Makovu ya maandamano Nairobi

Familia kadhaa za waliofariki kwenye maandamano ya kushinikiza kuondolewa kwa mswada wa fedha na uongozi bora zinaondoa maiti katika makafani ya City hapa jijini Nairobi kw amaandalizi ya mazishi. Willy Lusige yuko katika hifadhi hiyo ya maiti na sasa anaungana nasi mubashara kwa mengi zaidi

Пікірлер: 152

  • @lizahbianca952
    @lizahbianca95210 күн бұрын

    Familia ipokee pole sana kutoka kwetu kama wakenya 😢 it's so sad indeed.

  • @RichardKazoo
    @RichardKazoo10 күн бұрын

    May the Lord give strength to the berieved families

  • @patriciaa4451
    @patriciaa445110 күн бұрын

    Pole sana. May your sacrifice for the country not be in vain. 😢

  • @magerogeorge5337
    @magerogeorge533710 күн бұрын

    Poleni sana. Nawaombea Mwenyezi Mungu awafariji.

  • @abdallaabdulrahman1749
    @abdallaabdulrahman17499 күн бұрын

    Pole kwa familia....a very special talented young man gone😢😢...so 😭 😭

  • @user-dn2yu1qy4p
    @user-dn2yu1qy4p10 күн бұрын

    Eee Siz God gives you more strength with your family at this difficult time 😥😥

  • @user-gm6sc8qu7e
    @user-gm6sc8qu7e9 күн бұрын

    Poleni sana ndugu na marafiki

  • @peterkariuki9073
    @peterkariuki907310 күн бұрын

    Ruto's true colours! Sad. Ogopa serikali iliyosimika kichwa kanisani.

  • @user-wu2yy8jl9d
    @user-wu2yy8jl9d10 күн бұрын

    Pole kwa familia

  • @christinekedogo9308
    @christinekedogo930810 күн бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭 mungu simama na family ya hawa watoto ruto utakufa vibaya kama ubwa 😭😭😭😭😭

  • @nancy9306

    @nancy9306

    9 күн бұрын

    Ruto HAUTAKUFA mwenye wivu ajinyonge

  • @bellaki4392

    @bellaki4392

    9 күн бұрын

    A boy from didmus barasas county 😢😢😢.. What a shame of an MP

  • @bellaki4392

    @bellaki4392

    9 күн бұрын

    ​@@nancy9306what if you are the one who've lost a son or brother!!!..The same God will judge all of us and our self centered intentions!!!

  • @joylinaentana7063

    @joylinaentana7063

    3 күн бұрын

    ​@@nancy9306Unaongea tu kama mjinga amevuta bangi,unakaa mtu hujai zaa,wewe na Ruto niwauaji tu unakaa mtu umeota mimba mingi ukitoka kafara nkt

  • @sabinamwema8668
    @sabinamwema866810 күн бұрын

    Comfort to the family 😢😢it's a real trying moment to the families,poleni sana

  • @user-fz3wi5sc4l
    @user-fz3wi5sc4l10 күн бұрын

    RIP our heroes Makiwa Kwa familia

  • @user-jm2ql4gn5w
    @user-jm2ql4gn5w10 күн бұрын

    Safe journey mashujaa

  • @ANDREWMILIMO-l1k
    @ANDREWMILIMO-l1k9 күн бұрын

    You deserve to be the governor of bungoma county..ulijenga daraja kule mirurii kibingei ward,sai ndo huyu unasaidia familia iliofiwa...mungu akubarikii bwana Zacharia Baraza

  • @dorischengo3848
    @dorischengo38489 күн бұрын

    Poleni sana Wana familiar 😢😢😢😢 mungu awafariji kipindi hiki kingumu 😢😢

  • @lameckogola9757
    @lameckogola975710 күн бұрын

    Poleni sana🕊️🕊️ R.I.P 🕊️🕊️my brother😢😢😭😭

  • @asminmakoha6889
    @asminmakoha68899 күн бұрын

    Poleni sana

  • @user-oy5fn8du4u
    @user-oy5fn8du4u9 күн бұрын

    Polen ndugu zetu 😢😢wa kenya inauma sana😢😢😢

  • @bellaki4392
    @bellaki43929 күн бұрын

    Willy lusige really knows how to conduct himself ❤... may God Almighty console all the bereaved 😢😢

  • @douglasomare147
    @douglasomare14710 күн бұрын

    Pole sana kwa familia

  • @abdimarco5368
    @abdimarco536810 күн бұрын

    Poleni sana very painful

  • @nevilokuthe398
    @nevilokuthe3989 күн бұрын

    Poleni sana Mungu awape nguvu

  • @marywambui9710
    @marywambui97109 күн бұрын

    ❤❤❤😢😢 oooooh my goodness. That's painful. May Jehovah give the family peace. ❤❤ Nice one sister.

  • @agnesmbuli1699
    @agnesmbuli169910 күн бұрын

    Mungu na awape nguvu

  • @user-jj1wz6lk4i
    @user-jj1wz6lk4i9 күн бұрын

    Aky pole

  • @Mutheu-k7l
    @Mutheu-k7l9 күн бұрын

    Mungu n mtetezi wa wanyonge,

  • @karimimartha1621
    @karimimartha162110 күн бұрын

    Mungu arehem familia 😭😭😭

  • @phylisboat6726
    @phylisboat672610 күн бұрын

    My heart breaks for you. May the Lord comfort you all ❤

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni956110 күн бұрын

    Poleni

  • @BenjaminMashudi-pw6fq
    @BenjaminMashudi-pw6fq10 күн бұрын

    Sister mzuri,pole aki

  • @monikerjackson885

    @monikerjackson885

    10 күн бұрын

    Poleni sana RIP ruto are you happy now?

  • @RobinOyie
    @RobinOyie10 күн бұрын

    Very painful

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy10 күн бұрын

    Poleni ndugu zetu 😢😢😢😢😢

  • @johnteKim-zx5sw
    @johnteKim-zx5sw9 күн бұрын

    Aky poleni

  • @user-hz5nf8qp5w
    @user-hz5nf8qp5w5 күн бұрын

    Kwanza pole dada kwa kumpoteza Kaka pili ruto must go atumtaki kabisa acha akalie dipozit yni haende Zake

  • @benadettewagio83
    @benadettewagio839 күн бұрын

    So painful, may his soul rest in eternal peace

  • @user-dn2yu1qy4p
    @user-dn2yu1qy4p10 күн бұрын

    So.painful.. Rest in peace bro😢😢😢

  • @catherineomariba3196
    @catherineomariba319610 күн бұрын

    Heroes

  • @lucymwangi655
    @lucymwangi6559 күн бұрын

    Poleni familia mungu awafariji

  • @AngelaChris-fi4cm
    @AngelaChris-fi4cm10 күн бұрын

    Poleni sana kwa familia zote,,

  • @janinesaiti6242
    @janinesaiti62429 күн бұрын

    Pole sana.mungu awape nguvu

  • @mourineanyango2082
    @mourineanyango20829 күн бұрын

    Waah 😢😢😢my condolences to the family

  • @sarahkanyaamwangangi4117
    @sarahkanyaamwangangi411710 күн бұрын

    Wisdom

  • @ruthamisi4492
    @ruthamisi449210 күн бұрын

    Poleni sana...rest in peace my son😢

  • @Mutheu-k7l
    @Mutheu-k7l9 күн бұрын

    Poleni sana kwa familia

  • @titusmaina1949
    @titusmaina194910 күн бұрын

    May God comfort you.

  • @JoyceAntony-gm1rs
    @JoyceAntony-gm1rs10 күн бұрын

    What? President call gen z to talk miguna miguna said to them not to do so 😮

  • @badmaned2285
    @badmaned228510 күн бұрын

    Poleni sana ,,very painful indeed

  • @FANUELODHIAMBO-g1m
    @FANUELODHIAMBO-g1m9 күн бұрын

    Poleni wenzetu

  • @AsminKhaoya
    @AsminKhaoya10 күн бұрын

    Neno lamungu linanena yule hallie hatsa kutabuka neno lamatamano hikiwa nimusazi kwa hutumuwa wavijana kuhatamana nakuhuliwa huwomuziko wamafaa kwa matamano niwake kwa sababu neno lamungu liko nalinatukana neno matamano hatusitaili hutumishi wake kutumika kwetu hiyo nikufuja hamuri zamungu naniteyari halie hatsa matamano halifuja hamuri zamungu kwa mahuwaji kwake yamatamano

  • @officialshenny1
    @officialshenny110 күн бұрын

    This is very painful 😢

  • @RodahOndiek
    @RodahOndiek9 күн бұрын

    Rlp brother

  • @lucymburu7082
    @lucymburu70829 күн бұрын

    Poleni sana family

  • @daudajamada3422
    @daudajamada34229 күн бұрын

    This is why the fight against impunity should not stop until Ruto steps down.... We must continue!!!

  • @sallykendi6125
    @sallykendi61259 күн бұрын

    Akh pole kwa familia

  • @EmmahAwuor
    @EmmahAwuor10 күн бұрын

    Very painful haki ,poleni sana

  • @WitnessKuboja
    @WitnessKuboja10 күн бұрын

    Pole sana

  • @badisylvia3236
    @badisylvia32369 күн бұрын

    Rip Wilson Sitati my cousin

  • @doreenwanjohi9877
    @doreenwanjohi98779 күн бұрын

    Poleni sana Mungu awape neema na awape faraja kila kitu utendeka kwa wema it is so sad😢😢😢😢😢😢😢

  • @pauline71
    @pauline719 күн бұрын

    Poleni sana watu wngu wa Gen z

  • @user-lg8vx4bn4t
    @user-lg8vx4bn4t10 күн бұрын

    Mbona mlituma mzigo siku ya maandamano

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama872110 күн бұрын

    Laanatu llahi

  • @werecollo7256
    @werecollo72568 күн бұрын

    who wrote that head line,it should be" makovu ya polisi"

  • @abdulkadirkassim4806
    @abdulkadirkassim48069 күн бұрын

    Hakuna njia ya kukaa na Ruto kuzumza Ila ni maandamano

  • @skybilak5135
    @skybilak513510 күн бұрын

    😭😭😭my God please

  • @user-wy5vn5xv4f
    @user-wy5vn5xv4f9 күн бұрын

    Pole kwa familia waliofiwa na watoto wao police hao wenye waliua hao watoto pia wao watakufa

  • @MilkachepkorirLangat
    @MilkachepkorirLangat9 күн бұрын

    Pole Sana Kwa familiar

  • @AloyoMary
    @AloyoMary9 күн бұрын

    Pole sana,so sad .

  • @MaryMwacharo
    @MaryMwacharo9 күн бұрын

    Pole sana familia. Very sad,very hurting

  • @janifferkameta1388
    @janifferkameta138810 күн бұрын

    It's so hurt breaking for for the family may almighty God be with them

  • @jeptookotos3347

    @jeptookotos3347

    10 күн бұрын

    Heartbreaking

  • @ibrahscharo2703
    @ibrahscharo27039 күн бұрын

    Pole sana kwa famiy

  • @missnellytv2149
    @missnellytv21499 күн бұрын

    RIP our heroes we salute you all😢😢

  • @lydiamoraa1253
    @lydiamoraa125310 күн бұрын

    😢😢😢😢 Pole Sana sister

  • @edwardwangari7441
    @edwardwangari74419 күн бұрын

    May the souls of our hero's rest in peace ❤❤

  • @grammamresh8848
    @grammamresh88489 күн бұрын

    Poleni Sana familia

  • @rosemaryauntie3872
    @rosemaryauntie38729 күн бұрын

    Those police officers that shot those heros nothing will be done to them in 21days the bill will become a law and thats Ruto for Kenyans the altar Nation of Africa

  • @JumaGobu
    @JumaGobu10 күн бұрын

    Poleni snaa

  • @ruda4444
    @ruda444410 күн бұрын

    Dance with angels baby boy

  • @LucyOnyango-uj6vg
    @LucyOnyango-uj6vg9 күн бұрын

    Poleni sana 😢😢

  • @JonesMinayo-cl2dy
    @JonesMinayo-cl2dy10 күн бұрын

    😢😢😢Why

  • @mayaspanic221
    @mayaspanic22110 күн бұрын

    Fly to Jesus, our fallen heroes, may our almighty grant your souls rest and peace.❤

  • @everlynewanyama3804
    @everlynewanyama38049 күн бұрын

    Makiwa Kwa familia

  • @otienofredrick2656
    @otienofredrick265610 күн бұрын

    Gteat sorry for the bereaved families,may Our good Lord restore Peace in your hearts ❤ though it's painful 😢.RIP Y'all remain our legends in our hearts.

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv57036 күн бұрын

    Polen

  • @damariskemuntoatambo2292
    @damariskemuntoatambo22929 күн бұрын

    Pole kua family

  • @JohnMore-jv3sj
    @JohnMore-jv3sj9 күн бұрын

    Ruto must go

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas85069 күн бұрын

    Kenya bwana! Kwa sababu ya kutoa makafaa kwa shetani wanakua chanzo cha damu kumwangika kila mara! 2002 , 2007, 2017 , 2022 now 2024! Wazazi wawe na nidhamu kufundisha watoto wao kutojiingiza ktk maovu anaoletwa na wanasiasa , wanasheria na wanaKZreads wapumbafu.

  • @OldisGold1982
    @OldisGold19829 күн бұрын

    It's sad my condolences

  • @AlfredBango
    @AlfredBango10 күн бұрын

    Hizi ni consequences za mucocezi babu owino ashikwe ama next maandamano auliwe Bure KBS

  • @peterkariuki9073

    @peterkariuki9073

    10 күн бұрын

    Wewe mjinga sana!

  • @juniorkellytv6811

    @juniorkellytv6811

    9 күн бұрын

    Kalejinga

  • @johniem2176

    @johniem2176

    9 күн бұрын

    Wacha wakufe walisema wako tayari!! 😂

  • @georgekamau9855
    @georgekamau98559 күн бұрын

    Kenyans will pay even more tax repairing & building all what was destroyed by the unruly demonstrators. God bless Kenya.

  • @charlesnteuwa9180
    @charlesnteuwa918010 күн бұрын

    How comes family members wa marehemu wanajua hakua Kwa maandamano na hakuwapigia simu kwenye alikua na alikua anafanya nini,walipata aje info kwamba hakua Kwa protest

  • @GeorgeOdhiamboOndiek
    @GeorgeOdhiamboOndiek9 күн бұрын

    so sad bro(R.i.p)

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi17849 күн бұрын

    Sio machafuko polisi ndo walitumia nguvu kwa waandamanaji na nguvu za polisi ni kufyatua risasi kiholela holela

  • @missnellytv2149
    @missnellytv21499 күн бұрын

    My condolences 😞😞😞

  • @ForeveryoungNana2019
    @ForeveryoungNana201910 күн бұрын

    There should be no negotiations with a killer, ICC where are you for God's sake! You are our only hope🙏🙏🙏

  • @jeptookotos3347

    @jeptookotos3347

    10 күн бұрын

    Don't your hope in Icc, put your hope in God

  • @ForeveryoungNana2019

    @ForeveryoungNana2019

    9 күн бұрын

    @jeptookotos3347 speaking of the truth mnaekelea mungu vitu zingine hazifai, a police with no heart should face the harsh decipline.

  • @josephomari9989
    @josephomari998910 күн бұрын

    Warare pema peponi hao vijana ni mashujaa wetu.

  • @johniem2176
    @johniem21769 күн бұрын

    Msiba wakujitakia...! Walisema wakifa wako tayari.... 🤣

  • @davidnjeru2502
    @davidnjeru250210 күн бұрын

    Shine on your way mashunaa

  • @francisjaluu5763
    @francisjaluu57639 күн бұрын

    So heartbreaking

  • @jacklinezombo5806
    @jacklinezombo580610 күн бұрын

    akika ki mimi singe penda ata kupokea msahada wowote kwa serikali wowote

  • @translationafrica2629
    @translationafrica262910 күн бұрын

    Pole 😢