MATOKEO MAKUU YA MAOMBI - REV:MOSES MAGEMBE
Kuendelea kupata habari mbalimbali tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : Mbiu-ya-Saut...
Instagram : / mbiuyasautikuutv
KZread : / mbiuyasautikuutv
Kuendelea kupata habari mbalimbali tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : Mbiu-ya-Saut...
Instagram : / mbiuyasautikuutv
KZread : / mbiuyasautikuutv
Пікірлер: 85
MUNGU akupe maisha marefu mzee wangu kwa kuitangaza kweli.
As our Lord taught,let us be true worshipper, in Spirit and in truth. Kubarikiwa ni wewe mtumishi wa kweli ❤ ❤ ❤ Till Jesus comes. Nilikujua njuzi be blessed in Jesus name
Nilikuwa naomba tuliombali tupate haya mafundisho kwa njia ya live Amen🙏
Mungu akuinue mnoo mtumishi wa Mungu aliye hai
Yaan hua sichoki kukusikiliza mzee wangu mana kila ninaposikia mafundisho yako hua navuka hatua moja kwenda nyingine Ubarikiwe sana sana mzee wangu 🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana.
Namkubali sana sana mchungaji magembe injili ya ukweli ndo imelala hapo na Mungu hazidi kumbariki na kuliinua kanisa
Kazi yako njemaa saanaa mungu awe nawe
Asante pastor,mojawapo ya udhaifu unaolikumba kanisa ni ,,,,wokovu wa kinadharia,,,,.(wengi tunajua mengi lkn kuyaishi ndilo tatizo).Jambo jingine ni utakatifu (hata halitiriwi mkazo makanisani!) Mungu atusaidie
MUNGU WA MBINGUN Yupamoja nawee🙏🙏, DAMU YA YESU ikufunikeeee daimaaaa na akupe miaka unayostahili ili tupate Neema ya mafundisho haya mazuriiii🙏🙏
Ubarikiwe Pastor kwa ujumbe mzuri
Amina , LOHO Mtagatifu fanya mkao ndani ya kanisa
haleluya Mungu mkuu
Nimebarikiwa sana! Pastor umenifungua kwenye kifungo kikubwa sana
Ubarikiwe mno pastor Magembe. Sichoki kukusikiliza kwa kweli.
Barikiwa baba kwa mafundisho mazuri yanayotujenga
Mungu akubariki Mtumishi tunaomba utangaze na siku ya ubatizo maana makanisa na huduma nyingi wamelisahau hili la ubatizo
Mungu spewed sifa
Amina baba Mungu azidi kukuongezea upako Haya mahubiri yananibariki sana Kila wakati naendelea kuyasikiliza Mungu akutunze ❤❤
Haya mafundisho niya Baraka sana Mungu akuzidishiye Rev
Mungu akubariki baba
AMEN AMEN MUNGU AWABARIKI KWA MAFUNDISHO HAYA NATAMANI TUPATE MENGINE ZAIDI
@mashughulikaguo3790
3 жыл бұрын
Ubatikiwe nitapataje vitabu vyenu nisaidieni.0629437874
@charleshinju1237
3 жыл бұрын
mungu aendelee kukutunza baba yetu
@suzanaalex1258
3 жыл бұрын
Amina
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri
Ubarikiwe mzee wetu
So powerfully, powerfully, powerfully. I feel the power of the Hollyspirity, Glory be to God for His servant. Love you Pastor
Mungu azidi kuwa na mutumishi wake kuna utamu katika yesu
@veronicafabian8418
3 жыл бұрын
YESU /✔yesu/❌
Mungu azidi kukuinua mtumishi. Injili ya kweli
Tunashindwa kufanikiwa katika maombi yetu, kwa kuwa Mara nyingi tunaomba na huku hatuachilii dhambi
Niombee kazi ,am structural engineer/pastor ,Rev.moses magambe
@stivejayngoga1403
3 жыл бұрын
Hakika utapata!!
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
Utapata lkn ukiona bado hawajatagaza omba kujitolea je unaishi wapi
@amiribakari2528
3 жыл бұрын
Tembelea nchi nzima toa mafundisho.wewe ni unaelewa unachokifanya..plz tembea
Ubarikiwe Sana Baba🙏🙏
AMEN! ! GOD BLESS YOU MORE AND MORE IN HIS WORD AS YOU BLESS US
Baba Kuna Mambo najifunza makuu Sana.
Very powerful Glory to the most highest God
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Mungu akubariki Baba yangu wa kiroho
Naona fahari sana kuisikia Injili ya nguvu namna hii, na mm ni mmoja wapo lazima Tanzainia ijue yupo Mungu wa kweli
Ujumbe wa moto wa Roho mtakatifu
Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU ni kweli huwa najiuliuliza yako wapi hayo matendo ya ajabu waliyofanya hao watumishi wa MUNGU wa zama ni? Wakina Petro walikuwa wanatembea vivuli vinaponya watu . Sasa hivi hao wanaojiita watumishi wa MUNGU wamezungukwa na mabodogadi kona zote najiulizaga wanalinduwa nini cha mno?????
Ee Roho mtakatifu karibu ndani mwangu
Amina baba
Ubarikiwe Baba
Mungu atusaidie baba
May God continue strengthening this man of God.
Haya mafundisho mazurinsana God bless u
Ubarikiwe🙏🙏
Amina kubwa
Barikiwa na bwana Mchungaji
Be blessed in Jesus name!
Safari ya imani bado sana kwetu
Bariwa sana Baba
Naomba kujua vizuri je eva no mwAnamke wa Kwanza kuumbwa au alikuwrko mwingine
@godfielddashina
3 жыл бұрын
Soma maandiko haya yatakusaidia kupata ufunuo wa suala hilo. Mwanzo 1 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ²⁶ Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. ²⁷ Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Mwanzo 2 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁷ Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. … ¹⁸ Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. … ²¹ Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake, ²² na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. ²³ Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Mbarikiwe sana. Ningetamani kupata namba ya mchungaji Moses Magembe tafazali. Mimi ni muinjilisti M. Mitamba
God bless you
Hats umeya huna,
Barikiwa baba
@user-ew9ur5rs7h
6 ай бұрын
Aisee ukisali apo unakuwa mtu wa tofauti
Ameen
Ameeeen amen amen
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Ameeeeeeen
@suzanaalex1258
3 жыл бұрын
Mungu akubariki baba mwenye imani ya kweli
@suzanaalex1258
3 жыл бұрын
Ameeen
MUNGU nisaidie nitumike kama huyu baba ...nifunge nikuone MUNGU.
Mungu azidi kukutumia baba natamani kufika kanisani kwako no wapi?
@glorymziray4153
3 жыл бұрын
Dareslamu majumba 6 kabla hujafika kiota nazani ivyo
@shalamwanayusuph8008
3 жыл бұрын
Kokote ulipo Panda gari la gongo la mboto ushuke njia Panda Ya segelea ukifika pale stend muulize bodaboda yeyote kanisani kwa Mchungaji Magembe atakuleta adi mlangoni
@fidemikaeli8145
3 жыл бұрын
Amina baba naelewa Kila mafundisho naomba Mungu azidishe
Asnte mungu
So powerfully, powerfully, powerfully. I feel the power of the Hollyspirity, Glory be to God for His servant. Love you Pastor
@samsongeraldkitila2823
3 жыл бұрын
Neno lisiloghoshiwa lililojaa kweli ya Mungu Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe Baba
@dorakiyao4379
3 жыл бұрын
MUNGU akutunze tupate kupona
Amen
Ameen
Amen