MAZISHI YA MAISHA ALIYEFARIKI KWA UGONJWA WA INI KWAO TUKIO A TO Z TAZAMA
Ойын-сауық
NIKUOMBE UJIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WhatsApp
link chat.whatsapp.com/JkSQagAXcla...
PIA UN AWEZA KUJIUNGA NA GROUP LETU LA TELEGRAM
Link. t.me/joinchat/SuUqvRhRgJ9CXdk...
INSTAGRAM JINA
SUBCRIBE NOW
LENGO LA MAGROUP HAYA MAWILI NI KUHAKIKISHA TUNAJUZANA MENGI YA JAMII KAMA MARADHI..MATUKIO YA UNYANYAPAAJI..WATU WENYE MAZINGIRA MAGUMU..FAMILIA KUTELEKEZWA..
TUPIGIE 0625466848 UTUPE TAARIFA PIA TUNAPATIKANA WHATSAPP
Пікірлер: 524
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM MAXIMUM TV NA PIA KUTULETEA HABARI ZA MATUKIO KILA PANDE NASI TUTAREPORT HAPA LINK. chat.whatsapp.com/JkSQagAXclaAAv1INM4qpV GUSA HAPO KUJIUNGA SASA PIA TELEGRM GROUP LINK HII HAPA JIUNGE SASA. t.me/joinchat/SuUqvRhRgJ9CXdkT1A3YzA
@habibasaidi984
3 жыл бұрын
Mung atakulipa dalaju lajuukwa moyo uliyo kuwanao niwachache sana wenye moyokama wako mung akupe maisha malefudaina kukowa nimoyo siutajili unaweza ukawa tajili nausiwe nautu mung akulinde
@saciousahmedy7316
3 жыл бұрын
Daah inalillah wainaillah lajun
Kaka zahir Allah atakulipa ujira wakoo ,,,mungu akujalie umri na afya njema insha'Allah 🤲🤲🤲 alhamdulillah Allah atujalie mwisho mwema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
amiin
@hawamatuta1905
3 жыл бұрын
Amiin
@hadijahmwajombe9588
3 жыл бұрын
amiin
@linahsemindu9575
3 жыл бұрын
amin😭
@doramsuya5294
3 жыл бұрын
Mungu awabariki sana muwe na moyo huo huo
Mwenyezi mungu amrehem ndugu yetu na wapendwa wetu wote waliotangulia mbele za haki
@leylasaimour9488
3 жыл бұрын
Mungu mpe kauli thabit kajua kuniliz 😭😭😭 ila kazi ya mungu Aina makosa amuondolee mchanga wa macho🙏🙏.
@ZahraZahra-cx9xw
3 жыл бұрын
Amiin
@aishadaba7045
3 жыл бұрын
Allahumma Aaaamin Ya Mujib
@halishmwarua2957
3 жыл бұрын
Tuliogea sana tarehe 2 Kumbe ndio mwisho wke
@kaeniyahya7536
3 жыл бұрын
Amin
Dunia tunaiyacha na vilivyomo tuache zinaa,ushirikina,fitna na mengi mabaya allah atuweke na taufik inalilah waina ilah rajion husnul hatma y'allah
@sidratybinkhamis2837
3 жыл бұрын
Allah atusamehe na atuongozi sana nasisi tuongoke
Zaih niwachacha saan wenye moyo Kama wako Hatuna budi kukuombea Dua njema mungu akupe kila njema
@mariamselemani5208
3 жыл бұрын
Amina
@ashahaji6786
3 жыл бұрын
Amin ya Rabbi amin
@kaeniyahya7536
3 жыл бұрын
Amin
Asante kk. Kwakutuza. Maisha mungu ampe Lauri dhabiti lnshaa Allah
Wallah huyo ndie rafiki wa maisha maana amesimama nae mpaka dakika za mwisho
@sulemohd4812
3 жыл бұрын
Yule.mkaka alikuwa anaumwa lkn maskini alikuwa anavumilia maradhi.allah amsameh makosayake
Allahumma ghafrllah warhmah waskan filjanah
kaka unamoyo wew mungu atakulipa Insha Allah usichoke kutenda mema ujira wako utaukuta kwa Allah..Zahir anahema kwa ajili ya mwendo pole kaka.
Polen Familia polen nanyinyi waandishi mungu Ata walipa 😭😭😭😭😭
Masikin rafik ake anaumia sana 😢😢
Innalillahi wainnailaihii rajiun poleni sana ndugu jamaa na marafiki wote Ameen
Innallillah wainna illah rajin'guun. Yani nimeumia sn. Maana zahr nakufatiliya sn. ALLAH akufanyie wepesi katika kazi yako. Unafanya kazi kubwa. Zahri naihusiya nafsi yangu pamoja na kuisiya nafsi yako tufanye ibada tumche ALLHA. Kwani dunia hii tunapita.
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin inshallah
Inna lillahi wainna ilayhi raajiun poleni kwa msiba Allah awape subra wenzetu wa tz
Kiukweli nimelia sana allah akupe kauli thabiti
Nimelia sana nilitamani apone dah ugonjwa ulimuondoa kaka yangu pia mungu awalaze mahala pema peponi
Mwenyeezi mungu amlaze mahali pema peponi na ampunguzie Adhabu ya kaburini sote njia moja ulale kwa Amani
kk mwandishi honger sn kwa kazi uliyo ifanya mungu akuzidishie moyo huo huo pia azid kukulinda kk
Mwenyezi Mungu awajalie kwa upendo wenu
Vzr sana ZAHIR na Maximum tv kwa ujumla, nimefurahi sana kuona mmekwenda msibani huko, mungu awape moyo huo huo wa ushirikiano
@hamidahamida1473
3 жыл бұрын
Iinalilah
@getrudamantakara2701
3 жыл бұрын
@@hamidahamida1473 oooo
@getrudamantakara2701
3 жыл бұрын
Iioooo
@salamazuberi7298
3 жыл бұрын
Mungu ampe kauri thabiti kaniumiza sana huyu kaka
@salamazuberi7298
3 жыл бұрын
Ongera kaka zahir kwa kazi njema
poleni wanafamilia na uongoz wa maximum tv njia yetu sote tofaut mda tu
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Asante sana
@hadijahmwajombe9588
3 жыл бұрын
@@maximumtvonline poleni sana jamani maximum tv online tv poleni sana
@dottnatt7110
3 жыл бұрын
Innalillah wa inna illah rajuuqun😭😭
@ashahaji6786
3 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun. Kwa kweli inauma sana lkn ni qadar ya Allah
@salehalbasam41
3 жыл бұрын
Kabisa njia ya sote
Mwenyezimungu amrehemu in sha Allah inauma bt hatuna budi tulimpenda sana mungu halimpenda zaidi halikuwa mpole na mcheshi nimeishiwa nguvu leo kabisa 😭😭😭😭😭 mbele yke nyuma yetu
Mungu alaze roho ya marehemu pema peponi amina
Nakupenda sana wew mtangazaji MUNGU akubariki kwa kaz zako
Innalillahi wainnailaihi rajeun, ALLAH akulaze pema peponi MAISHA, imeniuma sana hadi nimelia, ALLAH ajaalie kaburi lako liwe na nuru, ajaalie malaika wema wawe pembezoni mwako, AMIIN YA RABBAL ALAMIN🙏🙏
Mwambie mzee baba maisha amtolee sadaka marehemu maisha
inalililah waina ilah rajion Allahuma ghufrillahu waramnahu wasaknhu fee jannah
@ayushsaeed1051
3 жыл бұрын
Ameen thumma ameen
@mamuually5579
3 жыл бұрын
Ameen
@bintimohammed3233
3 жыл бұрын
Amin yarabby
@hjhj6230
3 жыл бұрын
AMIIN
@dottnatt7110
3 жыл бұрын
Amiin thuma Amiin
Shukran sana kkzahir kwa kazi nzuri.sina chakusema tena juu yakkyetu Maisha chamsingi nikumuombea kila baada yaswala Allah amsamehe kilaalo fanya na muepushe na moto na adabu yakaburi Amiin amiin amiin
shukrani sana Allah wape kheri nyingi
Allah amsahem makosa yke amtilie nour kabur lkni wallah maut hayamaut agh😭😭😭😭😭 anajuwa ninani alie kwenda kbrin ila hana kauli tna maskin 😭😭😭😭😭😭
Pole rafik yke allh atakupa rafiki mwengine wakweli kabisa kikubwa muombee mungu amsameh
Poleni sana wafiwa allah ampe makaz mema inshaallah
Pole sanaaa wafiwa jmn rohoo imeniumaa sana
@jamilajamila4572
3 жыл бұрын
Zahir allah akuzidishie upendo kakaangu pia wafiwa poleni sana mbele yake nyuma yetu wote tutarejea
Najikuta nalia jamaniii inauma sana mbele yako kaka Allah akujalie ktk kabuli lako liwe miongon mwa viwanja vya peponi!
Mwenyezi mungu amuweke pepon amin
Innallilah wainnallah rajuun Allah ampe kauli thabiti inshallah zahir kila la khery katika kazi zako inshallah
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Inshallah amiin
poleni sana wafiwa ,,Ee baba mwenyezi mpumzishe kijana wako mahala pema peponi ,Amen .
Nimelia sana sana,,pole rafiki ya maisha endelea na moyo huo huo hata wengine ,maisha mungu kampenda zaidi inauma sana wallah nimeshinda nikilia jamani.
@pendomunis4673
3 жыл бұрын
Jamn maisha mungu akufungulie milango ya pepon
Poleni sana anafatilia mungu Awatie nguvu na ww rafiki wa marehe mungu Akutie nguvu Nimelia sn nimemukumbuka rafiki yangu nae nilimuunguza sinza Akanifika mikononi mwangu nilikuwa cjui ndug zake rkn mungu Akafanya njia pasipokuwa na njia nikasafirisha msiba hadi iringa Rl.p maisha R.l.p Victoria hakika nitakukumbuka daima
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele
Hakikatumche nakumuokop allaah dunia silolote walacoco allaah ailaze roho yakemahalapema pepuni
@hjhj6230
3 жыл бұрын
AMIIN
@shamsaalrahbi5573
3 жыл бұрын
Amiin
@lovnessfwalo3705
3 жыл бұрын
Nimeumia sana na kifo Cha kijana maisha. Yote tumuachie Mungu. Pia Mungu awabariki maximum.
@kaeniyahya7536
3 жыл бұрын
Amin
Innalillah waina alayhim ragiun nimeumia allah ailaze roho ya marem pema peponi amin,nimeumia sana hakika ahad za mwenyez mungu ni bora kuliko ya mwanadamu,zahir na huyo kijana mwingine allah awape moyo wa iman awape kheri duniani na kesho akhera😭😭
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Amen..Asante habiba
Poleni sana Allah awape subra
"انا لله وانا اليه راجعون" اللهم اغفر لها وارحمها واسكنها فى الجنة. كل نفس ذاءقة الموت.
Mungu akubarikini maxmam tv kwaupendowenu
My goodness to his family may his soul rest in peace 🇰🇪 🇰🇪
Poleni sana mungu awape faraja
RIP Kijana mdogo saana
inalilah wainalillah rajiun mwenyezimungu amlaze mahala pema 😭😭😭
Poleni sana Mungu awape nguvu
Kaka zaher allah atawalipa nyie kwa kazi mzito munayoifanya wengine sie atuna uwezo wakusaidia wenzetu ila tunatamani sana allah awajaalie moyo km huo
Innalillah waina lillah rajunni poni nas wafiwa wote na uyo kk arokuwa anamuuguza maisha allah alipe jana filidaus in shaallah kuwana moyo uwowo tumekupa pongezi san allah kakupa imani kubwa sn indeleya kuwa na imani in shaallah
Hata mm nmelia jaman. Mungu awape faraja
Mungu akutunze kaka zahiri
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Amen..Amen..Amen..
Allah akuhifadhi pema Ammin nasi atupe mwisho mwema mbele yako nyuma yetu mdogo wangu kazi ya mungu haina makosa Allah awape subra familia yote kwaujumla
Allah amlaze mahala pema peponi
Innah lillah wainnah illah rajiuna, ndio maana alikuwa anasema akirud kijijin atakwenda kufa kwakukosa matibabu.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Zahir Mungu akulipe malipo ya wema ,pole sana😭😭😭😭
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Asante sana Amen
Inalilah wa inailaih rajiun poleni Sana kwa msiba
Innalillah wainailayhi rajiun poleni sana jaman sote njia yetu ni moja na kwake Allah tutarejea Allah awazidishie subra n uvumivu familia
Mpumzika kwa amani maisha mwenyez mungu akupe pepo ya daraja poleni Sana wana familia, Ni kaz ya mungu Haina makosa
Mtangazaji mungu akupe nguvu uzima kwayale unayo fanya mungu atakupa swawabu zako
Pole sana Allah awfanyee wepesi
Poleni sana wazazi,ndg na rafiki aliyekuwa anamuuguza pamoja na jamaa wote Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho. Na pia pole kaka Zahir kwa kazi kubwa uliyoifanya ya kupambania uhai wa maisha ,wewe ndiye umefanya tumujue Maisha Mungu akubariki sana uendelee kuwa na moyo huo wa kujitoa kwa ajili ya wengine .R.I.P Maisha mbele yako nyuma yetu.
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Amen..amen.. Amen.. ubarikiwe sana nawe pia kwa kuwa pamoja nami
Kaka zahir mungu Abariki kazi unayoifanya malipo utayakuta mbinguni lnshallha
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Amiin
Inalilah wainnalilah rajuun 😭😭inauma inauma Mwenyezi mungu ampunguzie Adhabu ya kaburi ampe kauli thabiti 😭 Ameen insha'Allah yarab 😭 HUJAFA UJAUMBIKA 😭😭
@abuunassoro6992
3 жыл бұрын
Tupowe sote jamani hakika nasi tupo nyuma yake Allah amrahamu,
Haya maisha haya, wanaozikwa kwa ufahari na wanaozikwa bila mbwembwe wote njia yetu ni moja, Hongera Martin wewe ndio rafiki wa kweli
Mungu akupeni subra wafiwa wotee
Daaa! inauma sana.
Innalilah wainnalilah rajiuun! Poleni wafiwa !
Allah amlaze ma hali pema pepo ni amen 🙏
Zahir Mwenyez Mungu abariki kazi ya mikono yako,,na polen sana
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Amen Amen..Mary ubarikiwe sana
Mwenyez mungu aibariki Kaz ya mikono yako 🙏
Pole Sana kaka nawafiwa wote
Lala mahala pema, Mungu baba msamehe dhambi zake.
Mungu amlaze.mahala Pema peponi
mungu ampunzishe pema peponi innshallh
Mwenyezi mungu amlehemu ndugu yetu
Poleni Wana Familia Allah akujalie pepo akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia
Pole sana wanafamilia
Asante sana kaka Zahir kwa kutuwakilisha msibani Asante na nyie wote mliosafiri kwenda msibani Mungu atawalipa🙏🙏🙏Poleni familia Mungu awatie nguvu
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Amen..amen..amen..
Pole sana wafiwa
INAUMA SANA tenaa sana mungu atawalipa kwa wote mliojotolea kwa kijana mwenzetu poleni na safar ndefu marafik na mtangazaji
We noma mshkaji wangu unafata mbaka maiti M/Mungu akulinde baba uwe na moyo uwo uwo
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Amen..amen..amen..
Poleni sana mungu awatie nguvu kwa wakati huu wa machozi
Kwahil nakupongeza san zahil onger san na ubarikiwe inshaallha
Poleni Sana mungu awape nguvu wakati huu mungu tuko pamoja nikiwa Qatar
Pole sana familia kweli inauma
Poleni.sana familia kwa msiba.huo mzito
Imeniuma kweli, lala salama pumsika kwa amani manisha , pole kwa family ,relatives and friends take heart .From saudia Arabia
@lookman8452
3 жыл бұрын
Pumnzika kwa amani kaka mbele yako nyuma yetu mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabli
Pole Sana brother
Poleni sana ss sote tutarejea kwake Mungu awape nguvu wakati huu mgumu
Umauti ni mawaidha tosha kwetu ss wanaadam tumche mungu wallah😭polen. Sana family
@chunaamina8719
3 жыл бұрын
Tena mawaidha yalioko dhahir kwa wanaoamini Na kumkumbuka Allah lazma machozi yatakutoka, iiinah lillah, eeh Allah Tujaalie tuwe miongon mwa wema hapa duniani Na kesho Akhera tukaiyone firdaus yako😭😭🙏
Allah awabariki maximum tv watanzania muko na umoja
@maximumtvonline
3 жыл бұрын
Asante sana
Inalilai waina hilai rajiuni
Maximum Tv mola akupe umri mrefu poleni sana Allah ampe kauli tabithi na apokee kitabu chake kwa mkono wa kulia amulikiye kaburi lake nuru mbele yake nyuma yetu sote tutaregea ila siku wakti na mahali polen sana
Mungu atawalipa mna upendo wa kweli
Innalilah waina illah rajoon Allah ampe kauli dhabit ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia amuwekee muangaza ktk kaburi lake ameen
Pole sana family
Subhanallah