Келесі
- 13:29
- 14 М.
- 17:08
- 39 М.
- 00:18
- 160 МЛН
- 12 күн бұрын
- 00:14
- 3,3 МЛН
- 5 күн бұрын
- 00:12
- 57 МЛН
- 16 күн бұрын
- 00:39
- 6 МЛН
- 15 күн бұрын
- 12:57
- 111 М.
- 12:20
- 1,5 МЛН
- 20:50
- 9 М.
- 7:06
- 162 М.
- 21:09
- 1,3 М.
- 12:29
- 7 М.
- 13:34
- 776 М.
- 00:18
- 160 МЛН
- 12 күн бұрын
Пікірлер: 260
Nimependa Sana barikiwa.
I like your recipe 🥰🥰🥰
Mashaa-Alaah Dada, mimi ni shabiki wako katika vipindi vyako vya Mapishi mbalimbali
Huyu mutu aliegundua utube abarikiwe sanaa, humu tunajifunza mengi mema na yenye faida, hongera mamy na ahsante kwa somo
@asmahtamla4749
Жыл бұрын
Umeonaee
@fatmazullu4933
Жыл бұрын
@@asmahtamla4749 kabisaaa inatusaidia mno kwakweli, japo hii ipo huko ITV
Barikiwa dada,Mungu mwenyeenzi akuzidishe akupe afaya na uzima.Aminaa.
If you cook them quikly do potatoes get soft - message from UK enjoying your cooking
Asant kwa upishi wa bajia pia shukran kwa advice I really love u mom # long live to benefit more from u
Fantastic recipe. God bless you
uko vizuri sana dada unamuelekeza mtu hadi anaelewa ukotofauti sana na wapichi wengine sehemu nyingine wanaficha unabaki ukiona wakimalizia lakini wewe nitofauti sana mungu akuzidishie mara dufu
@rosemaryngowo2327
4 жыл бұрын
Mno aisee
@khadijasalehe1356
2 жыл бұрын
Kwan bagia hauwekii Amiraa jmn naomba kufaham
Asant san ❤️.mungu akubarik bwamafuzo
Mashaallah Shukran sana kwa maelezo mazuri.
Maa Shaa Allah. Naomba upishi wa sambusa za nyama.
Hello dear..love your recipe..i careless about the language!! Love from US
Manshaa Allah shukran momy
Duuuuu Kochi mili siifaham, uwe unafafanua vizur basi viungo ambavyo sio maarufu sana kwene jamii zetu za mtaani uku ili tujue jinsi ya kuvipata ama mbadala wake. Asante kwa somo zuri
@irisanderson9593
6 жыл бұрын
Jackson MKUYE ni majani ya giligilani
thanks for empowering women
Anafundisha vzr sanaa she's de best
Thanks for the shearing 👍
Beautiful mom I love you from United States 👏 that true women wake up 😏😉
@rajabsuleiman4859
4 жыл бұрын
Mashaallah
Nice napenda sana bagia za dengu😋😋😋
Asante kwa elimu nzuri nitafanya kwa biashara pia kwa familia yangu
Thanks you sooo much Dada!I have been longing to know how to cook Bajia.Mungu abariki mkono wako.keep up amaizing People.
Asante dada umenifanya niwe mjasiriamali now natumia kama chanzo cha mapato.
Mtangazaji unaongea mno
@davidmdoe9967
3 жыл бұрын
kwa kweli
Very nice for sharing greeting for Yemen
@joycemagambo9414
4 жыл бұрын
Nzur umeeleweka asnte sana
So nice,I like it
Nimekupenda bure dada na nimefurahi kwa kuwapa fursa wasio na kazi mana wanawake wengne wamezoea kuomba hela kila siku kwa wanaume ndo vile inafika mahala mwanaume anakuchoka changamken kina dada achen usister du! Uzeni bajia mpate hela ya mawigi hahahahahaa
@nassrapatrickpatrick5545
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂we jamn
@giftclassic8176
4 жыл бұрын
Et apo kweny mchanganyo wa kijani sjaelew jmn
I just love the recipe
@ashabanza296
3 жыл бұрын
Mashallah badia za kunde pia
Ahsante saan dada Sasa Hivi Napika bagia Nzuri saan
Bagia nzuri sana hizi ! Nakushukuru sana
Safi sana nime jaribu zimekuwa tamu kweli, Asante sana Aunt.
So nc jamani napika kwa sauti💕💕💕💕💕💕💕
Shania thanks for sharing.
Mashallah anafinfisha vizur mtu unaelewa hata kama kichwa yako ni ngumu😂😂😂😂
Mashaallah nimeapenda mapishi yko dada shukran
It v mapishi ni zuri inatufunza👍
Na wengine huwa wanaweka hamira, sijui utofauti unakuwaaje hapo
nice nimependa
Napenda sana mapishi yako, you’re good,I’m always trying out your wonderful recipes😊
Uko vizuri dada asante
Woooow ubarikiwe dada
waooooooo, ninavyozioenda , leo nitapika zangu .
Mashaa Allah
Masha Allah shaida zinaonekana tamu sana
mama asante mm nakuunga mkono natengeza tens wikii hii nabizaa zingine nishaandaa, asante MUNGU akubarki
Khongeran sana kwan mko vzr sanaa
Ahsante mama akee
shukran my love nimefurah sana leo
Maishaallah najuwa kuzipika lakini unaelekeza vizuri nimekupenda kweli Maishaallah ,natamani kweli nione jinsi unavyopika biriani
Asant kwa somo.mm natengeneza za biashara ila kipmo cjapatia za sh mia nafanyj
Mashaallah
Mbona ujunga jamani kasema kwa upana hamufahamu si mkate ka mimi SiO hamira 🤣🥶
Allah akujazi kheri
Napenda mapishi yako hongera mama
Napenda mapishi yako rahisi sana
Mashallah asante
Uyo anamaliza😭😭😭😭mkaka mjeshi 🤣
Waoooo,,thank you
Nimezipenda sana bahia dada
Mama upo vizuri
Naimani mzima mama tamani kujifunza vinzuri bangia
asante Dada.
Thanks. nitajaribu kupika.
hata mimi nimependa sana asante mumy
Nimekupenda bure, tengeneza na chatney tuijue dear.
shukran mungu akuhifadhi shaida
Asante sana kutufundisha
Mashallah
Mashaalah
asante mama kwa kututia moyo thank you Darling😘😘👏👏👏
Santee mamii kwa somo lako nmefaid saaaana
Maashaallah
Asant sana dada
Ukty wetu we love you 👌
Asante sana
Oooh! Kumbe Chick pea kwa kiswahili ni dengu!! sitasahau...
@angelamoshi35
6 жыл бұрын
Kazumi Harada garbanzo bean Jina lingine
Nimefurahi sana kwa hili pish
Mi naja kula nilipe mana jiko mmm sinaga sahau nilizonazo mara bada ya unga wadengu nikaweka ngano
Thanks for the sharing
Asante kwa mapishi rahisi
Well done Shaida and Sunday.
@mozaali941
3 жыл бұрын
ĺ I nipo v9v
@mozaali941
3 жыл бұрын
vv
@mozaali941
3 жыл бұрын
v high v v
Asalam aleykum dada mininaswali unanweka bekinipoda2 au na amila
Nimependa
Iko vizuri mama
so deliriously ,and I'm great to know that
@masharamadhanmashaka6571
6 жыл бұрын
Felister Philemon asante mamy
@zuwenahoseni6276
4 жыл бұрын
Ma shaa Allah nimejifunza namie napika jazakallah khery
Woow nice
Asante kwa kunifunza
Nimejaribu kupika ila ndani zimejishindilia hazijaachiana Kama ambavyo nakula hotelini pia zimekuwa chachu sijui niunga ama laaaa
Zikilala zinafaa dada yangu
nashukuru nimeelewa
Wengine wachoyo mi ata sijasikiliza wabaya mmm udenda shost unanitoka
Woow asante sana hapa nimetoka kupika zimenyonya mafuta balaa sitakosea tena shukrani
Asante nimeelimika
Nice
Natamani kujifunza mengi kwako mama
Shukran sana nimependa inaonekana zuri
Asante kwa mapishi mazuri. Ila zingatia mavazi ya mikono mirefu jikoni ni hatari..ikishika moto?
Karimati
nashukuru nimepata ujuzi.Lakini naomba maelekezo ya jinsi ya kupika tambi za dengu tafadhali.
mashaallh