MAZISHI YA MAISHA ALIYEFARIKI KWA UGONJWA WA INI KWAO TUKIO A TO Z TAZAMA

Ойын-сауық

NIKUOMBE UJIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WhatsApp
link chat.whatsapp.com/JkSQagAXcla...
PIA UN AWEZA KUJIUNGA NA GROUP LETU LA TELEGRAM
Link. t.me/joinchat/SuUqvRhRgJ9CXdk...
INSTAGRAM JINA
SUBCRIBE NOW
LENGO LA MAGROUP HAYA MAWILI NI KUHAKIKISHA TUNAJUZANA MENGI YA JAMII KAMA MARADHI..MATUKIO YA UNYANYAPAAJI..WATU WENYE MAZINGIRA MAGUMU..FAMILIA KUTELEKEZWA..
TUPIGIE 0625466848 UTUPE TAARIFA PIA TUNAPATIKANA WHATSAPP

Пікірлер: 524

  • @maximumtvonline
    @maximumtvonline3 жыл бұрын

    JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM MAXIMUM TV NA PIA KUTULETEA HABARI ZA MATUKIO KILA PANDE NASI TUTAREPORT HAPA LINK. chat.whatsapp.com/JkSQagAXclaAAv1INM4qpV GUSA HAPO KUJIUNGA SASA PIA TELEGRM GROUP LINK HII HAPA JIUNGE SASA. t.me/joinchat/SuUqvRhRgJ9CXdkT1A3YzA

  • @habibasaidi984

    @habibasaidi984

    3 жыл бұрын

    Mung atakulipa dalaju lajuukwa moyo uliyo kuwanao niwachache sana wenye moyokama wako mung akupe maisha malefudaina kukowa nimoyo siutajili unaweza ukawa tajili nausiwe nautu mung akulinde

  • @saciousahmedy7316

    @saciousahmedy7316

    3 жыл бұрын

    Daah inalillah wainaillah lajun

  • @omarsharifa5606
    @omarsharifa56063 жыл бұрын

    Kaka zahir Allah atakulipa ujira wakoo ,,,mungu akujalie umri na afya njema insha'Allah 🤲🤲🤲 alhamdulillah Allah atujalie mwisho mwema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @khadijaomari9344

    @khadijaomari9344

    3 жыл бұрын

    amiin

  • @hawamatuta1905

    @hawamatuta1905

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @hadijahmwajombe9588

    @hadijahmwajombe9588

    3 жыл бұрын

    amiin

  • @linahsemindu9575

    @linahsemindu9575

    3 жыл бұрын

    amin😭

  • @doramsuya5294

    @doramsuya5294

    3 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana muwe na moyo huo huo

  • @reginakisanga9308
    @reginakisanga93083 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu amrehem ndugu yetu na wapendwa wetu wote waliotangulia mbele za haki

  • @leylasaimour9488

    @leylasaimour9488

    3 жыл бұрын

    Mungu mpe kauli thabit kajua kuniliz 😭😭😭 ila kazi ya mungu Aina makosa amuondolee mchanga wa macho🙏🙏.

  • @ZahraZahra-cx9xw

    @ZahraZahra-cx9xw

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @aishadaba7045

    @aishadaba7045

    3 жыл бұрын

    Allahumma Aaaamin Ya Mujib

  • @halishmwarua2957

    @halishmwarua2957

    3 жыл бұрын

    Tuliogea sana tarehe 2 Kumbe ndio mwisho wke

  • @kaeniyahya7536

    @kaeniyahya7536

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly30563 жыл бұрын

    Dunia tunaiyacha na vilivyomo tuache zinaa,ushirikina,fitna na mengi mabaya allah atuweke na taufik inalilah waina ilah rajion husnul hatma y'allah

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    3 жыл бұрын

    Allah atusamehe na atuongozi sana nasisi tuongoke

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Zaih niwachacha saan wenye moyo Kama wako Hatuna budi kukuombea Dua njema mungu akupe kila njema

  • @mariamselemani5208

    @mariamselemani5208

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @ashahaji6786

    @ashahaji6786

    3 жыл бұрын

    Amin ya Rabbi amin

  • @kaeniyahya7536

    @kaeniyahya7536

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @neemamtangi368
    @neemamtangi3683 жыл бұрын

    Asante kk. Kwakutuza. Maisha mungu ampe Lauri dhabiti lnshaa Allah

  • @aminashafi3066
    @aminashafi30663 жыл бұрын

    Wallah huyo ndie rafiki wa maisha maana amesimama nae mpaka dakika za mwisho

  • @sulemohd4812

    @sulemohd4812

    3 жыл бұрын

    Yule.mkaka alikuwa anaumwa lkn maskini alikuwa anavumilia maradhi.allah amsameh makosayake

  • @munnawwary757
    @munnawwary7573 жыл бұрын

    Allahumma ghafrllah warhmah waskan filjanah

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah45993 жыл бұрын

    kaka unamoyo wew mungu atakulipa Insha Allah usichoke kutenda mema ujira wako utaukuta kwa Allah..Zahir anahema kwa ajili ya mwendo pole kaka.

  • @halimaswaheli1495
    @halimaswaheli14953 жыл бұрын

    Polen Familia polen nanyinyi waandishi mungu Ata walipa 😭😭😭😭😭

  • @esterester5612
    @esterester56123 жыл бұрын

    Masikin rafik ake anaumia sana 😢😢

  • @husnahassan6289
    @husnahassan62893 жыл бұрын

    Innalillahi wainnailaihii rajiun poleni sana ndugu jamaa na marafiki wote Ameen

  • @zaitunmaarufu3371
    @zaitunmaarufu33713 жыл бұрын

    Innallillah wainna illah rajin'guun. Yani nimeumia sn. Maana zahr nakufatiliya sn. ALLAH akufanyie wepesi katika kazi yako. Unafanya kazi kubwa. Zahri naihusiya nafsi yangu pamoja na kuisiya nafsi yako tufanye ibada tumche ALLHA. Kwani dunia hii tunapita.

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Amiin Amiin Amiin inshallah

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar27233 жыл бұрын

    Inna lillahi wainna ilayhi raajiun poleni kwa msiba Allah awape subra wenzetu wa tz

  • @angelluanda4221
    @angelluanda42213 жыл бұрын

    Kiukweli nimelia sana allah akupe kauli thabiti

  • @ashamedia9821
    @ashamedia98213 жыл бұрын

    Nimelia sana nilitamani apone dah ugonjwa ulimuondoa kaka yangu pia mungu awalaze mahala pema peponi

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani30763 жыл бұрын

    Mwenyeezi mungu amlaze mahali pema peponi na ampunguzie Adhabu ya kaburini sote njia moja ulale kwa Amani

  • @zaitunijuma7831
    @zaitunijuma78313 жыл бұрын

    kk mwandishi honger sn kwa kazi uliyo ifanya mungu akuzidishie moyo huo huo pia azid kukulinda kk

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru97313 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu awajalie kwa upendo wenu

  • @naimasaid7763
    @naimasaid77633 жыл бұрын

    Vzr sana ZAHIR na Maximum tv kwa ujumla, nimefurahi sana kuona mmekwenda msibani huko, mungu awape moyo huo huo wa ushirikiano

  • @hamidahamida1473

    @hamidahamida1473

    3 жыл бұрын

    Iinalilah

  • @getrudamantakara2701

    @getrudamantakara2701

    3 жыл бұрын

    @@hamidahamida1473 oooo

  • @getrudamantakara2701

    @getrudamantakara2701

    3 жыл бұрын

    Iioooo

  • @salamazuberi7298

    @salamazuberi7298

    3 жыл бұрын

    Mungu ampe kauri thabiti kaniumiza sana huyu kaka

  • @salamazuberi7298

    @salamazuberi7298

    3 жыл бұрын

    Ongera kaka zahir kwa kazi njema

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim45903 жыл бұрын

    poleni wanafamilia na uongoz wa maximum tv njia yetu sote tofaut mda tu

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Asante sana

  • @hadijahmwajombe9588

    @hadijahmwajombe9588

    3 жыл бұрын

    @@maximumtvonline poleni sana jamani maximum tv online tv poleni sana

  • @dottnatt7110

    @dottnatt7110

    3 жыл бұрын

    Innalillah wa inna illah rajuuqun😭😭

  • @ashahaji6786

    @ashahaji6786

    3 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilayhi raajiuun. Kwa kweli inauma sana lkn ni qadar ya Allah

  • @salehalbasam41

    @salehalbasam41

    3 жыл бұрын

    Kabisa njia ya sote

  • @halishmwarua2957
    @halishmwarua29573 жыл бұрын

    Mwenyezimungu amrehemu in sha Allah inauma bt hatuna budi tulimpenda sana mungu halimpenda zaidi halikuwa mpole na mcheshi nimeishiwa nguvu leo kabisa 😭😭😭😭😭 mbele yke nyuma yetu

  • @jasminegabriel4247
    @jasminegabriel42473 жыл бұрын

    Mungu alaze roho ya marehemu pema peponi amina

  • @hopechriss8739
    @hopechriss87393 жыл бұрын

    Nakupenda sana wew mtangazaji MUNGU akubariki kwa kaz zako

  • @momobakari1225
    @momobakari12253 жыл бұрын

    Innalillahi wainnailaihi rajeun, ALLAH akulaze pema peponi MAISHA, imeniuma sana hadi nimelia, ALLAH ajaalie kaburi lako liwe na nuru, ajaalie malaika wema wawe pembezoni mwako, AMIIN YA RABBAL ALAMIN🙏🙏

  • @hawakiza6067
    @hawakiza60673 жыл бұрын

    Mwambie mzee baba maisha amtolee sadaka marehemu maisha

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim45903 жыл бұрын

    inalililah waina ilah rajion Allahuma ghufrillahu waramnahu wasaknhu fee jannah

  • @ayushsaeed1051

    @ayushsaeed1051

    3 жыл бұрын

    Ameen thumma ameen

  • @mamuually5579

    @mamuually5579

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @bintimohammed3233

    @bintimohammed3233

    3 жыл бұрын

    Amin yarabby

  • @hjhj6230

    @hjhj6230

    3 жыл бұрын

    AMIIN

  • @dottnatt7110

    @dottnatt7110

    3 жыл бұрын

    Amiin thuma Amiin

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z3 жыл бұрын

    Shukran sana kkzahir kwa kazi nzuri.sina chakusema tena juu yakkyetu Maisha chamsingi nikumuombea kila baada yaswala Allah amsamehe kilaalo fanya na muepushe na moto na adabu yakaburi Amiin amiin amiin

  • @maidevrasumbura1880
    @maidevrasumbura18803 жыл бұрын

    shukrani sana Allah wape kheri nyingi

  • @raiye5621
    @raiye56213 жыл бұрын

    Allah amsahem makosa yke amtilie nour kabur lkni wallah maut hayamaut agh😭😭😭😭😭 anajuwa ninani alie kwenda kbrin ila hana kauli tna maskin 😭😭😭😭😭😭

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn5613 жыл бұрын

    Pole rafik yke allh atakupa rafiki mwengine wakweli kabisa kikubwa muombee mungu amsameh

  • @zaharaallymwndelezotunatak818
    @zaharaallymwndelezotunatak8183 жыл бұрын

    Poleni sana wafiwa allah ampe makaz mema inshaallah

  • @rashidahassani7432
    @rashidahassani74323 жыл бұрын

    Pole sanaaa wafiwa jmn rohoo imeniumaa sana

  • @jamilajamila4572

    @jamilajamila4572

    3 жыл бұрын

    Zahir allah akuzidishie upendo kakaangu pia wafiwa poleni sana mbele yake nyuma yetu wote tutarejea

  • @aminasuleiman6402
    @aminasuleiman64023 жыл бұрын

    Najikuta nalia jamaniii inauma sana mbele yako kaka Allah akujalie ktk kabuli lako liwe miongon mwa viwanja vya peponi!

  • @asiaidd8996
    @asiaidd89963 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu amuweke pepon amin

  • @pillyomary6127
    @pillyomary61273 жыл бұрын

    Innallilah wainnallah rajuun Allah ampe kauli thabiti inshallah zahir kila la khery katika kazi zako inshallah

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Inshallah amiin

  • @shanifesto9037
    @shanifesto90373 жыл бұрын

    poleni sana wafiwa ,,Ee baba mwenyezi mpumzishe kijana wako mahala pema peponi ,Amen .

  • @shanifesto9037
    @shanifesto90373 жыл бұрын

    Nimelia sana sana,,pole rafiki ya maisha endelea na moyo huo huo hata wengine ,maisha mungu kampenda zaidi inauma sana wallah nimeshinda nikilia jamani.

  • @pendomunis4673

    @pendomunis4673

    3 жыл бұрын

    Jamn maisha mungu akufungulie milango ya pepon

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya64233 жыл бұрын

    Poleni sana anafatilia mungu Awatie nguvu na ww rafiki wa marehe mungu Akutie nguvu Nimelia sn nimemukumbuka rafiki yangu nae nilimuunguza sinza Akanifika mikononi mwangu nilikuwa cjui ndug zake rkn mungu Akafanya njia pasipokuwa na njia nikasafirisha msiba hadi iringa Rl.p maisha R.l.p Victoria hakika nitakukumbuka daima

  • @brighteenrobby7074
    @brighteenrobby70743 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir3 жыл бұрын

    Hakikatumche nakumuokop allaah dunia silolote walacoco allaah ailaze roho yakemahalapema pepuni

  • @hjhj6230

    @hjhj6230

    3 жыл бұрын

    AMIIN

  • @shamsaalrahbi5573

    @shamsaalrahbi5573

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @lovnessfwalo3705

    @lovnessfwalo3705

    3 жыл бұрын

    Nimeumia sana na kifo Cha kijana maisha. Yote tumuachie Mungu. Pia Mungu awabariki maximum.

  • @kaeniyahya7536

    @kaeniyahya7536

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @habibaa9503
    @habibaa95033 жыл бұрын

    Innalillah waina alayhim ragiun nimeumia allah ailaze roho ya marem pema peponi amin,nimeumia sana hakika ahad za mwenyez mungu ni bora kuliko ya mwanadamu,zahir na huyo kijana mwingine allah awape moyo wa iman awape kheri duniani na kesho akhera😭😭

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Amen..Asante habiba

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed10513 жыл бұрын

    Poleni sana Allah awape subra

  • @hijjahbintmardhya6613
    @hijjahbintmardhya66133 жыл бұрын

    "انا لله وانا اليه راجعون" اللهم اغفر لها وارحمها واسكنها فى الجنة. كل نفس ذاءقة الموت.

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    Mungu akubarikini maxmam tv kwaupendowenu

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam58323 жыл бұрын

    My goodness to his family may his soul rest in peace 🇰🇪 🇰🇪

  • @frankyunia1809
    @frankyunia18093 жыл бұрын

    Poleni sana mungu awape faraja

  • @amnaalshabani2777
    @amnaalshabani27773 жыл бұрын

    RIP Kijana mdogo saana

  • @uwimanauwimana7303
    @uwimanauwimana73033 жыл бұрын

    inalilah wainalillah rajiun mwenyezimungu amlaze mahala pema 😭😭😭

  • @erickmother3973
    @erickmother39733 жыл бұрын

    Poleni sana Mungu awape nguvu

  • @nasrasaid9844
    @nasrasaid98443 жыл бұрын

    Kaka zaher allah atawalipa nyie kwa kazi mzito munayoifanya wengine sie atuna uwezo wakusaidia wenzetu ila tunatamani sana allah awajaalie moyo km huo

  • @guwileguwileyasini758
    @guwileguwileyasini7583 жыл бұрын

    Innalillah waina lillah rajunni poni nas wafiwa wote na uyo kk arokuwa anamuuguza maisha allah alipe jana filidaus in shaallah kuwana moyo uwowo tumekupa pongezi san allah kakupa imani kubwa sn indeleya kuwa na imani in shaallah

  • @alajmialajm8794
    @alajmialajm87943 жыл бұрын

    Hata mm nmelia jaman. Mungu awape faraja

  • @scolasticamasanja4378
    @scolasticamasanja43783 жыл бұрын

    Mungu akutunze kaka zahiri

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Amen..Amen..Amen..

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow3 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi pema Ammin nasi atupe mwisho mwema mbele yako nyuma yetu mdogo wangu kazi ya mungu haina makosa Allah awape subra familia yote kwaujumla

  • @fatmas7338
    @fatmas73383 жыл бұрын

    Allah amlaze mahala pema peponi

  • @missmoona4497
    @missmoona44973 жыл бұрын

    Innah lillah wainnah illah rajiuna, ndio maana alikuwa anasema akirud kijijin atakwenda kufa kwakukosa matibabu.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @madamloveness7274
    @madamloveness72743 жыл бұрын

    Zahir Mungu akulipe malipo ya wema ,pole sana😭😭😭😭

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Asante sana Amen

  • @aishasaid7426
    @aishasaid74263 жыл бұрын

    Inalilah wa inailaih rajiun poleni Sana kwa msiba

  • @zainabmkomwa2064
    @zainabmkomwa20643 жыл бұрын

    Innalillah wainailayhi rajiun poleni sana jaman sote njia yetu ni moja na kwake Allah tutarejea Allah awazidishie subra n uvumivu familia

  • @rosemongi5273
    @rosemongi52733 жыл бұрын

    Mpumzika kwa amani maisha mwenyez mungu akupe pepo ya daraja poleni Sana wana familia, Ni kaz ya mungu Haina makosa

  • @estakapufi7582
    @estakapufi75823 жыл бұрын

    Mtangazaji mungu akupe nguvu uzima kwayale unayo fanya mungu atakupa swawabu zako

  • @dizzo-dv6nu
    @dizzo-dv6nu3 жыл бұрын

    Pole sana Allah awfanyee wepesi

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu69373 жыл бұрын

    Poleni sana wazazi,ndg na rafiki aliyekuwa anamuuguza pamoja na jamaa wote Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho. Na pia pole kaka Zahir kwa kazi kubwa uliyoifanya ya kupambania uhai wa maisha ,wewe ndiye umefanya tumujue Maisha Mungu akubariki sana uendelee kuwa na moyo huo wa kujitoa kwa ajili ya wengine .R.I.P Maisha mbele yako nyuma yetu.

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Amen..amen.. Amen.. ubarikiwe sana nawe pia kwa kuwa pamoja nami

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya64233 жыл бұрын

    Kaka zahir mungu Abariki kazi unayoifanya malipo utayakuta mbinguni lnshallha

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @azizajimmy4739
    @azizajimmy47393 жыл бұрын

    Inalilah wainnalilah rajuun 😭😭inauma inauma Mwenyezi mungu ampunguzie Adhabu ya kaburi ampe kauli thabiti 😭 Ameen insha'Allah yarab 😭 HUJAFA UJAUMBIKA 😭😭

  • @abuunassoro6992

    @abuunassoro6992

    3 жыл бұрын

    Tupowe sote jamani hakika nasi tupo nyuma yake Allah amrahamu,

  • @edsboresha2571
    @edsboresha25713 жыл бұрын

    Haya maisha haya, wanaozikwa kwa ufahari na wanaozikwa bila mbwembwe wote njia yetu ni moja, Hongera Martin wewe ndio rafiki wa kweli

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    Mungu akupeni subra wafiwa wotee

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba19503 жыл бұрын

    Daaa! inauma sana.

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Жыл бұрын

    Innalilah wainnalilah rajiuun! Poleni wafiwa !

  • @SamsungasalamaleykmVipihaliwan
    @SamsungasalamaleykmVipihaliwan3 жыл бұрын

    Allah amlaze ma hali pema pepo ni amen 🙏

  • @maryndomba7028
    @maryndomba70283 жыл бұрын

    Zahir Mwenyez Mungu abariki kazi ya mikono yako,,na polen sana

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Amen Amen..Mary ubarikiwe sana

  • @zulphamwishehe9508
    @zulphamwishehe95083 жыл бұрын

    Mwenyez mungu aibariki Kaz ya mikono yako 🙏

  • @hadijamwanana2471
    @hadijamwanana24713 жыл бұрын

    Pole Sana kaka nawafiwa wote

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth46523 жыл бұрын

    Lala mahala pema, Mungu baba msamehe dhambi zake.

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma30033 жыл бұрын

    Mungu amlaze.mahala Pema peponi

  • @zitoniebrahem3174
    @zitoniebrahem31743 жыл бұрын

    mungu ampunzishe pema peponi innshallh

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed83833 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu amlehemu ndugu yetu

  • @aminasaid7657
    @aminasaid76573 жыл бұрын

    Poleni Wana Familia Allah akujalie pepo akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia

  • @zainabtanzania6950
    @zainabtanzania69503 жыл бұрын

    Pole sana wanafamilia

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala99513 жыл бұрын

    Asante sana kaka Zahir kwa kutuwakilisha msibani Asante na nyie wote mliosafiri kwenda msibani Mungu atawalipa🙏🙏🙏Poleni familia Mungu awatie nguvu

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Amen..amen..amen..

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi10973 жыл бұрын

    Pole sana wafiwa

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan77693 жыл бұрын

    INAUMA SANA tenaa sana mungu atawalipa kwa wote mliojotolea kwa kijana mwenzetu poleni na safar ndefu marafik na mtangazaji

  • @zaitunilucas7133
    @zaitunilucas71333 жыл бұрын

    We noma mshkaji wangu unafata mbaka maiti M/Mungu akulinde baba uwe na moyo uwo uwo

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Amen..amen..amen..

  • @estherwafula6932
    @estherwafula69323 жыл бұрын

    Poleni sana mungu awatie nguvu kwa wakati huu wa machozi

  • @salhaissa2619
    @salhaissa26193 жыл бұрын

    Kwahil nakupongeza san zahil onger san na ubarikiwe inshaallha

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi97463 жыл бұрын

    Poleni Sana mungu awape nguvu wakati huu mungu tuko pamoja nikiwa Qatar

  • @olphamoraa6683
    @olphamoraa66833 жыл бұрын

    Pole sana familia kweli inauma

  • @christayohanayohanangepe1625
    @christayohanayohanangepe16253 жыл бұрын

    Poleni.sana familia kwa msiba.huo mzito

  • @AnnKk-sj8ij
    @AnnKk-sj8ij3 жыл бұрын

    Imeniuma kweli, lala salama pumsika kwa amani manisha , pole kwa family ,relatives and friends take heart .From saudia Arabia

  • @lookman8452

    @lookman8452

    3 жыл бұрын

    Pumnzika kwa amani kaka mbele yako nyuma yetu mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabli

  • @josephineasiza7888
    @josephineasiza78883 жыл бұрын

    Pole Sana brother

  • @joiceqtr4215
    @joiceqtr42153 жыл бұрын

    Poleni sana ss sote tutarejea kwake Mungu awape nguvu wakati huu mgumu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11543 жыл бұрын

    Umauti ni mawaidha tosha kwetu ss wanaadam tumche mungu wallah😭polen. Sana family

  • @chunaamina8719

    @chunaamina8719

    3 жыл бұрын

    Tena mawaidha yalioko dhahir kwa wanaoamini Na kumkumbuka Allah lazma machozi yatakutoka, iiinah lillah, eeh Allah Tujaalie tuwe miongon mwa wema hapa duniani Na kesho Akhera tukaiyone firdaus yako😭😭🙏

  • @aminashafi3066
    @aminashafi30663 жыл бұрын

    Allah awabariki maximum tv watanzania muko na umoja

  • @maximumtvonline

    @maximumtvonline

    3 жыл бұрын

    Asante sana

  • @abumoyo5341
    @abumoyo53413 жыл бұрын

    Inalilai waina hilai rajiuni

  • @lunt0747
    @lunt07473 жыл бұрын

    Maximum Tv mola akupe umri mrefu poleni sana Allah ampe kauli tabithi na apokee kitabu chake kwa mkono wa kulia amulikiye kaburi lake nuru mbele yake nyuma yetu sote tutaregea ila siku wakti na mahali polen sana

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard28363 жыл бұрын

    Mungu atawalipa mna upendo wa kweli

  • @amriyalibent8441
    @amriyalibent84413 жыл бұрын

    Innalilah waina illah rajoon Allah ampe kauli dhabit ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia amuwekee muangaza ktk kaburi lake ameen

  • @alawabalwahaibi5323
    @alawabalwahaibi53233 жыл бұрын

    Pole sana family

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma63903 жыл бұрын

    Subhanallah

Келесі