MAISHA YA WAOMANI ZAMANI NA SASA | NASSER SLIM MOHAMMED ALSHUKERI

MAISHA YA WAOMANI ZAMANI NA SASA
NASSER SLIM MOHAMMED ALSHUKERI
KIUNGANISHI CHA KIPINDI
• MAISHA YA WAOMANI ZAMA...
UTAJUA KATIKA KIPINDI MAISHA YA WAOMANI HAPO
ZAMANI NA MAISHA YAO YA SASA.
-----------------
Follow Us:
twitter:
/ alistiqamatv2
facebook:
/ alistiqamatv2
instagram:
/ alistiqamatv2
Whatsapp:
+96892048164

Пікірлер: 35

  • @thuweinmassoud9062
    @thuweinmassoud90622 ай бұрын

    mashalah ni makabila mingi sana wameishi katik hio sehemu Al~migheir

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan70062 ай бұрын

    MASHALAH NAWAPENDA SANA WATU WA OMAN WANAROHO NZURI WAKARIMU SANA KILA UKIWAONA WAPO KWENYE FURAHA HAKIKA UKIWA NA VIONGOZI WAZURI WA SEREKALI NA VIONGOZI WA DINI HAKIKA NCHI INAKUWA NA NURU NA BARAKA TELE.

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid20112 ай бұрын

    Alhamdulillah kwa neema ya Allah tumepitia hayo

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid97652 ай бұрын

    Mashaallah miaka 5 na bado anakijua kiswahili Allah awabarik

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    2 ай бұрын

    Lazma alikua anaendelea ongea japo nyumbani au na watu wengine lugha uspoongea unasahau mi nlizaliwa Stockholm Sweden nkiwa na miaka 8 tulirudi tz na nlikua nasema kiswidi kuliko kiswahili nmekaa zaidi huku karibu chote kimentoka. Ingawa bado naskia nakukumbuka kidogo.

  • @fatmasaid9765

    @fatmasaid9765

    2 ай бұрын

    @@fahadfaraj6474 kweli maneno yako

  • @ShaikhShukairi
    @ShaikhShukairi2 ай бұрын

    Masha alla Alla akuhifadhi Akupe Afya na baraka🤍

  • @hawa6052
    @hawa60522 ай бұрын

    Tabarakallah

  • @abdirizakibrahim9965
    @abdirizakibrahim99652 ай бұрын

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim93112 ай бұрын

    Kaenda akiwa na umri wa miaka mitano na anaongea kiswahili safi sio hao mashankupe wanaenda watu wazima halafu wanajiekti hawajuwi kiswahili shame on you

  • @ltf111
    @ltf1112 ай бұрын

    Mashaa Allah

  • @azzaalnaamani76
    @azzaalnaamani762 ай бұрын

    ❤MashaAllah MashaAllah MashaAllah

  • @FatnaAlly-go7yt

    @FatnaAlly-go7yt

    2 ай бұрын

    Mashallah ❤❤

  • @SwahibAjamy
    @SwahibAjamy2 ай бұрын

    Mashaallah. Jazaka Allah heri

  • @mullacamp4540
    @mullacamp45402 ай бұрын

    Oman great history country

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid82002 ай бұрын

    ماشاءالله تبارك الرحمن

  • @AmourMattar
    @AmourMattar2 ай бұрын

    Mzuri sana mashaAllah

  • @shaabanyusufu2997
    @shaabanyusufu29972 ай бұрын

    Shehe umeacha kutupa taarifa za gaza

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын

    Mashallah

  • @SaidMattar-zj7jp
    @SaidMattar-zj7jp2 ай бұрын

    Mashaallah

  • @mayaalrawahy5470
    @mayaalrawahy54702 ай бұрын

    Ma sha Allah

  • @faresaass1560
    @faresaass15602 ай бұрын

    Salam aleikum sis tunaagalia vipindi venu vizuri

  • @SaidMattar-zj7jp
    @SaidMattar-zj7jp2 ай бұрын

    Mashaallah ❤

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx2 ай бұрын

    Ma shaa Allaah

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho43422 ай бұрын

    Naaaam

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim93112 ай бұрын

    Mbona mumeiacha nyumba inaondoka mutapoteza historia

  • @amourmohamed8477
    @amourmohamed84772 ай бұрын

    😍😍😍😍😍😍😍😍❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid15472 ай бұрын

    Nipo ibra alaya

  • @hamedsalum8194
    @hamedsalum81942 ай бұрын

    Hijama ni chuku

  • @SaidMattar-zj7jp
    @SaidMattar-zj7jp2 ай бұрын

    Mashaallah

  • @SaidMattar-zj7jp
    @SaidMattar-zj7jp2 ай бұрын

    Mashaallah

  • @SaidMattar-zj7jp
    @SaidMattar-zj7jp2 ай бұрын

    Mashaallah

  • @SaidMattar-zj7jp
    @SaidMattar-zj7jp2 ай бұрын

    Mashaallah

  • @TheFire_Gamer

    @TheFire_Gamer

    2 ай бұрын

    Sasa sehemu hizo hawakai tena watu?

  • @rashidshukery

    @rashidshukery

    2 ай бұрын

    Hamna watu tena kwasasa ​@@TheFire_Gamer

Келесі