Konkara ni kiboko ni punch after punch Nimecheka toka anaanza mpaka anamaliza
@ibrahimsadick61372 жыл бұрын
Konkara muongo kinoma 😂😂😂😂😂
@Geeze905
2 жыл бұрын
Mzee wa Fix 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Tanzania_habari12 жыл бұрын
Konkara Ni Anajua2 Wazee Sio Mtu Ambae Ana Bahatisha, na Kama Jamaa Angekua Katika (Cheka tu Comedy search) Bas Angeshinda Kwa Mimi Ninayo Ona Lakini,
@bullychandy65092 жыл бұрын
Konkara: mlinzi kabakwa 😂🔥🔥
@princebabu69772 жыл бұрын
Mie comedy wangu for the all time ni Konkara 😂😂😂🫡🙌🏾🙌🏾
@danielpaul842 жыл бұрын
Konkara hata hajaanza kuongea watu wameshaanza kucheka
@fabiankasu81382 жыл бұрын
Konkara ni noma😂😂😂 Kipindi kinaoneshwa siku gani na ni saa ngapi jaman!mwenye kujua anisaidie
@benedictonesmo6857
2 жыл бұрын
Jumapili
@fabiankasu8138
2 жыл бұрын
@@benedictonesmo6857 Saa ngapi?
@benedictonesmo6857
2 жыл бұрын
@@fabiankasu8138 saa 1:30-2:00 usiku mkuu
@colethashirima13182 жыл бұрын
Luyaaaaaaa mm nataman ubadilishe rangi tu ............kubali Sana
@SammitindoJeremia-jv4qb11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣unyama sana huyo mwamba
@winfridaw.mwashala2892 жыл бұрын
They are all good, very good indeed.
@blessjacob91962 жыл бұрын
😂😂😂 halleluya Kam umenionea vile hata mm huwa kinanikera hicho Cha luya we wanna laugh 😂😂 Ila mmeuwa cheka tu the best show
@medeljoram53252 жыл бұрын
Konkara ur the best 😂
@kingfeb.churichuri38232 жыл бұрын
Mm si ndo jitu la kwanza au kuna mwingine ajibu aone🤣
@bullychandy65092 жыл бұрын
Leonardo: kisu cha nn usiku huu😅😅😂
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Angalia Churchill show wao wanachekesha kiswahili kibovu na sisi tuchekeshe kiingereza kibovu tucheke
@jessieboaz45922 жыл бұрын
We hallelujah Ni una ujinga mwingiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nasraabdallah8502 жыл бұрын
Wote mmeuwa🔥🔥🔥🔥
@juliusjulius33482 жыл бұрын
Hallelujah. Safi sanaaa.
@kondoatown87652 жыл бұрын
Nimegundua hamjaangalia mpk kwa Leonaldo ndio maana mnasifia wengine
@johnngongi4810
2 жыл бұрын
Kabisaaa….Leonardo ni talented saaaana!!
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Kabisa leonad hatumii nguvu na anachekesha kikubwa nahana mpinzani kwng mm
@SammitindoJeremia-jv4qb11 ай бұрын
Leonard niatari sana huyo mwamba
@aminmohammed42492 жыл бұрын
Konkara ana ujinga mwingi sana🤣🤣🤣🤣
@yusuphpilion24652 жыл бұрын
Konkara ni Muongo kinomaaa😂😂😂😂🙌🏾 sema Mwamba katisha sana
@Geeze905
2 жыл бұрын
Konkara a.k.a Mzee wa Fix 🤣🤣🤣🤣🤣
@franklesia88532 жыл бұрын
konkaraa ni muongo kinomaa😀
@kefamkv37432 жыл бұрын
Wote leo mmeuwa 🙌
@suzanmollel33662 жыл бұрын
🤣🤣 Leonardo 😓🤗💞
@suzanmollel3366
2 жыл бұрын
Kaka anajua 😓🤗💞🥂
@ezyplatnumz11332 жыл бұрын
konkara 🙌🙌😂
@user-qc5zf5pz8p27 күн бұрын
Leonardo king of comedy 😂
@valyagraphicstz7992 жыл бұрын
🤣🤣🤣mawest vs kuku
@tusajigwemwakisyala83012 жыл бұрын
leonardo fundiiiiiii na haleluya
@dostovan51422 жыл бұрын
Baluti😂😂😂.,,, hai shuti
@msa..mapoudo47932 жыл бұрын
Leonardo nakubalii sana
@antazypoka58512 жыл бұрын
Leonardo 😂😂😂🙌
@bushboi66012 жыл бұрын
chet cha kipaimara 😁😁
@bemnachingwea65442 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 cheka tuuu nakubalii
@salmonmkanula37182 жыл бұрын
Konkara🙌
@jeybullaz93232 жыл бұрын
Konkaraaaaaaaa Konkaraaaaaaaa Konkaraaaaaaaa Man of the match as always 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Emanueljoi-ej3ke Жыл бұрын
Mawest noma xan
@dullywa99732 жыл бұрын
😂😂😂konkara cha uongo
@dullywa99732 жыл бұрын
😅😅😅🤣🤣🤣konkara cha uongoo
@ZainaboSalmoSuale8 ай бұрын
Leonardo💥💥💥
@medeljoram53252 жыл бұрын
Mawest 😂 Maths! 🙌🙌
@jaedonjonas49152 жыл бұрын
konkara ni mwamba sana afu muongooooo jamaa
@user-wr6lc3jz6g2 жыл бұрын
Asante 😂😂
@djmaxmnyamaglobal77442 жыл бұрын
Leonardo 💥💥🔥🔥🔥
@paulomaona24662 жыл бұрын
Luya nywele pw ila unavoanza unatukata kinoma
@jumamalilo7492 жыл бұрын
Konkara n bangi kbsa
@henrypaul63352 жыл бұрын
,,,Konkara 🤣🤣🤣🤣
@antonymligo46232 жыл бұрын
Konkara 😂
@leahnjovu80362 жыл бұрын
Leonardo my man😂😂😂😂😂😂
@ministersamurio2 жыл бұрын
Oyaaa konkara umetisha muongo kchz 😅😅😅
@106skippersavage22 жыл бұрын
Leonardo 😂😂😂
@charybdis81132 жыл бұрын
Nawakubali sana. Mmeleta mapinduzi. Halleluya upo vizuri sana. Jokes zako za akili. Sema acha ziflow zenyewe. Joke kama ya sungura na fisi haina haja ya kuelezea punchline zilipo.
@isackmwasongela32172 жыл бұрын
Leonardoooooooo yo the baddest
@nicksonkaino49232 жыл бұрын
Luya🤩🤩unauaa
@muddymanyota48642 жыл бұрын
Leonardo 🔥🔥
@linusingoli4512 жыл бұрын
Leonardo bhan hahaah
@abelbayyo8189 Жыл бұрын
Leornadoooooo
@SammitindoJeremia-jv4qb11 ай бұрын
Ndyo kabisa
@rayzoneofficial2 жыл бұрын
Konkara kudadek 🔥🔥🔥 😂😂😂😂
@paulmgoli48532 жыл бұрын
Ila leornado 😂😂🙌
@daviesjomo94972 жыл бұрын
leornadoooooo fun guy
@BUCHOSAONLINETV2 жыл бұрын
Hallelujah unafiklia xn ata km mtu achek ila inapenya taratibu
@nickone85852 жыл бұрын
Haleluya hamna kitu
@elishajustine282 жыл бұрын
Ww konkara unajua kisengeee
@johnleonard48352 жыл бұрын
Konkara nooooma
@carlosleonard60502 жыл бұрын
Leonardo🙌🙌🙌🙌
@probrownbarmas72552 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@realgreyman_2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@davidbandajr34442 жыл бұрын
KONKARA THE CRAZIEST
@lwitikomwamasika56082 жыл бұрын
Leonardo ana kiwango cha FIFA kabisa
@DrNick-hg6il2 жыл бұрын
Konkara hafai ... habahatishagi yani kila show anaua😂
@shukranimwambene63112 жыл бұрын
Konkara.. best
@malkavoice25702 жыл бұрын
Is dangerously
@nba_fortunebello2 жыл бұрын
Leonardo 🔥
@monicasiima63372 жыл бұрын
Leonardo 😅😅😅😅
@ibrahimmayige97482 жыл бұрын
😂😂😂
@liliandeodatus75712 жыл бұрын
Lv u mawenz
@THEWOLF_26L2 жыл бұрын
Konkara 🔥🔥🔥🔥
@Stays_Shopping2 жыл бұрын
Mawest na Leonard at least wanajitahid kuchekesha kiutu uzima na ni mambo yapo, ila hao wengine mnatumia uongo mpaka hauvutii, hii show msipo angalia itakuja kuwa ya kawaida
@selemanarthur9683
2 жыл бұрын
Sisi tunapenda ujinga 😂😂
@colethashirima1318
2 жыл бұрын
Aiiiiiii
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Yes hao wawili wapo vizuri sana wanachekesha kiutu uzima
@charliestyles5535
Жыл бұрын
Ujasikia konkara ww
@issakhan2602 жыл бұрын
Kiku kuku na kuku
@ibrahimliweli6376 Жыл бұрын
😂😂😂😂🌟🌟🌟
@robertchuwa97012 жыл бұрын
halleluyya!!
@marcoemanuel68922 жыл бұрын
Konkara
@maudakumedia2 жыл бұрын
😄😄
@shabaniddy36062 жыл бұрын
Mawest
@ramgmjukuu5653
2 жыл бұрын
Mawest
@charlestangawizi91912 жыл бұрын
Leonado babalao
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Hii Cheka two inafeli wapi Coy?
@liliandeodatus75712 жыл бұрын
Leonardo gd xhna
@sylvestersylvester60102 жыл бұрын
Cheka tu kazi nzuri lakini mnakosa ubunifu, inabidi mbadilishe mfumo wa kuchekesha sio kuongea tu.
hakuna kitu .....hakuna logic kwenye comedy zenu... story za uongo kama za fisi na sungura......mbona wenzetu kenya wanafanya poa sana vitu vya kusimulia venye uhalisia vipo vingi. sana
@umojamedia4167
2 жыл бұрын
Alaf hapo ni free entry Show ya bure iyo ila kwenye cheka tu yenyewe yakila mwisho wa mwez hua nzuri Mwanzo mzuri acha mvua inyeshe tujue wap panavuja ... Tz tupo nyuma sana kwenye stand-up comedy
@shabanimatua4971
2 жыл бұрын
Story za ukweli kasome biblia cc tuache na uongo wetu tucheke!!
Пікірлер: 125
Halleluyaa jitaid kuongeza punch line ,sku hizii umeanza kupunguza punch line
Konkara the best comedian of All time
Leonard he is so smart guy anachekesha kiutu uzima sana, hapigi kelele hatumii nguvu
Uyo Konkara....You are always the best
Konkara na Leonardo daaa😂😂😂
Sijapenda unavyoanza luya
Konkara mpuuzi kweli wewe ety Anakula macho ameshiba
Konkara ni kiboko ni punch after punch Nimecheka toka anaanza mpaka anamaliza
Konkara muongo kinoma 😂😂😂😂😂
@Geeze905
2 жыл бұрын
Mzee wa Fix 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Konkara Ni Anajua2 Wazee Sio Mtu Ambae Ana Bahatisha, na Kama Jamaa Angekua Katika (Cheka tu Comedy search) Bas Angeshinda Kwa Mimi Ninayo Ona Lakini,
Konkara: mlinzi kabakwa 😂🔥🔥
Mie comedy wangu for the all time ni Konkara 😂😂😂🫡🙌🏾🙌🏾
Konkara hata hajaanza kuongea watu wameshaanza kucheka
Konkara ni noma😂😂😂 Kipindi kinaoneshwa siku gani na ni saa ngapi jaman!mwenye kujua anisaidie
@benedictonesmo6857
2 жыл бұрын
Jumapili
@fabiankasu8138
2 жыл бұрын
@@benedictonesmo6857 Saa ngapi?
@benedictonesmo6857
2 жыл бұрын
@@fabiankasu8138 saa 1:30-2:00 usiku mkuu
Luyaaaaaaa mm nataman ubadilishe rangi tu ............kubali Sana
🤣🤣🤣🤣🤣unyama sana huyo mwamba
They are all good, very good indeed.
😂😂😂 halleluya Kam umenionea vile hata mm huwa kinanikera hicho Cha luya we wanna laugh 😂😂 Ila mmeuwa cheka tu the best show
Konkara ur the best 😂
Mm si ndo jitu la kwanza au kuna mwingine ajibu aone🤣
Leonardo: kisu cha nn usiku huu😅😅😂
Angalia Churchill show wao wanachekesha kiswahili kibovu na sisi tuchekeshe kiingereza kibovu tucheke
We hallelujah Ni una ujinga mwingiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wote mmeuwa🔥🔥🔥🔥
Hallelujah. Safi sanaaa.
Nimegundua hamjaangalia mpk kwa Leonaldo ndio maana mnasifia wengine
@johnngongi4810
2 жыл бұрын
Kabisaaa….Leonardo ni talented saaaana!!
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Kabisa leonad hatumii nguvu na anachekesha kikubwa nahana mpinzani kwng mm
Leonard niatari sana huyo mwamba
Konkara ana ujinga mwingi sana🤣🤣🤣🤣
Konkara ni Muongo kinomaaa😂😂😂😂🙌🏾 sema Mwamba katisha sana
@Geeze905
2 жыл бұрын
Konkara a.k.a Mzee wa Fix 🤣🤣🤣🤣🤣
konkaraa ni muongo kinomaa😀
Wote leo mmeuwa 🙌
🤣🤣 Leonardo 😓🤗💞
@suzanmollel3366
2 жыл бұрын
Kaka anajua 😓🤗💞🥂
konkara 🙌🙌😂
Leonardo king of comedy 😂
🤣🤣🤣mawest vs kuku
leonardo fundiiiiiii na haleluya
Baluti😂😂😂.,,, hai shuti
Leonardo nakubalii sana
Leonardo 😂😂😂🙌
chet cha kipaimara 😁😁
😁😁😁😁😁 cheka tuuu nakubalii
Konkara🙌
Konkaraaaaaaaa Konkaraaaaaaaa Konkaraaaaaaaa Man of the match as always 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mawest noma xan
😂😂😂konkara cha uongo
😅😅😅🤣🤣🤣konkara cha uongoo
Leonardo💥💥💥
Mawest 😂 Maths! 🙌🙌
konkara ni mwamba sana afu muongooooo jamaa
Asante 😂😂
Leonardo 💥💥🔥🔥🔥
Luya nywele pw ila unavoanza unatukata kinoma
Konkara n bangi kbsa
,,,Konkara 🤣🤣🤣🤣
Konkara 😂
Leonardo my man😂😂😂😂😂😂
Oyaaa konkara umetisha muongo kchz 😅😅😅
Leonardo 😂😂😂
Nawakubali sana. Mmeleta mapinduzi. Halleluya upo vizuri sana. Jokes zako za akili. Sema acha ziflow zenyewe. Joke kama ya sungura na fisi haina haja ya kuelezea punchline zilipo.
Leonardoooooooo yo the baddest
Luya🤩🤩unauaa
Leonardo 🔥🔥
Leonardo bhan hahaah
Leornadoooooo
Ndyo kabisa
Konkara kudadek 🔥🔥🔥 😂😂😂😂
Ila leornado 😂😂🙌
leornadoooooo fun guy
Hallelujah unafiklia xn ata km mtu achek ila inapenya taratibu
Haleluya hamna kitu
Ww konkara unajua kisengeee
Konkara nooooma
Leonardo🙌🙌🙌🙌
🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂
KONKARA THE CRAZIEST
Leonardo ana kiwango cha FIFA kabisa
Konkara hafai ... habahatishagi yani kila show anaua😂
Konkara.. best
Is dangerously
Leonardo 🔥
Leonardo 😅😅😅😅
😂😂😂
Lv u mawenz
Konkara 🔥🔥🔥🔥
Mawest na Leonard at least wanajitahid kuchekesha kiutu uzima na ni mambo yapo, ila hao wengine mnatumia uongo mpaka hauvutii, hii show msipo angalia itakuja kuwa ya kawaida
@selemanarthur9683
2 жыл бұрын
Sisi tunapenda ujinga 😂😂
@colethashirima1318
2 жыл бұрын
Aiiiiiii
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Yes hao wawili wapo vizuri sana wanachekesha kiutu uzima
@charliestyles5535
Жыл бұрын
Ujasikia konkara ww
Kiku kuku na kuku
😂😂😂😂🌟🌟🌟
halleluyya!!
Konkara
😄😄
Mawest
@ramgmjukuu5653
2 жыл бұрын
Mawest
Leonado babalao
Hii Cheka two inafeli wapi Coy?
Leonardo gd xhna
Cheka tu kazi nzuri lakini mnakosa ubunifu, inabidi mbadilishe mfumo wa kuchekesha sio kuongea tu.
KONKARAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA..........
😂😂😂😂😂😂konkaraaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmechekaaa
Fjjnl
hakuna kitu .....hakuna logic kwenye comedy zenu... story za uongo kama za fisi na sungura......mbona wenzetu kenya wanafanya poa sana vitu vya kusimulia venye uhalisia vipo vingi. sana
@umojamedia4167
2 жыл бұрын
Alaf hapo ni free entry Show ya bure iyo ila kwenye cheka tu yenyewe yakila mwisho wa mwez hua nzuri Mwanzo mzuri acha mvua inyeshe tujue wap panavuja ... Tz tupo nyuma sana kwenye stand-up comedy
@shabanimatua4971
2 жыл бұрын
Story za ukweli kasome biblia cc tuache na uongo wetu tucheke!!