Maximillah Alazimisha Bwanake Warudiane
Tangia tukio la patanisho ambalo lilimhusisha mwanadada Goretti miaka miwili iliyopita, hatujawahi shuhudia patanisho lingine ambalo mwanadada anakiri kuwa na mpango wa kando na kuomba patanisho na bwanake.
Basi ilikuwa zamu yake Maxmillah 29, ambaye aliomba apatanishwe na bwanake Michael, ambaye walikosana mwaka wa 2013 kisha wakatatua shida zao na kurudiana, lakini ndoa yao bado ilijawa na tatizo chungu nzima kwani wawili hao, hawana amani ndani ya ndoa ya miaka tisa na watoto wawili.
"Kuna wakati alinishikia kisu akitaka kuniua na baada ya hayo shughuli ikawa kunifukuza kwake kisa kuniambia nirudi nyumbani, vita hakuna amani hatuongei kwa nyumba.
Kazi ni kupika lakini ajiwekea mwenyewe maji ajipelekea kwa bafu lakini hatuongei. Nakubali nilimkosea na niliomba msamaha. Alikuja akanipata na mwanaume nyumbani lakini hakupata tukifanya kitendo na hapo ndipo shida ilipoanza. Jamaa huyu alikuwa mpenzi wangu na hapo bwanangu akakasirika sana na kunifukuza na hadi wa leo tukikosana ataja tukio hilo." Alijieleza Maxmillah.
"Niliingia nyumbani nikapata jamaa kwangu akiwa amejifunga towel yangu na hapo tukapigana na yule jamaa akatoroka, kisha bibi yangu akafunganya virago akaondoka. Uchungu ni kupata mtu red handed nyumbani mwangu uchi wa mnyama, juzi naye nikapata ujumbe kwa simu yake ukisema "Usinipigie simu huyu amewasili" na hapo nikakasirika." Naye bwana Michael alijieleza akiongeza kuwa "Sitaki kulala nawe kuna magonjwa mengi na nashukuru mungu nilipimwa na niko sawa."
"Huyu mwanamke hakuwa anatosheka kimapenzi wallahi billahi, damu yake ni moto sana" bwana Michael aliongeza kuni kwenye moto uliozidi kuchoma uhusiano wao huku akikataa katakata kutorudiana na mkewe.
"Nimewacha hizo tabia na sitawahi tena rudia tabia zangu. Isitoshe ana bibi wa pili na sijamkataza kuleta bibi wa pili kwani tutaelewana lakini tuishi na amani, siwezi wachia watoto wangu mke mwenza." Aliendelea kujiteta Maxmillah.
Пікірлер: 208
Ww mama style up u dont need to be forgiven coz u wil never change
Huyo mama ana tamaa sana na ni malaya mlubwa sana
mwanamke mjeuri...anapenda mboro ...mpeeni chuma...
@shamimaoko
2 жыл бұрын
😅 🤣 😅 Anapenda Doshi
Usijali kaka mungu atakuondolea hayo machungu
Waaaah ...ndoa ni takatifu tusieke doa kabisaa ...Ni aibu mwanamke kutoka kwa ndoa jameni kutembea...mzee tafuta bibi uoe inaonekana wewe ni mgwana kabisa nakuombea mola akulinde ..
Wanaume waheshimiwe kujibiana si vizuri....
hio ni Kali mwanamke kutoka nje ya ndoa Anamsariti bwana yake hatari sana
uyu dada alifanya kosa wooooooi !alafu ana nyenyekea kwa mwanaume niji kute .
mwanamme nambari moja kudos baba
Huyu bwana yuko sawa kabisa.
Atapeleka mwanaume mwingine kwa nyumba ya mmeo. Wanawake wamerogwa
Hei mke ako sawa, ju wanaume hua wanatuteza sana na mpango wakando
kwanini usiheshimu ndoa yako mama tena unaleta mpango wako wa kando kwa nyumba eti shamba boy cheza na mtu wa kula sima ya kuzaga
Bwana mike shikilia hapo dunia mbaya mwenzangu...bi Max ana tabia mbovu na damu moto...
hebu msimkemee sana maxmilla,maybe kuna reason yakutoka nje ya ndoa
umalaya nayo uyo dada hana adabu
Kaka nimekupenda bure uyo mwanamke malaya sana atakuuwa piga chini hafai kabisa
Uyo wachana nae atakutia ukimwi......just gooooo brooo
Waluhya tuko juu Sana hizo vitu ha2chezangi nazo,,,,
Gidi distance doesn't matter if you love someone you'll respect the person.... Nliachwa 1yr ba hubby sikukufa
wah kali sana
Huyu jamaa awachane na huyu mwanamke....they will never be peace..
Huyu dem ni mshenzi sana...
@wilstoneongaga3785
4 жыл бұрын
Hyo mwanadada ni malaya
Wewe mama omba msamaha lakini bado uko na mpango wa kando na wewe hutabadilika kamwe. Utapata aje Amani na bado uko na mipango za Kando mingi.
it's sad for this wonderful man but ishaa happen
Hawa madada wacoasti achana na wao, ni bure kabisa
Kwanza Gidi nisaidie na number ya mama huyo ni mtest pia nko single mm 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@samuelyengekani759
4 жыл бұрын
Kaseeee weee
wanawake wengine hawana Adabu kabisa
@ronaldworesha3692
7 жыл бұрын
hahaha
@kenyanniggar357
5 жыл бұрын
hehehe
mlunje anafanya Poa kuliko mpwani, baba ongeza marifa
@ireneirene1423
7 жыл бұрын
aminah chepkoech unaniua aminah
mwanamke ni mkorofi sana
hahaha .....mungu wangu mpango wa kando
Sioni patanisho ya 2014 pliz weka zote kuna yenye ilipamba sana ...
Michael hawezi sahau kilichotendeka kamwe hata iwe Nini hawezi sahau ni uchungu sana
Uyu mwanamke ndio chanzo cha kuharibu ndoa yk, tena anakaa kiburi
I blv she will chance giver a chance we r all human n we make mistake no one is prefect
waaa makuu haya shamba boy mluhya? ngai weee cheza hapo utabebewa bibi,mhanyaji hawezi acha hata na dawa.Jan ni patanisho ya wake wahanyaji,flash back Gorette
Hata adabu huna mwanamke wewe, yaani pesa za bwanako unampa mpango wa kando jamani lo!
maximallah shika adabu, ulipata hubby mpoa halaf Malaya wako unakuvunjia ndoa yako,
Anajua sifa za waluhya
Hii patanisho imenikubusha ya Goretti na japheth tena hilikuwatu january na heri Goretti alienda na mpagowake wakando mombasa uyu alimleta adi kwa nyumba 😂😂😂😂😂😂😂
@charitymwangi7446
7 жыл бұрын
Safinah latina na usisahau mwishowe walirudiana... na gorreti akapigia radio jambo😂😂😂😂😃😃😃kusema aliacha hiyo tabia na akapokelewa vizuri na wazazi wa japheth🙆🙆🙆🙆ndoa n ngori😄😄😄
@safinahlatina8961
7 жыл бұрын
najuwa alisameewa naakasema aliwacha mpagowakando kabisaa so minaulizatu kamampakowakando nimzuri mbona asiende kuolewa naye mimi uwanashanga sana sasaonavyenye analiya aibu nayo wuololo...nimeenda
@charitymwangi7446
7 жыл бұрын
eeeeh ata nashidwa msamaha anataka ya nn for sure kurudiana n tricky coz sidhani huyo dame anaeza change....ningojeeee🏃🏃🏃🏃🏃hamam pap
she iz a human n i understand her forgive her n help her n be her side she will chance I blv tht
kwa nyumba yangu ng'ooo utaenda
bro shikilia apo acha bb aleye watoi lakini tendo la ndoa achana nayo kabiisa na usimfukuze hana mahali ataenda ata kunyenyekea hajui
HATA MIMI KWELI SIWEZI KUKUSAMEHE WEWE NENDA KWENU UKAOLEWE NA MTU MWINGINE TU.
Wanawake wanawake kueni na adabu mpango wakando kwa nyumba
Mwanamke Kama huyu siezi msamehe!!!
@davidochieng2975
5 жыл бұрын
Huyu si wakusamehewa kabisa
@RoroRoserororo
4 жыл бұрын
Eishi navile wanawake hua tunawasamehe na mpango zenu
Jose na jamila ,jamila analia
waaa whats wrong na ndoa za nowdays .Anyway Giddi na Ghost hua mnanibamba sana
@kenyanniggar357
5 жыл бұрын
hizi ndoa zimepagawa, we are not praying heard.
Dah huyu mwanamke jamani astahili kusamehewa,itakuaje uko kwa ndoa na unahanya ,Tabia ya mtu haina dawa
Maximillah uko na makosa, kufanya kosa c kosa, kurudia ndo kosa, c oni apo amani, kubishana na bwanako. Iyo c tabia ww
kali sana
damu yake iko moto
Hii ndoa nayo jamani mwanamume kazaa nje mwanamke analeta shambaboy kwa nyumba wah,
God gracious who does this!!!!A man feeds you,loves you f***s you and as if that is not enough you bring another man to that house and to your matrimonial bed!!!!! Then instead ya kupunguza mdomo bado unarushia your husband mdomo...who does this lady!!!! And if I may ask you kwani that kuhya guy is nolonger sweet if it's Sweetness and satisfaction you were looking for!!!!! If you only knew the important things people are battling with....umalaya should not be one of them..my man stays far and is ralely home ningekuwa nimelala na wanaume wangapi!!! Ai
An finished.yani uyo dem wa pili ako na advice poa sana
Huyu mwanamke ni kisirani sana... ata vule anaongea ni wazi
musahame tu kaka
Pls hiyo sikiza tune ya uyo Jamaa ni gani
Waaaah
Mluya hio hachezi nayo na hatambui nyumba ina mwenywe pole lkn kwa yote
The lady is mannerless...shame on her.
Strong man he is.buda achana naye.
Cheating is painful. My ex cheated on me nikaona I can forgive him but I came to realize sikuwai mforgive. Hasira stress kwa nyumba mpaka ikabidi kila mtu haende kivake.
weee nugu mbona ulete mwanaume kwa nyumba ya mumeo kumbaff hata mimi ningekuchapa wacha vile mimi ni mwamamke. ukiamua kuolewa na mtu hakukosei hufai kwenda nje.
lakini huyu mwanaume anafanya vizuri kumpea kila kitu na watoi wee dada vumililia kwanza.
Sasa mumeo ameleta patanisho akiwa ashakuchomea nguo zote...
wanawake jamani vumilieni kwenye ndoa jamani
iwish huyu Angelia mume wangu
bro huyo nwana dada ngori sana
Hata Kama huyu Dada naye phtoooo kuleta mwanamume hadi kwa nyumba hata ka haaaaiii
Mwanamke bure kapisaa
Yani hata msamaha hajui kuomba
Hapa hakuna ndoa😕
Cwezi kamwe
angekua mume wangu
That is why I normally say I will married a Rwanda girl
Wewe mavi sana
Mcheza chini na sisi wanaume wa bara especially wakisii na waluhya. Ulioa Malaya mwenyewe
msamaha upo lakini ndoa laaaa
mumaraya nimumaraya hawesiasa
Huyu mwanamke sio mwaminifu, analala na Shamba boy? hehehehe waaah mbaya sana na tena hata ukimwi ipo
warioana juu yamapesi ikiwa hakuna wasa niende sanga
Mbara ni mtu ambae ametoka ushago mtu wakuishi bara mashambani
Mombasa women na midomo 🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️
Maxmilla part two iko kweli??Michael ni yule msee
Kunawatu wanapata waume kwakweli na wanacheza michezo ya bahati na sibu, yaan unapewa pesa Ina kutosha mpaka unahonga nyingine, na mwanaume anasema uendelee kukaa hapo yy afanye yake huko akirud atalala, angekuwa mwingine ungezezea kichapo na nazani takataka zako zote angetupa nje na mpaka watt angesema cyo wake
Hahahaha hata mm sijui Gidi
uolewe na huyu ulireta kwani ulijipotesha dada
huyo mwanamke hana aibu hataaaa...utapatwaje na mpango wa kando alafu u expect bwanako asahau...
ndio hawa warudiane mama akubali apikie huyo shamba boy chakula cha sumu akule mbele ya baba mwenye nyumba afe wabaki na amani.
Dada kuwa mpole juu ww ndie mwenye makosa na uzembe uriche dede maana wepata mulume wamana ta jeri ela haya mumala vyosi nikukosa vyosi 😂😂😂 aki huyu max millah ni fisilet
@MmMm-oj6kp
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂wahenza kutsamirwa
sisemi kitu mie hapa mwanaume yuko sawa
hahaaa huyo mwanamke ako na mdomo anwai ndoa ni ya watu wawili
dad songa mbele achana na huyu mwanada
@beckybeto4328
7 жыл бұрын
Jr Adam Saleh Vlogs kwani bado uko gulf
@direwolfentertainment4220
7 жыл бұрын
Naona sio mimi tu fan wa Adam saleh
@jradamsalehvlogs5877
7 жыл бұрын
ya niko gulf I think munaelewa kenya waiguru alichukua doo zote
@billylubanga4355
7 жыл бұрын
so bad
@susansusan6898
7 жыл бұрын
Jr Adam Saleh Vlogs hahahahaha
Alitaka mboro ya mluhya, kwani bwanake hamtoshi????
Muluya👉👌💪
Kipindi kizuri sana
Na si huyu mwanaume alizalisha nje
huyo mama hafai kusamehewa anaongea kwa kifua
pwahahaha...mtu wa fagio jamani...pthoooo....
@thomaskenyanyanyaata9575
5 жыл бұрын
Sasa irene