bora ubaki Tanzania pambana tu mwanangu manake ulaya sio ulaya unayofikiria wewe huku mambo ni hovyo..ulaya ukisha fika ukaingia kwenye system yao UMEKWISHA😎..mi naishi Stockholm/sweden
@japharysety6890
3 жыл бұрын
Auko serious iyo chance nkipata mim sifanyi ajizi
@makinicheah5009
3 жыл бұрын
Kwakweli nimemsikiza na kucheka pekeangu ,,lakini usife moyo binge kaza buti utafaulu mayotte🤣🤣🤣🤣
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Huyo mshikaji ana dreams zake tu so muache, kwanza mpaka kufika huko atakapo si lahisi kabisa huyo anaongea tu , pia nawe km hupo Scandinavia umshukuru Mungu kwani mwenyezi Mungu ndiye mwenye kusudi na kila binadamu na kazi ya binadamu ni kujipangia tu
@rubengaally8476
3 жыл бұрын
Sasa si urudi bongo Kama pagumu
@anthonynetto4503
3 жыл бұрын
Usukatishe MTU tamaa mwambie aende kihalali mungu amtupi mja wake
Pambania kombe bonge
Huyu mwokovu hatat
Ndege ndege utamtia wazimu bonge we2 KLM Utaua 😁😁
@mtanzaniamwenzangu181
4 жыл бұрын
Bonge Ana mzuka hatar
@sultanasultana7020
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂