MATOKEO MAKUU YA MAOMBI - REV:MOSES MAGEMBE

Kuendelea kupata habari mbalimbali tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : Mbiu-ya-Saut...
Instagram : / mbiuyasautikuutv
KZread : / mbiuyasautikuutv

Пікірлер: 85

  • @KondaMasanja
    @KondaMasanjaАй бұрын

    MUNGU akupe maisha marefu mzee wangu kwa kuitangaza kweli.

  • @janemuthui6130
    @janemuthui61303 ай бұрын

    As our Lord taught,let us be true worshipper, in Spirit and in truth. Kubarikiwa ni wewe mtumishi wa kweli ❤ ❤ ❤ Till Jesus comes. Nilikujua njuzi be blessed in Jesus name

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia13813 жыл бұрын

    Nilikuwa naomba tuliombali tupate haya mafundisho kwa njia ya live Amen🙏

  • @sales7491
    @sales74913 ай бұрын

    Mungu akuinue mnoo mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @tithosimpito7863
    @tithosimpito78633 жыл бұрын

    Yaan hua sichoki kukusikiliza mzee wangu mana kila ninaposikia mafundisho yako hua navuka hatua moja kwenda nyingine Ubarikiwe sana sana mzee wangu 🙏🙏🙏

  • @modesterntas
    @modesterntas4 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana.

  • @gilbertkatunzi7881
    @gilbertkatunzi78813 жыл бұрын

    Namkubali sana sana mchungaji magembe injili ya ukweli ndo imelala hapo na Mungu hazidi kumbariki na kuliinua kanisa

  • @onesmomwalembe
    @onesmomwalembe2 ай бұрын

    Kazi yako njemaa saanaa mungu awe nawe

  • @nnkv1480
    @nnkv14803 жыл бұрын

    Asante pastor,mojawapo ya udhaifu unaolikumba kanisa ni ,,,,wokovu wa kinadharia,,,,.(wengi tunajua mengi lkn kuyaishi ndilo tatizo).Jambo jingine ni utakatifu (hata halitiriwi mkazo makanisani!) Mungu atusaidie

  • @fraidamsemwa5518
    @fraidamsemwa55182 жыл бұрын

    MUNGU WA MBINGUN Yupamoja nawee🙏🙏, DAMU YA YESU ikufunikeeee daimaaaa na akupe miaka unayostahili ili tupate Neema ya mafundisho haya mazuriiii🙏🙏

  • @rebecarabeca3864
    @rebecarabeca3864 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Pastor kwa ujumbe mzuri

  • @jeniferliberatus3003
    @jeniferliberatus30032 жыл бұрын

    Amina , LOHO Mtagatifu fanya mkao ndani ya kanisa

  • @jeniferliberatus3003
    @jeniferliberatus30033 жыл бұрын

    haleluya Mungu mkuu

  • @kitingikitingi8974
    @kitingikitingi89743 жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana! Pastor umenifungua kwenye kifungo kikubwa sana

  • @joycefrancisokwudiba2295
    @joycefrancisokwudiba22953 жыл бұрын

    Ubarikiwe mno pastor Magembe. Sichoki kukusikiliza kwa kweli.

  • @levinarobert3176
    @levinarobert31763 жыл бұрын

    Barikiwa baba kwa mafundisho mazuri yanayotujenga

  • @pericykiko6198
    @pericykiko61983 жыл бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi tunaomba utangaze na siku ya ubatizo maana makanisa na huduma nyingi wamelisahau hili la ubatizo

  • @emmanuelmukembanyi6161
    @emmanuelmukembanyi61612 жыл бұрын

    Mungu spewed sifa

  • @necodakagiye5473
    @necodakagiye54732 жыл бұрын

    Amina baba Mungu azidi kukuongezea upako Haya mahubiri yananibariki sana Kila wakati naendelea kuyasikiliza Mungu akutunze ❤❤

  • @jonathanmj9374
    @jonathanmj93743 жыл бұрын

    Haya mafundisho niya Baraka sana Mungu akuzidishiye Rev

  • @adamscott2601
    @adamscott26013 жыл бұрын

    Mungu akubariki baba

  • @nathantito3158
    @nathantito31583 жыл бұрын

    AMEN AMEN MUNGU AWABARIKI KWA MAFUNDISHO HAYA NATAMANI TUPATE MENGINE ZAIDI

  • @mashughulikaguo3790

    @mashughulikaguo3790

    3 жыл бұрын

    Ubatikiwe nitapataje vitabu vyenu nisaidieni.0629437874

  • @charleshinju1237

    @charleshinju1237

    3 жыл бұрын

    mungu aendelee kukutunza baba yetu

  • @suzanaalex1258

    @suzanaalex1258

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi11403 жыл бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri

  • @emanuelelisante4324
    @emanuelelisante43243 жыл бұрын

    Ubarikiwe mzee wetu

  • @abishagjohn429
    @abishagjohn4293 жыл бұрын

    So powerfully, powerfully, powerfully. I feel the power of the Hollyspirity, Glory be to God for His servant. Love you Pastor

  • @nsengiyumvaedward4849
    @nsengiyumvaedward48493 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwa na mutumishi wake kuna utamu katika yesu

  • @veronicafabian8418

    @veronicafabian8418

    3 жыл бұрын

    YESU /✔yesu/❌

  • @mwavitamjinkili7326
    @mwavitamjinkili73263 жыл бұрын

    Mungu azidi kukuinua mtumishi. Injili ya kweli

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo55753 жыл бұрын

    Tunashindwa kufanikiwa katika maombi yetu, kwa kuwa Mara nyingi tunaomba na huku hatuachilii dhambi

  • @joemunyasya7958
    @joemunyasya79583 жыл бұрын

    Niombee kazi ,am structural engineer/pastor ,Rev.moses magambe

  • @stivejayngoga1403

    @stivejayngoga1403

    3 жыл бұрын

    Hakika utapata!!

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    3 жыл бұрын

    Utapata lkn ukiona bado hawajatagaza omba kujitolea je unaishi wapi

  • @amiribakari2528

    @amiribakari2528

    3 жыл бұрын

    Tembelea nchi nzima toa mafundisho.wewe ni unaelewa unachokifanya..plz tembea

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia13813 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana Baba🙏🙏

  • @justusmutune2208
    @justusmutune22083 жыл бұрын

    AMEN! ! GOD BLESS YOU MORE AND MORE IN HIS WORD AS YOU BLESS US

  • @johnayubusaidi4514
    @johnayubusaidi45143 жыл бұрын

    Baba Kuna Mambo najifunza makuu Sana.

  • @editaantoni4050
    @editaantoni40503 жыл бұрын

    Very powerful Glory to the most highest God

  • @godfreytadei2665
    @godfreytadei26653 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @violethngailo6077
    @violethngailo60773 жыл бұрын

    Mungu akubariki Baba yangu wa kiroho

  • @saudakabogo
    @saudakabogo3 жыл бұрын

    Naona fahari sana kuisikia Injili ya nguvu namna hii, na mm ni mmoja wapo lazima Tanzainia ijue yupo Mungu wa kweli

  • @jelemiahugo3804
    @jelemiahugo38043 жыл бұрын

    Ujumbe wa moto wa Roho mtakatifu

  • @cmoshi7014
    @cmoshi70143 жыл бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU ni kweli huwa najiuliuliza yako wapi hayo matendo ya ajabu waliyofanya hao watumishi wa MUNGU wa zama ni? Wakina Petro walikuwa wanatembea vivuli vinaponya watu . Sasa hivi hao wanaojiita watumishi wa MUNGU wamezungukwa na mabodogadi kona zote najiulizaga wanalinduwa nini cha mno?????

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia13813 жыл бұрын

    Ee Roho mtakatifu karibu ndani mwangu

  • @user-eq8tq7fk8q
    @user-eq8tq7fk8q Жыл бұрын

    Amina baba

  • @josephatyusuph7537
    @josephatyusuph75373 жыл бұрын

    Ubarikiwe Baba

  • @ruthmwasomola655
    @ruthmwasomola6553 жыл бұрын

    Mungu atusaidie baba

  • @mercyetago4020
    @mercyetago40203 жыл бұрын

    May God continue strengthening this man of God.

  • @mashughulikaguo3790
    @mashughulikaguo37903 жыл бұрын

    Haya mafundisho mazurinsana God bless u

  • @mtemymkumbulwa2021
    @mtemymkumbulwa20213 жыл бұрын

    Ubarikiwe🙏🙏

  • @nashongervas6300
    @nashongervas63003 жыл бұрын

    Amina kubwa

  • @monicagodfrey8260
    @monicagodfrey82603 жыл бұрын

    Barikiwa na bwana Mchungaji

  • @kemikagoro5985
    @kemikagoro59853 жыл бұрын

    Be blessed in Jesus name!

  • @selgiusphillip8844
    @selgiusphillip88443 жыл бұрын

    Safari ya imani bado sana kwetu

  • @elijahmtishibi
    @elijahmtishibi3 жыл бұрын

    Bariwa sana Baba

  • @mashughulikaguo3790
    @mashughulikaguo37903 жыл бұрын

    Naomba kujua vizuri je eva no mwAnamke wa Kwanza kuumbwa au alikuwrko mwingine

  • @godfielddashina

    @godfielddashina

    3 жыл бұрын

    Soma maandiko haya yatakusaidia kupata ufunuo wa suala hilo. Mwanzo 1 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ²⁶ Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. ²⁷ Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Mwanzo 2 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁷ Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. … ¹⁸ Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. … ²¹ Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake, ²² na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. ²³ Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.

  • @EvangelisteMireilleMITAMBA
    @EvangelisteMireilleMITAMBA3 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana. Ningetamani kupata namba ya mchungaji Moses Magembe tafazali. Mimi ni muinjilisti M. Mitamba

  • @dindokiyana5377
    @dindokiyana53773 жыл бұрын

    God bless you

  • @edinajossephatgeorg1612
    @edinajossephatgeorg16123 жыл бұрын

    Hats umeya huna,

  • @rahelnkuni25
    @rahelnkuni253 жыл бұрын

    Barikiwa baba

  • @user-ew9ur5rs7h

    @user-ew9ur5rs7h

    6 ай бұрын

    Aisee ukisali apo unakuwa mtu wa tofauti

  • @godfreytadei2665
    @godfreytadei26653 жыл бұрын

    Ameen

  • @mariamkisoma1988
    @mariamkisoma19883 жыл бұрын

    Ameeeen amen amen

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia13813 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @selgiusphillip8844
    @selgiusphillip88443 жыл бұрын

    Amen

  • @hellinahombuya4113
    @hellinahombuya41133 жыл бұрын

    Ameeeeeeen

  • @suzanaalex1258

    @suzanaalex1258

    3 жыл бұрын

    Mungu akubariki baba mwenye imani ya kweli

  • @suzanaalex1258

    @suzanaalex1258

    3 жыл бұрын

    Ameeen

  • @veronicafabian8418
    @veronicafabian84183 жыл бұрын

    MUNGU nisaidie nitumike kama huyu baba ...nifunge nikuone MUNGU.

  • @nazarenajoseph2695
    @nazarenajoseph26953 жыл бұрын

    Mungu azidi kukutumia baba natamani kufika kanisani kwako no wapi?

  • @glorymziray4153

    @glorymziray4153

    3 жыл бұрын

    Dareslamu majumba 6 kabla hujafika kiota nazani ivyo

  • @shalamwanayusuph8008

    @shalamwanayusuph8008

    3 жыл бұрын

    Kokote ulipo Panda gari la gongo la mboto ushuke njia Panda Ya segelea ukifika pale stend muulize bodaboda yeyote kanisani kwa Mchungaji Magembe atakuleta adi mlangoni

  • @fidemikaeli8145

    @fidemikaeli8145

    3 жыл бұрын

    Amina baba naelewa Kila mafundisho naomba Mungu azidishe

  • @mashughulikaguo3790
    @mashughulikaguo37903 жыл бұрын

    Asnte mungu

  • @abishagjohn429
    @abishagjohn4293 жыл бұрын

    So powerfully, powerfully, powerfully. I feel the power of the Hollyspirity, Glory be to God for His servant. Love you Pastor

  • @samsongeraldkitila2823

    @samsongeraldkitila2823

    3 жыл бұрын

    Neno lisiloghoshiwa lililojaa kweli ya Mungu Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu

  • @deosteriahamisi9950
    @deosteriahamisi99503 жыл бұрын

    Ubarikiwe Baba

  • @dorakiyao4379

    @dorakiyao4379

    3 жыл бұрын

    MUNGU akutunze tupate kupona

  • @vianneyndereyimana8457
    @vianneyndereyimana84573 жыл бұрын

    Amen

  • @mashughulikaguo3790
    @mashughulikaguo37903 жыл бұрын

    Ameen

  • @gilbertwanje
    @gilbertwanje3 жыл бұрын

    Amen