MAISHA ya DENMARK, unawezaje kwenda na kuishi? WITNESS afunguka jinsi alivyokutana na MUME Mdanish
Subscribe channel ya Witness Vlogs hapa
/ @witnessvlog
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Пікірлер: 175
Asante sana SNS kwa nafasi mliyonipatia. Nimenyenyekezwa sana. Ubarikiwe sana
@pembemussa2804
Жыл бұрын
Dada nipe details zako nikupate private Tafadhali.
@Boaz22
Жыл бұрын
Nipo china,nina residence permit, naweza pata visa ya Denmark kutokea china? What's are the requirements??
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@Boaz22 Here are the requirements Schengen Visa requirements | Denmark Visa requirements. kzread.info/dash/bejne/ZYquq7ppZ5rIYJc.html
@lucykristensen7145
Жыл бұрын
Taste ni sawa. Matoke yanatoka Uganda na ni fresh yanakuja na ndege. Mihogo, viazi vikuu, mzuzu, mawese West Africa. Kikubwa amefahamu vyakula vyetu vyote vinapatika wapi ? Sijaona utofauti wa taste.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@lucykristensen7145 Asante
Maashaalah hongera cn wit . Nimekupenda mcheshi pia una moyo wa kujitolea kusaidia watu. Mimi pia nataman kifika denmark .Kikazi nipatie no yako nikuulize kitu Nianze process inshaalah 🙏
Mtu huwezi kuzungumzia maisha ya nchi nyingine wala kulinganisha na nchi nyingine kabla haujafika, ishi kwa muda wa kutosha, wala kutembelea. Ni upotoshaji.
Hongereni saana kwa Mjadala
Mungu wangu nifungulie mlango 🛐
Dada yangu huyooo witnees nafurahi sana kuona kazi zake
Nakupenda sana na pia nimsabato mwenzangu nakupenda bule
Juice ya miwa tafuta kwenye maduka yawa Thailand na Wafiilipino
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Oh asante nitafanya hivo
Woow! Njema sana hii
Hongera Witness unatoho nzuri sana❤🇺🇸
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Asante sana Fransica kwa kuona hilo
Kuna watu humu wanamponda uyo dada mara oh anasema uongo mara Bado limbukeni wa ulaya mbona nyie hamtoi izo taarifa ambazo ni sahihi ili watu wajifunze. WaTz ni wabinafsi sisi tujifunze kwa majirani zetu waKenya.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Karibu Tanzania ndugu Ningependa kuwa host pia hata kwa channel yangu uone kama watajitokeza. Keyboard warriors sana
@erycah
Жыл бұрын
@@Witnessvlog 😂😂 Asante I am a woman though, umeniita kaka.😏
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@erycah Sorry merekebisha
@jescasherem1686
7 ай бұрын
@@Witnessvloghi
Hongera sana dr! .nimependa unavyo jibu comment very positive (Master mind😘)
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Asante sana dada yangu kwa comment yako nzuri. Ubarikiwe sana
Karibu Tanden.dk😂
Nice interview 👌 kuna agencies za TZ za aupair ambazo unaweza kuzitaja na kuweka their contacts itakuwa helpful
Hongera sana sana nimefurahia interview Wit mkweli mchesh anajiamini
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Asante sana ina maana kubwa sana
Nice meeting,,sema madam wit anaongea haraka haraka sana as sijui why though kwenye channel yao anaongea kawaida,,
Wapi likes za kenya 🇰🇪
Good interview
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you
Vizuri sana dada yangu mungu Atakubariki kwa ilo ukifika Danish nishitue nikutembelee 🇹🇿🇬🇷⚓
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Karibu sana. Unaishi wapi?
@stephaniabenjamini2848
Жыл бұрын
With mungu akubariki endelea kuwa na moyo wa upendo huo,me nataka kusaidiwa kijana wangu atafute maisha.
@stephaniabenjamini2848
Жыл бұрын
Witness wewe ni mkweli kigoma sisi sio matapel
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@stephaniabenjamini2848 Asante sana
wooww good how can contact her sky mi nakaa burundi mzee wangu
Bravo dada Wit! Nataman sana kufika Denmark, or Sweeden . Nisaidie nianzeje?
❤❤
Makao makuu ya Ubaguzi 🤗😎
Lol I was the first to open this
Bravo ma belle 😘
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Merci Merci😍
Mi naishi 10 minutes from copenhagen. Mihogo iko, miguu ya kuku, matoke, vyakula Vingi vyakutoka Afrika. etc iko copenhagen kwa maduka ya wa Thailand, chinese and afghagan shops.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
I know . Sikumainisha kwamba sipati Unaweza pata ila taste ni tofauti. Tunajua vyakula vingi viko imported. Ko taste ya nyumbani ndio ninayo imiss
@aliyahkhan5562
Жыл бұрын
@@Witnessvlog agree
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Ubaguzi mtupu huko wala sio kwa kukaa kuzuri ni Sweden kwa Scandinavia yote
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 Sawa.
Juice ya miwa iko kwa maduka ya wa Thailand
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you
Yah yah yah yah❤❤😂😂😂
Same like USA 🇺🇸 kupata marafiki pia issue
@Witnessvlog
Жыл бұрын
I can relate
interview nzuri sana,same like Ujerumani yaani kupata marafiki ni issue sana hahahahaa😅😅😅😅
@Witnessvlog
Жыл бұрын
😂😂 Kazi kweli kweli
@peaceisrael8158
Жыл бұрын
Mbona tupo tu upo mji gani rafiki ?
@olympiamtenga8761
Жыл бұрын
@@peaceisrael8158 Nipo Münster nimemaaanisha wenyeji wazawa dia wwe uko mji gani
Hakuna tegemezj ulaya kujitegemea mwenyewe jamani tujifunze hapo
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Kabisa hakuna . Hata wazazi hawategemeni watoto. Kila mtu ni anabeba majukumu yake
Dada mm nina vitu vote vakupandia ndege nataka viza ya kufanya kaz za nyumban mana ninauzoefu wa kiak 6 Omani kupika usafi ivo soo naomba nisaidie Dada
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Unaweza omba kuja kama Aupair.
@swahiliwithZita
Жыл бұрын
@@Witnessvlog kuna agencies ganai za TZ za aupair?
@issamathenge4305
10 ай бұрын
@witness vlog Mimi ni barista.nimefanya kazi Oman for 3 years. Mimi ni mkenya kutoka Mombasa.
@issamathenge4305
10 ай бұрын
@@swahiliwithZita how can I reach you please
Dada witness Instagram unatumia jina gani ?
Kwahyo mm AmBAR Nina form 4 , failure siwez fika huko jamani tunabaguliwa sana😂mtusaidie na SS tujitaftie hata life jamani 🙏
@Witnessvlog
Жыл бұрын
It is difficult but not impossible. Hakuna ambacho hakiwezekani ila tu inatakiwa ujiweke sawa kwenye strong ties. Ili uaminiwe utarudi. Dunia ni kubwa kwa kila mtu. Anza kutengeneza cv ambayo itakusaidia kupewa visa muda ukifika. Dunia ni kubwa na ina mkate wa kila mtu naamini . Unaweza usije kwa njia ya elimu . Ukaja kwa vingine . Muhimu kutokata tamaa na kutafuta fursa
@laoiyadi1176
Жыл бұрын
@@Witnessvlog dah Asante sana MUNGU mwema IPO siku na fungu la Kila mmoja
Namba yake jamani au mwisho wa stor nataka niongee nae nina shida na huko
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@witnessvlog
Mihogo ipo bwana Tena lain Sana
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Sio mitamu sana kama ya coco beach😂. Sio mara zote inakua mitam
@Pedeshee01
Жыл бұрын
@@Witnessvlog na mimi nakuja denmark huko nipe namba nipo italy soon Copenhagen ilee
@lucykristensen7145
Жыл бұрын
Mihogo mizuri 14:22 kabisa . Kila kitu kinakuja fresh na ndege. Mpaka mchicha na kisamvu tunapata. Mengineyo ni mapishi yako😂mwenyewe. Kaanga mihogo inatoka kama Gogo Beach.
@Pedeshee01
Жыл бұрын
@@lucykristensen7145 wapi huko lucy
Hapa nimeelewa yaani huko kaka uarabuni tu hakuna urafiki
kama ni MSABATO mwenzangu hakuna uongo kwenye stori na maelekezo atakayotoa. Wacha nifatilie koneksheni. 😆😆😆
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Aloo😅😅. Ubarikiwe sana
@raymondclaud6026
Жыл бұрын
Nani kasema wasabato ndio hawadanganyi? Dah hizi imani noma
@evelyneokwiri6344
Жыл бұрын
Mmm
Good interview but healthcare is not 100% free because that is what is coming from the taxes we pay. If we skip the “it’s not free because it’s paid by tax” line as if that’s some huge revelation, then yes, except for dentists and partly drugs. Drugs are only partly paid by the state. That is applicable to Scandinavian countries .
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Right
@jamesmbwambo315
Жыл бұрын
@@Witnessvlog
Kuna mpaka kisamvu embe fenesi Dorian na vingi mpaka nyanya chungu
@amour5535
Жыл бұрын
Nipe connection my dada nina shida na huko
@zainabwage4658
Жыл бұрын
Sana tu
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Ni kweli vipo ila sio fresh. Huna uhakika wa kula embe tamu au nasasi kama huku. Tanzania chakula ni fresh. Europe vingi wana import kwahio vilishapoteza radha
@ongowi5701
Жыл бұрын
@@Witnessvlog Ni kweli kabisa vitu vinakuwa havina ladha ya km home Tanzania. Mimi nipo Netherlands yaani kuku ni wakubwa lakini hawana taste. Umeelezea ukweli mtupu kuhusiana na jinsi ya kupata visa.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@ongowi5701 Asante sana dada yangu. Hua napita Amsterdam mara nyingi
kwahiyo huyu mdenmark wangu wa buza au
Dada uraia ni miaka permanent permanent Hadi uishi miaka 10 na Uwe umefanya kazi miaka 3na niezi 6 ndani ya miaka minne na Uwe na kiwango cha msharavwa 300kr. kwa mwaka.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
True
@jmwaka9316
Жыл бұрын
@@Witnessvlog 👍
Mihogo, matoke, nyanya chungu, bamia, mzuzu, unga wa ugali, unga wa mhogo, Magimbi. Tembelea Asian shops au maduka ya Waarabu.. Yako kila mji. Hata nyanya chungu unapata..
@faith20243
Жыл бұрын
nadhani taste ni tofauti mdau
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Asante sana ntafanya hivo
Huyu ana zoom miguu ya kuku kmmk 😂
Danish sio ngumu pambana misamiati yake sio ngumu kama unaongea English,Niko Sweden naongea na norwegiun pia
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Sawa asante.
Tuandikie link zake tunampataje awasaidie ndugu zetu
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@witnessvlog
@colethamichaelkishinda903
11 ай бұрын
@@Witnessvloghi
Milioni Tatu kwa mwezi ni uongo,ukiwa na mtoto unalipwa kama laki 2 na nusu kwa mwezi siyo milion Tatu.hiyo ipo hata Norway na sweden,Dada Bado ana wenge la ulaya😅
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Asante kwa kuspot hilo nilichanganya wanalipa kila baada ya miezi 3 maana yake mara nne kwa mwaka Mtoto wa mwaka 0-2 years analipwa kama 1.5M ko times 4. So utajumlisha na idadi ya watoto Children 0-2 years old - 4,557 kr. every quarter 3-6 years old children - 3.609 kr. every quarter Children 7-14 years old - 2.838 kr. every quarter Ni kweli mimi bado mgeni sana Europe . Bado najifunza na bado nakua. Nyie wakongwe mnatakiwa mshee vingi na sis na kurekebisha with kindness. Ubarikiwe mkongwe wa ulaya nitakutafuta utusimulie ya huko. Natumaini una madini mengi na nondo.
@alsam4881
Жыл бұрын
Bado mgeni huyo kuna mambo mengi hajui kuhusu sheria za Denmark .
@amanimtasha2584
Жыл бұрын
Hapa Sweden ukijifungua mtoto kama ulikuwa unafanya kazi unalipwa 80% ya mshahara wako kwamiezi kadhaa then inashuka 75%. Mtoto akifikia 1year anaenda day care. Pesa ya mtoto kuanzia anapozaliwa hadi kufikia 16years akiwa mmoja ni 1250kr wakiwa wawili inaongezeka 150 nakuwa 1400 kila mmoja. Kadri idadi ya watoto inavyoongezeka ndio kiwango kinaongezeka.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@amanimtasha2584 Asante sana kwa comment yako. Nimejifunza
@amanimtasha2584
Жыл бұрын
@@Witnessvlog Usjali dada anytime. Karibu Sweden pia 🙏🏿
😁👌anachapia San famîlia yen yote nyie mnaongea haraka harak
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you for watching my friend😊.
Good conversation 🔥
Interview ipo poa kweli kwani dada yetu jina lake nani
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Witness
huyu Dada ana ndoto ya kwenda Marekani. Katik maongezi yake nimegundua hilo
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Marekani iko overrated sana . Kwahio sina hizo ndoto
@tanzuaprint
Жыл бұрын
@@Witnessvlog iko overrated vipi Sister
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@tanzuaprint Wamarekani wameweza kuibrand vizuri kwa watu kwamba ndio nchi ya asali na maziwa. But kuna nchi ziko vizuri sana kuliko hata Marekani. Hasa kwenye social walfare.
@tanzuaprint
Жыл бұрын
@@Witnessvlog Ishi marekani kwanza ndo uje kucomment. Watu si wajinga kusema Marekani ni Dream country, ndomana balozi zinajaa kuomba visa.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@tanzuaprint Sawa.
Huko Danmark wala sio kwa kwenda ni wabaguzi kupita maelezo na huyo atakuwa anabaguliwa tu na wanasheria ngumu sana , WaTanzania wengi ni waongo Kwa nini asiwaambie kwamba ni wabaguzi kupita kiasi , nakushauri nenda nchi zingine za Scandinavia ila sio Danmark yaani sera za nchi ni ubaguzi tu kuwabagua wahamiaji
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Ubaguzi upo kila sehemu. Kama angeniuliza kuna ubaguzi ningesema upo tu sana. Ukija kwenye channel yangu utaona nishaongelea ubaguzi na wanasheria ambazo sio rafiki kwa wahamiaji . Sio kama marekani au Canada. Hakuna sehem nimesema haupo. Angalau huku hauwez kuuliwa kama America kisa wew ni mweusi au Muislam. Wabaguzi kupita kiasi ni Marekani kama utaniuliza . Italy pia Uje utueleze na wew mtazamo wako sasa
@amanimtasha2584
Жыл бұрын
Ubaguzi upo kote hata hapa Sweden naukiwa na mtazamo huo nakuchukulia serious kila unachokutananacho ndugu yangu hakuna sehemu utaweza kuishi.
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
@@amanimtasha2584 mkuu naijua Sweden vizuri na ninazijua vizuri nchi za Scandinavia vizuri , ubaguzi wa Denmark huwezi kabisa kulinganisha na Sweden , Denmark kuna ubaguzi sana hata na wana sera za kibaguzi sana kwa wahamiaji
@amanimtasha2584
Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 Inawezekana kilamtu ana experience yake ya mahali anapoishi siwezi kataa unalosema mkuu ila kwa mimi binafsi kulingana na eneo ninalo ishi kwamiaka 13 sasa changamoto nikubwa zaidi yaninavyosikia kuhusu Danmark kwaidadi yawatu wengi wanaoishi huko.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@amanimtasha2584 Sahihi kabisa. Hakuna sehemu hakuna ubaguzi.
Visa za Scandinavia ni rahisi kulikoni za marekan, uingereza, japani,uswiss, Australia za zingine alafu hiyo kulipwa Kwa mwezi inategemea Una watoto wangapi? Hapo kachemsha huwezi kupewa milioni Kwa mtoto mmoja baridi barafu ulaya zote hivyo vyote ulivyotaja vipo dada hukatembea hapo muongo
@homeandaway2811
Жыл бұрын
Usikariri HAKUNA viza rahisi tupo tunafanya kazi na hizo balozi, kama wewe au wenzio wa karibu wengi mlipata ,good but usikariri ulizia ujue wangapi wanakosa na kwanini
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@homeandaway2811 Umesema vyema ndugu.
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Ungesoma comment section ungeona nilirekebisha. Kwenye swala hilo la mtoto kupewa pesa. Ila kwakua wew uko so informed si vibaya ukatujuza na wew
Ila mwambie atulie kuongea. Kuchapia kwingi
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Thank you. Next time itakua bora zaidi. Ubarikiwe kwa kuangalia
@saidimwanyiro5147
Жыл бұрын
@@Witnessvlog asant kwa kutujali
@Witnessvlog
Жыл бұрын
@@saidimwanyiro5147 Asante sana
Wewe wacha uwongo dada marekani umeenda kuona maisha au unazungumza Tu nenda kaone eti Denmark vitu expensive kulikoni marekani hivi unaweza hata kununua wigi wewe muongo huyu dada hebu uluzeni watu wanaoishi huko
@Witnessvlog
Жыл бұрын
Wew umewahi kufika Denmark dada? Uzuri sio kazi kupata interview SNS omba uje utwambie ya huko. Ubarikiwe kwa muda wako pia
@lizzybahati3739
Жыл бұрын
@@Witnessvlognaweza pata no yako dada
Haya sasa..Mdemu wa kibongo kazi kwenu!!!! Connection ya kuolewa na Ndughu ndo hiyoooo🤣🤣!!! Dada full PIMP🤣