Whoever reading this, I pray that God visit your home with healing, blessings and miracles. Amen.💕
@fauziahkonyelo
10 ай бұрын
Amen and amen
@judymoraa3504
10 ай бұрын
amen 🙏
@judymoraa3504
10 ай бұрын
💙💙💙💙
@user-ik5tp1cq5j
9 ай бұрын
Amen
@trueblues147
9 ай бұрын
Amen and God bless you too
@filexingutia362011 ай бұрын
Nakuita mungu kwenye kipindi hiki kigumu mungu anisaidie
@MuriakReshMa11 ай бұрын
When GOD call someone to do his Work,HE equip and perfects him or her..Thank you MARTHA for frequent blessings.. Listening from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@marthamwaipajabackup11 ай бұрын
Ninakuita Yesu kwenye maisha yangu na family yangu na kwenye huduma ya mama yangu mbariki zaidi 😢❤
@AmIna-hb4jv
11 ай бұрын
@@gosbertmuta5421😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@jasmineedamu6089
11 ай бұрын
@@gosbertmuta5421👏
@johnntakirutimana4097
11 ай бұрын
Tena zaidi 🙏🙏
@chancelinebuntu1238
11 ай бұрын
Ooooooh là là😢😢😢😢ukwel chr wangu Joan welcom Burundi tunawapenda sana turabakunda can❤
@madammartha
11 ай бұрын
Amen Amen Amen
@julievideo912611 ай бұрын
Leo Niko WA 20 nakupenda san my sister mungu akutunze zaidi mfarij wetu unaye jua kutusemea kwa baba
@UwimanaJeanine-gr3lt11 ай бұрын
Unaimba vizuri mama Martha mwaipaja ❤mno mungu akubariki zaidi akulindiy uduma yako
@milkacyrus24011 ай бұрын
I thank God for minister Martha, she understands time and seasons .Nena nasi ,tukumbuke yesu.we love your songs from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 kenya.
@user-je1ns1hv6w11 ай бұрын
Hongera kwako MARTHA, nyimbo zako hunitia nguvu kwa hii safari ya kwenda mbinguni.Listening from kenya
@AgnesJiston-bo2ox11 ай бұрын
Tunakuita Yesu kwenye familia yetu roho ya umauti kwenye Familia yetu aina nafasi tena mwaka huu, anakuita baba angu pia ni mgonjwa umponye, Mungu tusaidie, Amina.
@user-xd4rj2iu5q10 ай бұрын
Oohh Asante wimbo wanitia nguvu sana ninakuita yesu njoo baba unirehemu walimwengu ni wabaya sana nirehemu nilipokukosea 😥😭🙏mimi ni mwanao tyu huruma yako iniguse na mm barikiwa ewe marikia wa kututia mioyo kupitia nyimbo zako 💞🥰😍 penda sana mama angu martha ❤❤❤💯 ninakuita masia nirehemu nyakati ni nyingi kwangu kuna za mates,kukata tmaa😢 nisamehe baba nikimbuke mwanao😢😭🙏
@user-kk7vg4zz6m11 ай бұрын
Wonderful song inaguza moyo thank you martha mwaipaja this song imekuja kwa wakati mzuri ninaomwiita MUNGU maishani mwangu Benson listening from Kenya God bless you I like your songs too like umeniitika na this one very touching songs
@annex188910 ай бұрын
I comment ... This world is so wicked only such wailing souls needed to cry for our rescue ... Martha keep it up to worship God in truth and in Spirit
@user-cl9dd5ox3x3 ай бұрын
tunakupenda ❤ sana wimbo zako zinabembeleza sana hapa nchi ya Kenya 🇰🇪
@ToshJnr11 ай бұрын
Hapa nilipo katika Hali yangu,,nakuita❤❤ Yeye aliyeumba sikio,,Je,hasikii??😭😭 Dunia Haina majibu,,maswali tu😭😭 Nakuita wewe mwenye huruma
@ackimmutale632211 ай бұрын
dada matha,nyimbo zako huniburudisha roh yangu.b, blesed coz i listen u here in mbala zambia.amen
@user-ol7kp5zy2x4 ай бұрын
Mungu amuuongezee mama yeti wa Imani miaka mingi
@MillicentShambetsa11 ай бұрын
Each time you release a song am always down but when I listen to it,am always encouraged. LORD I call on you,sina msaada mwingine ila tu wewe mwenye huruma. Eeeeh Bwana nisaidie. Barikiwa sana Martha 🙏.
@friedamkiramweni9736
10 ай бұрын
Ipraise God through you my sister in the Lord Jesus.
@lydiermercy575311 ай бұрын
This is now the correct song of my situation...and I humbly asking God to interven in my situation and may His will be done....God bless you too Martha for the words
@faithtimamu9832
10 ай бұрын
❤❤❤Amen
@kiokomuiya7849
10 ай бұрын
Aimen
@davidmupenzi899711 ай бұрын
Amen🙌🙌🙌🙌🙌🙌Nikweli mama yangu ,Mungu akubariki mara miya akupe mwisho muzuri kuliko mwanzo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Siku la leo Niliita Mungu wetu akanisikiya wimbo huu unani bariki saaaaaaana
@neemachalamila59011 ай бұрын
Yesu ingia kwenye Tanzania yetu,pita duniani Yesu tunaangamia ,hofu yako hamna tena duniani watu hatijaliani tena
@user-so6fu3yb5z11 ай бұрын
Even this one is best song be blessed Martha Mwaipaja.kwa kutulisha mafunzo ya Mungu
@catherinemaithya992411 ай бұрын
Tunakuita Yesu utureheme, I love you Martha Catherine maithya from Kenya ❤
@michaelmakokha822511 ай бұрын
Huduma njema dada,hapa kenya tunakupenda sana❤
@user-bt5qb9my4y11 ай бұрын
Greatest of all times,Serving for Gods Glory.Much love from kenya🇰🇪
@EstellaNshimirimana-up9jo11 ай бұрын
Waaaooooooo,good song,dunia haina majibu bola Mwenyezi Mungu aturehemu.❤❤❤❤,good job.
@rispaqueen11 ай бұрын
Nakuita kwa njili ya binti yangu yangu halie kataliw na babake after passing form four 4⃣ exams antil know no break through of joining university after what have been through with her in high school God intervine. 😢😢😢
@MercyMof-rc3lz11 ай бұрын
Nakuita baba sababu bila wewe siwezi chochote, love your songs always ju zanipa moyo, love you mamangu wa kiroho
@kakoi42811 ай бұрын
Am always be encouraged by your songs even at the most trying moments of my life. I get to listen to your songs I get more strength to face another day
@YasintaShemu-ot7xy11 ай бұрын
Ni kweli tunamhitaji Mungu alie mwingi wa rehema,barikiwa mama
@StephenWagithi-sz4ld10 ай бұрын
When I listen to your songs,I àlways get more faith in God
@hellen-kh2xm11 ай бұрын
Ninakuita yesu kwa ajili ya maisha yangu na ya Familia yangu 🙏🙏🙏ukatukumbuke yesu na utatupe nyota
@minzasamwel68746 ай бұрын
Martha Mwaipaja mimi nakupenda sana na mungu akubariki ❤❤❤❤❤❤
@user-xv1im1yg1n11 ай бұрын
Pitié Père de grâce pitié , nous avons échoué. Où irions nous oh Père si pas chez toi , pitié , pitié. Merci beaucoup Martha , Dieu te soutienne
@mwadeghuagnes484111 ай бұрын
Ubarikiwe sana dada martha wimbo mzuri huu na unatia moyo kwa yale tunapitia
@PBeauty-bd9ks11 ай бұрын
Nakuita mungu mwenye huruma ooooh halleluya 🤲🤲 mungu akubariki dada Martha kwa kazi yko nzuri much love frm kenya 🇰🇪🇰🇪
@user-fm2rd6up1r5 ай бұрын
Wimbo huu unanipa matumaini kwa Mwenyesi Mungu
@marcelahmuka502911 ай бұрын
Martha never disappoint she right on the point annointed woman of most high I love ❤️ u my sister from Saudi Arabia 🇸🇦.
@blessedtumaini51611 ай бұрын
Nakuita Baba Mungu kwa uaminifu wako na rehema zako uniitikie ja kwa fadhili na neema na rehema zako zinisaidie mimi ni mhitaji. ZABURI 145:18. WAEBRANIA 4:16. Amina. Martha ubarikiwe.
@msa395711 ай бұрын
Mama ubarikiwe. Mungu alikuita kweli sauti ya kutufanya tumukaribie mungu. God bless you. 🇰🇪
@measlaomari770311 ай бұрын
Dada yangu Martha Nakupeda sana nyimbo zako ninazipeda saaaaaan
@joycemakokha964811 ай бұрын
Kila saa Kila siku naitaji nikusikie tu bwana I'm blessed and be blessed too dear sister Martha nakuitaji Jehovah
@user-bn9vr1pe9r10 ай бұрын
Ninakuita Yesu kwenye maisha yangu Ninakuita baba Ninakuita wewe nioneye uruma baba yangu Nachoka bila wewe kunijibu nani atajibu maombi yangu 🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭
@denciasupplies125911 ай бұрын
Huu wimbo umenizungumuzia Kwa ajali ya maisha yangu na mwanangu. Mungu najua unanipa jibu Kwa hiya nipitiayo Kwa Sasa🇰🇪🇰🇪🇰🇪 . Martha nakuombea Mungu akuzidishie haswa Kwa hiki kipaji cha uimbaji
@fatinamhidini-zn1ck11 ай бұрын
Ninakuita yesu uishi nami moyoni mwangu,ninakuita usimame na familia yangu mungu wangu ninakuita ubariki uzao wa tumbo langu!!! Mungu wangu ninakuita❤🙏🙏🙏
@user-qe5pr7cy7k
6 ай бұрын
Baliki maombi yang eee mung mim mwanao 🙏🙏🙏🙏 nipo kwaajili yako na pia nisameh. Niliyotend mabay kwa watu wot eee mung nipe hulum yako ya milel
@vincianekyose267410 ай бұрын
Samahani sana maman isikuake kwanyuma tuambilie kama ulikua nachikiana na chetani kama wanamusic wengine, n'a barikiwaga sana na we mama
@kawendijunior850411 ай бұрын
A very humble woman with personal dignity. Congratulations mummie, I just like your encouraging songs. You're one of my favourite gospel artists in East Africa... keep it up
@user-kq3gs4ls5d10 ай бұрын
Dunia kweli haina majibu kwa tunayoyaona.tuzidi kumuita mungu atusaidie asante martha kwa ufunuo wa wimbo huu ubarikiwe zaidi.
@HeritierWata-hk7jl11 ай бұрын
😭😭😭nakuitaji yesu kwenye maisha yangu Martha ubarikiwe mungu akuinuwe kwenye uduma Yako🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Congo tupo ndani kwenye mji ya lualaba
@user-mi5xe6mf8p9 ай бұрын
Tunakuita YESU katika maisha yetu Dunia Ipo mwishon tupe macho yakuona dada matha MUNGU akubaliki sana Tena sana
@LuckyMukhwana11 ай бұрын
Nakuita yesu njooo kwa maisha Yangu baba
@melodygarufu521311 ай бұрын
you are indeed healing souls out here mom, the time i listened to this song i had no money for my rentals but just listening to it how i got encouraged only God knows, and my rentals are always due on the tenth of every month right now i have the money with me ready to pay on the tenth. Thank you mom loving you from Zambia.
@mil58011 ай бұрын
Ninakuita mungu kwenye maisha yangu nione huruma yesu 😢mkumbuke mwanangu yesu 🙏🙏
@helvetasswiss463811 ай бұрын
Tupo pamoja dada martha tumuite Mungu mwenye majibu.... dunia haina majibu.👐👐
@user-hb1kt5vs3s10 ай бұрын
Ee YESU ninakuita naomba unibariki na uniokoe nimebaki na wewe tuuu mwanao niokoee🙏🙏🙏🙏🙏🥺
@d.mediatv814711 ай бұрын
Martha mimi nakupenda tokea na miaka11 mpaka sasa nishakuwa mtu mzima mungu akubariki kwa kaziyako nzuli
@SarahRichard-hu5wb10 ай бұрын
Yaan we dada we unanikosha jaman kwa nyimbo zako sijui hicho kipaji ni cha rohoni au la maan daaaaaaaah nakupenda xana pia tumuite Mungu pekee kwenye shida zetu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ you Martha
@euniceanzazi241111 ай бұрын
Ninakuita Mungu mwenye huruma. Kwa neema yako tunaishi.God bless you Martha.❤️
@edwinomwamba9811 ай бұрын
Huu wimbo ni sehemu ya maisha yangu Hongera sana MUTUMISHI
@sarabahatibahati-fq5ok11 ай бұрын
Kabisa yesu nakuita huu wakat siwez pekeangu yawhe 🙏💕💕barikiwa mama matha💞
@WilsonMagesa-px4dy10 ай бұрын
Ninakuita yesu kwenye ndoa yangu na huzao wangu kwani mimi pekee yangu siwezi
@user-zk6tn2nv2m10 ай бұрын
Nami pia nitembelee Mungu unapotembelea wengine😢live this song❤❤
@larbankasingu790211 ай бұрын
Upako wa kweli, Mungu wako habahatishi anaponya kweli, anainua, anatia nguvu, anaganga mioyo...... Mungu sifiwa
@mercyjunne11 ай бұрын
Natamani Nami pia uimbaji wangu ufikie kiwango hiki 🙏🙏❣️❣️
@carobodashady1597
11 ай бұрын
Ucijali my d,a utafika to
@AachiEpem
11 ай бұрын
Kabza
@AachiEpem
11 ай бұрын
Mungu anatulinda siku zote mbali na makoza ahmbazo tuna fanya , lakini mungu anatulinda 2
@alicemjomba264410 ай бұрын
Thankyou Lord 🙏 ninakuita Baba nirehemu Baba yangu , Asante Yesu 🙌🙌🙌
@user-el8ei3vm5h8 ай бұрын
Ninakueta baba Niko nashida mungu nakuomba mahali Niko mbali na nyumbani angalia watoto wangu na wazazi🙏🙏🙏🙏
@anjelanimunga236211 ай бұрын
Amen amen dada yangu ubarikiwe na mungu uhendele hadi siku mungu atakapo kukuita.
@maryfatuma724311 ай бұрын
Martha umekuwa wabaraka katika maisha yangu, nyimbo zako dadangu zinanitia nguvu pale napofika mwisho wa mawazo
@AntonyMusyoki-cu3qf9 ай бұрын
Martha nyibo zako unibariki ,ishi milele na milele Anthony from kenya
@user-dn5he6ip9r11 ай бұрын
Amen....🎉 Hata nami natani niwe kibali kachako my siz Martha natamani kuwa mwimbani ili nikamtumikie Mungu be blessed 🎉🎉🎉
@UwimanaJeanine-gr3lt11 ай бұрын
❤nakuta yesu wewe kwama ishayangu na family nauduma yangu
@irlandedubois566011 ай бұрын
J’aime beaucoup vos chansonsl lorsque je suis triste en écoutant vos chansons je me sens forte sachez que vous aviez une maman qui vous aime et qui prie pour vous et votre famille depuis Haiti 🇭🇹
@josephinejazz893511 ай бұрын
mamangu Martha love you much you're my mentor love your cool spiritual songs 🙏🙏🙏 Ninakuita Mungu mwenye huruma...tuuureehemu you inspired me alot spiritually from kenya 👏👏 barikiwa
@exauce94259 ай бұрын
Maman uyu abalikiwe sana kwa wimbo ninakuita mungu. Maman utukumbuke kua maombi Yako, utukumbuke frère Exaucé kutoka Congo DRC tuna kupenda Sana hapa Kinshasa🎉
@jewel978611 ай бұрын
Ameen,n mwenye huruma mungu wetu.much love from Kenya.❤
@noelkipera658110 ай бұрын
🤲🤲🤲🤲💪💪💪💪🙏🙏🙏 tunakuita baba katk uzao,wangu ndiwe pekee baba mbarikiwa wetu,,,,Endelea kumuinua pia Dada yetu Martha katka viwango vya juu Zaid baba
@loicewangeci443211 ай бұрын
Amen 🙏 Amen, baba tunakuita 🇰🇪🇰🇪🇰🇪we love u martha, more grace
@hakizimanainnocent535111 ай бұрын
Thanks Marta mwaipaja. 🙏🙏🙏 From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@calebwaweru880011 ай бұрын
I call you in my heart..blessed from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-gv9cs3jn6e9 ай бұрын
You bless my life day by day Martha,,,,wacha mungu aendelee kupanua huduma yako.
@josephmiringu95599 ай бұрын
Asifiwe mungu ni majimbu ya kutamanika ,sote tuliinue jina lako kuu. Dada yetu mungu azidi kukuinua❤
@miwt182311 ай бұрын
Merci ma chére maman. Tes chants me bercent. Sois richement bènie.💓💓💓💓
@sandelemasapanjo10 ай бұрын
Ukwel dada nyimbo zako zinanibariki sana nakuombea kwa mungu azidi kukuweka na uendelee na huduma yko lkn uzidi kumuomba mungu kwenye huduma hiyo
@MichaelBANZE-kn7zh11 ай бұрын
Ooo! Nina kuita yesu unisaidiye! Mimi peke si wezi❤❤❤ Mama asante kwa wimbo
@user-bp4jz4ye3v7 ай бұрын
Mungu ninakuita katika maisha ya familia yangu... encouraging songs Martha.God bless u
@muangejr0311 ай бұрын
It has reminded me of Jeremiah 33:3, Ni sisi hatukumuita Mungu kwenye changamoto zetu ndio maana zimetusonga namna hiyo. Nyimbo zako zina uvuvio wa kiroho ili kuokoa nafsi za wanaopotea.
@jestinageorge830511 ай бұрын
Nakuita baba kwenye familia yangu, bariki mwanangu akatengamae na afya yake ili aendelee na masomo yake, Aminaaa dada Martha
@Everlyne-zg2qz10 ай бұрын
Sister may God bless you and grad you more days for spreading his gospel
@clareotuba477711 ай бұрын
Hallelujah hallelujah iam blessed 🎉mum be blessed 🎉❤
@user-uv3gm5bb8x10 ай бұрын
Amen I like this gospel song Glory to God Malawi
@joanjoan599511 ай бұрын
Nakuita baba kwenye mahusian yang py nakuita kwa mama Ang hyu Martha mwaipaja 😭😭😭😭😭😭😭🙏💓👍
@janiffernduku218310 ай бұрын
Nakuita Yesu Nishike mkono safari n refu siwezi pekee yangu😭😭
@DavidWanganga11 ай бұрын
Thanks mum for always giving us hope
@anjelanimunga236211 ай бұрын
Amen amen dada yangu ubarikiwe usiache kutangaza ijili ya bwana katika nyimbo , maana nyimbo zako uwa zina nifariji sana.
@bathshebamogambi645511 ай бұрын
Njoo Baba nakuhitaji wakati huu niko chini sana😭😭,What a wonderful song❤❤ be blessed mtumishi wa Mungu😊😊
@EsterBernardoVumo10 ай бұрын
Ninakuita Baba Uponye Mama Yangu Mdogo Iponye Familia Yangu Na Familia Yote Ya Matha Mwaipsja.NawatuWoteDunianIWatu Wajue Kumita Mungu Atusaidie.
@geofreykoech427911 ай бұрын
Mungu bado akupe nguvu uwe baraka kwa wengine Martha...
@renovatndayizeye241611 ай бұрын
Chombo cha East Africa 🌍🌍 ubarikiwe sana Dada yangu Martha Mwaipaja, tunakupenda sana,unapendwa na Mungu ❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤
@neemamolel33210 ай бұрын
Dada yangu huwa nikisiliza nyimbo zako nabubunyika Sana kwani sinanitoa kwenye mapito magumu dada mungu akuinue viwango vya juu Sana dad barikiwa sana na nyimbo zako
@AskofuBamuli-pw3xe7 ай бұрын
Kwa kweli mama umewaii. Timiza kazi yako ambayo ilisababisha Mungu akuweke kwenye ardhi ndio maana naendelea kuiita Mungu atupe nguvu.kabisa kazi njema mama
Пікірлер: 845
Whoever reading this, I pray that God visit your home with healing, blessings and miracles. Amen.💕
@fauziahkonyelo
10 ай бұрын
Amen and amen
@judymoraa3504
10 ай бұрын
amen 🙏
@judymoraa3504
10 ай бұрын
💙💙💙💙
@user-ik5tp1cq5j
9 ай бұрын
Amen
@trueblues147
9 ай бұрын
Amen and God bless you too
Nakuita mungu kwenye kipindi hiki kigumu mungu anisaidie
When GOD call someone to do his Work,HE equip and perfects him or her..Thank you MARTHA for frequent blessings.. Listening from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ninakuita Yesu kwenye maisha yangu na family yangu na kwenye huduma ya mama yangu mbariki zaidi 😢❤
@AmIna-hb4jv
11 ай бұрын
@@gosbertmuta5421😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@jasmineedamu6089
11 ай бұрын
@@gosbertmuta5421👏
@johnntakirutimana4097
11 ай бұрын
Tena zaidi 🙏🙏
@chancelinebuntu1238
11 ай бұрын
Ooooooh là là😢😢😢😢ukwel chr wangu Joan welcom Burundi tunawapenda sana turabakunda can❤
@madammartha
11 ай бұрын
Amen Amen Amen
Leo Niko WA 20 nakupenda san my sister mungu akutunze zaidi mfarij wetu unaye jua kutusemea kwa baba
Unaimba vizuri mama Martha mwaipaja ❤mno mungu akubariki zaidi akulindiy uduma yako
I thank God for minister Martha, she understands time and seasons .Nena nasi ,tukumbuke yesu.we love your songs from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 kenya.
Hongera kwako MARTHA, nyimbo zako hunitia nguvu kwa hii safari ya kwenda mbinguni.Listening from kenya
Tunakuita Yesu kwenye familia yetu roho ya umauti kwenye Familia yetu aina nafasi tena mwaka huu, anakuita baba angu pia ni mgonjwa umponye, Mungu tusaidie, Amina.
Oohh Asante wimbo wanitia nguvu sana ninakuita yesu njoo baba unirehemu walimwengu ni wabaya sana nirehemu nilipokukosea 😥😭🙏mimi ni mwanao tyu huruma yako iniguse na mm barikiwa ewe marikia wa kututia mioyo kupitia nyimbo zako 💞🥰😍 penda sana mama angu martha ❤❤❤💯 ninakuita masia nirehemu nyakati ni nyingi kwangu kuna za mates,kukata tmaa😢 nisamehe baba nikimbuke mwanao😢😭🙏
Wonderful song inaguza moyo thank you martha mwaipaja this song imekuja kwa wakati mzuri ninaomwiita MUNGU maishani mwangu Benson listening from Kenya God bless you I like your songs too like umeniitika na this one very touching songs
I comment ... This world is so wicked only such wailing souls needed to cry for our rescue ... Martha keep it up to worship God in truth and in Spirit
tunakupenda ❤ sana wimbo zako zinabembeleza sana hapa nchi ya Kenya 🇰🇪
Hapa nilipo katika Hali yangu,,nakuita❤❤ Yeye aliyeumba sikio,,Je,hasikii??😭😭 Dunia Haina majibu,,maswali tu😭😭 Nakuita wewe mwenye huruma
dada matha,nyimbo zako huniburudisha roh yangu.b, blesed coz i listen u here in mbala zambia.amen
Mungu amuuongezee mama yeti wa Imani miaka mingi
Each time you release a song am always down but when I listen to it,am always encouraged. LORD I call on you,sina msaada mwingine ila tu wewe mwenye huruma. Eeeeh Bwana nisaidie. Barikiwa sana Martha 🙏.
@friedamkiramweni9736
10 ай бұрын
Ipraise God through you my sister in the Lord Jesus.
This is now the correct song of my situation...and I humbly asking God to interven in my situation and may His will be done....God bless you too Martha for the words
@faithtimamu9832
10 ай бұрын
❤❤❤Amen
@kiokomuiya7849
10 ай бұрын
Aimen
Amen🙌🙌🙌🙌🙌🙌Nikweli mama yangu ,Mungu akubariki mara miya akupe mwisho muzuri kuliko mwanzo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Siku la leo Niliita Mungu wetu akanisikiya wimbo huu unani bariki saaaaaaana
Yesu ingia kwenye Tanzania yetu,pita duniani Yesu tunaangamia ,hofu yako hamna tena duniani watu hatijaliani tena
Even this one is best song be blessed Martha Mwaipaja.kwa kutulisha mafunzo ya Mungu
Tunakuita Yesu utureheme, I love you Martha Catherine maithya from Kenya ❤
Huduma njema dada,hapa kenya tunakupenda sana❤
Greatest of all times,Serving for Gods Glory.Much love from kenya🇰🇪
Waaaooooooo,good song,dunia haina majibu bola Mwenyezi Mungu aturehemu.❤❤❤❤,good job.
Nakuita kwa njili ya binti yangu yangu halie kataliw na babake after passing form four 4⃣ exams antil know no break through of joining university after what have been through with her in high school God intervine. 😢😢😢
Nakuita baba sababu bila wewe siwezi chochote, love your songs always ju zanipa moyo, love you mamangu wa kiroho
Am always be encouraged by your songs even at the most trying moments of my life. I get to listen to your songs I get more strength to face another day
Ni kweli tunamhitaji Mungu alie mwingi wa rehema,barikiwa mama
When I listen to your songs,I àlways get more faith in God
Ninakuita yesu kwa ajili ya maisha yangu na ya Familia yangu 🙏🙏🙏ukatukumbuke yesu na utatupe nyota
Martha Mwaipaja mimi nakupenda sana na mungu akubariki ❤❤❤❤❤❤
Pitié Père de grâce pitié , nous avons échoué. Où irions nous oh Père si pas chez toi , pitié , pitié. Merci beaucoup Martha , Dieu te soutienne
Ubarikiwe sana dada martha wimbo mzuri huu na unatia moyo kwa yale tunapitia
Nakuita mungu mwenye huruma ooooh halleluya 🤲🤲 mungu akubariki dada Martha kwa kazi yko nzuri much love frm kenya 🇰🇪🇰🇪
Wimbo huu unanipa matumaini kwa Mwenyesi Mungu
Martha never disappoint she right on the point annointed woman of most high I love ❤️ u my sister from Saudi Arabia 🇸🇦.
Nakuita Baba Mungu kwa uaminifu wako na rehema zako uniitikie ja kwa fadhili na neema na rehema zako zinisaidie mimi ni mhitaji. ZABURI 145:18. WAEBRANIA 4:16. Amina. Martha ubarikiwe.
Mama ubarikiwe. Mungu alikuita kweli sauti ya kutufanya tumukaribie mungu. God bless you. 🇰🇪
Dada yangu Martha Nakupeda sana nyimbo zako ninazipeda saaaaaan
Kila saa Kila siku naitaji nikusikie tu bwana I'm blessed and be blessed too dear sister Martha nakuitaji Jehovah
Ninakuita Yesu kwenye maisha yangu Ninakuita baba Ninakuita wewe nioneye uruma baba yangu Nachoka bila wewe kunijibu nani atajibu maombi yangu 🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭
Huu wimbo umenizungumuzia Kwa ajali ya maisha yangu na mwanangu. Mungu najua unanipa jibu Kwa hiya nipitiayo Kwa Sasa🇰🇪🇰🇪🇰🇪 . Martha nakuombea Mungu akuzidishie haswa Kwa hiki kipaji cha uimbaji
Ninakuita yesu uishi nami moyoni mwangu,ninakuita usimame na familia yangu mungu wangu ninakuita ubariki uzao wa tumbo langu!!! Mungu wangu ninakuita❤🙏🙏🙏
@user-qe5pr7cy7k
6 ай бұрын
Baliki maombi yang eee mung mim mwanao 🙏🙏🙏🙏 nipo kwaajili yako na pia nisameh. Niliyotend mabay kwa watu wot eee mung nipe hulum yako ya milel
Samahani sana maman isikuake kwanyuma tuambilie kama ulikua nachikiana na chetani kama wanamusic wengine, n'a barikiwaga sana na we mama
A very humble woman with personal dignity. Congratulations mummie, I just like your encouraging songs. You're one of my favourite gospel artists in East Africa... keep it up
Dunia kweli haina majibu kwa tunayoyaona.tuzidi kumuita mungu atusaidie asante martha kwa ufunuo wa wimbo huu ubarikiwe zaidi.
😭😭😭nakuitaji yesu kwenye maisha yangu Martha ubarikiwe mungu akuinuwe kwenye uduma Yako🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Congo tupo ndani kwenye mji ya lualaba
Tunakuita YESU katika maisha yetu Dunia Ipo mwishon tupe macho yakuona dada matha MUNGU akubaliki sana Tena sana
Nakuita yesu njooo kwa maisha Yangu baba
you are indeed healing souls out here mom, the time i listened to this song i had no money for my rentals but just listening to it how i got encouraged only God knows, and my rentals are always due on the tenth of every month right now i have the money with me ready to pay on the tenth. Thank you mom loving you from Zambia.
Ninakuita mungu kwenye maisha yangu nione huruma yesu 😢mkumbuke mwanangu yesu 🙏🙏
Tupo pamoja dada martha tumuite Mungu mwenye majibu.... dunia haina majibu.👐👐
Ee YESU ninakuita naomba unibariki na uniokoe nimebaki na wewe tuuu mwanao niokoee🙏🙏🙏🙏🙏🥺
Martha mimi nakupenda tokea na miaka11 mpaka sasa nishakuwa mtu mzima mungu akubariki kwa kaziyako nzuli
Yaan we dada we unanikosha jaman kwa nyimbo zako sijui hicho kipaji ni cha rohoni au la maan daaaaaaaah nakupenda xana pia tumuite Mungu pekee kwenye shida zetu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ you Martha
Ninakuita Mungu mwenye huruma. Kwa neema yako tunaishi.God bless you Martha.❤️
Huu wimbo ni sehemu ya maisha yangu Hongera sana MUTUMISHI
Kabisa yesu nakuita huu wakat siwez pekeangu yawhe 🙏💕💕barikiwa mama matha💞
Ninakuita yesu kwenye ndoa yangu na huzao wangu kwani mimi pekee yangu siwezi
Nami pia nitembelee Mungu unapotembelea wengine😢live this song❤❤
Upako wa kweli, Mungu wako habahatishi anaponya kweli, anainua, anatia nguvu, anaganga mioyo...... Mungu sifiwa
Natamani Nami pia uimbaji wangu ufikie kiwango hiki 🙏🙏❣️❣️
@carobodashady1597
11 ай бұрын
Ucijali my d,a utafika to
@AachiEpem
11 ай бұрын
Kabza
@AachiEpem
11 ай бұрын
Mungu anatulinda siku zote mbali na makoza ahmbazo tuna fanya , lakini mungu anatulinda 2
Thankyou Lord 🙏 ninakuita Baba nirehemu Baba yangu , Asante Yesu 🙌🙌🙌
Ninakueta baba Niko nashida mungu nakuomba mahali Niko mbali na nyumbani angalia watoto wangu na wazazi🙏🙏🙏🙏
Amen amen dada yangu ubarikiwe na mungu uhendele hadi siku mungu atakapo kukuita.
Martha umekuwa wabaraka katika maisha yangu, nyimbo zako dadangu zinanitia nguvu pale napofika mwisho wa mawazo
Martha nyibo zako unibariki ,ishi milele na milele Anthony from kenya
Amen....🎉 Hata nami natani niwe kibali kachako my siz Martha natamani kuwa mwimbani ili nikamtumikie Mungu be blessed 🎉🎉🎉
❤nakuta yesu wewe kwama ishayangu na family nauduma yangu
J’aime beaucoup vos chansonsl lorsque je suis triste en écoutant vos chansons je me sens forte sachez que vous aviez une maman qui vous aime et qui prie pour vous et votre famille depuis Haiti 🇭🇹
mamangu Martha love you much you're my mentor love your cool spiritual songs 🙏🙏🙏 Ninakuita Mungu mwenye huruma...tuuureehemu you inspired me alot spiritually from kenya 👏👏 barikiwa
Maman uyu abalikiwe sana kwa wimbo ninakuita mungu. Maman utukumbuke kua maombi Yako, utukumbuke frère Exaucé kutoka Congo DRC tuna kupenda Sana hapa Kinshasa🎉
Ameen,n mwenye huruma mungu wetu.much love from Kenya.❤
🤲🤲🤲🤲💪💪💪💪🙏🙏🙏 tunakuita baba katk uzao,wangu ndiwe pekee baba mbarikiwa wetu,,,,Endelea kumuinua pia Dada yetu Martha katka viwango vya juu Zaid baba
Amen 🙏 Amen, baba tunakuita 🇰🇪🇰🇪🇰🇪we love u martha, more grace
Thanks Marta mwaipaja. 🙏🙏🙏 From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
I call you in my heart..blessed from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
You bless my life day by day Martha,,,,wacha mungu aendelee kupanua huduma yako.
Asifiwe mungu ni majimbu ya kutamanika ,sote tuliinue jina lako kuu. Dada yetu mungu azidi kukuinua❤
Merci ma chére maman. Tes chants me bercent. Sois richement bènie.💓💓💓💓
Ukwel dada nyimbo zako zinanibariki sana nakuombea kwa mungu azidi kukuweka na uendelee na huduma yko lkn uzidi kumuomba mungu kwenye huduma hiyo
Ooo! Nina kuita yesu unisaidiye! Mimi peke si wezi❤❤❤ Mama asante kwa wimbo
Mungu ninakuita katika maisha ya familia yangu... encouraging songs Martha.God bless u
It has reminded me of Jeremiah 33:3, Ni sisi hatukumuita Mungu kwenye changamoto zetu ndio maana zimetusonga namna hiyo. Nyimbo zako zina uvuvio wa kiroho ili kuokoa nafsi za wanaopotea.
Nakuita baba kwenye familia yangu, bariki mwanangu akatengamae na afya yake ili aendelee na masomo yake, Aminaaa dada Martha
Sister may God bless you and grad you more days for spreading his gospel
Hallelujah hallelujah iam blessed 🎉mum be blessed 🎉❤
Amen I like this gospel song Glory to God Malawi
Nakuita baba kwenye mahusian yang py nakuita kwa mama Ang hyu Martha mwaipaja 😭😭😭😭😭😭😭🙏💓👍
Nakuita Yesu Nishike mkono safari n refu siwezi pekee yangu😭😭
Thanks mum for always giving us hope
Amen amen dada yangu ubarikiwe usiache kutangaza ijili ya bwana katika nyimbo , maana nyimbo zako uwa zina nifariji sana.
Njoo Baba nakuhitaji wakati huu niko chini sana😭😭,What a wonderful song❤❤ be blessed mtumishi wa Mungu😊😊
Ninakuita Baba Uponye Mama Yangu Mdogo Iponye Familia Yangu Na Familia Yote Ya Matha Mwaipsja.NawatuWoteDunianIWatu Wajue Kumita Mungu Atusaidie.
Mungu bado akupe nguvu uwe baraka kwa wengine Martha...
Chombo cha East Africa 🌍🌍 ubarikiwe sana Dada yangu Martha Mwaipaja, tunakupenda sana,unapendwa na Mungu ❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤
Dada yangu huwa nikisiliza nyimbo zako nabubunyika Sana kwani sinanitoa kwenye mapito magumu dada mungu akuinue viwango vya juu Sana dad barikiwa sana na nyimbo zako
Kwa kweli mama umewaii. Timiza kazi yako ambayo ilisababisha Mungu akuweke kwenye ardhi ndio maana naendelea kuiita Mungu atupe nguvu.kabisa kazi njema mama
Kabisa yesu usituwache tukapotea... nimebarikiwa.