Watu wengi wamekuwa wanatafuta njia mbalimbali za kwenda ughaubini
Жүктеу.....
Пікірлер: 45
@danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын
Roho ikiwa nzuri moja ikaambukiza wengine kumi nao kumi wakaambukiza wengine zaidi hapo sasa ni rahisi wengiii kuwa na roho nzuri na hivyo ndivyo Mungu alivyotaka tuwe na mema mengi ndipo yatatuijia hivyo na tuweni na nguvu na umoja huo ili tupate baraka za Mungu tele na tele,kwa hiyo Big up kubwa sana kwa Ebm
@oliviaseth46522 жыл бұрын
Ernest UNASEMA UKWELI mimi nina miaka 9 sasa, nimesaidia sana watu lakini nimelipwa zero, sija fanya chochote nyumbani.
@nzigiyimpainnocent87382 жыл бұрын
Asante Mzee Wangu .Nakupata Sana siku zote nikiwa Zambia.Ila nina maongezi sana na wewe.Ila Baado Sikati Tamaa Siku moja nitakubahatika
@alexndabatinya79532 жыл бұрын
Asante sana BRO EBM. Nimechelewa sana kuona video zako. They are real impressive! Nakumbuka wewe ndo ulinifundisha namna ya kufungua email pale beb come, kigoma. Nakufuatilia sana. Nakuomba utuandalie video ya gharama ya maisha ya kila siku au mwezi mzima kwa hapo marekani. Bei za vitu na matumizi ya kila siku. Thanx in advance
@mmbswahili7782 жыл бұрын
Mr EBM upo more direct Sana, hutaki kufichaficha Mambo na kwa namna unavyoelezea ni inamfanya mtu ajihisi yupo marekani au apende kuja marekani. Hakika nakupenda kaka unanifanya niwe proud Sana lkn kikubwa one-day yes to America
@victordavidmmbaga84912 жыл бұрын
Very Straight speech.... And meaningful
@mwinjilistigodvoicemshanga2 жыл бұрын
Kaka EBM naomba nikuulize swali. Mimi nimeishia darasa la Saba naweza kucheza green card lottery
@r-g-bchanal4963
2 жыл бұрын
ndio unaweza
@iam_deo
2 жыл бұрын
Uwezi inatakiwa High School Diploma
@mgenisalim6947
2 жыл бұрын
Unaweza lakini ni uwe na cheti cha working experience
@ellyremisho7930 Жыл бұрын
thanks so much sir wellcome from kuwait
@oliviaseth46522 жыл бұрын
Ukiwa Marekani miaka ina kwenda mbio sana, unajikuta hujafanya kitu chochote nyumbani.
@reginahmwanzia9272 жыл бұрын
Kaka naomba link niko Dubai lakini nataka ninje marekani
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Ahsante sana home boy
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Jamaa Ana roho nzuri
@lilianwaflotina12882 жыл бұрын
nakupenda mnoo my kaka unatufundisha
@augustineswai51742 жыл бұрын
Thank a lot home brother
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Unapenda sn wengine wafanikiwe endelea na moyo huo achana na wenye roho mby
@josephmahoo44672 жыл бұрын
Be blessed mr makulila you a herro
@elsaMo-b5r2 жыл бұрын
nakusikiliza kwa makini sana EBM
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Nyama ya kuku rahisi sana.Ujerumsni vyakula rahisi sana Ulaya nzima
@amourhemed43432 жыл бұрын
Brother ebm tunaomba iyo link tuweze kuwasiliana na wewe moja kwa moja
@patrickmwangi472 жыл бұрын
Very imformative... Keep it up!
@joniajohn47162 жыл бұрын
Very helpful
@tenthmaruhe65892 жыл бұрын
Hongera sana EBM
@ngoynzoagermain8 ай бұрын
Pamoja sana 5/5 🇨🇩🇨🇩
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Congrats home boys 💝
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Usiogope na kuogopa kusafisha vyoo Tafadhali
@mbekewambeke93052 жыл бұрын
Yes bro nashukuru sana kwa info
@godfreynatai8649
2 жыл бұрын
Please 🙏 give me conetion please
@sikitujuma4866
2 жыл бұрын
Unasema watanzania wameomba 3ooo ni njia gani?
@danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын
Hujakosea uko sahihi kabisa siku hizi ndumba vijana na mijini ndio wenyewe vijana wasomi wanapigwa ndumba na wasichana wa mitaani tu hata wasiowasomi had wanasahau majukumu yao
@shukuruhassan9115 Жыл бұрын
nakukubari san kakaangu
@shukuruhassan9115 Жыл бұрын
mimi nataka nikulizee swali kaka mimi dereva wa matruck nikitaka kuja uko nitumie njia Gani kak
@samuelsenge67152 жыл бұрын
Hi bro,,am a Kenyan and I would like to be a track driver,what am I supposed to do bro
@khamisjuma85012 жыл бұрын
Sikuyaguyakwaza marekani nimeede bar kulewa nikafanya fujo nikkaenda jela
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Someni Sana.Lakini siwashauri kuoa wazungu na kuacha watoto huko.rudi na wanao
@judithassenga94792 жыл бұрын
Heheeeeee
@godfreynatai86492 жыл бұрын
Mimi naweza kuishi uko kabisaa bila shaka nakuusu sheria najua kabisa kwamba uwe makini sasa nafanyaje nije uko??
@sarahmakutwa73602 жыл бұрын
Mafunzo mazuri muhimu
@edwinmayala54972 жыл бұрын
Kaka naomba mawasiliano yako
@joycestivin38712 жыл бұрын
Bro nilikua naomba nisaidie whatsaap no yako
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Hata waafrika Pia NI wabaguzi
@upendowakwelinaamani10602 жыл бұрын
Mim nataka hizohizo kazi za kulea wazee ilimradi nalipwa pesa ya maana kwani hata bongo mbona kuna mama ntilie wanafanya biashara na malipo kidogo sasa si bora kulea wazee ulaya unapokea mshiko wa maana? Acha nipambane ipo siku ntantoa ushuhuda hapa kwa chanel yako kwamba ulinishauri kitu cha mbolea sana
Пікірлер: 45
Roho ikiwa nzuri moja ikaambukiza wengine kumi nao kumi wakaambukiza wengine zaidi hapo sasa ni rahisi wengiii kuwa na roho nzuri na hivyo ndivyo Mungu alivyotaka tuwe na mema mengi ndipo yatatuijia hivyo na tuweni na nguvu na umoja huo ili tupate baraka za Mungu tele na tele,kwa hiyo Big up kubwa sana kwa Ebm
Ernest UNASEMA UKWELI mimi nina miaka 9 sasa, nimesaidia sana watu lakini nimelipwa zero, sija fanya chochote nyumbani.
Asante Mzee Wangu .Nakupata Sana siku zote nikiwa Zambia.Ila nina maongezi sana na wewe.Ila Baado Sikati Tamaa Siku moja nitakubahatika
Asante sana BRO EBM. Nimechelewa sana kuona video zako. They are real impressive! Nakumbuka wewe ndo ulinifundisha namna ya kufungua email pale beb come, kigoma. Nakufuatilia sana. Nakuomba utuandalie video ya gharama ya maisha ya kila siku au mwezi mzima kwa hapo marekani. Bei za vitu na matumizi ya kila siku. Thanx in advance
Mr EBM upo more direct Sana, hutaki kufichaficha Mambo na kwa namna unavyoelezea ni inamfanya mtu ajihisi yupo marekani au apende kuja marekani. Hakika nakupenda kaka unanifanya niwe proud Sana lkn kikubwa one-day yes to America
Very Straight speech.... And meaningful
Kaka EBM naomba nikuulize swali. Mimi nimeishia darasa la Saba naweza kucheza green card lottery
@r-g-bchanal4963
2 жыл бұрын
ndio unaweza
@iam_deo
2 жыл бұрын
Uwezi inatakiwa High School Diploma
@mgenisalim6947
2 жыл бұрын
Unaweza lakini ni uwe na cheti cha working experience
thanks so much sir wellcome from kuwait
Ukiwa Marekani miaka ina kwenda mbio sana, unajikuta hujafanya kitu chochote nyumbani.
Kaka naomba link niko Dubai lakini nataka ninje marekani
Ahsante sana home boy
Jamaa Ana roho nzuri
nakupenda mnoo my kaka unatufundisha
Thank a lot home brother
Unapenda sn wengine wafanikiwe endelea na moyo huo achana na wenye roho mby
Be blessed mr makulila you a herro
nakusikiliza kwa makini sana EBM
Nyama ya kuku rahisi sana.Ujerumsni vyakula rahisi sana Ulaya nzima
Brother ebm tunaomba iyo link tuweze kuwasiliana na wewe moja kwa moja
Very imformative... Keep it up!
Very helpful
Hongera sana EBM
Pamoja sana 5/5 🇨🇩🇨🇩
Congrats home boys 💝
Usiogope na kuogopa kusafisha vyoo Tafadhali
Yes bro nashukuru sana kwa info
@godfreynatai8649
2 жыл бұрын
Please 🙏 give me conetion please
@sikitujuma4866
2 жыл бұрын
Unasema watanzania wameomba 3ooo ni njia gani?
Hujakosea uko sahihi kabisa siku hizi ndumba vijana na mijini ndio wenyewe vijana wasomi wanapigwa ndumba na wasichana wa mitaani tu hata wasiowasomi had wanasahau majukumu yao
nakukubari san kakaangu
mimi nataka nikulizee swali kaka mimi dereva wa matruck nikitaka kuja uko nitumie njia Gani kak
Hi bro,,am a Kenyan and I would like to be a track driver,what am I supposed to do bro
Sikuyaguyakwaza marekani nimeede bar kulewa nikafanya fujo nikkaenda jela
Someni Sana.Lakini siwashauri kuoa wazungu na kuacha watoto huko.rudi na wanao
Heheeeeee
Mimi naweza kuishi uko kabisaa bila shaka nakuusu sheria najua kabisa kwamba uwe makini sasa nafanyaje nije uko??
Mafunzo mazuri muhimu
Kaka naomba mawasiliano yako
Bro nilikua naomba nisaidie whatsaap no yako
Hata waafrika Pia NI wabaguzi
Mim nataka hizohizo kazi za kulea wazee ilimradi nalipwa pesa ya maana kwani hata bongo mbona kuna mama ntilie wanafanya biashara na malipo kidogo sasa si bora kulea wazee ulaya unapokea mshiko wa maana? Acha nipambane ipo siku ntantoa ushuhuda hapa kwa chanel yako kwamba ulinishauri kitu cha mbolea sana
Sikufanikiwa green card