🔴MALUMBANOYAHOJA: Agizo la kuwapanga upya wamachinga katika majiji na miji yote. Je, linatekelezeka?
#itvtanzania #hapanapale #mubashara
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Пікірлер: 5
Nikweli unajiuliza hao machinga miaka yote hawakui kuwa wafanyabiashara wao kila mwaka ni mmachinga
Nikweli machinga anakuwa na ghara la kuifadhi bidhaa sio sawa
Wanamitaji mikubwa wamachinga kuliko hata wamiliki wa maduka na hawataki frem kwasababu wanapata faida na hawalipi kod ,hawalipi service leavy , hawanunui machine hawalipi kodi ya pango
Wapo wenye mitaji mikubwa ila siyo wote cha msingi serikali ione namna bora ya upangaji na ukusanyaji kodi usioonea mtu, kwa mfano mimi nina mil 2 tu nikafungua mangi shop naambiwa nilipie leseni ila machinga hata mil 10 halipii kitu wala leseni hana. Ipo siku maduka yatatolewa barabarani ili wawe machinga wote.
@japharyidrissa6139
12 күн бұрын
Sijamalizia kusoma ila ulicho andika ni ukweli mtupe 💯