MASOUD MASOUD: BONGO FLEVA SI MUZIKI WA TANZANIA/ AWACHANA MASTAA/ ''HAWANA ELIMU''/GRAMMY

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#diamond #alikiba #grammys

Пікірлер: 79

  • @Wachuoni
    @Wachuoni6 ай бұрын

    Huyu brother huchoki kusikilizana, deep sea of knowledge , God bless you brother

  • @titongholo6261
    @titongholo62616 ай бұрын

    Masoud Masoud anastahili sana kuwa Manju wa Muziki Tanzania. Huwa sipendi kukikosa kipindii chake cha alfajiri jumamosi TBC. Hongera sana Masoud Masoud. Mungu azidi kukubariki.

  • @mackamehassani201

    @mackamehassani201

    6 ай бұрын

    Tumeshindwa kbs kbs kumtumia huyu mtu kaka, anaujua kwl muziki.

  • @noahb2009

    @noahb2009

    6 ай бұрын

    Kumbe Bado yupo tbc, kesho nitatega kumsikiliza huyu gwiji

  • @jacksonmsendo3478

    @jacksonmsendo3478

    3 ай бұрын

    Uyu jamaa ukipata kumsikiliza kipindi chake hutakaa uache tbc fm

  • @pellestianomasai1220
    @pellestianomasai12206 ай бұрын

    One of the Greatest Presenters Of All Times… Masoud Masoud made me know and gradually fall in love with Country Music as well as Rock an Roll back in the late 90’s and Early 2000’s while he was with Radio One Stereo! Such an Informed and very articulate individual. His Autobiography and Skills need to be documented for generations to learn, emulate and/ or get inspired by, he is truly one of Tanzania’s Treasures as far as Music knowledge and presentation is concerned…💪🏾

  • @Mr_smart.code_10

    @Mr_smart.code_10

    6 ай бұрын

    Fact brother

  • @MightyLumber

    @MightyLumber

    5 ай бұрын

    You are very right🙌🏿

  • @hassanb.chaula4248
    @hassanb.chaula42486 ай бұрын

    Mtangazaji amepata bahati sana kumhojo Masoud, ni kitu kigumu sana kumhoji mtu aliyekuzidi kil kitu. Pia nimefurahi sana Shule aliyotoa Masoud.

  • @mcdericktv7298
    @mcdericktv72986 ай бұрын

    Mtangazaji mpaka anajiona kapwaya…Legend aishi saaana

  • @MightyLumber
    @MightyLumber5 ай бұрын

    Nakiri bila unafiki, hapa Tanzania hatuna watangazaji hata kidogo, wote ni useless tu. Huyu Manju ni dhana pekee kwa taifa letu, aenziwe na serikali👏🏽

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant51706 ай бұрын

    Mtangazaji Asante sana kwa uwasilishaji huu wa pekee. Swali langu kwa manju Masoud Masoud je ameandika kitabu cho chote kinachozungumzia muziki? Kwa mfano muziki ni nini chimbuko lake n.k. Kama hajaandika, je anampango huo? Natamani aache utaalamu wake kwenye vitabu kwa kizazi hiki na kijacho.

  • @ahmedghoth2996
    @ahmedghoth29966 ай бұрын

    Legendary masoud masoud

  • @MalewaKapala-qi8ij
    @MalewaKapala-qi8ij6 ай бұрын

    Yaani Masoud Masoud Leo amegusa pale panaponiumaga sana Mimi. Mtangazaji kushindwa kutofautisha LA na RA , au Sa na Tha....nakerekaga sana aisee

  • @stanleykatare8314

    @stanleykatare8314

    Ай бұрын

    Masoud anajua anachokifanya kwa ufupi ni mtaalam wa tasnia yake.

  • @MightyLumber
    @MightyLumber5 ай бұрын

    Bongo fleva ni muziki wa kisenge sana

  • @hashymomy6256
    @hashymomy62566 ай бұрын

    Dah muulizaji anajibuwa mpaka swali la baadae 😂😂 legendary anapaswa kuulizwa na legendary 🎉

  • @skateweaver

    @skateweaver

    6 ай бұрын

    Noma

  • @Marjeby
    @Marjeby6 ай бұрын

    Masoud Masoud Mwamba sana huyu jamaa. Masoud Masoud nna ujamaa naye kwenye ukoo wetu lakini pia kwetu hapo Kariakoo mtaa wa Udoe tupo jirani kabisa na kulipokuwa ukweni kwake for the first time kama sikosei ilikuwa mwaka 1996 au 1997 nilimuona live Tabora kwenye msiba wa mama yake mzazi nakumbuka marehemu baba yangu alinipigia simu yeye akiwa kikazi Misri kipindi hicho akanambia nenda kamzike bi Zuwena na akanielekeza ujamaa wao ulivyo na family ya kina Masoud but hata sikumbuki na kipindi hicho Tabora nilikuwa kikazi tu katika ofisi ya mkuu wa mkoa so nilikwenda kama mara mbili hivi kwenye msiba wa mama yake kwa kutii amri ya marehemu mzee wangu na ndipo nilipo muona live huyu Mwamba.

  • @gwajimagwajima

    @gwajimagwajima

    6 ай бұрын

    KWa hiyo!!??

  • @allykigatta7564
    @allykigatta75646 ай бұрын

    ..kabla ya kuuhoji MWAMBA HUU MKUBWA ni vizuri kwanza ukajiandaa....MASOUD NI MWAMBA MKUNWA SANA....

  • @daudkondo4069
    @daudkondo40696 ай бұрын

    Mimi Shabiki wa masoud masoud no moja

  • @user-xl4uc5px9j
    @user-xl4uc5px9j6 ай бұрын

    Wakat majizo anapambana na singeli tulikua hatumuelewi mimi pia sikumuelewa ila leo hiii nauona mbali mnooo

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza13955 ай бұрын

    Kumbe kuna watu. Hawa hawaonekani Tanzania yangu eti waziri wa michezo nape hapa hafiki ngooooo!!!!

  • @ayk20
    @ayk206 ай бұрын

    Afu kule kwenye bss wanawapeleka wakina shilole waka judge music daah hatari sana hahahhaha

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn96336 ай бұрын

    Huyu Jamaa anajua sana sanaaa

  • @ngido255
    @ngido2556 ай бұрын

    Ukisikia gwiji ndio hili sasa😊

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM6 ай бұрын

    Tumuendeleze Saida Karoli.

  • @leecode6135
    @leecode61356 ай бұрын

    Hii machine

  • @zikankubasijali1251
    @zikankubasijali12515 ай бұрын

    Mwamba mkuu sana huyu the best of the best

  • @user-we9ut9ih6m
    @user-we9ut9ih6m5 ай бұрын

    Kweli watangazaji wa sasa hivi hawazitamki ipasavyo hizi herufi za L na R

  • @user-tf2bz8ou1c
    @user-tf2bz8ou1c6 ай бұрын

    Dogo fundi sana kwenye maswali

  • @frumencejoseph5539
    @frumencejoseph55396 ай бұрын

    Huyu bwana ni nguli sana,yawezekana akawa nguli hata Afrika nzima, tatizo hatudhamini watu wetu na kuwatumia vizuri.

  • @uwezokinahi7870
    @uwezokinahi78706 ай бұрын

    I like this dude... Ni Manju Haswa

  • @titongholo6261
    @titongholo62616 ай бұрын

    Usiseme Manju tu sema Manju wa Muziki

  • @mohamedkassim5524
    @mohamedkassim55246 ай бұрын

    Natamani kumsikia tena na tena.

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro9313Ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AbuuKakai
    @AbuuKakai6 ай бұрын

    Lovely

  • @Mwl_Sanga
    @Mwl_Sanga4 ай бұрын

    Bado yupo TBC, vipindi Gani na siku zipi yupo ni TBC FM au Taifa

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud3 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @songombingo108
    @songombingo1086 ай бұрын

    Bingwa wa Mabingwa Masoud Masoud.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54336 ай бұрын

    Kwa kweli ya kale ni dhahabu. Umenikumbusha Anko J "Julius Nyaisanga". Wako wapi hao watu jamani.

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn96336 ай бұрын

    Masoud Masoud Gwiji Hyu.

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant51706 ай бұрын

    Swali langu kuhusu kitabu kimeandikwa nimejibu baada ya kusikiliza mwanzo hadi mwisho. Nimegundua anakaribisha mtu kuandika kitabu cha historia yake Manju Masoud Masoud. Sasa ninakuomba Manju andika kitabu cha muziki tu kinachofundisha muziki. Siku moja serekali ikirudisha somo la.muziki ahuleni, tujivunie kusoma kitabu kilichoandikwa na mtanzania mswahili mwenzetu.

  • @IbrahimMkwawa
    @IbrahimMkwawaАй бұрын

    😢

  • @lamekkauka9056
    @lamekkauka90566 ай бұрын

    Daa huyu mzee noma anazutia kwanini asepewe kipindi

  • @AliKhamis-sm5yp
    @AliKhamis-sm5yp3 ай бұрын

    Hakika umesema kweli

  • @trillionthamani
    @trillionthamani6 ай бұрын

    Huyu faza ndo kanifanfa nipende muziki wa zamani

  • @webstersinje7712
    @webstersinje77126 ай бұрын

    Mzee huwa anamwaga maarifa popote akikutana na kipaza sauti,elimu ya bure,hii ni hazina ya taifa....Kunta...Kinte.

  • @saluuhans
    @saluuhans6 ай бұрын

    King Manju

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton89116 ай бұрын

    Masoud masoud piga makofi

  • @thetas08
    @thetas086 ай бұрын

    Leo ktk kusikiza mtu alieojiwa akaelezea deepth kitu anachoulizwa akakijibu perfect ni huyu bro na kama upo in music rudia kumsikiza huyo bro

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant51706 ай бұрын

    Nimependa kwa origin of music 🎶 is God. Because music is sound and God created by music.

  • @webstersinje7712

    @webstersinje7712

    6 ай бұрын

    Kasome Kitabu cha Mwanzo 4:21....Kunta...Kinte.

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu73205 ай бұрын

    😅😅🎉❤mashine hii

  • @abelkilumbu9205
    @abelkilumbu92056 ай бұрын

    ✍✍✍

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    Kijana huyo mtu ni lulu jaribu kuendelea kuwahoji hao wataalam ambao kuna kila dalili wakiondoka hakuna ataewarithi maana yake journalism sasa imekua kituko ukiona watu wengi waliomo humo.

  • @abelkilumbu9205

    @abelkilumbu9205

    6 ай бұрын

    Kabisa Mkuu 🤝🏼

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    @@abelkilumbu9205 hebu tafuta hata time ujue mengi zaidi kuhusu watu kama hao hata siku wakiondoka basi tutabaki na stori zao

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    @@abelkilumbu9205 kwa umri wako na ulivyomjua huyo nakutabiria bright future maana 98% ya waandishi wa age yako ni weupe mnoo content of brightness hawana ndio maana wamejazana kwenye mpira kuhoji washabiki kwenye vibanda vya kahawa na maswali yao ya changamoto gani unaiona so sad

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo21206 ай бұрын

    Hii ni hazina kubwa sana

  • @deekendi191
    @deekendi1916 ай бұрын

    Nampataje uyu, teacher pliz. Contacts zake

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu73205 ай бұрын

    😅

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM6 ай бұрын

    If you know you know. Masoud tisha sana.

  • @ruu6592
    @ruu65926 ай бұрын

    Ao wanamziki tunawaonamwisho wao

  • @mustafakingwande9459
    @mustafakingwande94596 ай бұрын

    Naomba upate muda wa ziada umrudie huyu jmaa

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria94766 ай бұрын

    Mwanao Jamaal nae amevaa viatu vyako

  • @aliyissa9857
    @aliyissa9857Ай бұрын

    Khaini mkubwa. Chotara wa kimanga

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud90046 ай бұрын

    Mwamba huyu

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc6 ай бұрын

    Masoud makes a great point ila bado ana umarekani mwingi. Anaona vitu vya nje tu ndo Bora Grammy's, Jimmy Kimmel, Dave letterman etc. Sio lazima utoboe Marekani ili uwe Bora hiyo ni backward thinking.

  • @MightyLumber

    @MightyLumber

    5 ай бұрын

    Katoa elimu safi sana kitu ambacho watanzania wengi hawajuwi, umarekani wake ni upi hapo?

  • @MightyLumber

    @MightyLumber

    5 ай бұрын

    Hapa Tanzania kuna mwanamuziki wa maana kweli? Vijana wa bongo fleva ni miyeyusho tu, sema tu wanakubaliwa na watu wasiojuwa lolote kimuziki na huko tuendako watagundulika tu kuwa wako fake na kususwa.

  • @nashnene6326
    @nashnene63266 ай бұрын

    Malegend wasio successful huwa wapo soo bitter 😅 msikilize juma nature na chidi benz 😂 mwenzao prof j nae anategemea misaada tu saivi

  • @ley107

    @ley107

    6 ай бұрын

    Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake, haijalishi yuko successful au la, na Success ya mtu ni tafsiri yake, nyakati nyengine mpaka uwe nae karibu mno kujua hatua gani amepiga, si kana kwamba wewe hufahamu ana miliki nini basi iwe hamiliki kitu. Haipo hivyo

  • @Anuaryomary-su9cd

    @Anuaryomary-su9cd

    6 ай бұрын

    Lakini ukiangalia pia wanakuzidi kimaisha fala wew

  • @cuthbertmaro9131

    @cuthbertmaro9131

    6 ай бұрын

    You have done a very wrong judgement, my friend,How do you now know is not successful?Do you know him at the first place?

  • @clementiddi5708

    @clementiddi5708

    6 ай бұрын

    You definitely hurts. Don't know sh.t about music.

  • @melki-kabalu759

    @melki-kabalu759

    6 ай бұрын

    "Success" kwako inapimwa kwa vigezo vipi?

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd84286 ай бұрын

    Na bange je!? 😂😊

Келесі