MASHALOVE AFUNGUKA BAADA YA KUFUNGA NDOA/ATAJA IDADI YA MAHARI/SABABU YA KUOLEWA GHAFLA
Ойын-сауық
Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MASHALOVE AFUNGUKA BAADA YA KUFUNGA NDOA/ATAJA IDADI YA MAHARI/SABABU YA KUOLEWA GHAFLA
#Bonatv #Exclusive #diamond #gigymoney #mashalove #drkumbuka #jikeshupa #iyo
Пікірлер: 569
Jmn huyu ni masha ninaemfaham mimi au pachaake 😀😄kama nawe umeshangaa kama mimi gonga like yako hapa
Kweli ndoa kitu chengine yani huyu ni masha nnaemjua mie yani kapoa hivi..dah alhamdulillah mungu mkubwa..sasa ndo ubadilike utoto uache..wale wanaotaman masha aache upuuzi wa insta like hapa ili ajirekebishe
@rukiaosman18
3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Allah akuhifadhi doa yako Iweyaheri yarabi
@rukiaosman18
3 жыл бұрын
Inshallah hiyo misahafu uliyo Itoa itanusuru doa yako yarabi Utapata watoto inshallah hongera My love sister wangu
@anahanah9145
3 жыл бұрын
yani nimeshangaa
@salhanassor5201
3 жыл бұрын
@@anahanah9145 😁😁usishangae ukaskia ni movie hii mi simuamini vizuri masha😁😁
@anahanah9145
3 жыл бұрын
@@salhanassor5201 mambo ya aibu aliopost na vishati yake Akiwa uchi ndo imefanya nisiamin
Uyu dada mkweli kupita maelezo. Nmependa alivojibu 'sijui ka amewah kuoa' Hajausemea moyo..hajajimilikisha,...YaAllah akutakabilie ikawe ya kheir da masha
Mashallah Allah Kareem 👏 Mungu akakusimamie ndani ya ndoa yako ukaishi salama mpaka Mungu atakapo watenganisha Inshaallah 👏 mabrock Masha love wakati wa mungu ni wakati sahihi
Masha"Allah Allah Awape wepesi
Kumbe Masha mdogo Sana jamani Mungu akupe Utulivu wa nafsi na uvulivu katika ndoa yenu .Alf Mabrook waalhi hadi machozi yanitoka Hongera dadangu .kila maisha ni hatua Subra uvumilivu na kumtanguliza Mungu .
Daah mmungu akusimamiee inshaallaah ilaa GENGENII SIO WAJIBU WAKO KWENDAA NA KUHAKIKISHA MUME KULAA NNOP HIYO NI KAZI YA MUMEE KUHAKIKISHA MKEWEE KUWA AMEKULA AUU ANATAKA KULA NINI AUU ANA TAKA KUVAA NINII, NA KIKUBWAA KWANZAA MUME NI WAJIB WAKEE KUHAKIKISHA MKE ANALALA WAPII, KULAA NA KUVAA HUOO NI WAJIBU WA MUMEE WAJIBU WAKO MKEEE NI KUWA NA HESHIMA KUJIHESHIMU NA KUMUHESHIMU MUMEOO MPAKA DAKIKA ZA MWISHO NA MMU GU ATAZIDI KUKUSIMAMIAAA INSHAALLAAH
Mashallah mashallah jmn hongera sana dada Allah awajalie khery kwenye ndoa yenu inshallah chenye kher mungu hutia baraka zake
Mwenyezi mungu akutakabali duwa zako, mungu ni mkubwa daa masha.
Mashaallah Mungu atakufungulieni kwenye maisha yenu. Mkae vizuri tuu.. Beauty Masha leo umependeza na una haiba yako.
Mashaa😭😭😭 Sina la kukuambia mpenz yaani nnafuraha hadi machozi yananitoka ndoa ni jambo bora mama mungu akudumishe kwenye ndoa yenu (barakallahu lak wabaraka alayk wajamaa bainakuma fiiy khair) 🤲 maisha mema mwaya🥰
Maa Shaa Allah. Mbona una Majonzi badala ya kuwa na Furaha.
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Aaamini hakutegemea Amini Ili ,wanawake wengi tunatamani kuolewa au tunataka kuolewa ila wanaume ndoivyo.msiwaone wanalopoka kama aunt Ezekiel wengi ndoa tunazitaka😂😂😂
Masha mwenyezi mungu akujalia saana ILI upate unachohitaji na kama unayosema basi Allah akujalie saana
Masha allah allah nimkubwa kama masha love amefunga ndoa basi na wengine mutaolewa hata kama umezaa wala umeachika insha allah
@khanniebaraka1515
3 жыл бұрын
Amiin
Sasa manyonyo zitatulia, ishakua vyakula vya watoto wake, usitinginge teba😂😂😂 hujui tu vile ulikua unanikela jamani, Shii nimefurahi adi basi,🙌🙌❤❤
Katika interview zote ulizofanyiwa masha ndio kwanza hiii umeongea ya maana, kwa utulivu. Allah akusimamie kwenye ndoa yk Na sisi atujaalie tupate waume wema!!!
Masha habint usilie Allah akupe subra na UVUMILIVU ktk ndoa yako mlee akulee mpate watoto wema
Mashahllha leo nimekup enda bure mwenyez mungu awafanyie wepesi kwenye ndoa yen
Mashaallah allah akufanyie wepesi inshaallah yaani siku zote nakuona lakin leo mzuri sana 😍
@ziyadayahaya5901
3 жыл бұрын
Hongera Sana Masha hata Mimi siamini nakupenda sana
@user-jk5ir4ke3z
3 жыл бұрын
Mashaala mungu akujaalie
Nimependa wewe ni mkweli umekiri umemzidi umri.hongeraaa
Kumbe mpole jaman kazi tu ndozinaubadilisha mtu 💃💃
@khadijahomankweliyamjahaya7421
3 жыл бұрын
Arafu anaongea maneno mazuriiiii
@jamilamanariyojamila1487
3 жыл бұрын
Allah Amuongoz wallah Nimepend Manshallah
@yusufwaithanje6315
3 жыл бұрын
Wanafanya kazi IPI dada
@samuellacecille717
3 жыл бұрын
@@yusufwaithanje6315 hiyo hiyo si ilimladi Anaishi mjini kwan unafikili anavyofanya haingizi pesa
@saadacharasaada1958
3 жыл бұрын
Lemba sasa alomfunga kanifraisha
Ni ndoa kwel au maigizo nahyu ni masha kwel au nafananisha masha Allah Mwenyez Mungu awaifadh Ktk ndoa yenu
Maashallah basi ndiyo uwache kujitia uchizi usikae miziwa wazi ujistili kijumla Allah akuongoze atuongoze na ss lnshallah
Kumbe mpole jamani Masha Hongera
Mashaallah,Allah awasimamie ktk ndoa yenu
Manshallah Allah Awenanyi awarinde mabaya
Mungu awajaalie maisha marefu ❤❤❤
Mungu akujalie kila LA kheri Kati yamaisha yako inshaallah mahari mashafu najuzuu mashallah dada
Nafurahia sana mashalove kuolewa sasa manyonyo usitingishe tena mpe mumeo.heshima
@rehhanrashid5735
3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@dufandaqueen1617
3 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂
@hadijamagufuli2661
3 жыл бұрын
😂😂😂
@aminamwangile4020
3 жыл бұрын
Hahahaha
mstaarabu kumbe uyu dada kila kher Masha katika ndoa yako
Masha Nakupenda sana we dada nimefurah ad machozi ya furaha hongera Mungu akusimamie kila lakheri kwenu.
Hongera masha wangu nakupenda sana
Ila Masha akiamuaga kuwa mpole Ni dakk 0 😅😅😅😅😅😅 hongera Sana na ukatulie usiendelee kutingsha manyonyo Tena jmn😫😫😫😫 sahv we mke wa mtu🥰🥰🥰
@miriammbuzze4580
3 жыл бұрын
Hongera sana mdg wangu kama ipo ipo tu mungu ni mwema kwakoooo
Mayshaallah ongera dada naiye heri dada .Allah akuwekey wepesi nimefuray sana dada.
Mabrook mdogo wangu
Inshaallah yaraab /mwezi /mungu atakujaliya kilalaheri dada yangu
Hongera mwaya
Dada sawa bora umueke mungu mbele
Dada masha akili 30 mpe mumeo 70 baki nazo mwenywe, wanaanzaga hvo hvo kujifanya kaswali,nakupenda, yani waongozaji Sana na kujali ila c wote wengine Kuna kitu wa natafta kutoka kwako tu wakipata bas, all in all hongera mwaya
Masikin mungu awasimamie kwenye ndoa yenu masha yaan mpk nmelia 😭😭😭🙏🙏🙏
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/maGhxsqdmMS3nLQ.html
Mabruq mashalove mungu akujaalie kila la kher utulie na ndoa yk almuhimu uheshimu ndoa yaliopita yamepita mungu atakusamehe nafikir dini unaijua na umesoma dunia ipe mgongo hongera sana
Umependeza sana hongera
Alhmduli,llah dada rudi kwa mungu wako sasa uende peponi dada..
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Amin thumma amin
Hongera sana masha Mungu niwetu sote amefanya njia pasipo kuwa na njia
Hongera sana Masha mwenyezi mungu awape kheri katika ndoa yanu inshaallah
km Ndoa ma sha Allah km ni kiki aaaa umeniwahi
Nimempenda masha amekuwa mpole
HONGERA SANA, MASHA, 🎊🎊🥳🥳🥳
@ashaabdalla924
3 жыл бұрын
VERO dada masha katufunza 😅😅
Masha wew nimuongo sana unasema unamiaka 25 wakai ulisema mwenyew unamtoto wa miaka kumi na tatu ambae ulimzaaa ukiwa na miaka 15 so mpaka saiv unamiaka 29 shoga kama sio 30 daaa hongera kuolewa na kijana mdog kias hiko duuuu ama kweli saiv wazee tutaolewa na vijana
Hongera sana dada Don masha
Masha Masha ndowa iyoooo usifanye mchezo mungu nakupenda emungu mlinde Masha jamani zidi kumtowa kwenye majanga mabaya amini
Congratulations! nakutakia ndoa njema God's time is the best time.
Masha hongera kwa kufunga ndoa mungu aidumishe ndoa yako
Hahahahaaaaaaaaaaaa dada masha leo analia hahahahhhahaha nmecheka kwa nguvu km c kiki Allah awadumixhe jaman mana hamukawii
@zakiahaji1683
3 жыл бұрын
ndoa sio jmbo la masikhara
@fatimahamisi9235
3 жыл бұрын
Mi ht siamini
@sitiabubakar2892
3 жыл бұрын
Mpaka m2 anasign marriage certificate sio kiki labda
Maashaallaah mungu akupe amani pia mdumu milele daima inshaallah mzikane mzae watoto wema pia mungu akupe utulivu ue mke mwema sana inshaallah
MashaAllah hongereni sana Allah akuzidishie kheri piya urudi kwa Allah.
Dah! Mpaka nimemsahau ongera masha
MashaAllah MashaAllah na ikawe heri kwako
Masha mungu akuongoze na akupe maskizano na mumeo yani nafurahi
Hakika usihukumu kitabu kwa cover yake 🙏tunakuombea inshallah
@josehazard5091
3 жыл бұрын
Masha mungu akujalie
Jamani,binti ameongea kwa uchungu na shukrani,yaani hata mimi nlimuonaga ni binti ambae hana maana ,,,lakini Mungu alimuumba makusudi sababu anampenda,na leo Mungu ameonyesha upendo wake kwa masha,tusiwachukie watu bali tuwaombee
Alifu mabrouk habibty
Hongera dadangu kutoka Kenya
Alf mabrook. Nimefurahi sana. Allah aibarik ndoa yenu muishi mudumu awape masikilizano
Hongera masha
Adi raha da masha mashaallah 🤲,tulia sasa mpz 💕💕
Mashaallah. Alfu mabrook iwe ya kheri
Hongera Masha kwa kukamilisha nusu ya dini
Ndio inatakiwa uwe hivo ukijitambuwa mambo mengi yatakunyokea Kisha kuwa nahofu ya mungu utaishi maisha mepesi 🥺🥺❤️❤️❤️
Mashaallah Mwenye enzi Mungu ampe maisha yenye kheir na ndoa iwe ya baraka ndani yake
Mashallah, Masha mimi nakuombea utuliye , ujistiri kwa ajili ya Allah mimi naomba nikuletee sidiria bora duniani special kwa heavy duty km yako .
Allah Akbaru Masha wanguu kaolews
Mh nakaaa kimya MNA hawa wasanii wanambo mengi😹😹😹😹😹😹🤣🤣🤣🙌🙌
Umependeza masha hongera mwaya kuolewa ni bahati
Hongera sana Masha, love you, Allah akusimamie katika kila lenye KHERY, hongera sana niko hapa kukuombea 😘🙏
Umependeza masha
Hongera masha mwenyezi mungu ajalie ndoa yako iwe ya kheir na baraka muishi salama na mumeo inshaallah
Masha Allah mahar mazur Allah Akujalie kher kwenye ndoa yko
Masha'Allah hongera masha
Mungu atakusaidia utabadilika
MashaAllah mabruq 👏
Kumbe masha mdogo
Inshallah,mwenyezi mungu akujalie kwenye ndoa yko.
Hongera mama
Masha mzuri mimi nampenda, Mungu akufanyie wepesi, hongera Sana dada
Masha Allah kma kweki hii mungu awabariki na isiwe kiki jamani wabongo twawajua
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/maGhxsqdmMS3nLQ.html
MashaAllah hongera
MashaAllah Allah awajaalie kheri inshaAllah
Masha leo umekuwa mpolee,Mungu akutunze maisha mapya ya ndoa yako
Hongera xana ctr Masha, Allah awajalie mzidy kupendan👏👏👏
Congratulations 👏🏼 mashlove
MaashaAllah Alf mabrouq my dada etu
Hongera sana dadangu ,furaha ilioje kuolewa .acha mungu akawatangulie kwa kila jambo.
Mi pia kuna mtu nampenda Atar yan ata kuelezea siwez ila namuomba mungu aniowe naisi ndow ikipita nitalia san maan sitoamin emungu nisikie kilio changu👏
MASHAALLAH shoga angu mabrook
Acha kuliya Kila kitu ni mpango ya mungu Mudaa wa mungu umetimiya hongera sanaa
Hongera sana Masha mungu awajalie mkae vizur ktk ndoa yenu
Congratulations🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃 dear am happy for you darling I hope sio kiki because Tanzania kwa kiki ni number one
Furah yamashaa machozi kwangu yaani Mungu ndio ajuaeee kilichomoyoni mwangu
Hongera sana mola awape furaha kwenye ndoa yenu