🔴MALUMBANOYAHOJA: Agizo la kuwapanga upya wamachinga katika majiji na miji yote. Je, linatekelezeka?

#itvtanzania #hapanapale #mubashara
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg

Пікірлер: 5

  • @alexanderabdul3298
    @alexanderabdul329823 күн бұрын

    Nikweli unajiuliza hao machinga miaka yote hawakui kuwa wafanyabiashara wao kila mwaka ni mmachinga

  • @alexanderabdul3298
    @alexanderabdul329823 күн бұрын

    Nikweli machinga anakuwa na ghara la kuifadhi bidhaa sio sawa

  • @gabrielmurro7134
    @gabrielmurro713422 күн бұрын

    Wanamitaji mikubwa wamachinga kuliko hata wamiliki wa maduka na hawataki frem kwasababu wanapata faida na hawalipi kod ,hawalipi service leavy , hawanunui machine hawalipi kodi ya pango

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa225821 күн бұрын

    Wapo wenye mitaji mikubwa ila siyo wote cha msingi serikali ione namna bora ya upangaji na ukusanyaji kodi usioonea mtu, kwa mfano mimi nina mil 2 tu nikafungua mangi shop naambiwa nilipie leseni ila machinga hata mil 10 halipii kitu wala leseni hana. Ipo siku maduka yatatolewa barabarani ili wawe machinga wote.

  • @japharyidrissa6139

    @japharyidrissa6139

    12 күн бұрын

    Sijamalizia kusoma ila ulicho andika ni ukweli mtupe 💯

Келесі