Mashemeji Derby | Gor Mahia 1-2 AFC Leopard | Highlights | FKF Premier League - 14/05/2023

Спорт

Tazama matukio muhimu na kwa ufupi yaliyojiri kwenye mchezo wa FKF Premier League uliozikutanisha Gor Mahia dhidi ya AFC Leopard, hii ni Mashemeji Derby ya nchini Kenya iliyomalizika kwa Leopard kuondoka na ushindi wa magoli 2-1.
Magoli ya AFC Leopard yalifungwa na Victor Omune na Maxwell Otieno wakati lile la Gor Mahia likifungwa na Austin Odhiambo

Пікірлер: 27

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772 Жыл бұрын

    Azam tv is going to be the biggest sports tv chanel in Africa.... Cover Tanzania, Rwanda, Now kenya! ...

  • @johnsonwandera1956
    @johnsonwandera1956 Жыл бұрын

    Azam fufua soka la Kenya. Asanteni sana

  • @normanokech2093
    @normanokech20936 ай бұрын

    Azam thank u for sponsoring Kenyan league

  • @taibomar3926
    @taibomar3926 Жыл бұрын

    This is one step to better match highlights, azam all the way

  • @stevenasebe7889
    @stevenasebe78894 ай бұрын

    i was there live iyo siku..congralutations igwe

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Жыл бұрын

    Azam wapo kenya sasa raha sana

  • @tanstoretz
    @tanstoretz Жыл бұрын

    We are east Africans

  • @mathewben9983
    @mathewben9983 Жыл бұрын

    Azam mko vzur

  • @T_online
    @T_online Жыл бұрын

    Nimeona jersey nyingi za YANGA kuliko za Afc leopard 😂😂

  • @musajumba559

    @musajumba559

    Жыл бұрын

    Kulikua na mgomo wa mashabiki wa Chui kaka kwa ajili ya maamuzi mabaya ya marefa.

  • @user-qi2dt9nm1k
    @user-qi2dt9nm1k3 ай бұрын

    Hawa mpaka wafikie simba na yanga sisi tutakuwa mbali sana kiufup hawa jamaa kutufikia sio leo

  • @dhakomodherooherokoko6037

    @dhakomodherooherokoko6037

    3 ай бұрын

    Kwani walitaka kuwafikia?

  • @TiffaMakamba-ml2ib
    @TiffaMakamba-ml2ib2 ай бұрын

    Kweli Hawa Bado sana nimewafatilia naona mhmm mpira mauzauza

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo8 ай бұрын

    Uchebe wetu

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Жыл бұрын

    Uchebe

  • @emanuelminja5537
    @emanuelminja5537 Жыл бұрын

    Nimemuona kocha wa zamani wa simba

  • @sharifukilongo2565

    @sharifukilongo2565

    Жыл бұрын

    Yupo

  • @groovy5357

    @groovy5357

    Жыл бұрын

    kalemewa ligini humu

  • @oscarsheha4602

    @oscarsheha4602

    9 ай бұрын

    Kuna ki2 hakipo sawa kichwani mwako

  • @jerrycharz25
    @jerrycharz25 Жыл бұрын

    Kina onyango kmbe uku ndio uzao wao

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka7222 Жыл бұрын

    dah bado sana mko chini kiviwango

  • @musajumba559

    @musajumba559

    Жыл бұрын

    Yanga na Simba hubondwa na Kariobangi sharks😂😂😂😂

  • @iamjijo2872

    @iamjijo2872

    Жыл бұрын

    ​@@musajumba559tell them,tukl down but non of their clubs beats ours 😅😅

  • @aminata3702

    @aminata3702

    9 ай бұрын

    @@iamjijo2872 Not now lol

  • @merickshadrack4509
    @merickshadrack4509 Жыл бұрын

    Huu ndo uwanja wa taifaa mbona mbayaa

  • @brianolumo

    @brianolumo

    Жыл бұрын

    Tulia. Kenya kuna uwanja kadhaa. Uwanja mkubwa zaidi Nairobi unaitwa Kasarani. Unabeba zaidi ya watu 70,000. Huu ni uwanja wa pili unaitwa Nyayo na ni karibu 30,000

  • @merickshadrack4509

    @merickshadrack4509

    Жыл бұрын

    Ohooo hapooo nimeelewaa nilitakaa kushang,aa piaa Kenya iwee na uwanja mdogo hivyo

Келесі