Mashemeji Derby | Gor Mahia 1-2 AFC Leopard | Highlights | FKF Premier League - 14/05/2023
Спорт
Tazama matukio muhimu na kwa ufupi yaliyojiri kwenye mchezo wa FKF Premier League uliozikutanisha Gor Mahia dhidi ya AFC Leopard, hii ni Mashemeji Derby ya nchini Kenya iliyomalizika kwa Leopard kuondoka na ushindi wa magoli 2-1.
Magoli ya AFC Leopard yalifungwa na Victor Omune na Maxwell Otieno wakati lile la Gor Mahia likifungwa na Austin Odhiambo
Пікірлер: 27
Azam tv is going to be the biggest sports tv chanel in Africa.... Cover Tanzania, Rwanda, Now kenya! ...
Azam fufua soka la Kenya. Asanteni sana
Azam thank u for sponsoring Kenyan league
This is one step to better match highlights, azam all the way
i was there live iyo siku..congralutations igwe
Azam wapo kenya sasa raha sana
We are east Africans
Azam mko vzur
Nimeona jersey nyingi za YANGA kuliko za Afc leopard 😂😂
@musajumba559
Жыл бұрын
Kulikua na mgomo wa mashabiki wa Chui kaka kwa ajili ya maamuzi mabaya ya marefa.
Hawa mpaka wafikie simba na yanga sisi tutakuwa mbali sana kiufup hawa jamaa kutufikia sio leo
@dhakomodherooherokoko6037
3 ай бұрын
Kwani walitaka kuwafikia?
Kweli Hawa Bado sana nimewafatilia naona mhmm mpira mauzauza
Uchebe wetu
Uchebe
Nimemuona kocha wa zamani wa simba
@sharifukilongo2565
Жыл бұрын
Yupo
@groovy5357
Жыл бұрын
kalemewa ligini humu
@oscarsheha4602
9 ай бұрын
Kuna ki2 hakipo sawa kichwani mwako
Kina onyango kmbe uku ndio uzao wao
dah bado sana mko chini kiviwango
@musajumba559
Жыл бұрын
Yanga na Simba hubondwa na Kariobangi sharks😂😂😂😂
@iamjijo2872
Жыл бұрын
@@musajumba559tell them,tukl down but non of their clubs beats ours 😅😅
@aminata3702
9 ай бұрын
@@iamjijo2872 Not now lol
Huu ndo uwanja wa taifaa mbona mbayaa
@brianolumo
Жыл бұрын
Tulia. Kenya kuna uwanja kadhaa. Uwanja mkubwa zaidi Nairobi unaitwa Kasarani. Unabeba zaidi ya watu 70,000. Huu ni uwanja wa pili unaitwa Nyayo na ni karibu 30,000
@merickshadrack4509
Жыл бұрын
Ohooo hapooo nimeelewaa nilitakaa kushang,aa piaa Kenya iwee na uwanja mdogo hivyo