Mungu n mwema wakati wote.Pamoja na yote ametufundisha kusema""Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu"""...Uwepo wako katika kutumika kwa Bwana...,kuna wagusa wengi sana kiroho Mungu azidi kukubariki mtumishi.
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
@user-oc1zu1vg6i9 ай бұрын
Ubarikiwe pastor mbaga. Ww ni combo cha BWANA. Umekuwa m baraka mkubwa sana kwa ajili ya BWANA
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen! Mungu atukuzwe
@macfadyneminja9 ай бұрын
Asanten sana Bwana Yesu.Asante Pastor Mbaga na team Yote. Asante Mahubiri TV. Asante kwa kugusa maisha yetu kila wakati. Mbariiwe na Bwana Amen kutoka Morogoro
@user-sz4pe3dt8s9 ай бұрын
Asante mutumishi wa Mungu nakufwata kilamara kwa nshi ya Congo nimebarikiwa sana n'a mahubiri Mungu wetu akujaze n'a Roho mtakatifu
@user-ix1ep4vx3h9 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu mafundisho yko huwa yananipa nguvu sana nayasikiliza kuanzia saa 6mpaka saa 11 huwezi amini nisaidie nimfikie mungu
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Mungu akubariki
@rutinginyaneysam.5087
9 ай бұрын
Asante but ukiandika Mungu andika kwa herufi kubwa, sio m ndogo
@bamag-021
9 ай бұрын
Asante kwa hubiri pr, Mungu akutie nguvu zaidi. Mtuombee na sisi nimekuja kusoma India baada ya Mungu kujibu maomba yangu kunipa kibari kusoma huku . Changamoto ni kufanya ibada siku ya sabato, hawajatupa ruhusa , maana ktk mwez ni jmosi mbili tu ndio ziko free, zingine mbili ni masomo. Tuko 8, tunaomba mtuombee watupe kibali cha ibada ya sabato
@user-qp8kp6ri9j4 ай бұрын
Asante sana kwaku tuondoa ndani ya shimo.
@user-rf3zz1lb6l8 ай бұрын
Nimeinuliwa sana pastor barikiwa zaidi in Jesus Name Amen Amen
@luciashayo98969 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji nimefunguliwa na mafundisho unayotia yehoa mungu wetu apewe sifa
@veronicapeter-iz2qu9 ай бұрын
Amina ubalikiwe mtumishi
@olphanyamweya31547 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 hakika nimebarikiwa asantii
@MildredShinali9 ай бұрын
Amina acha tujitie moyo na kubwa na imani ya kupigana na changamoto
@shaniachanceline27514 ай бұрын
Amina mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤
@happymsemwa-rk7fd9 ай бұрын
Ubarikiwe sana Pr Mmbaga yaan hili somo utadhani uliandaa kwa ajili yangu nmebarikiwa sana sasa nipo huru ktk Kristo
@mussacharles53114 ай бұрын
Nabarikiwa sana kupitia wewe mchungaji.
@antipascann27979 ай бұрын
Yote kwa yote pastor u are good storyteller! Mungu azidi kukutumia
@Brain-tx8fx9 ай бұрын
Amina sana ubalikiwe sana mchungaji
@benaharuna-bo1sf8 ай бұрын
Asant yesu maan tunakuelew kuptia mtumish wak
@user-dv4ch3sy8l8 ай бұрын
Amen be blessed more and more Man of God im so blessed with ur powerful word wja roho asiti kukuweka ktk kiwango cha juu
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Amen
@gerwaldalwena98298 ай бұрын
Asante sana, nimebarikiwa sana
@elizabethvelma2668 ай бұрын
Thanks!
@kabalizasekanabomarko60639 ай бұрын
Mahubiri aya, yananifungua akili sana, kila aiku nikikusikuya tu. Na jengwa sana na Mungu za Mungu. Nasikiya furaha sana ndani yangu na nguvu nyingi sana. Nakufwata kutoka sweden. Mungu akuzidishiye nguvu. David MMbaga
@kaninimuindi64708 ай бұрын
Amen mutumishi umenifuza mengi sana mungu azidi kukutumia huedelee na kutusaidia
@edinahmasea16039 ай бұрын
Asante sana pastor barikiwa. Amen and Amen
@casiphaabdi38969 ай бұрын
Amen naamini mungu wangu anipe moyo mwepesi wa utoaji
@JacklineMoti9 ай бұрын
God is good all the time & all the time God is good Ameen 🙏🙏
@user-kc6lr3pq2c8 ай бұрын
Ameeen
@user-dk3xi4pz7o4 ай бұрын
Shukurani sans Amina
@user-kr5iv5lp2m9 ай бұрын
Mungu akubariki pastor nimepona dam zilikua zinatoka mfululizo ila zimekata, naomba nijibiwe na maombi yangu mengine naamini imekua
@nicolepierre79388 ай бұрын
Amen 🙏
@blessedtumaini5169 ай бұрын
Mungu Baba unirehemu nilipoingia mwenyewe kwa taabu naomba Unitoe unitakase nifae kwa utumishi wako katika jina la Yesu Kristo Amina.
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
@laridistrict47109 ай бұрын
God bless you pastor am Blessed niombee mungu kwa neema yake anivushe salama
@user-jh8il3mi4m9 ай бұрын
Mungu wangu uturehemu bwana bila wewe atuwezi
@marysalome79547 ай бұрын
Amen
@NellySakwa9 ай бұрын
Nakushukuru sana mchunganji kwa mafundisho mazuri ❤❤
@aidaa82539 ай бұрын
AMEN UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
@EmmanuelNaftali9 ай бұрын
Asante kwa NENO LA MUNGU.
@Lucy-nw4bn9 ай бұрын
Amen amen, pastor niambie niweze kurudi kanisani
@janethfwamba85619 ай бұрын
Amina baba na mm nimmoja wao ninamsongo mnoo
@user-xn3vq1gq3p9 ай бұрын
Mungu wetu kweli ni mwenye rehema sana kwetu
@eustina09 ай бұрын
Aminaa Mungu akubariki sana akupe maisha marefu
@josianeniyonkuru57968 ай бұрын
Mungu ni mwema siku zote
@PendoOscar9 ай бұрын
Mwenyezi mungu awalinde amen
@abigaelmwadena22629 ай бұрын
Ameen ameen barikiwa San kw somo zuri
@everinemasoka69239 ай бұрын
Amen Amen ubarikiwe sana mchungaji wetu
@veronicawilsonmbwambo10549 ай бұрын
Amin
@elizabethmukama93069 ай бұрын
AMEN, BARIKIWA SANA PR
@MARIE-iy4bx9 ай бұрын
Nabarikiwa sana najifunza mengi hadi sayansi
@angelinamagambo87339 ай бұрын
Amina
@user-iv9yc8hl7n9 ай бұрын
Mungu akubariki pastor Mbaga
@user-gs1ld5vd6e9 ай бұрын
Ameen, nabarikiwa na huduma yako ombi langu kwa MUNGU akupe maisha marefu wafaidike wengi
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
@PatriceNkwabi9 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na mafundisho ya neno la MUNGU ubarikiwe
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
@thobiasmwinuka28699 ай бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu kwa roho mtakatifu ameen
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
@BarnabasJonas-nv4ig9 ай бұрын
AMINA
@LukasSoso-bn4ch9 ай бұрын
Kumbe EE BWANA YESU nisaidie
@user-ds5gv5fw6h9 ай бұрын
Blessed is the servant
@bungayamayo73779 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@user-os3vo4sm2n9 ай бұрын
God bless you
@immaculeekayange37849 ай бұрын
Kweli Mungu ni mwema kila wati, nashukuru sana kwa hili somo. Kwangu lina ni leta ku tubu mbele ya Mungu wangu sababu mimi nime jikuta ku sababisha mengi ninayo pitiya. Nakubali ku rudiya Mungu wangu kwa ku mutolea zaka n'a sadaka. Naelewa kwamba bila Mungu mimi si kitu. Barikiwa sana muchungaji
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
@user-rv6xv7yf8n9 ай бұрын
Mchungaji mungu akubariku sana
@calebmakori9 ай бұрын
amen.
@user-ds5gv5fw6h9 ай бұрын
Mungu ni mwema wakati wote
@NeemaMbusiye9 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@zirhumanafiston1169 ай бұрын
Amina 🇨🇩
@user-bx5nc8ge6r9 ай бұрын
Sifa kwa bwana ❤🙏🙏
@MSM3749 ай бұрын
Mgumu sana huu wakati for sure
@MilabakasiliMilaba4 ай бұрын
Niombee na mm Niko taifani sana nitakufatilia sana KZread
@julianawairimu8019 ай бұрын
Amina,Amina Amina.
@user-cf3kl5bo5y9 ай бұрын
Mimi naitwa Manase Benjamin naishi Uganda ,ilamimi ni mkimbizi kutoka Congo , nahitaji muombee inchi ya Congo. Nilitafuta namna naweza ku wasiliana na mtumishi , haikuwezekana , Ila ntajaribu tena .ningependa nipate number ya mtumishi ya WhatsApp.
@user-bg9ce5sw4z8 ай бұрын
Mung ni mwema Kila wakat!
@elietuyizere41297 ай бұрын
nisaidiye namber ya Mchungaji naomba
@irentirop63049 ай бұрын
Amen Amen 🙏🙌
@elizaJemtai-jm2bj
9 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@RebeccaObadia-km7kx9 ай бұрын
Nikungojea
@user-xn3vq1gq3p9 ай бұрын
Nikweli majaribu ni muhimu na lazima kwetu
@anyandwilekajange9 ай бұрын
Nimeguswa sana na mafundisho yako , Mungu aendelee kukutumia .😂😂
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Asante sana Mtumishi
@Joycependopendo-dv2tb9 ай бұрын
Amen nimejifunza kitu kwenye hili somo la Leo Kuna jambo kumbe nijisabishia mwenyewe bt kwenye hili somo nimejifunza
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Mungu akurehem
@Joycependopendo-dv2tb
9 ай бұрын
Amen
@Joycependopendo-dv2tb
9 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Amen pastor mungu akubariki Kwa mafundisho mazuri
@nanguniMtaita-hz4zt9 ай бұрын
Mchungaji, wewe ni wetu watanganyika wote. Kwanini huu ni mwaka.wangu wa Ishirini na tano Kihonda S.D.A. Church hujafika kutupa hubiri lako. Tumekumis ukweli tunakukaribisha kwa mikono na miguu yoote uje kwetu.
@MSM3749 ай бұрын
Malazi magumu kweli
@MSM3749 ай бұрын
Eti unatema mate hahaha
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
😁
@estermgata96179 ай бұрын
Pastor Mmbaga Mimi ni Mhanga wa mahubiri yako. Ila Kauli yako ya kusema ROMAN CATHOLIC NI WARUMI WA DUNIA YOTE. Hiyo umewadanganya wanakilolo. Historia ya ROMAN CATHOLIC na hata SDA inajulikana vizuri kabisa. ROMAN Catholics are Christians. They Christians because they follow Christ in their practice. SDA are followers of Ellen White and Bates. This is the main difference.
@user-to2qo6on7r
9 ай бұрын
Hapana,SDA si wafuasi wa Ellen White Bali ni wafuasi wa Kristo(Imani ya Kristo Yaani isiyoyumbishwa na msingi wake umjengwa katika kumtegemea MUNGU) Mafundisho ya SDA yatokana na maandiko matakatifu(BIBLIA)pamoja na ushuhuda wa Yesu Kristo(ROHO YA UNABII) ambapo katika hiyo roho ya Unabii ndipo tunawakuta manabii wote na vitabu walivyovuviwa kuandika ikiwa ni pamoja na vile vyaEllen White.
@estermgata9617
9 ай бұрын
@user-to2qo6on7r Go and read the history of SDA and how it came about in . Go and read how they gave a wrong prophetic message of the end of the world. Then, enlighten yourself when the prophetic message did not come to fulfill what did they do. I have learned not to disrespect other religious affiliations. Telling ROMAN CATHOLICS in Kilolo that they follow UNIVERSAL ROMAN CULTURE OR TRADITIONS is misleading and wrong. I hope they will inform themselves what they believe. I hope they have strong faith and have knowledge of what they follow. Misleading about what other denominations do and follow is not something new to SDA. Mostly, they always spread false information about other faith and credited themselves they are the true followers. Of course superficially it might look so, but if you dig down - your history of how this church came about and their fundamental beliefs and their documents they follow, you will realize a lot of flaws. Just like other religious affiliations, SDA has lots of flaws. To me don't spend your time discrediting other religious groups. Preach what is right so that people will turn to SDA because of the true message from God, but not by giving misleading information about other religious affiliations. In 1990s, I was in one of the University in Tz. I was saying with an SDA. The pope John Paul the second, was scheduled to come to TZ. My SDA roommate warned me not to go to Jangwani, Dar es Salam, and that she was going to pray so that when the pope kneel down on arrival, lightning would happen and kill everyone. I went to Jangwani to attend the pope conference, and we all came safe. My call to anybody, preach the world of God, proclaim the truth, but do not confuse people with misleading information and untruthful messages
@estermgata9617
9 ай бұрын
Sala ya kila mkatoliki ni hii: EE MUNGU MWEMA, UMBARIKI BABA MTAKATIFU, ASKOFU NA MAPADRI, WAKUBWA, WAALIMU NA JAMAA. UWAFADHILI MARAFIKI NA ADUI ZETU, UWAONGOZE WALE WASIOKUJUA BADO AU WASIOITII INJILI. UWARUDISHE WAKOSEFU. UWASAIDIE WAGONJWA NA WANAOZIMIA. UWAHURUMIE WALE WANATESWA TOHORA. UWAPE HERI YA MILELE AMINA
Пікірлер: 109
Mungu n mwema wakati wote.Pamoja na yote ametufundisha kusema""Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu"""...Uwepo wako katika kutumika kwa Bwana...,kuna wagusa wengi sana kiroho Mungu azidi kukubariki mtumishi.
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
Ubarikiwe pastor mbaga. Ww ni combo cha BWANA. Umekuwa m baraka mkubwa sana kwa ajili ya BWANA
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen! Mungu atukuzwe
Asanten sana Bwana Yesu.Asante Pastor Mbaga na team Yote. Asante Mahubiri TV. Asante kwa kugusa maisha yetu kila wakati. Mbariiwe na Bwana Amen kutoka Morogoro
Asante mutumishi wa Mungu nakufwata kilamara kwa nshi ya Congo nimebarikiwa sana n'a mahubiri Mungu wetu akujaze n'a Roho mtakatifu
Asante sana mtumishi wa mungu mafundisho yko huwa yananipa nguvu sana nayasikiliza kuanzia saa 6mpaka saa 11 huwezi amini nisaidie nimfikie mungu
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Mungu akubariki
@rutinginyaneysam.5087
9 ай бұрын
Asante but ukiandika Mungu andika kwa herufi kubwa, sio m ndogo
@bamag-021
9 ай бұрын
Asante kwa hubiri pr, Mungu akutie nguvu zaidi. Mtuombee na sisi nimekuja kusoma India baada ya Mungu kujibu maomba yangu kunipa kibari kusoma huku . Changamoto ni kufanya ibada siku ya sabato, hawajatupa ruhusa , maana ktk mwez ni jmosi mbili tu ndio ziko free, zingine mbili ni masomo. Tuko 8, tunaomba mtuombee watupe kibali cha ibada ya sabato
Asante sana kwaku tuondoa ndani ya shimo.
Nimeinuliwa sana pastor barikiwa zaidi in Jesus Name Amen Amen
Mungu akubariki mchungaji nimefunguliwa na mafundisho unayotia yehoa mungu wetu apewe sifa
Amina ubalikiwe mtumishi
Amen 🙏🙏🙏 hakika nimebarikiwa asantii
Amina acha tujitie moyo na kubwa na imani ya kupigana na changamoto
Amina mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤
Ubarikiwe sana Pr Mmbaga yaan hili somo utadhani uliandaa kwa ajili yangu nmebarikiwa sana sasa nipo huru ktk Kristo
Nabarikiwa sana kupitia wewe mchungaji.
Yote kwa yote pastor u are good storyteller! Mungu azidi kukutumia
Amina sana ubalikiwe sana mchungaji
Asant yesu maan tunakuelew kuptia mtumish wak
Amen be blessed more and more Man of God im so blessed with ur powerful word wja roho asiti kukuweka ktk kiwango cha juu
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Amen
Asante sana, nimebarikiwa sana
Thanks!
Mahubiri aya, yananifungua akili sana, kila aiku nikikusikuya tu. Na jengwa sana na Mungu za Mungu. Nasikiya furaha sana ndani yangu na nguvu nyingi sana. Nakufwata kutoka sweden. Mungu akuzidishiye nguvu. David MMbaga
Amen mutumishi umenifuza mengi sana mungu azidi kukutumia huedelee na kutusaidia
Asante sana pastor barikiwa. Amen and Amen
Amen naamini mungu wangu anipe moyo mwepesi wa utoaji
God is good all the time & all the time God is good Ameen 🙏🙏
Ameeen
Shukurani sans Amina
Mungu akubariki pastor nimepona dam zilikua zinatoka mfululizo ila zimekata, naomba nijibiwe na maombi yangu mengine naamini imekua
Amen 🙏
Mungu Baba unirehemu nilipoingia mwenyewe kwa taabu naomba Unitoe unitakase nifae kwa utumishi wako katika jina la Yesu Kristo Amina.
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
God bless you pastor am Blessed niombee mungu kwa neema yake anivushe salama
Mungu wangu uturehemu bwana bila wewe atuwezi
Amen
Nakushukuru sana mchunganji kwa mafundisho mazuri ❤❤
AMEN UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
Asante kwa NENO LA MUNGU.
Amen amen, pastor niambie niweze kurudi kanisani
Amina baba na mm nimmoja wao ninamsongo mnoo
Mungu wetu kweli ni mwenye rehema sana kwetu
Aminaa Mungu akubariki sana akupe maisha marefu
Mungu ni mwema siku zote
Mwenyezi mungu awalinde amen
Ameen ameen barikiwa San kw somo zuri
Amen Amen ubarikiwe sana mchungaji wetu
Amin
AMEN, BARIKIWA SANA PR
Nabarikiwa sana najifunza mengi hadi sayansi
Amina
Mungu akubariki pastor Mbaga
Ameen, nabarikiwa na huduma yako ombi langu kwa MUNGU akupe maisha marefu wafaidike wengi
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
Nimebarikiwa sana na mafundisho ya neno la MUNGU ubarikiwe
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
Mungu aendelee kukutia nguvu kwa roho mtakatifu ameen
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
AMINA
Kumbe EE BWANA YESU nisaidie
Blessed is the servant
Barikiwa mtumishi
God bless you
Kweli Mungu ni mwema kila wati, nashukuru sana kwa hili somo. Kwangu lina ni leta ku tubu mbele ya Mungu wangu sababu mimi nime jikuta ku sababisha mengi ninayo pitiya. Nakubali ku rudiya Mungu wangu kwa ku mutolea zaka n'a sadaka. Naelewa kwamba bila Mungu mimi si kitu. Barikiwa sana muchungaji
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Amen
Mchungaji mungu akubariku sana
amen.
Mungu ni mwema wakati wote
Nimebarikiwa sana
Amina 🇨🇩
Sifa kwa bwana ❤🙏🙏
Mgumu sana huu wakati for sure
Niombee na mm Niko taifani sana nitakufatilia sana KZread
Amina,Amina Amina.
Mimi naitwa Manase Benjamin naishi Uganda ,ilamimi ni mkimbizi kutoka Congo , nahitaji muombee inchi ya Congo. Nilitafuta namna naweza ku wasiliana na mtumishi , haikuwezekana , Ila ntajaribu tena .ningependa nipate number ya mtumishi ya WhatsApp.
Mung ni mwema Kila wakat!
nisaidiye namber ya Mchungaji naomba
Amen Amen 🙏🙌
@elizaJemtai-jm2bj
9 ай бұрын
Amen 🙏🙏
Nikungojea
Nikweli majaribu ni muhimu na lazima kwetu
Nimeguswa sana na mafundisho yako , Mungu aendelee kukutumia .😂😂
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Asante sana Mtumishi
Amen nimejifunza kitu kwenye hili somo la Leo Kuna jambo kumbe nijisabishia mwenyewe bt kwenye hili somo nimejifunza
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Mungu akurehem
@Joycependopendo-dv2tb
9 ай бұрын
Amen
@Joycependopendo-dv2tb
9 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Amen pastor mungu akubariki Kwa mafundisho mazuri
Mchungaji, wewe ni wetu watanganyika wote. Kwanini huu ni mwaka.wangu wa Ishirini na tano Kihonda S.D.A. Church hujafika kutupa hubiri lako. Tumekumis ukweli tunakukaribisha kwa mikono na miguu yoote uje kwetu.
Malazi magumu kweli
Eti unatema mate hahaha
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
😁
Pastor Mmbaga Mimi ni Mhanga wa mahubiri yako. Ila Kauli yako ya kusema ROMAN CATHOLIC NI WARUMI WA DUNIA YOTE. Hiyo umewadanganya wanakilolo. Historia ya ROMAN CATHOLIC na hata SDA inajulikana vizuri kabisa. ROMAN Catholics are Christians. They Christians because they follow Christ in their practice. SDA are followers of Ellen White and Bates. This is the main difference.
@user-to2qo6on7r
9 ай бұрын
Hapana,SDA si wafuasi wa Ellen White Bali ni wafuasi wa Kristo(Imani ya Kristo Yaani isiyoyumbishwa na msingi wake umjengwa katika kumtegemea MUNGU) Mafundisho ya SDA yatokana na maandiko matakatifu(BIBLIA)pamoja na ushuhuda wa Yesu Kristo(ROHO YA UNABII) ambapo katika hiyo roho ya Unabii ndipo tunawakuta manabii wote na vitabu walivyovuviwa kuandika ikiwa ni pamoja na vile vyaEllen White.
@estermgata9617
9 ай бұрын
@user-to2qo6on7r Go and read the history of SDA and how it came about in . Go and read how they gave a wrong prophetic message of the end of the world. Then, enlighten yourself when the prophetic message did not come to fulfill what did they do. I have learned not to disrespect other religious affiliations. Telling ROMAN CATHOLICS in Kilolo that they follow UNIVERSAL ROMAN CULTURE OR TRADITIONS is misleading and wrong. I hope they will inform themselves what they believe. I hope they have strong faith and have knowledge of what they follow. Misleading about what other denominations do and follow is not something new to SDA. Mostly, they always spread false information about other faith and credited themselves they are the true followers. Of course superficially it might look so, but if you dig down - your history of how this church came about and their fundamental beliefs and their documents they follow, you will realize a lot of flaws. Just like other religious affiliations, SDA has lots of flaws. To me don't spend your time discrediting other religious groups. Preach what is right so that people will turn to SDA because of the true message from God, but not by giving misleading information about other religious affiliations. In 1990s, I was in one of the University in Tz. I was saying with an SDA. The pope John Paul the second, was scheduled to come to TZ. My SDA roommate warned me not to go to Jangwani, Dar es Salam, and that she was going to pray so that when the pope kneel down on arrival, lightning would happen and kill everyone. I went to Jangwani to attend the pope conference, and we all came safe. My call to anybody, preach the world of God, proclaim the truth, but do not confuse people with misleading information and untruthful messages
@estermgata9617
9 ай бұрын
Sala ya kila mkatoliki ni hii: EE MUNGU MWEMA, UMBARIKI BABA MTAKATIFU, ASKOFU NA MAPADRI, WAKUBWA, WAALIMU NA JAMAA. UWAFADHILI MARAFIKI NA ADUI ZETU, UWAONGOZE WALE WASIOKUJUA BADO AU WASIOITII INJILI. UWARUDISHE WAKOSEFU. UWASAIDIE WAGONJWA NA WANAOZIMIA. UWAHURUMIE WALE WANATESWA TOHORA. UWAPE HERI YA MILELE AMINA
Amen
Mahubiri mazuri yanahimiza
Amen 🙏
AMINA
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen