MAKALA YA MNAZI WASHAMIRI EDITED

Музыка

Mnazi ni mmea wa kipekee unaopatikana kwa wingi katika maeneo ya Pwani na ni mmea wengi huiti mmea wa maajabu.
Mmea ambao unaweza kutumika kama chakula, kinywaji ,paa la nyumba,mbao za ujenzi au hata mavazi miongoni mwa matumizi mengine, yote haya yakizalizwa na mti huu mmoja wa mnazi.
Taifa la Kenya likiwa na zaidi ya minazi milioni 10 asilimia 99 ikitokea eneo la Pwani. Mbinu mbalimbali za kisasa zinatumika kufufua zao hili. Kwa mengi zaidi sikili makala yafuatayo.

Пікірлер: 2

  • @johnrizi5978
    @johnrizi597810 ай бұрын

    Tupe mawasiliano.

  • @lucaschamlonga7161
    @lucaschamlonga7161 Жыл бұрын

    Mnapatikana wapi?

Келесі