Mahakama yamuhukumu Jowie kifo kwa hatia ya mauaji
Mahakama kuu leo imemuhukumu kifo Joseph Irungu Jowie kwa hatia ya mauaji ya mfanyabiashara Monica Kimani yaliyotokea mwaka wa 2018. Jaji Grace Nzioka kwenye uamuzi wake ameelezea kwa mapana sababu zake za kumhukumu Jowie kifo, akisema kuwa mauaji ya Monicah yalikuwa ya kutisha na yaliyopangwa na kukusudiwa.
Пікірлер: 86
Jowie pole sana,Mungu alikuumba vzr hio sura yako ona inapotea tuu hvo am hrt broken 😢😢
Monicah now you can rest..na iwe funzo kwa wengine
People are accusing judge for nothing she's just following the constitution which she vowed to follow and this is virtuous God bless you madam
Stop femicide in Kenya thank u judge nzioka tunakupenda u are a of integrity
The fact that hii ni kenya its still my biggest fear, am not sure if the sentence will comply accordingly 😢😢
Hukumu ya kifo iendelee coz mauaji inkua mingi
My sister was killed like Monica Kimani I don't pitty any murderer and the guy is free soo sad
I wish huwo mkondo uwendelee hivyo mpaka mwisho kama vile uku Saudi Arabia
Next Jeff case please
Aki ingekua kila mtu mwenye anaua mtu aukumiwe kama irungu
Na mbona mubunge wetu aliua na akuna kitu mulifanya mukujie araka p.o box kimilili😢
@sylviaecke1772
4 ай бұрын
wenye pesa hao
Nyinyi wanadamu mutaamini damu ya yesu tu!!! ndio kuna msamaha na yesu tu ndio anaweza kurekebisha mwanadamu.
@zarafimnyamafitv
4 ай бұрын
hakuna cha msamaha apo atasamehewa na yesu
@habibasalim3092
4 ай бұрын
Siobyesu ni the creator of universe huyo ambae alikuimba yesu akamleta duniani kimiujiza na kumuondoa kimiujiza ndie anatakiwa kusamehe @@zarafimnyamafitv
there is something wishy??? here,but time will tell,huyu jowie hakua pekeyake
Justice for Jeff now ...thank you madam
Hapo sawa
2 wrongs doesn't make a right.
This 👩⚖️ hated jowi With all her soul Her decision was made with feelings 😊
It's true
Why is rge apple upsidedown
Iwe fozo Kwa wengine kama James lrungu ndio Kenya iwe na Amani.
Judge Grace should take Jeff mwathi case
I don't know how o react though
😮😮😮na mwenye aliuwa Jeff
Mafeelings ya huyu judge nayo,, kwanza mchike hao Nigerians watoa kafara..
RIP Monica
Uliyataka mwenyewe Mungu akutangulie
He got help from certain quarters.
Kwani kumua jowie itamregesha moni?mfungeni 101 years kwisha
@fideamtenga212
4 ай бұрын
No anyongwe..not possible to eat ugali again
Rita waeni? Agnes tirop? Sharon otieno? Or their killers sre too special 💔
Ameher
The guy is a narcissist.. his mask just fell and here we are... I had an almost similar situation with a guy, and were it not for my witty reaction, I'd be dead by now.
Mungo protect our you men don't allow them to be murders
Kifo na kunyongwa kabisa vile alinyonga nyawira did for that
Anyongwe tuu..muuaji huyo..nilifuatilia sana it was so sad for monika family..now monika is in sky
@francinenyakidi127
4 ай бұрын
Sky?
Kwaiyo ni familia imesema auliwe sio sheria tema nmeskiaaa aje
Wembe ni ile ile uwa kwa upanga kufa kwa upanga waaa
Afugwee kabisa uyo nikitu amezoea so ameuwa damu mbaya afungwe kabisa
someone to tell the lady judge ya Kwamba Sisi wote Ni maiti tarajiwa
@sylviaecke1772
4 ай бұрын
kweli kabisa
@domin842
4 ай бұрын
Sasa watu wauwe wengine juu sisi wote ni maiti,
@reubenothuol1823
4 ай бұрын
matako
Muuaji huyu...😢
Sharon naye kulieda aje
anyongwe as soon as kesho
@kimsexpert2087
4 ай бұрын
Ni life imprisonment sio kunyongwa
@fideamtenga212
4 ай бұрын
Kabisa
@fideamtenga212
4 ай бұрын
Tommorow yes
@faithtv3729
4 ай бұрын
@@kimsexpert2087 Angalia penal code of Kenya 204 murder calls for death sentence
Name of The movie "one man down.
@wanjiruciru6237
4 ай бұрын
A young man for that matter😢
@naahhemed1270
4 ай бұрын
🤣🤣mko na ufala sometimes
@margaretkioko4891
4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣"several others to go"
Bibilia inasema anaeua auwawe ..... Nenda salama but the question is?? Mwenye atamuua nani atamuua
@margaretkioko4891
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Na uyu jamaa wa shakahola anangoja nn🙄
I don't understand,,ni hasira ya mauaji ya Rita waeni ndo inafanya mfanyie Joe hivi ama we're you corrupted to do so?
@soniinyambu512
4 ай бұрын
Kwani Monica sio mtoto wa mtu 😏😏😏unatry kusema Nini ama u thought ni Raha Kwa watu anafaa auliwe pia Wacha hivyo unaongea Kaa mtoto ana watoto😢
@tesh523.
4 ай бұрын
@@soniinyambu512 ni mtoto wa mtu Fyn,,but what hurts here is that,, there are many murders out there walking freely,,,why Joe sentenced to death,,?? Na mtu wa mwisho kuwa sentenced ni kitu ya 19s huko? Pia Joe ni mtoto wa mtu alah 😏😏😏😏
@Eltty.
4 ай бұрын
@@soniinyambu512he's innocent but NPCs like you would never understand
@gladysmoraa4818
4 ай бұрын
@@soniinyambu512aki
@nancychege6777
4 ай бұрын
What's wrong with you a woman was murdered in cold blood someone's daughter sister nini huelewi hapo.?
Shida ya kulelewa na single mothers ndio hizi
@henrykyalo1306
4 ай бұрын
Af00l fool detected
Did you sentence jowie because females are killed more likely than men,or you sentenced him because of his merciless actions? I think that point was offensive to men who care about females.
@yJe461
4 ай бұрын
Rewatch this news piece you'll understand
@soniinyambu512
4 ай бұрын
Kwani Monica sio mtoto wa mtu 😢😢😢mauwaji itaisha hapa Kenya wanaume mnuwa wanawake sana even wanafaa ukiuwa unauliwa😢
@faithi7216
4 ай бұрын
Good question @@soniinyambu512
@erickanyugo3253
4 ай бұрын
Fuck feelings. Justice is blind.
@yJe461
4 ай бұрын
@@erickanyugo3253 Say whatever you want because Monica was not your sister.
Asiwachwe kabisa na kifo ya munene kabisa