MAMAAH..! SHABIKI WA SIMBA AVALISHWA JEZI YA YANGA KISA AZIZ KUBAKI YANGA|AFUNGUKA MAZITO MSIMU UJAO
Спорт
JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 19
Nouma saana babu Uzi umekukaa❤
imekupendezaaa dah
Nimekupendaaa ki umeeeee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahaaa umependeza👍
Huu sasa ndo utani! Ila utasikia wajinga,oh fala huyooo! Nooo ,huu ndo mpira,mpira sio vita,! Katimiza ahadi! Safi
Ila uzi wa yanga umempemdeza sanaaa
Bado kisugu atafutwe apigwe hadi hadi macho yawe mekundu
@Dynaceglobal23
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Kapendezaaaa namawanii yakeee iraaa nawaombaaa msipendeee kuwekaaa ahadiii azifaiii jamaniii
Nmekuelewa kiumeeee yanga oyeeeee
Huyu jamaa anajua michezo haoni shida kutimiza ahadiyake
Mwenyewe moyoni anafuraha kuvaa uzi wa mabingwa
jamaa anapendeza akivaa Uzi wa yanga
Wa bongo nawakubali saana awanaga kinyongo TTT ZZZ oyeeeee
Hawa maboya wanafurahisha
😂😂😂😂
Avaee adi chipi
Uzi umemkaa kama vile mwanachama mkongwe. huyu ahamie tu yanga
acha ujinga miaka miwili wewe