MANENO YA POLEPOLE BAADA YA KUHUKUMIWA - "NITASEMA KWELI DAIMA"
MANENO YA POLEPOLE BAADA YA KUHUKUMIWA - "NITASEMA KWELI DAIMA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 266
"Iko hivi watu kama wewe mzee tupo wengi ila nguvu sasa ndo Hatuna ila pambana"
Good job Mr. Polepole
Kijana mwenzetu no retreat no surrender ucogope zungumza hakuna kunyamazishwa mpiganaji wa kweli hufia vitani allutacontinua kaka
Polepole mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe japo maisha ya hapa duniani nimzuri
Kaka polepole sisituko pamoja na wewe unaongea ukweli mtupu tena na hoja nzuri shida ccm haitaki watu walionyooka kama wewe ila ukweli haupendi kupuuzwa siku zinakuja
The real Leader. ❤️
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
Nitasema kweli daima ,na Kama hvi ndio inavyokuwa Nan atasimama kusema hyo kweli Kulitetea taifa ,mungu simama na taifa hili .
Mungu yupo nawe🙏🏽hakika kazi yakusema kweli ina safari looh! Wakiwamaliza wote team magufuli sasa wataanza kututafuta sie wacoment wakweli huku🏃🏽♀️ tatizo tunaongozwa na makamo wa raisi sio Raisi
Zama za wanyonge zimeisha Sasa Zama za matajili sisi tunaumia masheli yanajengwa
Mimi ningekushaurini Polepole,Bashiru Ally,Askof Gwajima na Joseph Kasheku Msukuma anzisheni chama chenu tuwape Nchi mturudishie furaha tuliyokuwa nayo enzi ya mtetezi wa wanyonge
@alishauri5496
2 жыл бұрын
Ww utampa nchi ila wenye nchi hawatoi nchi yao.
@getrudeelibariki1002
2 жыл бұрын
Na mimi nitampaaa
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
@@alishauri5496 hembu jione ulivyo ww na tulivyo sisi hii nchi sio ya ww mmoja nia sisi wengi tunao mtaka Polepole na wazalendo wengine umesikia ee HATUITAJI SERKALI YA MAGOGO
@cyprianmachibula7122
2 жыл бұрын
CHAMA CHA MAPINDUZI ADIRIFU NO 1 ( CCM A 1) Ndicho tunakihitaji ili HAPA KAZI TU itufute machozi. Pole bhabha
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
I really appreciate this man
@jacksonnshimiyimanakanyarw7744
2 жыл бұрын
Me too
Nampongeza sana Mheshimiwa ndugai kwa kujihu😻🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Msema kweli no mpenzi was Mungu. Yesu alisrma , alifufua wafu,akawalisha mikate na samaki,lakini walimuuwa.
Pole sana komredi polepole.Omba sana Ulinzi wa Mungu. Kwa kuwa hatujui kinachoendelea katika ulimwengu wa giza.Naihurumia sana CCM yangu.
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
Huna kosa huna ulipokosea ila wanaowakosea watanzania hawapo tayari kujisahihisha. Moja ya kauli bora kabisa ya Polepole ni hii ya " wahuni wenye nia mbovu na nchi yetu wamejaa ndani ya CCM" lakini kama wewe si muhuni kwanini uteseke na kauli hiyo ya Polepole 🤔? We need a new movement for the better of every one. Kwa jina la jamuhuri ya Tanzania"ukweli undelee Daima na msema kweli ni mpenzi wa Mungu hakuna kurudi nyuma ingawa watanzania tumemisi Sana maneno hayo kuyasikia kutoka kwenye vinywa vya viongozi wetu hivi sasa.☹️🇹🇿. ,,,
Mpinzani wa kweli atatoka ndani ya chama husika
@victoriapatience3921
2 жыл бұрын
Usiogope Mungu yuko upande wako tunakuombea
POLE KAKA USIKATE TAMAA DHAHABU ILI ING'AE LAZIMA IPITE KWENYE MOTO. USIOGOPE.
@jacksonnshimiyimanakanyarw7744
2 жыл бұрын
You're right
Polepole for presidency 🔥🔥🔥
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
MUNGU MWENYEWE ATUSIMAMIE TAIFA LAKE, KWA AJILI YA KUTUNZA MASUALA MAPANA YA ULINZI NA USALAMA WA TAIFA LETU ZURI SANA LA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. AMINA
Mungu tunakwenda wapi?Magufuri alisema niombeeni na hili ndiyo kundi kubwa lililo muondoa Chuma JPM Leo wachache waliobaki Kama JPM hawana Tena amani Mungu tubariki Watanzania Mungu tubariki wazalendo Aminiii
Mungu atakusimamia daima
Mungu tetea Taifa lako
Pamoja Sana Kaka angu watu Kama nyie ndo tunao waitaji kuongoza inchi hiii yote nimapito
tupo pamoja Mungu akutie nguvu
Pole pole umeshiriki kuweka na kutetea huo mfumo, mlipokuwa mnafungia magazeti ya wanaowapinga, mnazima internet nchi nzima ili muibe kura ulikuwa unaona sawa, tumejaza mafala sana CCM, hope utabadilika
Kaka wewe kunakitu ndani yako siku moja kitajionyesha hadharani Mungu akutangulie safar yako ufike salama
@casmiraugust6853
2 жыл бұрын
bila shaka huyu jamaa ni hazina
Kila la Kheri Kaka binafsi nakuelewa mnoooooooo
Usiweke chembe ya vitikana ndani ya moyo.Mungu yupo na watu wa Mungu wapo kukupigania tazama maslahi ya watu.Magufuli alikuamini na sisi tunakuamini na watanzania tuko nyuma yako hekima ya Mungu ikuongoze
Namfananisha polepole na Joseph mwana wa Jacob alipouzwa na ndugu zake na baadae akawa........
Ndiyo mjue tunapowambia katiba mpya mtuelewe Dola imehodhi, mamlaka makubwa ya wananchi,Kwa hivyo ni vigumu kuwa na Taiga la watu wenye usitawi kifikra
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Lusajo katiba ni sawa kuidai lakini siyo kwa vita vya matusi mitandaoni wala kuwashawishi watu wavunje amani hao wanaotaka katiba ni wasaka tonge sisi tunaomba amani tu Tanzania
Huko vizuri mkuu
Sawa, PolePole,hakuna utukufu bila usumbufu.don't give up,wanaokuelewa tunakufuatilia.
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
Hivi ule msemo wa uzalendo huko upo mana naona wahuni hawapendi kujenga wao ni kubomoa ila wajue kuwa ukweli unaishi masikioni na msema kweli ndio yule yu pamoja.na Na Mungu Nchi yetu mdogo atabaki kuwa mdogo mana mifumo yenyewe
Nabii Musa aliitwa mchawi , Muhammad (s w a)alipigwa mawe twaifu,Issa Al salaam alitengwa na jamii yake akaaishia zake milimamani,Wafanyaji was hayo yote zilikuwa ni serikali za vipindi hivyo .Siku moja ni lisema hizi serikali Zina mifumo ya kifirauni .Sasa anasema tu tunamuwekea vikwazo baada ya kufanyikazi anachokisema mnadhihirisha kuwa nyinyi hamna mipango wa kubadirika wembe ni ulele Waislamu tunasema jaili multadi.Yani jitu alijui na alijui Kama alijui na likishauliwa halisikii la mtu.
@jumahamis227
2 жыл бұрын
Na huyu c ametumikia serikali kama hizo tu unazozisema sheikh 😂, mwanasiasa ni mwanasiasa tu, ukweli na uongo vyote vya kwake kwa wakati mmoja 😂.
Big up mkuu
Magu we miss you … Pole pole your a great man
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
@silverman6930
2 жыл бұрын
@@herielstephenmsanga what are you on about mate ???
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
@@silverman6930 what am trying to say ni kwamba Wanasiasa sio watu wakuwaamini hasa muda wa kupigania Ugali wao, hivyo Mh. Polepole ata yy sio wa kumuamini sana kwa kuwa ameonyesha Utu wake na tabia zake tofauti ndani ya hyo miaka nimeitaja hapo juu
@silverman6930
2 жыл бұрын
@@herielstephenmsanga I get you now Mkuu 😃
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
@@silverman6930 Ahsante mkuu
Hii nchi jmn daaa, kweli ukiwa mzalendo na nchi yako unaonekana adui. Daaa acha tuwe wazalendo hakika ipo siku Mungu atadai tumefanya nn Tanzania wakati tunaishi Tanzania
Tatizo sio maudhui tatizo ni bandari ya bagamoyo mbona akina maria sarungi na kundi lao akina lisfu gen Ulimwengu wanafika hadi kumtukana Rais tena kwenye hizo hixo online hatujasikia kuitwa na TCRA huo ni mpango wa wahuni polepole tukpo pamoja sana tunakuombea sema ukipata tatizo la kiafya na hasa la moyo usiende JKCI yasije yakakukuta yaliyomkuta
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Nachek km Mazur Kam yaliyomkut Nan mbon hujamlizia
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
Kwa mwana ccm mwenyeuchungu na chama chetu atakuelewa ila mwana ccm asienaupeo hatakuelewa ulitumia nguvukubwa ya kiushawishi jamii na ccm ikawa hai na upinzani ukafa kifo halali Cha kukosa mashiko na tunaombea I we ivovo maana upinzani haunajipya tz watafute kz zakufanya sio siasa
@joellipunge729
2 жыл бұрын
Mimi sio CCM Ila jamaa Mwenyez Mungu amsimamie.
@joellipunge729
2 жыл бұрын
Wahuni sio watu wazuri wanafikiria matumbo yao tu.
Sura yake inaonyesha ana huzuni kubwa kuoona aliokawa anawapa order ndo wanamtesa leo Nb.anaongea ukweli shida muda haupo pamoja nae tujifunze kuwa smart tukipewa nafasi god bless Tz
@elizabethmassi7327
2 жыл бұрын
upo ndani ya moyo wake au umeamua kumsemea tu
Axhana na hao brooo Baki njia kuuu hskuna kupapasa penye ukwer
Pamoja sana Pole pole Mda sio mchache ngome yao inaenda kuanguka
Pole Sana pole pole
Mungu yupo nawewe zote hizi nifitina tu tumeludi utwala wa ndio mzee
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
Mbona ulikuwa ausemi kweli enzi za msgufili watu wametekwa,lissu kapigwa vyombo vya abali vilifungiwa ww msema kwel pole pole ulikuwa kimya tena ulikuwa unawasema wapumbavu leo tukuamin ww ndiye mkweli Acha roho mbaya uroho wa madaraka umekujaa yote ayo kufulia cheo tu
@khaulaismail9403
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
Pole pole nakukubali sana usikate tamaa kusema ukwel
Pamoja sana,mbele mbele yake haina kuogopa
Mimi ninavyokupenda polepole allah akusimamie
@geftonyango9851
2 жыл бұрын
Yani polepole unajitahidi ila ccm ukiongea ukweli kazi una
Agood man over evil
Ukweli Kuna mtihani Sana
MSEMA UKWELI NI MPENZI WA MUNGU. TUPO Pamoja comrade. Team JPM tunakuunga mkono. MUNGU wa mbinguni akutie nguvu.
Mmmh siasa za bongo bwana, kipindi Cha awamu ya tano kuna watu walikuwa wakiikosoa serikali kwa Nia nzuri tu, utasikia Mara kakamatwa na madawa ya kulevya Mara kamdharirisha rais, kesi za uongo tu kisa wamesema kweli.sasa swali. Kipindi hicho polepole hukuwepo? Au ilikuwa umesafiri au yote uliyaona yako sawa.
@raybirry3816
2 жыл бұрын
UNYAMA WAO UNAWARUDIA WENYEWE.
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
HAKIKA
@mathiasulaiti5665
2 жыл бұрын
huo ndio utamu wa siasa
Jiungenao broo kashindwa yesu na jpm utaweza wew msalaba wa masikini mzito utaishia kuzalilika tu usisahau ure usemi masikini hanasauti inamaana kubwa Sana hata viongozi wadini wanajua Hilo kimyaaaaa tajili mmoja tu akishikwa dinizote zingetema cheche
Upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm
Mlipokuwa viongozi wa.ngazi za juu katika Serikali iliyopita mlitunga sheria Kali Kali za kuzuia uhuru wa vyombo vya habari nyingine zilitungwa chini ya hati ya dhalura,sasa kibao kimekugeukia unaanza kulia lia, hapo ndiyo ujue jino kwa jino, upanga kwa upanga, Tulia sindano ikuingie vizuri.
Waafrica sijui wamerogwa nanani maana kila ataejitoleza kuwasaidia kwao ni tatizo jamani tujiangalie Molla katupa kila kitu je lini tutaamka tumelala miaka mingi
Next President
POLITICS=A strife of interest masquerading as a Contest principles....The Conduct of public affairs for Private advantage,,,hii kitu imepangwa na ni ya kisiasa zaidi hawa wanaelewa wanachokifanya ili kuamisha mawazo ya wananchi kuhusu mambo ya msingi yahusuyo nchi tuhamishie mawazo kwenye mpangaranyiko wao ambao ni feki mparanganyiko kwa ajili ya faida na maslahi yao binafsi na wala si ya kwamba ana uchungu kweli na wananchi kwa yale anayoyatetea###FikraZanguLakini###
Kweli iendelee
Pole pole namuona Kimbembe kwa mbali pole sana lakini
Moto Ni Ule Ule
Kwanza nchi hii imekosaa wazee wenye busara na hekimaa, kwa sababu mambo kama haya yalikuwa ya kukemewaa, vijanaa tutapataje nguvu na uwezo wa kuteteaa Taifa letu teule. Nchi hii so ya kuongozwaa na watoto wamatajili na vigogo, inataka watu kizazi cha watu walopitia maisha matata ndo akili inakaa sawa anaweza hata kusaidiaa wengine kiurahisi
😄😄😄et unaamini kweny kusema kweli . hahaaa maisha yanakwenda kasi sana
Uko ccm kwa imani na sio kwa matendo tuko pamoja comrade
Wakuache Hao wahuni.mimi sijaona kosa lolote ambao unafanya.
@jacksonnshimiyimanakanyarw7744
2 жыл бұрын
Na mimi pia
Acha kuzunguka sema kweli tujue
Sawa
Mliwatesa wapinzani kipindi chako Leo na wewe unakuwa mpinzani kujiita msema kweli
Kumbe kweli kama haupo kwnye connection unakua unaongea ukweli navuta picha kama ungekuwepo kwny connection sizan kama ungeongea ukwl tulikuona kipindi cha magufur maneno yako
ukome ukome Mungu anakulipa wewe slow slow mlichafua uchaguzi au mmesahau
Kwa kweli Polepole muacheni aseme,atakuja kusepa na kijiji
Leo Hii Polepole Anajiita Msema KWELI dah
Maneno machache yaliyoshiba, Tunakuamini sana maana maono yako ni ya JPM
NCHI IMEKUWA NYEUSI.
Safi Sana tcra mmefanya kazi nzuri Sana Sana dah hongera tcra hongera Mama Samia darasa la uongozi darasa la uongozi uongozi gani ungeanzisha darasa lako kipindi Cha magufuli alie kuwa anavunja sheria ubabe ungempa magufuli darasa lako la uongozi. Yaaani bado mmoja mmoja ndege huwa anapenda Sana kula wadudu lkn akifa na yeye wadudu wanamla. kila apandacho mtu ndicho atakacho vuna. CCM Oye
@salim02tv24
2 жыл бұрын
Mkumbukee sera ambazo zilichagulia ni za magu .. Kwaiyo kuzipinga ni sawa na kupinga sera zenuu ..kiufup ii ndondokela mliyoipata ..fainal uchaguz ujao
Mungu yu pamoja nawe...
Kweli ushindi ukikaribia vita huongezeka. Mungu yup naww daim simamia ukweli
@muhdharali1127
2 жыл бұрын
Kaka watanzania wasikutie upepo tulia ulinde maslahi yako siku nnje kugumu muulize membe hao wote watakukimbia hapana anaekutakia mema kubali yaishe kama gwajima alivyotulia .
Huyu mama anatengeeza uongozi wa kislam tu
Pooolee kakaaa
Usiongope uwe hodari na moyo wa ushujaa asema Bwana
Pamoja
Pambana kaka tuko pamoja
Mbona watumishi ulishindwa na unashindwa kuwasemea wataka food
Muwindaji kawa muwandwaji onja maumivu ya ukandamizaji.alieuwa kwa upanga nae ataiawa kwa upanga.tafuna China kaka kazana broo.
@raybirry3816
2 жыл бұрын
SANAA,POLEPOLE MNAFIKI MKUBWA!
WEWE NI MTEULE WA MUNGU . NA MUNGU ATAJIBU TH
Poleple ww nimagufuli namba mbili jembe la Tanzania a
utawala ulio pita upinzan ulisema ukwel lkn ww ukawa unawanyanyasa ,leo hii umegeukiwa pambana na hali yako
Akusaidie unachokifanya
The hero
@herielstephenmsanga
2 жыл бұрын
How na amakua na misimamo tofauti ndani ya miaka 12 ya siasa zake plus harakati na uongozi wake
Wewenilaisiujae
Pole sana polepole.Jipe pole kwani ulikubali kuukataa ukweli ulioutetea wa kuwa na Katiba Mpya kwa sababu walipokuona u msema kweli waliangalia tumbo lako linafukuta kiasi gani wakakupata ukaukana ukweli na kudai Katiba Mpya si kipaumbele cha Magufuli na ccm. SASA DAI KATIBA MPYA.
Wamekukomesha mbona na ww uliwafanyia wenzioo hivyo malipo hapa hapa duniani...
Mhe polepole chama kina shule ya uongozi kibaha kwa nini usichukue jukumu la kufundisha hapo?
Hakuna anaebisha kuwa huna kosa , na kweli unasema kweli..ila shida tunayopata ni huu ukweli bro umeanza kuwa muumini nao lini?
Me nilisema huyu Kiongoz Hana muda kweny hii Dunia nyie subirin muone 🙄🙏🏽😔
We endelea kusema ukweli unajua siku zote ukweli unauma Kuna watu yanawachoma hayo maneno na wanaona aibu
Kahukumiwa nini mbona hakuna hata muhtasari, nipo kizani bado
Pambana kaka Ila kwa ccm hiii iliyopo Sasa kazi utamkumbuka na mwenda zake
Wakizingua hamia ata act gombea uraisi 25 tuwanyooshe
Nakukubali ila MUNGU awepamoja na ww