Makanisa mawili jijini Nakuru yabomolewa
Makanisa mawili jijini Nakuru yanakadhiria hasara kufatia ubomozi uliofanywa na watu wasiojulikan. Inadaiwa kuwa ardhi hiyo inazozaniwa na wamiliki wawili. Kufuatia ubomozi hiyo, mali ya thamani isiyojulikana iliibwa
Пікірлер: 13
Makanisa ilisuport KK govt, vuneni SASA.
Lazima tubaki2 na kanisa moja state House ikiongozwa na wale wamama wawili....hizi zingine lazima ziende chini
Wapi uhuru kenyatta alisema tu jameni?
Why all these demolitions???
@AlexMbuvi-nk5iy
7 ай бұрын
Ask your master why
Kenyaimeenda
Kazi ya Kenya ni kubomoa 24/7
Kenya watu watamalizana na mashamba
@blessingsmary
7 ай бұрын
Kabisa wakenya wamebaki ni shamba shamba na wanakufa wana Acha wajinga hao
0:28
Woman pastor??A pastor is a males title,a woman should be a pastoress,& there's no such a title in The whole Bible!