Marufuku ya shughuli baharini yatolewa Lamu kufuatia tahadhari ya Kimbunga Hidaya
Wakaazi wa kaunti ya Lamu hasa wanaoishi maeneo ya Visiwani lamu, Kisiwa cha Pate ,Kisiwa cha Ndhau,Kisiwa cha Kiwayu, hawataruhusiwa kusafiri baharini kuanzia leo jioni hadi siku ya jumanne kufuatia tahadhari ya Kimbunga kiitwacho Hidaya. Kimbunga hicho kinatarajiwa kushuhudiwa baharini pwani ya kenya. wanaosafiri baharini wakiwemo Wavuvi na abiria wameshauriwa kukatiza safari zao kipindi hiki.
Пікірлер: 4
Citizen,hamna fundi wa mitambo jameni?? Kelele!!
Hidaya hidaya banae subiri upatikane hata kama wewe ni hodari baharini utaona mauti
Basi mbona hamjatuletea mchele. Na maharage