MAISHA YA UGHAIBUNI - Njia za kwenda na kufanikiwa kimaisha Marekani, Ulaya na Canada

Ойын-сауық

Watu wengi wamekuwa wanatafuta njia mbalimbali za kwenda ughaubini

Пікірлер: 45

  • @danielmartinKiondo-dq4jz
    @danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын

    Roho ikiwa nzuri moja ikaambukiza wengine kumi nao kumi wakaambukiza wengine zaidi hapo sasa ni rahisi wengiii kuwa na roho nzuri na hivyo ndivyo Mungu alivyotaka tuwe na mema mengi ndipo yatatuijia hivyo na tuweni na nguvu na umoja huo ili tupate baraka za Mungu tele na tele,kwa hiyo Big up kubwa sana kwa Ebm

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth46522 жыл бұрын

    Ernest UNASEMA UKWELI mimi nina miaka 9 sasa, nimesaidia sana watu lakini nimelipwa zero, sija fanya chochote nyumbani.

  • @nzigiyimpainnocent8738
    @nzigiyimpainnocent87382 жыл бұрын

    Asante Mzee Wangu .Nakupata Sana siku zote nikiwa Zambia.Ila nina maongezi sana na wewe.Ila Baado Sikati Tamaa Siku moja nitakubahatika

  • @alexndabatinya7953
    @alexndabatinya79532 жыл бұрын

    Asante sana BRO EBM. Nimechelewa sana kuona video zako. They are real impressive! Nakumbuka wewe ndo ulinifundisha namna ya kufungua email pale beb come, kigoma. Nakufuatilia sana. Nakuomba utuandalie video ya gharama ya maisha ya kila siku au mwezi mzima kwa hapo marekani. Bei za vitu na matumizi ya kila siku. Thanx in advance

  • @mmbswahili778
    @mmbswahili7782 жыл бұрын

    Mr EBM upo more direct Sana, hutaki kufichaficha Mambo na kwa namna unavyoelezea ni inamfanya mtu ajihisi yupo marekani au apende kuja marekani. Hakika nakupenda kaka unanifanya niwe proud Sana lkn kikubwa one-day yes to America

  • @victordavidmmbaga8491
    @victordavidmmbaga84912 жыл бұрын

    Very Straight speech.... And meaningful

  • @mwinjilistigodvoicemshanga
    @mwinjilistigodvoicemshanga2 жыл бұрын

    Kaka EBM naomba nikuulize swali. Mimi nimeishia darasa la Saba naweza kucheza green card lottery

  • @r-g-bchanal4963

    @r-g-bchanal4963

    2 жыл бұрын

    ndio unaweza

  • @iam_deo

    @iam_deo

    2 жыл бұрын

    Uwezi inatakiwa High School Diploma

  • @mgenisalim6947

    @mgenisalim6947

    2 жыл бұрын

    Unaweza lakini ni uwe na cheti cha working experience

  • @ellyremisho7930
    @ellyremisho7930 Жыл бұрын

    thanks so much sir wellcome from kuwait

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth46522 жыл бұрын

    Ukiwa Marekani miaka ina kwenda mbio sana, unajikuta hujafanya kitu chochote nyumbani.

  • @reginahmwanzia927
    @reginahmwanzia9272 жыл бұрын

    Kaka naomba link niko Dubai lakini nataka ninje marekani

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Ahsante sana home boy

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Jamaa Ana roho nzuri

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina12882 жыл бұрын

    nakupenda mnoo my kaka unatufundisha

  • @augustineswai5174
    @augustineswai51742 жыл бұрын

    Thank a lot home brother

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Жыл бұрын

    Unapenda sn wengine wafanikiwe endelea na moyo huo achana na wenye roho mby

  • @josephmahoo4467
    @josephmahoo44672 жыл бұрын

    Be blessed mr makulila you a herro

  • @elsaMo-b5r
    @elsaMo-b5r2 жыл бұрын

    nakusikiliza kwa makini sana EBM

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Nyama ya kuku rahisi sana.Ujerumsni vyakula rahisi sana Ulaya nzima

  • @amourhemed4343
    @amourhemed43432 жыл бұрын

    Brother ebm tunaomba iyo link tuweze kuwasiliana na wewe moja kwa moja

  • @patrickmwangi47
    @patrickmwangi472 жыл бұрын

    Very imformative... Keep it up!

  • @joniajohn4716
    @joniajohn47162 жыл бұрын

    Very helpful

  • @tenthmaruhe6589
    @tenthmaruhe65892 жыл бұрын

    Hongera sana EBM

  • @ngoynzoagermain
    @ngoynzoagermain8 ай бұрын

    Pamoja sana 5/5 🇨🇩🇨🇩

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Congrats home boys 💝

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Usiogope na kuogopa kusafisha vyoo Tafadhali

  • @mbekewambeke9305
    @mbekewambeke93052 жыл бұрын

    Yes bro nashukuru sana kwa info

  • @godfreynatai8649

    @godfreynatai8649

    2 жыл бұрын

    Please 🙏 give me conetion please

  • @sikitujuma4866

    @sikitujuma4866

    2 жыл бұрын

    Unasema watanzania wameomba 3ooo ni njia gani?

  • @danielmartinKiondo-dq4jz
    @danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын

    Hujakosea uko sahihi kabisa siku hizi ndumba vijana na mijini ndio wenyewe vijana wasomi wanapigwa ndumba na wasichana wa mitaani tu hata wasiowasomi had wanasahau majukumu yao

  • @shukuruhassan9115
    @shukuruhassan9115 Жыл бұрын

    nakukubari san kakaangu

  • @shukuruhassan9115
    @shukuruhassan9115 Жыл бұрын

    mimi nataka nikulizee swali kaka mimi dereva wa matruck nikitaka kuja uko nitumie njia Gani kak

  • @samuelsenge6715
    @samuelsenge67152 жыл бұрын

    Hi bro,,am a Kenyan and I would like to be a track driver,what am I supposed to do bro

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma85012 жыл бұрын

    Sikuyaguyakwaza marekani nimeede bar kulewa nikafanya fujo nikkaenda jela

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Someni Sana.Lakini siwashauri kuoa wazungu na kuacha watoto huko.rudi na wanao

  • @judithassenga9479
    @judithassenga94792 жыл бұрын

    Heheeeeee

  • @godfreynatai8649
    @godfreynatai86492 жыл бұрын

    Mimi naweza kuishi uko kabisaa bila shaka nakuusu sheria najua kabisa kwamba uwe makini sasa nafanyaje nije uko??

  • @sarahmakutwa7360
    @sarahmakutwa73602 жыл бұрын

    Mafunzo mazuri muhimu

  • @edwinmayala5497
    @edwinmayala54972 жыл бұрын

    Kaka naomba mawasiliano yako

  • @joycestivin3871
    @joycestivin38712 жыл бұрын

    Bro nilikua naomba nisaidie whatsaap no yako

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Hata waafrika Pia NI wabaguzi

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani10602 жыл бұрын

    Mim nataka hizohizo kazi za kulea wazee ilimradi nalipwa pesa ya maana kwani hata bongo mbona kuna mama ntilie wanafanya biashara na malipo kidogo sasa si bora kulea wazee ulaya unapokea mshiko wa maana? Acha nipambane ipo siku ntantoa ushuhuda hapa kwa chanel yako kwamba ulinishauri kitu cha mbolea sana

  • @msemasungura5651
    @msemasungura56512 жыл бұрын

    Sikufanikiwa green card

Келесі